2024 bado naukubali huu wimbo,kama na wew bado unaukubali gonga like
@mariamkassim6348
5 жыл бұрын
Kama unaangalia hii mwaka 2019 gonga like
@khadijaissaissa5824
5 жыл бұрын
Mie hapo my
@mohamedrasmin2869
5 жыл бұрын
Mariam Kassim 😁😁😁😁
@evelynnelson3216
5 жыл бұрын
Anajua sana dada vumi
@josephinajosephu6859
3 жыл бұрын
Kama huchokag kuangalia hii song gonga like hapa♥️
@ngaukamaita3979
Жыл бұрын
One of the classic of all time. Thanks Vumilia 🙏
@youngmaster4127
Жыл бұрын
Duuuh @josephinajosephu6859 jina la mama yangu jaman ❤❤❤
@carterjordan4216
6 ай бұрын
Na leo nimeimiss tu nikaja kuitafuta.
@MartinNkina
7 ай бұрын
Till this time 2024 I'm still listening to this song
@newking6497
Ай бұрын
2024 and still counting.. Popote ulipo Da Vumilia Mungu akubariki.. Wimbo hauchoshi masikioni miaka nenda rudi❤️🇹🇿💯
@kakacharlesofficial1241
Жыл бұрын
Kama umerudia kuaangalia 2023 gonga like hapa
@IbrahimuHossa
Ай бұрын
Yan huu wmbo vumi 😢ilibd Ndio atunge 2024 hii MN daaa aliwaisha sana 🎉
@peterantonymindolo8723
9 ай бұрын
Huu wimbo unanikumbusha nikiwa UDSM baada ya kujisomea Sana pale SR 12 mwalimu Nyerere Campus nilikuwaga nausikilizaga Sana kurefresh kabla ya kurudi Tena kupitia Madesa
@wazirikhamisi4828
4 жыл бұрын
KAMA UMASIKINI UMEFANYA UMKOSE MPENZI KAMA MM GONGA LIKE HAPA TUJUANE NA TUUTOKOMEZE UMASIKINI
@gwimileyohana4646
4 жыл бұрын
Kama unaangalia hii mpaka sasa 2020 , like tafadhali
@BGHaule
3 жыл бұрын
Mimi nauangalia Hadi 2021
@zabibuMussa-l7f
Жыл бұрын
Bado naiangalia hadi Leo 2023 nani nipo nae twenzetuni
@tabubakari2722
Жыл бұрын
Mimi naangalia Hadi Leo 2023
@BGHaule
11 ай бұрын
Mimi nauangalia hata Leo 2023,huu wimbo hajanikinai,jamaa alipiga muziki wa uhakika
@shyfettymtunda4935
5 жыл бұрын
Huu wimbo huwa unaniliza 😭😢,sijawahi kuuzoea tangu nimeusikia kwa mara ya kwanza 2009. The best song ever
@zakariamsukuma6162
3 жыл бұрын
Utanikumbuka
@ahmadyasini1139
3 жыл бұрын
nikweli kabisa
@vickieeddie2230
2 жыл бұрын
roho inauma hata mi jamani😢
@gerrywin2194
2 жыл бұрын
Pole sana
@elenzianjk5543
Жыл бұрын
So touching..
@yambatv8754
4 жыл бұрын
2020 nasikilza nyimbo nzuri. Nani bado anausikiliza huu mwimbo mzuri
@vickieeddie2230
2 жыл бұрын
jamani huyu dada anatumia jina gani instagram ana sauti nzuri nampenda sana.......hii nyimbo umeniimbia mimi dada♥️♥️
@AminiMsisi
6 жыл бұрын
Kama mbaka sasa 2018 unaangalia huu wimbo gonga like hapa
@gracejona5754
6 жыл бұрын
Oyooooooooooo❤❤❤❤❤❤❤❤
@hafidhahmed642
2 жыл бұрын
17/04/2022 😐
@ramdhaniduru6335
4 жыл бұрын
Kama unaangalia hii ngoma mpaka leo Oct 2\2020 Gonga like kwa Vumiliaaa
@hafidhahmed642
2 жыл бұрын
Am watching time 22:28 15/04/2022 Good song
@angunaff7294
2 жыл бұрын
Rest in peace 🙏
@abduldjay3034
Жыл бұрын
July 21/ 2023
@gospalflavour7304
7 жыл бұрын
Nashangaaa sana kwanini umepotea ivi.nyimbo zako bado zinaishi kwene akili zawatu.rudi kwene gem mama.tatizo ni nini limekufanya upotee.
@rayrashidi7886
7 жыл бұрын
nakupenda sana vumi mwaaaaaaaaaaaaaaaah Mungu Akubaliki sana Amen!!!
@jairatuhappy634
6 жыл бұрын
Tunamumiss sana jmn
@racheldauson9471
4 жыл бұрын
Kwakweli arud kwene gemu😂😂😂😂😂😂😂
@mbalaliog8140
4 жыл бұрын
Ngoma kali
@linahmatayo2650
Жыл бұрын
Yaani
@Swahili14
2 жыл бұрын
This song stands the test of time 😭🙌😇❤️🇹🇿 Dah
@calvo_charlie
2 жыл бұрын
the songs that's gives you energy 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@Swahili14
2 жыл бұрын
@@calvo_charlie you subscribed to Whitney Houston yet? 😭❤️
@calvo_charlie
Жыл бұрын
Whitney??from US or
@Swahili14
Жыл бұрын
@@calvo_charlie yes darling This one 👇 #whitneyhouston
@humphreynduye6239
4 жыл бұрын
Naam daaa nkmbkaga mbali sana,,huyu Dada duu npo xkulii enz hizo,,,,kila ikifka moni SAA kumi na moja na nusu hua inapgwa kwenye redio Tanzania ,,,kipind cha kombola bas daaaa
@gastonmakweta4993
3 жыл бұрын
Kibao kizuri chenye ujumbe murua kabisa unaogusa diplomasia ya mapenzi/ndoa. Shukrani sana Vumilia & Kimondo Band
@isaachamisy1308
7 жыл бұрын
Vumilia huu wimbo nauelewa sana naupenda kinoma unanikumbusha mambo mengi sana.
@Raheem.01
4 жыл бұрын
Kma unaangalia hii 2020 gonga like twende pamoja
@lusajoyuda6145
7 жыл бұрын
Dhahabu hizi ziko wapi, vumi come back
@evelynnelson3216
5 жыл бұрын
So amazing
@humphreynduye6239
4 жыл бұрын
Vumi come back kweli daaaa ,,,acha tuu broo
@amosikavishe3884
4 жыл бұрын
lusajo yuda we acha
@happinessrichard1277
4 жыл бұрын
vumi uko wapi mm nakupenda by happy
@happinessrichard1277
4 жыл бұрын
vumi uko wapi mm nakupenda by happy
@kijanamatata7135
4 жыл бұрын
Aran Mapigo ni bonge la producer katika aina hii ya muziki. Namba 1 in Tanzania.
@nobleskillz7302
2 жыл бұрын
Alafu kuna saidi comorie nae ni mkali sana
@kijanamatata7135
2 жыл бұрын
@@nobleskillz7302 hawa watu wawili ni noma sana boss
Till to now 2022 this song vumi I appreciate so much
@victorfredrick1423
6 жыл бұрын
Unaweza ukalia yani basi tu😭😭😭😭
@judylee1677
5 жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭
@rayjay7017
6 жыл бұрын
Hizi ndizo bongo flavors original na sio upuzi wa kisasa... Burudani mwanzo mwisho asante miss Vumi
@josephwilliam7348
6 жыл бұрын
judah kitavi haswaaa
@stellamrope589
Жыл бұрын
2023 Still best song ever
@festodismas3218
Жыл бұрын
Tupo wote hapa 2023
@tumainimwamabisi2753
Жыл бұрын
Niko hapa🌹
@mickyplanmaker9053
10 ай бұрын
Niko nawe
@redbutterfly6676
7 жыл бұрын
ukipendwa Na wazaz mume atazngua,Na ukipendwa Na mume wazaz wanazngua... polen wanawake wote
@abdallahjosephnfulaa4245
7 жыл бұрын
Kweli
@jairatuhappy634
6 жыл бұрын
Kweli
@dianayaniwanahukumukaawaow2011
6 жыл бұрын
Red Butterfly umenitoa chozi
@aaronelpharies5853
6 жыл бұрын
Unaitaji counselling weweee
@joyceandrew5682
5 жыл бұрын
Tatizo ni umasikini tu
@erickmeshac3135
Жыл бұрын
Nyimbo za kitambo zilikuwa na nguvu na ujumbe sana 😭
@fridadaud6266
4 жыл бұрын
Km unaangilia hii tweny tweny gonga like twende sawa
@petermshale5672
6 жыл бұрын
bongo freva ya sasa wanaluka luka tu wanacho kiimba ata akionekani mastaa kibao tu wenye nyimbo Kali wamepotea sio vumi pekeake tu sasa sijui tatizo ni kuzeeka au na kama nikuzeeka basi ndio tatizo waige basi mfano wa bi kidude mbona kaimba mwanzo mwisho mziki mzuri na watu bado walikuwa wanamkubali vumi rudi kwenye gemu bana
@roggermwakyanjala3586
4 жыл бұрын
inasikitisha.....
@francismiho226
3 жыл бұрын
Hii ngoma iacheni tu! 2021 still listening
@asumaniabasi7365
3 жыл бұрын
Binadamu wametumia umaskini Wang kuniharibia ndoa ya mwanamke ambaye ckuwah fikiria cku moja kuwa angeilazimisha talaka ndugu dunia hii ina watu wabaya sana😢😢ckuwah mfanyia mtu baya lolote wallah
@abdallahmatenga1654
2 жыл бұрын
Kama mimi kaka pole sana
@HappyYesaya-cd7uy
8 ай бұрын
Pole kaka angu
@asumaniabasi7365
3 жыл бұрын
Roho yangu haina Amani me ni wa kulia mda wrote lakn kama mungu ni wetu sote wallah namuachia mungu cjui maumivu haya yataisha lini kwangu maana ukweli nateseka waungwana
@mariamrobert9838
2 жыл бұрын
Cjui tatizo nn jaman sema nijue 💔💔💔💔....... Kama upo hapa Leo pita na like tujuane
@huseinkiyungi8406
5 жыл бұрын
Mm binafc cna lakusema kuhusu hii nyimbo huwa naickiliza kila cku ukiniuliza kwnn cjui kama nitakujibu nn zaidi yakukuambia kuwa naipenda sana hii nyimbo
@naftalisima3943
6 жыл бұрын
huu wimbo umenikumbusha sana huyu vumi wimbo aliouimba umenitoa pangoni
@jairatuhappy634
6 жыл бұрын
Mashaallah
@berithakisekile1680
5 жыл бұрын
Dear dada Vumi, By the time thic song was relised I was a little bit young na I loved sana hii nyimbo. Cku si nyingi nilikumbuka hii nyimbo then I had to search for it na naisikiliza more and more times. Dada rudi Kipaji chako n kikubwa sana.
@ouweydalton7732
Ай бұрын
ray c mwasiti vumilia recho hawanaga hawawatu toka wapumzike sanaa hakuna alieziba pengo lao hakika OLD IS GOLD ❤❤
@fadhilifestus2054
4 жыл бұрын
Here we go 2020 with vumi tatizo ni umaskini twende pamoja guys💯💯💯💯
@awardiofficialtv2443
7 жыл бұрын
da yamenikuta ndo natambua nini thamani ya wimbo wako mdada dah nakubali sana kazi zako
@miriamonyango1828
7 жыл бұрын
Awardi Kigunga Hta mm yamenikuta nikaukumbuka huu wimbo jaman
@awardiofficialtv2443
7 жыл бұрын
dahhh pole sanaaa mwaya ila ungejua yalio nikuta ungezimia nakwambia kama muvi vile lakini dahhhhhhhhhh
@anithafaustini2212
6 жыл бұрын
Mi pia yamenikuta,,ila end of the day kila kitu kina sababu
@radhiamagembe1095
6 жыл бұрын
Awardi Kigunga mm naupenda sana huu mwimbo
@josephwilliam7348
6 жыл бұрын
Awardi Kigunga mi pia yamenikuta haya jamani
@arlonadamson9793
2 жыл бұрын
yuko wapi huyu dada mrembo,,,what a classic song! #Vumi
@naurumnazaleti6774
6 жыл бұрын
dah kweli dada ktk maisha yetu ya kiafrica umasikini wakati mwingne unakua tatizo kubwa sana unaoneka kwa matajir sisi masikini kuonekan mbwa
@aminaramadhan420
5 жыл бұрын
Nauru Mnazaleti kweli kabisaa
@shadrackvicent3866
6 жыл бұрын
duuuuhhhh the song reminds me of the past step in life......I am now happy because I got the right one who knows what love is....Mrs Sydney.
@ezlonlony3588
6 жыл бұрын
Yaan wimbo mkari Sana Tangu mwaka 2012 nausikilizag huu wimbo nawala haunikinai darh kwel wewe ni #fundi
@halimamohammedy9247
5 жыл бұрын
Nimejikuta nalia tu maana maisha nayo ishi na Mume wangu mungu ndio anajua
@kamgomoli3650
5 жыл бұрын
Halima mohammedy. Hahahahahaaaa umenichekesha sn. Vumilia dada angu hamna namna
@rehemahassani8332
Жыл бұрын
Wangapi tunafatilia nyimbo za zamani 2023🔥🔥🔥🤗
@abduldjay3034
Жыл бұрын
Mie ndo ngoma zangu Hzi siku Zote
@magrethzuberi2375
2 жыл бұрын
😭😭😭😭😭matusi ya kutukanwa umasikini umenifanya nirudi kusikiliza hii nyimbo 2022 bado tunakusikiliza vumi
@geofreyfelician4803
2 жыл бұрын
😭😭😭
@tupokigweniganile6002
6 жыл бұрын
Huu wimbo wakt unatok nilikuwa mdogo sikujua kuwa unamaanisha nin sasa nimekuwa naelewa haya nausikiliza kil dk najua ulimanisha nini 😥😥😥2018 im stil watching this song
@rehemajongo8579
6 жыл бұрын
Ndaghaaaa
@julianmbowe4575
5 жыл бұрын
Tupokigwe Niganile good
@judylee1677
5 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😀😀😀😃😃😃kwa kweli tulikuwa wengi
@mohamedmsafiri7009
5 жыл бұрын
Vumi dada angu unatuliza sisi maskin na ukichek huwa inatokea kupenda kwa dhati kwa walio matajir 😭😭😭😭😭 da hii nyimbo vumi bc tu tatizo ni umaskin🙏🙏🙏🙏🙏
@geofreyfelician4803
2 жыл бұрын
😭😭
@fabianmbilinyi8671
3 жыл бұрын
Together 2022 💥
@giovannygracious3434
4 жыл бұрын
Hivi huyu dada Yuko wap na saut yake tamu hii!! Au nae amefichwa na kibabu cha kizungu!! Saut hii dah we miss u Vumilia mtoto wa isanga rud kwa game yake jamam
@Jamessefania-n5z
2 ай бұрын
Vumi nimekuja hapa mwaka hu kukutazama tena 2024 ❤❤❤❤
@zawadkilua1442
5 жыл бұрын
Dada unasauti nzuri sana Mimi naipenda sana hebu jaribu kutoa kibao kingine mwaka huu 2019 mie nishabiki wako wakwanza🤔
@tibiliuskaniala2150
4 жыл бұрын
Bigup sanaaa
@josephferdinandy9823
27 күн бұрын
2024 bado naburudika na wimbo mzuri kutoka kwa dada Vumi 👏👏
@HappyYesaya-cd7uy
8 ай бұрын
Kwa wote wanawake na wanaume tulio maskini tunapitia haya wengi wetu nilisikiliza wimbo huu nikiwa mdogo sana kipindi baba yangu ana redio anafungulia redio Africa tokea asubuh mpaka asubuhi rest in peace ma daddy mungu alaze roho yako pema peponi😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@lusajoamilimwaipaja6614
4 жыл бұрын
Umasikini mbaya sana lecho come back kama timu lecho gonga like yako
@asumaniabasi7365
3 жыл бұрын
Niliyopitia kwenye Maisha yangu ya ndoa na nikisikia huu wimbo nalia peke angu😢😢😢 ndugu zangu mapenzi yanauma sana 2021 august sitoweza kuusahau huu mwaka nimetendwa nusu ya kutaka kupotea duniani tena n.a. mke wa ndoa ila inshallah mungu atanisaidia ila naumia sana mimi
@tumainsigalla3568
2 жыл бұрын
Samehe songa mbele
@allymbaya6411
2 ай бұрын
Ukisikia kazi ya msanii ni kuweka matatizo yaliyomo katika jamii ndio hii sasa dada umeupiga mwingi sana
@victorsomba867
3 жыл бұрын
Ewe usomae hii comment, "nakuombea BARAKA, Amani na furaha siku zote za maisha yako". Tumeagizwa tupendane usilisahau hilooo
@rizickjonas1916
16 күн бұрын
Ilifika kipindi nikiwa naiskiliza hii nyimbo naanza kulia😅😅...sijawahi kuichoka kuskiliza mpk leo 2024❤😂😂
@grace.m.haullehaulle6863
2 жыл бұрын
Huyudada nyimbo zake haziish hamu kuzisikiliza alale pema peponi. Amen
@laurentzacharia1563
2 жыл бұрын
Kwani kashafariki
@josephpaul9265
4 жыл бұрын
Asante vumi kwa hii zawadi ya muda wote.....
@boniphaceandrew3685
3 жыл бұрын
2021 tupo wangapi? Hizi ndio nyimbo za afrika ukiachilia mbali kina jeje wanaenda kuiga ulaya tamaduni chafu
@danielbachuta157
5 жыл бұрын
One of the best... still watching in 2019
@nazaliusmuhile1515
6 жыл бұрын
Jamani Dada etu mpendwa kaitwa Mungu anamuimbia yesu kristo so huku muandke story ya kwamba alikuepo
@sadathyunusu9239
5 жыл бұрын
Good song
@boscotongo153
5 жыл бұрын
Waaao
@godfreyjoseph4750
5 жыл бұрын
Yuko wapi kwa sasa?
@nazaliusmuhile1515
3 жыл бұрын
@@godfreyjoseph4750 yupo Kenya na mumewe wanamtumikia Mungu
@oscarmwaihabi9133
Жыл бұрын
@@nazaliusmuhile1515 Ooh mungu ni mwema sana!!
@innoofficialtz8516
4 жыл бұрын
Kama bado unaikubali hii ngoma2020 gonga like
@amirsab1158
7 жыл бұрын
nilikua nausakanya huu wimbo una nikumbusha mbali
@NestoryAgatoni
7 ай бұрын
Dada huyu jamani apewe tunzoo jamani 😢
@lusajomwankusye3477
5 жыл бұрын
Duniani kuna mengi jamani yani kipaji kama hiki kinapotea hivi hivi tu.....mungu awe nawe dada vumi whatever ur going thru!!!
@fatumasalumu3032
4 жыл бұрын
Lusajo Mwankusye yani naipenda Sana inanikumbusha mbali Sana nikisikia nalia mwenyewe
@lusajomwankusye3477
Жыл бұрын
Pole sana stay blessed as always
@bongoeventtv1178
5 жыл бұрын
Tatizo umaskini au ni nini 2019 mwezi wa 4
@stephanifesto7354
4 ай бұрын
Hakika huu ndo muziki wetu ukiwa kwenye uhalisia wake sio hizo kuigaiga kwa wanaija
@marthammari7914
5 жыл бұрын
Kwa kweli huu wimbo unaniumiza sanaaa nikiusikiuliza nakumbuka mbali najikuta nalia
@josephwilliam7348
5 жыл бұрын
Martha Mmari poleee
@joshuabalhaly798
4 жыл бұрын
Vumi uko wapi jamn tumekumic sana rudi kwenye gem bas sarut kwa maniga wangu wote philipo, john charles na biseko nawa kumbumbuka cana
@raymondmathayo6180
5 жыл бұрын
Gonga like kama bado unaikubari hii ngoma kama mimi
@peterbombo1250
4 жыл бұрын
Ngoma Kali Leo hadi kesho 2020 kama uko twende swa
@shabanibussara8454
4 жыл бұрын
#2020- Touching song, Vumi...Talented lady. Sijui siku hizi wanafail wapi
@happyabdullah1554
4 жыл бұрын
Vumi we miss you come back please
@gospalflavour7304
7 жыл бұрын
Sio sauti tu nyota pia unayo mama
@julianmbowe4575
5 жыл бұрын
maaaaamae 2019 gonga like kama zooote yan
@Gmedia_Africa
6 ай бұрын
These songs carried laden messages back then unlike nowadays songs
@evancemapunda9512
2 жыл бұрын
Utanikumbuka na tatizo umaskini ni nyimbo zinazoishi..sauti, mashairi, mfuatano wa sauti na beats, the instruments na kila kitu.
@MrMindsettz
5 жыл бұрын
Yeees me and this song we are together since day one 10.6.2019 @ 21:21 pm naicheki poa sana Kama we ni member gonga like
@humphreynduye6239
4 жыл бұрын
2020,,,,,April duuu kitambo sana npo skuli hpo duu
@davidrogers6826
4 жыл бұрын
Kam. Bado waendela kuicheki hi ngoma 2020 Kam mie tupia like apa
@zakayojulius2840
6 жыл бұрын
Huuuu wimbo kila niuckiapo ktk cm yngu najikuta nabubujikwa na machozi sana, ni wimbo unaogusa nafsi za watu hususani kwangu mm Vumi rudi ktk game
@flova7022
2 жыл бұрын
Maunda and vumiliaa are my best artist in Tz 2022
@AlphonceJuma-o8k
12 күн бұрын
Nakumbuka girlfriend wangu kila Mara 😮😮😮😮 Mwimbo Bora Sana Kwangu..
@faustersanga6627
6 жыл бұрын
august 2018 ,vumilia where are you .i like yourvoice
@ubalaseleman5894
6 ай бұрын
Izi ndonyimbo mana mpaka najisikia vizulii❤❤
@oscargwalasa
3 жыл бұрын
Nyimbo zenye maadili ndio kama hizi umepotea wapi dada rudi tumechoka na wasiona maadili "eti ndo nini kinyama kulumagia au nikuchumie tembele" tafadhari rudi jaman mrudi jaman #mwasiti, vumi,mahunda zorro
@RehemaMichael-fz8qs
6 ай бұрын
Niliaachwa kisa umasikini ila mungu mkubwa Nina furaha
@LJ-vy2nt
5 жыл бұрын
Wimbo usioniisha hamu,thanks Vumi
@raheemahassan8436
5 жыл бұрын
Wimbo mtamu nimekumbuka mbali 😢😤😤😢😰😰
@kakacharlesofficial1241
Жыл бұрын
The same to me
@drongobchacha6394
3 жыл бұрын
2021,Tatizo Ni umaskini au Ni nn??????..... Bora uniambie nijue
@chrismhagama4572
3 жыл бұрын
Naikubali hii nyimbo, classic
@jndaki8273
4 жыл бұрын
Hiv vitu tutavpita wap tena jmaniiii naona kma alikiba hajtoshlezi kbsaa asee aje na mwngne
@rasheedykatunzi9506
3 жыл бұрын
The time you'were bzy wrote this amaizing song i think id the time nd naanza kubarehe jaman wr come from far still have that thing on this song kinda vibe never heard before
@janethndial5759
Жыл бұрын
Huuu wimbo niliachwaga, jaman nilikuwa nalia😢😢😢uwiii😊
Пікірлер: 590