Bongo namkubali Jux & ally kiba Jux hujawahi kosea Mzee baba mungu akupe maisha malefu
@hawaselemani6704
7 жыл бұрын
big up mtangazaji,, nampenda sana jux and vanessa,,, natamani cku moja muwe familia moja yani baba na mama
@eugeniacharles2401
7 жыл бұрын
Dah! V money hatokjapata mwanaume anaempenda kumthamini na kumuheshimu kama huyu,Juma keep it up
@joyalineb1596
3 жыл бұрын
Jux namupenda sana uku Kenya tunamukubali sana respect my brother
@eliyaleshao939
5 жыл бұрын
Jonny joo Uko laivu na maisha piga kazi mzee baba
@adensuline7
5 жыл бұрын
jonijoo uko vizur __kweli..wahuni sio watu wazuri
@wilonjahatua2067
7 жыл бұрын
Hujawahi kuniangusha kwaiyo sinaga wasiwasi naww jux like nyingi kwake tafadhari
@vailetjuma9539
6 жыл бұрын
wilonja hatua xanaaaaa
@phdommy135
5 жыл бұрын
nzur
@emmanuelkimariows4549
6 жыл бұрын
Uko vizur kaka kamaunamkubali jux gonga like hapo chin
@richardmbezi4963
6 жыл бұрын
Jonijooo nakukubali sana ma brother una swaggy za kibabe xana huwa na enjoy xana nikikuona unatangaza daah mungu akuzidishie baraka na mafanikio ktk kazizako . Wahuni siowatuwazuri
@latifamtanda6312
6 жыл бұрын
Nakukubar sana jux na pia nakupenda kukuona upo na v money, mnapendezana sana
@judithpatrick9862
3 жыл бұрын
Kama bado unamuangalia jux weka like yako twende pamoja
@raelamar2819
7 жыл бұрын
wahuni sio watu! Tisha sna jonijooo ujaiwai niangusha so creative keep it up my man
@deewallance9354
7 жыл бұрын
Daaah mapenzi Ni ugongwa kweli hakika Jux anateseka na mapenzi. Pole sana baba MUNGU akusaidie mrudiane,
@daudandrew140
4 жыл бұрын
Show Kali African boy
@bjchronicc8357
5 жыл бұрын
kupitia jojijooo i get to learn many things zile short story unazoanzaga nazo i gain alot
@saymonkanizius6508
6 жыл бұрын
jux is the best musician
@officialj.dollatz4460
5 жыл бұрын
Dah kwel kitambo mbaka #jux alitaka kusahau mstari wake wa nyimbo yake 😁😁😁😁😁 #jonijoo bless you mzazi huwa nakufatilia kinima
@hajuboy2882
6 жыл бұрын
african boy salute wahuni sio watu wazuri aminia
@shabanikingolile7091
5 жыл бұрын
nkbl juma jonijooo ujawahi kunianguxha
@kashumbanarsis4769
7 жыл бұрын
Daa mwanangu we ndo huwa msanii wangu bongo nzimaaa
@ndeganiyefelix4844
7 жыл бұрын
Bro big up sana mtuu Wangu wahakili nakupendaga ilembaa
@hadassperez494
7 жыл бұрын
Just curious about what he did to vanessa that she can't forgive him😢😢😢
@lorraineyann3797
4 жыл бұрын
I💕 u brother brother.. Salute jonijooo
@saidndimbwa4976
7 жыл бұрын
Blaza unajua sana...big up kwako
@bwhitetzbwhitetz425
5 жыл бұрын
Amini kwamba Mungu niwetu sote
@hamzamihosho6480
9 ай бұрын
Apo kwenye ugal tupo weng😂😂😂
@umydaddy4697
7 жыл бұрын
So honest. True love
@azizalydiaaziza6051
7 жыл бұрын
Kweli vanessa ata kuuwauwa plz vanessa usimuuwe mwenzako😍
@neemaabiud9805
7 жыл бұрын
Aziza Lydia Aziza hahaha
@sweetysamia8932
6 жыл бұрын
Aziza Lydia Aziza hahahh
@rahmaninoh7434
7 жыл бұрын
Nice jux big up kwako bro jonijoo
@hawawezidianakukushusha756
7 жыл бұрын
jux unanigurahisha sana una msimamo na unajuabkupenda sio kama yule Harmo wa worper hajielewi we ni mwanaume wa shoka big up kwa V ulichagua kilicho bora plz rudianeni
@majigemathias4716
6 жыл бұрын
nakubal sana jux
@adamkalii1027
6 жыл бұрын
Nakukubali kiinyama j uma jux unae swaga kiinyama uring ujidai uko na maixha flani iv amaizeeng BG up xana
@princessdayanatv6540
7 жыл бұрын
mi nawapenda sana vee $ jux mrudiane tu
@deuscr1843
6 жыл бұрын
princess dayana tv come on whatsp lady +255755553079
@ilhamtarzan597
6 жыл бұрын
princess dayana tv kama mm nawapenda cn hawa watu vanessa na jux niwatu wangu cn nawapenda mnoooòooo
@poschasbae9511
5 жыл бұрын
Nafurahishwa na mahusiano yenu Allah awasimamie wowowowoooo
@paulolaizer6892
5 жыл бұрын
namkubalia sana jux
@laurancenikodemus5982
7 жыл бұрын
Show kali jux anaheshima kinomaa
@momepeter9161
6 жыл бұрын
dah jux mtaratibu had rah nakupenda bure
@irenemrema9776
7 жыл бұрын
Upo vizuri sana jux, big up bro
@rashidishabani4381
5 жыл бұрын
Pend xan jux upo fresh san una nidham pia unajitambua san hupend kik
@taraagire6176
5 жыл бұрын
Jonijoo ilike ur steel men
@marthambisse9143
6 жыл бұрын
Nakupenda bure jux
@gethogospel
6 жыл бұрын
Napenda history zako ndo maana kila day naku check
@frankzominister1473
6 жыл бұрын
Wew Jux...kingkiba na blue ndio wanamziki ninao wakubali bongo hataree
@anithpalme2528
6 жыл бұрын
Frankzo Minister umeambiwa utajee unaowapendaa
@agyvutz4336
5 жыл бұрын
Tena kunao wanaompenda jux
@deborahelias943
6 жыл бұрын
Hata siju kwa nn napenda xn Kuwaona Jux & Vee wakiwa pa1
@lyemeea8356
7 жыл бұрын
Umetishaaa sanaa 100
@methodyjames2697
7 жыл бұрын
Pole saana kaka nitasubili umeumizwa utaniua tena Vanessa duuu!! Pole saana
@GovernorNkhulu
7 жыл бұрын
Keep it up bro.nice show
@rashidimuhibu6832
7 жыл бұрын
Ingekuwa bora kama usingekubali siku ikupite bila kumuomba mungu
@rehemahakizimana1406
6 жыл бұрын
karibuu Burundi tna..boy
@francisdaudisibuti1882
6 жыл бұрын
Big up mkali wao jonijooo
@gloryjoseph172
7 жыл бұрын
yuko vizurii.....pendeza sana
@immanuelcatylynplatnumz6491
7 жыл бұрын
Jonijoo uko vizuri kwa maswali
@mussobonifase9875
7 жыл бұрын
Mmh we jamaa nimekukubali kwa interview za nguvu shallot kwako big up jamaa ufai
@johnvevo7080
7 жыл бұрын
Much better brother
@justinelufingo8865
7 жыл бұрын
jonijooo unatisha bro big up saaana
@semanasitv8303
7 жыл бұрын
blaza jux usituvirige kiatu siozaidi ya 50000
@husnangapu502
7 жыл бұрын
Marafiki wasio na kazi mjini watakutia hasara
@prettyajumy4227
7 жыл бұрын
Dah ningependwa km hiv wallah ningejiona bonge moja la Quin
@zakyahya4645
5 жыл бұрын
Nikweli kabisa yn nimetAmani ningekua mimi
@tausiyusuph7282
6 жыл бұрын
Nakupenda sana❤❤💕unajua
@kibonanico1804
5 жыл бұрын
Tausi Yusuph nakupenda pua
@mariamichael6134
5 жыл бұрын
@@kibonanico1804 😂😂😂😂😂
@vanessamuseu877
6 жыл бұрын
Napenda iyo nyimbo, napata raha
@fettyally2851
5 жыл бұрын
Ilo nalikuwa Mkali wangu Jux
@mrishokazimoto7928
5 жыл бұрын
Bg up jux
@h_zoomproduction.4136
7 жыл бұрын
I can't to explain brother, you are really the best
@veronicameshack4976
4 жыл бұрын
Jux we mkal kinyama
@elizashayo1499
3 жыл бұрын
Hongeraaaaa jux
@pendoyahaya1292
7 жыл бұрын
Nampenda sana Jux hanaga majivuno huyo kaka
@swalehemwanja7217
6 жыл бұрын
oyy nicee
@Remmy_Remmah
7 жыл бұрын
Mii pia nlikua nkimpenda sana chidi jamani 😏😏
@shadiashadia4701
7 жыл бұрын
Big up now u know love u jux
@leslienakara9890
6 жыл бұрын
juma anajibu masswali fresh..........................
@kennix6457
5 жыл бұрын
Duh mwanangu uliwa unapenda v Sana kaka
@allymohmedy1076
6 жыл бұрын
# nakubal xana broh we nizaid ya zaid......
@zhanga1717
5 жыл бұрын
Bhana jux hiyo midollari vp mzee
@losiborand90
5 жыл бұрын
Nakupenda bule jux
@hedayaals250
7 жыл бұрын
Jaman maskini Vanessa rudisha moyo nyuma my muendeleee kama zamani
@barakajengela6340
7 жыл бұрын
Jonijooo tisha sana
@leahmwambambale9387
7 жыл бұрын
umetishaaa
@neemazee1864
3 жыл бұрын
We jonijo kwenye cm unaangalia maswali usijishaue
@verachasto714
6 жыл бұрын
juma jux nakukubali broo
@thomasgodwin3975
6 жыл бұрын
Nafrai sana kuona hiki kipindi yn nakeshaga
@fettyally2851
5 жыл бұрын
King Jux Noma Afrakcka Boy
@prinsecdayana2143
7 жыл бұрын
Ahaaaa congratulate brother
@joseph19888
6 жыл бұрын
Apo kwenye apple umetupiga 🔐
@beautyibrahim8428
6 жыл бұрын
Nampenda jux hajawah niangushaa
@salumramadhan8478
6 жыл бұрын
watu ni wa mbeya mtu anaandika kiswahil kabisa lkn anakwambia niko china kiswahil ckijui lkn nimeipenda interview looo punguzen umbeya
@chriskingazi1382
6 жыл бұрын
nakubari brother
@fatmanjerimacharia6249
5 жыл бұрын
jux kipenzi cha wengi
@janualijuma8674
7 жыл бұрын
jonijooo wewe nomaaa
@ruditaboti3157
7 жыл бұрын
Nice show👏
@alfamwakaje4033
6 жыл бұрын
Uko vzr
@halimahalufani7620
7 жыл бұрын
Jamani haya ni mapenzi mubashara me inaniuma kuona wapenzi wakigombana
@الشبيبيالشبيبي-ذ6ه
7 жыл бұрын
iko bomba jimbo yako
@nanapro6321
6 жыл бұрын
jux unaweza bro
@ruqiyaruq5142
5 жыл бұрын
Kwann mmeachana mlipendezana jamani
@stanleymushy7910
5 жыл бұрын
Noma
@abiressaalmoqbalip3837
7 жыл бұрын
Mlipendeza sana zaidi ya sana
@menyendoyesaningo3104
6 жыл бұрын
One love juma jux
@ananiadaxo8678
7 жыл бұрын
uyo jamaaa Atari interview kaliiiiii
@peterpaul1398
7 жыл бұрын
noma sana hayo maswali
@abiressaalmoqbalip3837
7 жыл бұрын
Me naomba umrudie vannesa
@neemaabiud9805
7 жыл бұрын
Ama kweli Jux, Wampenda Vanessa Mm nawapendaga sana nyie wawili coz mnaendana sana.
Пікірлер: 260