Wanao amini kwamba candy maisha yake yote itakuwa ya kuangaika tuweke mikono juu🤚🤚🤚🤚
@JessicaJennifer-l6m
2 сағат бұрын
Ak huyu 😢😢😢😢
@MamrF-v9v
2 сағат бұрын
Kweli kabisa
@allyothuman8232
Сағат бұрын
🙋🙋🙋
@KhadijaTz
Сағат бұрын
🤚🤚
@Marim-sj7oi
Сағат бұрын
🤚🤚🤚🤚
@WinnieWanza-k3e
Сағат бұрын
Ni WA gapi wamefulaia ndoa ya Tasha na zatiti nipeni like zenu
@DAMARISSHALI-s8s
Сағат бұрын
🎉
@rosechepkorir4998
7 минут бұрын
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@monaciarkennymo6ix9ine62
2 сағат бұрын
Weee chiko komaaaa🤗! Saud arabia hatujui km zatiti mke wako.. tunajua Tasha ndo mume halali wa Zatiti🥰💪🏾
@hamisuuhamadi1663
32 минут бұрын
😂😂😂😂😂umenichekesha sana
@Shinyg3l
2 сағат бұрын
Busati tv naomba sana kabla season 3 haijaisha naomba candy limkute kubwa mpaka asahau jina lake Ili funzo litimie🙏🙏🙄🙄
@ClariceMatulanga
Сағат бұрын
Kabisaa
@ASHAMWABAYA
Сағат бұрын
Ata ikafika season 4 bora tuone akiteseka na mtoto wa mrs mganga tuone jaman😂😂😂
@Shinyg3l
Сағат бұрын
@@ASHAMWABAYA hapana kipenziii Ili mama Ake apumzike mpaka kufika season 4 atakufa na pressure 😭😭
@eversweedakemo
7 минут бұрын
Acha kumuombea mabaya candy ni acting tu nyie😢
@AishaNibizi
2 сағат бұрын
Chiko kimemulambaaaa jamani wakwanza kutoka Burundi 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
@khafidamkambeKhafidamk-dq7nj
5 минут бұрын
Eti amekumbuka kua zatiti n mke wake ashachelewa sana zatiti n mke wa tasha saah chiko ulimpa zatiti talaka 3 za mpigo kaa kwakutulia ukiona kimeoza mwenzako ywala ivoivo bila kupasha moto tasha alikula bila kupasha moto chiko tulia sasa
@ChristinefatumaKalume
2 сағат бұрын
Kusema kweli mama ni mama,Yani candy anavyo mfanyia mamake candy atajutia baadaye,km unamin gonga like❤❤❤❤
@francksylvester7844
2 сағат бұрын
Kwa mara ya kwanza nimekuwa wa Tano jamani like zangu japo kumi tu
@Mwajei0fficialmwajei
2 сағат бұрын
Wale tunao soma comment huku tuna anglia tujuanee
@NsabiyumvaEvelyne
3 сағат бұрын
Ma'am. Candy pore sana uyo simutoto nikidudu mutu naomba like warafiki zangu nawapenda sana❤
@MajidMau
2 сағат бұрын
Tena bora alivomtoa dunian angekuwa bado yupo tumbon angepata uvimbe wa mvuko wa uzazi
@ZeinabJeni-xu3og
Сағат бұрын
Tunao omba candy azulumiwe mpk abaki na nguo zenye ziko kw mwili 2 na laaan juu tujuane
@imanimwashambwa6432
2 сағат бұрын
Candy unatisha sana. Binafsi nimekubali unavyofikissha ujumbe kwa jamii
@MalkaNinik
Сағат бұрын
Lakini candy amepitiza
@MiriamKolagwa
Сағат бұрын
Yan candy anajua bhnaaaa 😂😂😂
@sharifamahamudu182
51 минут бұрын
Yeah anaplay sini zake vizuri na wapo watoto km so mitaani
@EucapetChepkemoi
Сағат бұрын
Chiko kimemramba yeye ndo kipoji manyoya sasa alafu candy naye anatusi mamake naomba apate funzo kabisa
@AminaDibwe
2 сағат бұрын
Jamani Leo nimewahi nipeni hata like kumi tu 😅😅 man sijawahi kupata like
@SalomengandiNzungu-it5ph
2 сағат бұрын
Na mm nimewai wapendwa, bwana yesu apewe sifa atakaesoma comment hii mungu amfungulie milango yote ilofungwa❤❤
@AyshaAli-f7q
Сағат бұрын
Hiki kipande cha chiko sikipendi kinanikumbusha machungu ya mtalaka wangu hv hv aliniacha mwenyewe Kwa talaka3 ila baadae akakana na kuanza kunisumbua tena alikana km anavyo kana chiko hapo Aisee huwa sipendi hata nikumbukege 😢 huyu anafanya nikumbuke sasa mpaka nahisi kichwa kuuma 😢
@Odila-q7w
2 сағат бұрын
Wewe chiko koma Tanzania atujuwi tunajuwa tasha ndo shemeji yetu 😂😂
@SamsonMajan-k3g
3 сағат бұрын
Wao nilitamani sana kuwa wakwanza na ndoleo big sam ap
@ClariceMatulanga
Сағат бұрын
Nko Kenya n sijui kama zatiti n mkeo uyo n Mrs Tasha aka handsome boy😂
@AsminKache
2 сағат бұрын
Huyu chiko n candy wapeleke hospital wakapimwe akili😂😂
@bintijumachongoa892
2 сағат бұрын
Weny3 mnap3nda house gal gonga like s hapa..tunaipenda hadi tukiikosa tunakosa raha..
@sifamaureen2792
Сағат бұрын
Chiko unamwambia mr tasha ni kipochi manyoya, unajisahau wewe sura yako ndio yakaa kipochi manyoya😂😂😂
@MariamRiziki-o8x
2 сағат бұрын
Candy umezid roho mbaya jamani
@MariaKahind
2 сағат бұрын
Canddy umevuka mipaka hata kama ni movie ila mama ni mama hata kama ni kilema😢😢😢😢😢 imeniuma
@mohamedlopa8410
2 сағат бұрын
YEYOTE HATAKAYESOMA HII COMMENT MUNGU AKULINDE WEW NA UZAO WAKO INSHALA 🤲🙏🤲🙏🤲🙏🤲🙏🤲🙏🤲🙏🤝🙏🤝🙏
@YusraSiyaleo-yk2fz
2 сағат бұрын
Siyo insshala sema inshaallah umeelewa 😂😂😂😂😂
@mohamedlopa8410
Сағат бұрын
😂😂😂😂😂 sawa yusra
@FettyDMOSO
31 минут бұрын
Tunae subili kumuona kendy anavoteseka tujuane radhi ya mama itamtafuna vibaya mno
@DidaAlly-iz1it
54 минут бұрын
Chiko nakuchukia ndevu kama nyavu za pwani😂😂😂😂😂😂😂😂
@EdnnahEdnnah-e1g
3 сағат бұрын
Wa Kwanza jameni naomba likes
@MillicentMaina-r8x
3 сағат бұрын
Naomba like tabadhali
@MiltonInnocent
3 сағат бұрын
Naomba like yanguuuuuuuu kama 100 hivi
@فراحهكينيا
2 сағат бұрын
Kwa mara y kwanza nimewai team strong mko wapi nime wamiss ❤❤
@JescaOscar-q8f
2 сағат бұрын
Kippande Cha kendi sitaki ata kukiona najionea zangu Kijijini kwakina zatiti kwakina kendi kubaya kama warivyo wao wabay😅😅😅
@haluarahma3071
29 минут бұрын
Nimekuwa kama chizii CHIKo kukosa mpenzii😅😅😅😅😅😅 chiko n candy laana zenyu zinawanyanyasa wenyewe hovyoo😅😅😂😂
@SarahBimuloko
2 сағат бұрын
Jameni mimi wa 45 Nîme wayi Léo naombeni like zangu kwa Wale watakaye kuya nyuma yangu,laki chiko uyu bwana ana aya
@VinnyLee-e6o
2 сағат бұрын
Kama Dunia hii watu wapo kama kend na Sania na chiko wapone kupitia hii muv mwisho ni mbaya Kila ukipandacho IPO siku kinarud pokeeni 🎉🎉🎉🎉 busati tunajifunza
Zatiti na Tasha waaaah mungu yuko mbele yanu Ata musiogopa chiko,, chiko hatakufa tu sai
@ShamimShamy
2 сағат бұрын
Mr chiko unalako Jambo hebu twajie zatiti wetu asikie Raha ya ndoa afirah tutolee Giza love movie 🎉🎉
@TimeAly-z1l
2 сағат бұрын
tobaa 😱 chiko pole sana huna chako tena mbeee😂😂😂
@ElianeNininahazwe
2 сағат бұрын
Hivi kunawatoto wako kama kendy 😭😭😭
@finedichengula6816
Сағат бұрын
Aliyemuona chiko akikimbia panga la mzee mkoloni gonga like hapa 🤣🤣🤣
@MailahMkuvite
3 сағат бұрын
Wakwanza leo likes kwangu
@OmmyFamily
2 сағат бұрын
💯🌺🌹🍁🌸🌻🍁 honger vipezi mlioshiliki pia pole chiko
@سليمه-ن4خ
Сағат бұрын
Saudi Arabia inajuwa mambo ulifanyiya zatiti😅😅😅😂😂😂kadama muko🎉
@aishabakari4686
2 сағат бұрын
Napenda sana part ya Mr Tasha na zatiti wakiwa kijijini ❤❤
@MELVINBBY
Сағат бұрын
Yaani candy wewe uko na kiti chako kuzimu direct but siwezi kuhukumu sna maana hii ni movie much love from 🇰🇪 😂😂😂😂😂
@Leilajepmtu
19 минут бұрын
Amndulilaya amndulilaya Yani ata cjui niseme nn aki Kwa family ya zatiti ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ 💐💐💐💐💐💐💐💐💐
@EdithAteka
2 сағат бұрын
Chiko anataka viboko 😂
@AliceOngiro
3 минут бұрын
Kendi ningekua karibu na wewe nione vile unambebea mamako mdomo wa maneno hivi ningekupinga na matiti hadi pesa yk iyo itoeke😢😢😢😢
@sharifanyumayo6314
2 сағат бұрын
Jaman sijawah omba like mie so mnipatie TU Leo mie mpendwa wenu! Nawapenda nyote mnaofatilia hii move na tujuane sote🎉🎉🎉🎉❤
@salmazwallo5920
2 сағат бұрын
😂😂😂😂😂 nani kaona mbio za chiko 😂😂😂
@Farthun
2 сағат бұрын
Candy wenzako tuko saudia tuna miaka 4 hatujawaona wazazi wetu wewe unaomba mamko afariki je unajua jinsi gani mzazi anathamni hapa duniani candy wewe 😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢 nakuonea huruma sana mungu atulindie wazazi wetu na wale ambao wazazi wenu walishatangulia mbele zahaki mungu awajaalie makazi mema Inshaallah 🫂🫂🫂🫂🫂
@aishaomar2287
2 сағат бұрын
Ameen
@sifamaureen2792
2 сағат бұрын
Ak😢😢😢😢hafanyi poa
@Farthun
Сағат бұрын
@@sifamaureen2792 kabsa yaan mm nasikia roho ikiniuma vile napenda mamangu acha tu
@Fatuma-y9k
Сағат бұрын
😢😢😢
@ShamieWise
11 минут бұрын
Nyoooooo eti tasha kipochi manyoya yaani namchukia chiko na vitendo vyake😏😏😏😏😏
@ASHAMWABAYA
Сағат бұрын
Wenye wanasubiri kuona mtoto wa mganga na kumuona kend akiteseka gonga like apa😂😂😂😂
@bennamush4616
2 сағат бұрын
Chiko ameshanganyikiwa jamani😂
@KhalidaUridu
2 сағат бұрын
Kachanganyikiwa au utahira na kujitowa ufahamu aende zake huko bana 😏😏😏😏
@YunucKhalid
6 минут бұрын
Jamani cendy amezid Tena na maneno mabovu kwa mama yke
@Hoel19LulesA
2 сағат бұрын
Chiko ulisha mpa mke talaka pliz move on
@Johar903
2 сағат бұрын
❤❤❤ila Chiko sio mstaarabu kabisa kwanini inakuwa ivyo muache Mr Tàsha na zatiti wameshakuwa mke na mume nenda kwa cendy wako
@aishaomar2287
2 сағат бұрын
We chiko tukome! Uku kenya hatujui kama zatiti ni mkeo...ulimpa talaka, narudia mm kama mkenya tukomeeeeee😂😂
@Raudhal
Сағат бұрын
😂😂😂
@VeronicaWillium
3 сағат бұрын
Wa kwanza mm
@doricasmatayo6014
3 сағат бұрын
Mm wa pili😊
@Saumu-vr4bc
3 сағат бұрын
Ktu kitsamu kisha pambe ,, wakwanza leo na Chiko kimemkuta
@fatumaabdallah9768
Сағат бұрын
Nafrahi kuina chiko kapigwa n kitu kizito zatit nakupenda sana
@zubedamae-ro1jx
50 минут бұрын
Duuh yaan vile mama candy vile analia naumia moyo 😢😢 utasema ni live aky candy ulichukua kipindi kigumu sana duuh 😂NAIWE BS NI MOVIE LKN UWE HAUNA HIO ROHOO
@saidaathuman1209
3 сағат бұрын
Tenaaaaa wa kwanza mie
@MarthaSerthy
2 сағат бұрын
Huo itakua ni uharisia wa wake Candi anatabia mbaya huwez kumwambia Mama ako kauli kama hizi
@SaumuJumwa-u4v
Сағат бұрын
Wanaokumbali baba Zatiti gonga likes 💪💪🤣🤣😂😂😂😂
@NoorEesa
2 сағат бұрын
Alafu warda nakupenda sana ❤❤❤❤❤
@Mwanajumahassan-tg3zg
52 минут бұрын
😂😂😂😂chiko umeniacha hoii hao mashetani yako looo yani nimecheka yote😂😂😂😂😂😂😂😂mr tasha hongera bwana....candy rudi nyuma huyo ni mama ...weee candy huigopi weee❤❤❤❤❤❤❤❤busat tv hoyee jamani hii episode imenifurahisha sanaaaaa loooo
@DhadhoAbdalla
2 сағат бұрын
Tunahitaji kumuona Chiko akikimbizwa na ba mkwe camera man mbona unaficha raha😂
@HidayaMbodze
2 сағат бұрын
Chiko tukome wakenya hatukujui😂😂
@mbonepro
Сағат бұрын
😂😂
@Najmahnyangasi
58 минут бұрын
Jaman candy 🙆♂️🙆♂️ ulipofika kweli mzazi atakuchukulia vipi wewe mwanamke aso na haya candy daaah umeshinda dada mpaka mzazi wafika kumtukana wala litakufika zito utamani kumuona huyo mama na hautompata daah mungu tujalie tupende mama zetu ya rabbi
@FrankLuhaha-dt5sh
14 минут бұрын
Jamn mm nilikua naomba cendy apateee Rana kutokaaa kwa mama yakeeee
@ASAS-q9u9e
3 сағат бұрын
Candk unaroho mbaya sana
@herveiratunga3656
3 сағат бұрын
Lewo wakwanza nipeni
@12omochildren
Сағат бұрын
Candy utafariki mapema kabla ya mama,yatakukuta dada mzazi hatukanwi Chiko tuachie penzi letu❤😂😂
@EstherEsther-u2k
46 минут бұрын
Team Saudi Arabia who knows that chiko husband of zetiti 😂😂😂😂😂😂chiko am in Saudi Arabia but I don't know u please 😅😅😅😅😅😅😅😅
@JumwaKatana-m8r
33 минут бұрын
Ni mefurahi😂😂😂❤❤❤ sana ndoa ya Zatiti nlikua na isubiri sana na watakia ndoa njema kama kai na zuli
@SophyMrina
2 сағат бұрын
😢candi we ndo farasi kbcaaa laaana unataka
@Mwaminiomar
2 сағат бұрын
Chiko amechizika naona amejizima data😂😂😂😂
@LaylaBakari
3 сағат бұрын
Wadeeeeeee😂wa kwanza leo
@purityrotich1703
2 сағат бұрын
Leo imengoa nanga busati tv chiko kaingia cha kiume😂😂😂
Пікірлер: 543