Ngoma za zamani zilikua ni 🔥🔥🔥 2024 mnaoangalia chukueni🎉🎉🎉🎉
@jeromeemmanuel379
6 ай бұрын
all legend 2024 Like here 😍😍😍
@maureenandrew
Жыл бұрын
Listening in 2023! Ukisikiliza bongo fleva za zamani ndo utajua ladha halisi ya mziki mtamu. Yani sasa hivi bongo fleva hakuna kitu aisee.
@mtaostephen3660
10 ай бұрын
Umeongea kwa hisia sana mkuu
@mtaostephen3660
10 ай бұрын
Na ukweli wa Mambo ndo huo
@BabaBalingasi-hp6gd
10 ай бұрын
Nakupenda Maureen. Unahips kwelikweli
@emmanuelmichael4508
8 ай бұрын
Maisha lazima yabadilike kama miaka inavyobadilika hata miziki ya marekani ya 1990 haifanani na ya sasahivi
@kawingasimkoko1391
6 ай бұрын
Kweli kabisa namkubali sana alikiba kwasasa bado ana jitaidi kuimba bongo freva
@muhasatv9245
4 жыл бұрын
Kwa sasa ni mchungaji karatu chini ya ufufuo na uzima ameen
@saidbakari2408
11 ай бұрын
Tunao itazama ngoma sasa tujuane kwa like 12 10 2023
@petermathias2284
Жыл бұрын
Daahh enzi hizo BONGA NA STAR TV kuanzia saa tisa na nusu alasiri chini ya Fatma Shimweta kwa kweli time flies
@yohanadeusi9084
Жыл бұрын
Naipenda sana hii ngoma kali naisikiliza leo 2-3-2023 bado🔥🔥🔥
@DominicJohn-bz1eb
Жыл бұрын
Naikubali sana
@osca_kitomari_journalist
6 ай бұрын
Pastor basil kashumba kwa Sasa ni mchungaji
@elizabethmahenge2231
11 жыл бұрын
Wimbo huu naupenda sana. Hongera Kashumba kwa kutunga wimbo huu. RIZIKI anaipanga Mungu na mwanadamu hawezi kuipora kamwe!
@yassrammar3425
7 жыл бұрын
Mola ndoanatoa
@hawadere1512
6 жыл бұрын
Dah ndo kwanza darasa la kwanza
@lowasameliyo4027
Жыл бұрын
Huuu wimbo ndiooo wa injili kuliko hata nyimbo za saiv unabeba full massage
@lowasameliyo4027
Жыл бұрын
Vyomb umepigwa Hadi rahaa jamni huu wimbo unanipeleka mbinguni waoooooo
@serengetimediacentre
5 ай бұрын
2024 who is in
@SalomeHaonga
4 ай бұрын
Am here
@Userminamka
2 ай бұрын
Me too
@mussamery6537
5 жыл бұрын
kuna Nani anaeitazama sasa 21/4/2019 agonge like
@reinhardkimaro8620
5 жыл бұрын
Nimegonga like hapoo
@godfreyrevanus1464
4 жыл бұрын
Respect stara Tomas Mana Kuna v² vinavyo onekana
@veronicadaudi8554
3 жыл бұрын
Mi leo tr 12 6 2021
@victoriabayo7704
2 жыл бұрын
Hii message ni ya ukweli
@StarBoy-oi7vx
4 жыл бұрын
Daaah🤗🤗 wotot wa juzi mmekosa mziki mzuri
@tuyizereghadi1619
Жыл бұрын
The end introduction by Stara Thomas is the best part for me❤
@mkambamaulid447
2 жыл бұрын
Enzi hizo hakuna kiki ikitoka imetoka na mpaka kesho utaipenda saaafi Sanaa wasanii wote wa Enzi hizo ss hivi ni Mazishi hakuna nyimbo ni matusi meupee
@allyfatma7359
3 жыл бұрын
K.basil,bizzman and stara Thomas,walifanya Yao Kwa wakati wao.good song.2021.
@scovydarlhabibi1602
11 жыл бұрын
Wow!Naupenda sana na kuuenzi huu wimbo,kwa miaka mingi nimeusaka mtandaoni hadi nikaupata...mashallah!HEKO KWENU WAIMBAJI
@ramadhankayoko7648
5 жыл бұрын
2018?
@hamisially34
4 жыл бұрын
Ongeza saut
@christinajohn6854
2 жыл бұрын
Apana Apana Apana mpenzi wangu mzuri mambo vip ww uko powa
@rutarakaabertus6256
5 жыл бұрын
Unayetizama hii ladha tamu ya Stara, K-Basil na Bizman gonga 👍2019
@witnesshatibu2855
4 жыл бұрын
Hapa mambo ni fire
@allywaziri1997
2 жыл бұрын
unyamaaaaaa 2022
@Ndaizee
Жыл бұрын
2022 still alive
@zuleyvendor6577
Жыл бұрын
Jamanii Wale tuliopita hapa 2023 tujuane 😊😊 old is gold au siyoooo
@bk.intertainmentsandfunnys3263
4 жыл бұрын
Wimbo wazaman lakn naupenda kupitiliza...kama. Bado unawach nakusikiliza huu wimbo ...gonga like APA ,kisha unaweza weka comment sema, #bigup xana "
@MtunziProperties
4 ай бұрын
Any one in 2024
@DubaiElegancyTz
Ай бұрын
Me
@zerokize
3 жыл бұрын
Nahisi bado hawajapa message hao! "Riziki ni mambo yako vile yanavyokunyokea wewe" Now, that im in my 30's and i'm about to die, this song hits differently, I swear for God!
@happymtena3415
4 жыл бұрын
Ni Jana tareh22 03 2020 nilikua naimba hii nyimbo pamoja na mwanangu
@cleomwampe2203
20 күн бұрын
Hatujuani humu lkn nawaombea baraka 2024 sep on 15 at 18:31pm nilipita hapa nawapenda❤
@mushitrials9808
2 жыл бұрын
Mbona wasanii wa siku hz hawaimbi vizuri kama hawa wa early 2000's
@halifaabdi1408
4 жыл бұрын
From 254 wapi likes za 2020
@johnmoffat8162
6 жыл бұрын
Sidhan kama tuna wasanii aina hii tena nchini kwetu daahhh
@nunuuali5316
5 жыл бұрын
Aisee kweli hizi ndio nyimbo za kuishi. Big up nimekumbuka mbali sana
@shabanlezzah92
Жыл бұрын
2023 enjoying this masterpiece.
@ikramalmas7039
Жыл бұрын
Another year 2/09/2023 wangapi tumeurudia huu wimbo
@rechokusilimka5739
3 жыл бұрын
2021 viewers hands up,for this GOLDEN song
@nolascochaule9342
4 жыл бұрын
WENZANGU na Mimi pale makongo 2002, gonga like twende
@morjanoman5181
Ай бұрын
Mtuzi lijitaidi sana niko oman adileo nafurahia sanatu 2024 🎉🎉🎉🎉
@ilungasalle
9 жыл бұрын
kweli kabisa wimbo huu ni miaka hiyo 2004 stara thomas alikuwa anasumbua vibaya na baadaye Hafsa kazinja daaaaah nimekumbuka mbali kweli na nimeutafuta sana nilikuwa silikumbuki jina ndo leo nimeudaka baada ya miaka 10.
@emmanuelnyansiro8636
6 жыл бұрын
Joseph Richard udawnload Basi uwe unajikumbusha na kufurahi
@halimambwego7706
5 жыл бұрын
Acha walalamike kupotea kwao
@samwelairomaramba3376
5 жыл бұрын
Mpaka sasa
@milambograce7076
5 жыл бұрын
Joseph Richard ñlk0((llollk¿)²
@fatemaligalawa1918
3 жыл бұрын
Saanatuu
@hassanmadee8668
4 жыл бұрын
Nani anatizama hii nyimbo kwa sasa 23-11-2019
@gideonlungwa6555
4 жыл бұрын
Tupo aiseeeeee
@jumaally9743
4 жыл бұрын
Nipoooo
@rmussa7196
5 жыл бұрын
Mashallah! Nymbo ina ujumbe mzur xana...God over everything.
@CatherineNzeki
2 ай бұрын
Aisee hii nyimbo imenikumbusha mbali saana.Back in the days when bongo fleva was bongo fleva sio xa i kelele nyingi na nyimbo hazina mantiki.OLD IS GOLD
@gastonkayombo3407
Жыл бұрын
2023 still listening this inspirational song
@ashaomary8038
6 жыл бұрын
old is gold aisee..naupenda saana huu wimbo..2018 still hot
@theoriginals3240
3 жыл бұрын
2021 we still love our old muzic, #Tanzania
@ismalgtu8245
8 ай бұрын
2024 Bado inabamba
@othmanali5362
Ай бұрын
Huyo ndie mama wa kilo enzi zetu ❤❤❤
@saidikaondo7999
5 жыл бұрын
He was a singer of his type and mostly of his song he sang was very impressive to everyone, I don't know where he is Mr. K. Basil.
@jolly2235
4 жыл бұрын
He is now a Bishop of Ufufuo na Uzima Church in Arusha
@jolly2235
4 жыл бұрын
He is now a Bishop of Ufufuo na Uzima Church in Arusha
@johnmoffat8162
Жыл бұрын
His Almighty God anointed him because he had all criteria of being his servant to lead his sheep's.
@Lilmbunah
Ай бұрын
Here 2024 memories take me back to my childhood what a masterpiece ❤
@philljombs1151
Жыл бұрын
Aaaa! Nostalgia.What a hit back then.
@joshuajeremia3045
9 ай бұрын
ooyaaaaaa.. zamani sana 2023 tunasikikliza
@dastonamichaels1854
Жыл бұрын
Kaka ana fanana na remmy ongala love from Kenya 🇰🇪
@fadhiliakida8609
4 жыл бұрын
Kwani hawa wasanii wa siku hizi wanafeli wapi kutunga mashairi yanayodumu
@simoncriva3507
11 ай бұрын
Kenyans gonga like hapa tukisonga ❤
@salimmarzoukh1278
6 жыл бұрын
anyone watching this in 2018?
@abubakarabdillah96
6 жыл бұрын
Salim Marzoukh yeahhhh yeahh 2018 dope shit i love it
@funneybozzendaddy7631
6 жыл бұрын
Salim Marzoukh still watching gat the message
@deodatus45
6 жыл бұрын
Salim Marzoukh i reql lov ths stuff and i knw da guy was my vilkagr mate, anf he decided to sang this song after discontinued him primary where he shafted frm kagera to dar wen he was at college he dedicated this song to us
@ramadhaniissa8732
6 жыл бұрын
Old always gold we will miss this kind of music and real definition of musician
@selemanikisalo5060
5 жыл бұрын
Mimi pia
@anselmjohn7819
8 жыл бұрын
wimbo mzuri sanaaa hata siku moja hakuna WA kupora riziki yako mpangaji mungu yuu
@ModernFlicks
3 жыл бұрын
What a song. Its 2021 and I still love it
@hajimaster7624
Жыл бұрын
2023 still lit💥
@jacquemubembe2133
5 жыл бұрын
Wimbo nzuri, hadi miaka yote
@abdulhamis2393
3 жыл бұрын
Duuhh !! Mdundo imara natamani labda ungaganyiwa rimikx ungeendelea kutupa ujasri katka utaftji pia na uvumilivu kwenye magumu tunayo yapitia . Daaah! Shukrani jamaaa 🙏🙏🙏🙏🙏
@josephnyanja5893
5 жыл бұрын
Riziki kweli ni mpango wa Mungu binadam hana nafasi
@rosemaryalphonce2044
4 жыл бұрын
Nani anatazama hii nyimbo 2020 tukipambana na corona virus COVID19
@askchigo3717
4 жыл бұрын
2020 gonga like
@agustinothadeus
8 жыл бұрын
Ukweli mtupu... ridhiki yangu si yako!!
@thomasezekia6741
11 ай бұрын
Future generations of 2100 years plus this was a hit a song in the 2000s , keep this song alive
@YusuphNdakama
Ай бұрын
Daaaah Atari sanaaa hii ni Konga moyooo
@furahanguma6729
4 жыл бұрын
2020 bado ina bless
@shaibuyahya778
5 жыл бұрын
K basil amefanana na Cha uroho yule jamaa wa mambo na vijambo
@paulallen5330
5 жыл бұрын
2019 naomba nitambue uwepo wako
@ZaituniMaloki
2 ай бұрын
❤daima hi nyimbo kwangu inahirt kila siku
@seifmohamedseif9467
3 жыл бұрын
This is what we call music 👍
@williammwajeka3347
4 жыл бұрын
Music wa kuish mda mrefu,ujumb mzur,💪
@bethkidamwina3468
3 жыл бұрын
2021 still listen
@benmakullah8637
5 жыл бұрын
Not sure why i am here in 2019, but i ain't regretting it.. 🇰🇷🇹🇿🇺🇸
@johnmoffat8162
Жыл бұрын
That day music was a lesson to us.we listened regardless ages.all ages we could listen together compare with nowadays garbage.K.basil feat stara Thomas&Bizman 23september2023.
@abdulijuma5754
2 жыл бұрын
Nyimbo.mzuli sana daah nimekumbuka mbali sna
@mymunajabiri5796
5 жыл бұрын
Mimbo za zamani zilikuwa zinamaan
@juventjustinianaloyse6640
4 жыл бұрын
Nani ameiona km mm mwisho mwa mwaka 2019?Nyimbo bora ya miaka ile
@oscargwalasa
3 жыл бұрын
Daaaaah Nakumbuka kitambo sana up to now 2020 badoinabamba kwangu
@eunicemakao2202
4 жыл бұрын
Pia riziki anatoa Mungu si mwanadamu
@seifmohamedseif9384
6 жыл бұрын
nyimbo nzr muda wote na inafundisha hii ndio bongo flava sio ya sasa nyimbo km Big G uisha utam haraka Old is Gold
@emiqhuncho215
Жыл бұрын
2023.. here we Gooo
@mamodo373
2 жыл бұрын
Huu ni mwaka 2022 ila bado naupenda huu wimbo kwanza unanikumbusha mbaali
@swidickmussaswidickmussa1425
2 жыл бұрын
what a song lts 2022 love liziki
@twaibaabasi4117
2 жыл бұрын
Aisee mungu akubariki sana
@idreamfoto
4 ай бұрын
Masterpiece, 2024 still rocking
@nurdinsaid4432
3 жыл бұрын
Penda sana hii song iishi miaka kama yote2/9/2021
@allykassim9826
4 жыл бұрын
Jamaa walikuwa moto sana kipindi hicho. Tupo vijana wa zamani tunazitupia flaver zenu. 2020
@samsonkaboko5137
5 ай бұрын
May 2024 still there
@saidkasimusein1040
19 күн бұрын
2024 mwezi wa 8 tarehe 16 tupo apa tunaangalia
@Elfuego257
2 жыл бұрын
Leo tarehe 25 march 2022 niko hapa, nitarudi mwakani tena, Mungu akipenda🙏🏾.
@batholomeodonatus7712
6 жыл бұрын
Daaah!! Old is gold
@elizabethmahenge2231
11 жыл бұрын
Ulishirikiana nao pia nawakubali sana. Hongereni nyote kwa sauti nzuri! BIG UP!
@henrychaula1174
3 жыл бұрын
Nimeutafuta sana wimbo huu, naupenda sana.
@ashamohamed1245
3 жыл бұрын
Wimbo mzuri Sana jamani unamafundisho nice song blessing 👌😎😅
@hatibumgunga1574
3 ай бұрын
Nilikua darasa la kwanza mwaka 2005 hii ngoma ilikua inagongwa sana radio Abood
@petermposa6288
5 жыл бұрын
nikweli usiopingika kua Riziki ya kila mtu kupangwa na mungu sio kuhangaika kwa waganga kutaka kupora bahati ya mwenzio jmn. November 1, 2019 nimeiskiliza tena hii nyimbo hongereni sana
@deccapolyclinic7416
2 жыл бұрын
Ujumbe mzuri,msomi anapoamua kuimba anafanya rejea ya kutosha.
@jastinajesse3961
3 жыл бұрын
Anayesikiliza hii nyimbo gonga like 2/2/2021
@sophynyanga6351
4 жыл бұрын
2020 bado tubaangalia
@binsururu
2 жыл бұрын
Yaan Stara Thomas kapiga Bridge moja matata sana
@alfredycarrentals7357
3 ай бұрын
Riziki mwanzo wa chuki!
@piuskimaro5496
2 жыл бұрын
What a song,, Love it more, its now 2022
@franciscassian
27 күн бұрын
🔥🔥🔥🔥
@DavalsonMarlony
22 күн бұрын
nyimbo zlkuwa kali syo za kzaz cha sasa za ngono tuu
Пікірлер: 442