Mashaallah! Ila Wakristo kiukweli hawana elimu, sema tusikate tamaa maana hii ni sababu tumeitwa UMMA BORA- Tunakumbushana mema na kukatazana mabaya) Wakristo wakiisoma Quran sjui wanafikiri ni maneno ya hadithi au ni mtu tu kaandika hawaelewi kuwa ni maneno ya MWENYEZI MUNGU Direct kabisa, Siku moja wakiwa na hii mentality ya kuwa ni Maneno ya Mwenyezi Mungu yaliyoshushwa na Gibril (AS) kwa Rasulullah (saw) nahisi watachange polepole… Quran sio kitabu cha kawaida, na wengi wetu hasa waislam ukijihisi upo na uzito kutekeleza amri au ibada za Allah usiwaste time, Just Open Quran tafsiri afu isome pole pole utanishukuru. Asalam aleykum
@swafiirbulbul819
2 сағат бұрын
Sheikh Salim Allah akulipe kheri.. Vijana tunajinoa kwa Video zako, nasi huku tulipo tunaendelea na Daawah.. 🎉 🇹🇿
@faridbashuu
44 минут бұрын
Assalam aleikum warahmatullahi wabarakatuh Mr. Wilberforce anazidi kufilisika ... Allah amsaidie aione haki..( Hata kama ana rudia maswali 😂 ) Ame improve So far so good 👍 Barakallahu feekum nyote
@abdisalat1579
2 сағат бұрын
BarakaAllah fiii mafundisho mazuri
@AlisaidAlis
2 сағат бұрын
MASHA ALLAH SHEIKH SALIM
@iddyjuma8036
Сағат бұрын
Shekh Saloum Allah Akupe Afya Njema
@JamilaJumanne-u7q
2 сағат бұрын
BISMILAH MASHALLAH. NIMEWASUBIRIA MNOOO❤❤❤
@Ilyasadhan
Сағат бұрын
Sheiqh huyu Dogo mwenye alifuta mchunge aliuliza maswali mzauri sana
Пікірлер: 19