Mo kwa chama apana mwaceni aende hakuna mcezaji yupo juu kuliko Simba pako wacezaji wengi wanaweza kuicezeya Simba zaidi ya chama na chama ndie huwa anasababisha ma Koch kuondoka hawaoni mcango wa chama mashabiki wa Simba ndo huwa wanaifelisha team yao huwa wanaingiya kwenye mtego wa Yanga
@Shijajohn5084
3 ай бұрын
Kosa la chama ni nn labda?
@Shijajohn5084
3 ай бұрын
Hajafunga? Hajatoa assists? Au shida yake n kudai haki yake?
@nasseraljahwri6310
3 ай бұрын
😂😂 Ww utakua NI utopolo...Chama is the best player in Tz ever ..
@avitusmichael5
3 ай бұрын
Jamaa yupo vizuri sana kiuchambuzi
@BabaStuwartKatojo
3 ай бұрын
Uwe unaandika vizur
@MauaGabriel
3 ай бұрын
By Dr lnnocent ushauri wangu Kwa mo dewj ajitahid sana chama abaki Kwa maslahi makubwa ya club yetu ya simba
@yaduniakibuwa4807
3 ай бұрын
Watu wa Yanga acheni wivu kuhusu Chama
@HABIBHASSAN-wf5mr
3 ай бұрын
KWA HIYO YANGA AWAJAPANIA ? MNAUMWA SANA... NDIO UUNDE TIMU NA MWAKA HUO HUO UCHUKUE UBINGWA ? HUO NI UONGO NA UTOTO..LABDA BAADA YA MIAKA 2 AU 3 TIMU INAKUWA SAWA
@anithawidambe7543
3 ай бұрын
Mo mbakize Chama Simba na Mayele tunaomba aje Simba
@johnjamaly9369
3 ай бұрын
Bado chama ni muhimu sana.acha abaki simba.
@allymtunge5530
3 ай бұрын
Hy kabwe akiendea hv Ana Fika mbali
@PiusLaymond
3 ай бұрын
Yani kweli simba bado hawajitambua Yani baada muangalie kuleta wachezaji wazur nyny chama chama msimuuliopta SI alikuepo mmepata nn yanga wanawachezea akili mtamuongezea Hela kila msim duuuhh
@BabazMnyamwezi
3 ай бұрын
Unateseka kwani
@NipaDavid-vi6ky
3 ай бұрын
Unashida gani chama kubaki Simba?
@drallan6879
3 ай бұрын
chama is always brilliant?
@AbisinaRashidi-c8d
3 ай бұрын
Yanga walijua chama ataenda wauze mabwende yao maana wachezaji wao hawana mvuto yani pamoja na kuchukua ubingwa ila haina mvuto simba timu kubwa yasita barani afrika hata icheze shirikisho shirikisho inamvuto kuliko krabu bigwa maana timu zote kubwa zipo huku timu yapili barani afrika na yanne yatano na yasita mashabiki wenye mvuto wako shirikisho pia mashabiki bora wapo shirikisho
@allymtanga8127
3 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@Eliacharless-f3z
3 ай бұрын
Shilikisho ni sawa masalu
@Eliacharless-f3z
3 ай бұрын
Shilikisho ni sawa masalu
@mwanangusana
3 ай бұрын
😂😂😂😂 madunduka njooni huku Kuna zeze.. letu linaongea pumbazzz za kutosha
Пікірлер: 21