Mkoa wa Kagera umeteuliwa kuwa Mwenyeji wa maadhimisho ya siku ya Chakula duniani yatakayoanza Oktoba 10 hadi Oktoba 13 katika viwanja vya CCM Sabasaba Bukoba. Hayo yanathibitishwa na Mkuu wa Mkoa huo Hajati Fatma Mwassa
- Күн бұрын
KAGERA KUWA MWENYEJI MAADHIMISHO SIKU YA CHAKULA DUNIANI/ BURUDANI YA MAKASIA/ CHAKULA "BURE BURE"
- Рет қаралды 141
Пікірлер