safi sana huwa nasubiri sana makala 360 natamani iwe kila siku
@Brunotarimo10
17 күн бұрын
Shukrani kwa wana sns nilipitwa na hii
@GalaxyA-yw7eg
3 ай бұрын
Asante sana kwa makala nzuri
@NasibuKitwana
3 ай бұрын
Yani wewe CEO mwenyewe ukichambua Habari yoyote lazima nielewe Yale nisiyoyajua!Natamani siku Moja utuletee makala ya jinsi Tanzania ilivyoisadia cndd fdd ya Burundi kuchukua nchi!! Kweri wewe ni mtalaam big up.
@husseinkonz5192
3 ай бұрын
Mzee amri 10 za mungu halafu full ushenz
@mchinathegreat9619
3 ай бұрын
SNS here We Go
@DafiMohamed-dz8xk
3 ай бұрын
Huo ndio ujinga wa sisi waafrika kuuana wenyewe kwa wenyewe kwa maslahi ya nchi za magharibi..hovyo kabsa
@yayananajota5838
3 ай бұрын
Ooyes fantastic story frm vanuatu🇫🇯
@sulwajackson6906
3 ай бұрын
Asante sana kwa MAkala hi!nilitamani kujua sana juu ya uyu Joseph kon
@madaiincubationcenter4947
3 ай бұрын
Eti nikatili Hata Iddib Amin tulidanganywa sana
@allahisone6386
3 ай бұрын
UKWELIII KBSAAAAAA HAKUA KATILI WALA GAIDI
@mirajimwango5763
3 ай бұрын
good work bro bundala
@amoogrem
3 ай бұрын
Kwa ambae hakujui kaka atakua anachelewa wewe ni miongoni mwa wahasisi wa hizi simulizi binafsi nimeanza kukusikizo toka nikiwa mdogo kipindi hicho ulikua redio free Africa kwenye hizi kazi huna mpizani kaka 🙌
@user-ux3jl9cl4w
3 ай бұрын
Kwan aliekamatwaga mpakan mwa Tanzania yure nan
@kingcole60
3 ай бұрын
Makala 360 🔥🔥🔥
@jizzotheking9238
3 ай бұрын
Huyo ndo mwamba sasa😀😀😀🔥🔥🔥🔥
@domymerinyo8165
3 ай бұрын
Tunaomba pia makala ya John Garang na Jonas Savimbi
@anthonymsongela4677
3 ай бұрын
😊 Joseph kony mtu hatari sana
@songainc2130
3 ай бұрын
Uyo jamaa ni joo anasaidia raisi WA Uganda kupora na kuuwa ichini congo uyo na raisi WA Uganda kitu kimoja
@allahisone6386
3 ай бұрын
Eeweeeeeh_🤔
@mn1994
3 ай бұрын
Don't talk nonsense which u don't know
@braystuskibassa3842
3 ай бұрын
Wazungu hao wanamtengeneza mtu wanaompa siraha na pesa anapunguza watu weeeee! baadae utasikia ghaidi
@arafatmosha78
3 ай бұрын
Hii sauti ya Nani?
@saxenaofficial4168
3 ай бұрын
❤❤
@elbaricktv1632
3 ай бұрын
Anaitwa lod of war
@ayietatitus8856
3 ай бұрын
Frederick Bundala, sky walker.
@King_Of_Everything
3 ай бұрын
👊✌👍.
@user-bi7wf4nz2d
3 ай бұрын
Sky ku a hii habari ya mama na mtt wanatangaza mziki wa singeli huko Spain irushee ni hot Tanzania to the world
@angelogirumugisha6301
3 ай бұрын
Mwamba huyo
@ZamzamZamzam-uy3qb
3 ай бұрын
Brother chunataka story book 📖 ya alshabab somali
@DafiMohamed-dz8xk
3 ай бұрын
Wanashtakiwa waafrika tu 😂😂 mahakama kwa ajili ya kukandamiza Africa na kuuza silaha zao
@alexmwesiga3603
3 ай бұрын
Aliyeapishwa sawa ni Okero, mkuu wake wa majeshi aliitwa Oite Ojoki alitunguliwa na majeshi ya Mseveni akiwa ndani ya helicopter.
idd Amin dada alikua sio katili bali alikua kwenye haki na mwangu wake wa kukuza uislam katika tanganyika bara maana Zanzibar ilikua uislam tayari ulishafika ila kanisa likamuangusha na mpango wa Julia's nyerere
@user-fx3zd3zh7t
3 ай бұрын
Yes nilikuwa natamani nisikiye that story santeni 🇸🇪
@marcodaud1005
3 ай бұрын
Mwambie shemeji Frank aongeze bidii kuandaa Makala 360 angalau kwa mwezi mara mbili
@juliassamwel3232
2 ай бұрын
Unacha kujifunza kutoka kwa jamal April 😅😂
@seifmiraji43
2 ай бұрын
Wivu
@saidimwanga444
3 ай бұрын
Mbona sikuwasikia akina Godfrey Binaisa na Yusufu Lule kwenye uongozi wa Uganda?
@softtlipssTv
3 ай бұрын
Likeeeeee....
@kwisa4899
3 ай бұрын
Yuna
@lameckbuya7569
3 ай бұрын
Propaganda ukiwa na strong decisions unafadhiliwa mbona Iko waz
@emmanuelmlowe-ew7gx
3 ай бұрын
Haya yote niwazungu kututumia sisi kwasisi tuuane
@antonykhamati6387
3 ай бұрын
Huyu ni kama alikufia msituni.
@kwisa4899
3 ай бұрын
Tunaomba makala ya savimbi
@emmanuelmudaheranwa2263
3 ай бұрын
tunataka makala ya rwanda RPF.. nakukomboa inchi
@vyogomasster1299
3 ай бұрын
Sasa mbn story imetoka kusimuliwa wasafi ijumaaa hiiii imekuaje iyooo
@mwanaidimussa
3 ай бұрын
Alie anzaa ni sns hao wasafi wakooo wanapenda kutafniwa, fyuuuuu
@emmanuelmlowe-ew7gx
3 ай бұрын
Waasi wote wanatengenezwa na Wazungu kwan kony angepata wap uwezo huo?
@noahlameck1564
3 ай бұрын
Wapi dj sma Mwambie putin ameliamsha dude atuletee madini ya makala zake
@king_maik6375
3 ай бұрын
Chuma
@ibalulacapierre1815
3 ай бұрын
Uyo Jamaal sio lolote ni kio kinacho tumika kwa marecani kuipatiya silaa Uganda 🇺🇬 ili iendelee kuivamiya congo 🇨🇩 wakisaidiyana na rwanda 🇷🇼 maana silaha sinazo vamiya Congo 🇨🇩 sinatoka umarekani na inchi zakimangaribi rwanda 🇷🇼 Uganda 🇺🇬 azinunui silaha Bali wanapewa na mabeberu ili kuvamiya congo 🇨🇩.
@EphraimWekesa-je7gy
3 ай бұрын
Noo bro
@12322879
3 ай бұрын
Nmewahi kuonana naye huyu devil
@EphraimWekesa-je7gy
3 ай бұрын
Wengi wamesema att Joseph nkony ni Mungu wengine wameamini att Joseph nkony alikua Muchawi wa bala la African. Uyu jama alikua ni mponyaji. Alikua na tengeneza kila dawa. Tena alisaidia selikali ya Congo, Uganda, Sudan, na Rwanda,
Пікірлер: 57