Wale wa ujumbe waje huku, anyone corona era April 2020?
@ismaelngoisa7501
7 жыл бұрын
Nyanyuka songa mbele sote kesho hatuifahamu!!!
@joemwaka5214
Ай бұрын
Uyu jamaa wakuitwa nuruwell Yuko wapi sikuizi. Anajua sana nipo hapa Leo 11/06/024 nasikilizia goma hili Tena💪
@jacksonnkallah6482
9 жыл бұрын
Kazi nzuri kaka.. umeibua matumaini ya wengi Zidi kutufunza, zidi kutuelimisha, pamoja sana kaka..
@mwinyimkadara2048
5 жыл бұрын
"Unafika shamba pembejeo zote zipo dar" 😁😁😁
@amirimbago8325
4 жыл бұрын
hahahaa hatarious....
@WilsonKihanga-jb5fb
3 ай бұрын
😂😂😂yaani taabu tupu
@juliusnjangwano6476
9 жыл бұрын
Bonge ya wimbo!! unaakisi maisha halisi ya tabaka la wasio nacho na unatia moyo... Exellent kala
@aronylutulo9726
5 жыл бұрын
👊
@michaelshango6506
6 жыл бұрын
daaaaah bro sikupingagi kabsa yaan ww ni kioo cha jamii unagusa sana maisha ya watu keeo it up u touch the truth life we live
@isihaqashida8303
3 жыл бұрын
Unaweza kupitia nyakati had ukahis hautakaa upate amani kamwe..lakini kumbuka hakuna usiku usio na asubh yke.. Wkt ukifika kila gumu litabadilika na kua histori Acha mipango ya mungu itimie....
@mohdchande3058
4 жыл бұрын
kila siku naiskliza hi nyimbo yan dah one day yes
@barakamdenye4510
8 жыл бұрын
Usikate tamaa kwa kutopewa heshima unayotakiwa kutokana na kazi zako. Wanahitaji jicho la tatu si kawaida kuona hilo. Your among of the best in Tanzania.
@reginaassey6534
9 жыл бұрын
hakuna nyimbo nitakayoisikia kwako nikakosa tumaini na mafundisho kweli sikati tamaa na sivunjiki moyo...Mungu akubariki na kukutunza Kala
@nonenone4954
5 жыл бұрын
Big up Sana kala tuko pamoja.
@isaiahnmagemeson4516
5 жыл бұрын
2019-06-08 naweka comment yangu kwako Mkali wa siku zote !!!!!!
@rajhd8509
9 жыл бұрын
inspiration song ... nimekuelewa saaaaana nuruwell pa1 kala
@luningazanzibar2886
9 жыл бұрын
Hili ni zao la BSS ambalo halikupewa nafasi ya kwanza kipindi kile ila sasa hivi anaidhihirishia Tanzania na dunia kuwa yeye ni wa kwanza kwa sababu mpka mashindano yale yanaisha hakuwa wa kwanza ila hakukata tamaa na mpaka leo anafanya vizuri kwenye game. Ahsante kwa ngoma kali na yenye ujumbe KALA JEREMIA maana kukata tamaa ni dhambi sana . Mwendo huo huo kaka pia Nuruwell kaitendea haki sana hii nyimbo kwa kufanya chorus nzuri sana.
@CoachHafidh
6 жыл бұрын
Luninga Zanzibar saff sana
@immaculatekilulya1818
5 жыл бұрын
Sure huyu ndiyo alistahili kuwa mshindi, nlimpigia Sana kura hajawahi kuniangusha
@yusuphdiamond671
4 жыл бұрын
Nani anaangalia mpaka leo??
@vicmassluodollar
9 жыл бұрын
kala jeremiah duh hii ni sumu walai,unapiga show kenya lini,ilove this
@Baba_Mario
Жыл бұрын
Hatari Sana my life story 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🔥🔥🔥
@theeyechannel8601
9 жыл бұрын
Kala sijui niseme nni! You are my Singer forever
@almasimbuto6377
4 жыл бұрын
Ulipewa ujuzi gani wamistari ya ujumbe
@mahmoudmwamtoro7625
9 жыл бұрын
KALA I REAL IPRESHEIT U BRAAAH KWELI NURUWELL AMESTAHILI KUKAA KWENYE COLUS TULIMMISS ILE MBAYA.....WE DNT GV UP BRAAH DAT Y WE HUSLING EVRY DAY....USIKATE TAMAA
@alphasjoseph7542
9 жыл бұрын
Kala give up to u this what happens to our daily life of today as Tanzanians and around the world. Congratulations my brother.
@khadijambuta4360
6 жыл бұрын
nyanyuka songa mbele kesho sote hatuifahamu ya Allah kareem
@ibraimujuliasi7816
5 жыл бұрын
Nyanyuka songa mbele usikate tamaa
@SuperErico2011
5 жыл бұрын
2019 . Leo am listening to this GREAT song
@johnjoseph1504
3 жыл бұрын
smats fidra
@renetony1122
3 жыл бұрын
you prolly dont give a shit but does anybody know of a trick to get back into an instagram account?? I was stupid forgot the login password. I love any tricks you can give me
@emmettmusa1808
3 жыл бұрын
@Rene Tony Instablaster =)
@fundiwakupaua
4 жыл бұрын
Kukata tamaa ni dhambi,nani anabisha? 2019 October 3
@aronylutulo9726
5 жыл бұрын
My best song ever 👊 Big up bro
@GIFTKIWELU
9 жыл бұрын
Kala keep it up broh Naona unakimbiza sana lets me gives you my blessing MUNGU akubariki sana na awe na wewe katika kazi yako kaka Maana mashairi yako ni kiboko tokea naanza kuwa shabiki wako mpaka sasa nipo addicted na verse zako labda swali ni kuulize la kizushi kaka unafikiriaga nini kuandika izo verse maana zote ni touch but this one aisee umeonesha uwezo wako UNASHAHILI KUPATA TUZO YA MASHAIRI BORAA na Good HIP HOP artist
@paulpascal9335
9 жыл бұрын
noma jijini lazima kinuke kaka..hit song hiyo..alafu bonge la ujumbe
@CoachHafidh
6 жыл бұрын
paul pascal cha kuskitisha ngoma za mafunzo kama hizi ndo hazipewi kikao mbele kwa media
@josemgy1199
9 жыл бұрын
imekaa powa sana mzazi
@suysoni
9 жыл бұрын
Its such a Inspirational,Motivational,Educational,Uplifted Song. Great message ma'bro.Keep it Up. Never Give Up. Pamoja sana.
@wittyblacck3663
2 жыл бұрын
Kala Jah sent messenger 🙏🏾🕊️ I am proud of you Jeremiah✨👑💟
@felistermwangalaba7658
3 жыл бұрын
Jua Kali na mtoto mgongon mvua Kali bila mwamvuli mkononi unakata tamaa unajaribu kunywa sumu roho inakataa unamwangalia mtoto kala tabasamu no matter what usikate tamaa....too all single moms keep it up💪💪💪💪
@LilianMwamwaja
3 жыл бұрын
Kala sauti yako inawakilisha mamilioni ya sauti za waTz...leo Nimeangalia nyimbo zako zote kila moja imebeba ujumbe mzito na kinachonifurahisha nyimbo zako waweza angalia na watu wa rika zote bila ku skip.. big up
@alfredkajunasreenvid
9 жыл бұрын
Mantiki nzima ya wimbo imebeba nasaha yenye msaada muhimu sana katika maisha ya kutafuta na kujitahidi. Asante sana kala jeremiah kwa huu wimbo, mungu akujalie busara na hekima zaidi ila sanaa yako iwe na msukumu wa kuingoza jamii kwenye maendeleo bora
@imanibingi5186
4 жыл бұрын
Nakukubali sana kala.
@emmibrangitili7754
4 жыл бұрын
Daah. Nakukubar xn kwa uwezo ulionao bro
@nba_fortunebello255
2 жыл бұрын
Who else is here with me In 2022 ? Big respect to King Kala Jeremiah 👑❤
@boscoraymond2424
9 жыл бұрын
Safiii sana KALA JEREMIA bonge la kichupa Full ujumbe @Jamii Duuuh.. n uwaslia wa Maisha ya hapa Dunian Big up KALA&NORW... Sirlt...
@saumuakida7389
4 жыл бұрын
Wew ni mkali utabaki kuajuu
@samiroally3320
8 жыл бұрын
brother kala big up naupenda sana wimbo huu nani nlikuwa miongon mwa waliotaka kukata tamaa bt nimekaza but bro mungu no mwema big up bro
@harry-rr1vq
9 жыл бұрын
This song deserves more views!! Sijui wabongo twakaa wapi. Tunakazana kuongeza views kwa video za nje na za ndani hatuangalii. I think ilibidi zisiwe zinaonyeshwa kwenye tv mpaka zipate views nyingi youtube.
@davidjuvenary9422
3 жыл бұрын
Ni miaka 6 sasa imepita lakini ujumbe haujafa.. 2021**
@brothera441
4 жыл бұрын
Bahat mbay unaishi kwa mjomba au shanganza
@barakaweavernyajiego4421
9 жыл бұрын
Daaah hii wimbo inayonipa moyo japo nikiangalia najikuta kulia pekee yanguuu tisha sana Kala jeremiah
@chiwambobandawe7266
9 жыл бұрын
Ndugu hii kitu balaaa sana tutalia wengi sana
@ernestmhando9177
5 жыл бұрын
Nyimbo inayoishi
@dundoonlinesingeli
Жыл бұрын
Kaka rudi na humu maishaa huko mtaani sio poaa.View April 2023
@zedon2047
9 жыл бұрын
Haijawahi tokea kama wewe... Unastahili tuzo broo. Big up sana
@haitumikitena4978
3 жыл бұрын
Madini yametulia hongera sana kaka
@lyotonkembo9914
9 жыл бұрын
kila ulichoimba ni ukwer mtupu.Umetisha SIKATI TAMAA MIMI
@dianaketegwe8147
8 жыл бұрын
duh mega touchin keep it up bro awesome
@abukiczan6600
7 жыл бұрын
Yaani anae~ dislike hii ngoma ni adui namba moja wa maendeleo
@andrewmandari7530
5 жыл бұрын
Ngoma kali sanaaaaaaaa keep it
@asetochristopher3194
3 жыл бұрын
Very educative 2021...let's go
@user-ne7ob5qg6i
10 ай бұрын
Nasikati tamaa napambn❤
@jonnygabriel9648
5 жыл бұрын
Nineth time still watching 2019 imenigusa ubarikiwe asee
@jumarajabu862
2 жыл бұрын
2021 naiangalia hii inanifariji kila napoona magumu mbele yangu
@subbychiluma202
Ай бұрын
2024 twende kazi
@ismaelngoisa7501
7 жыл бұрын
KUKATA TAMAA NI DHAMBI KWANI WANAADAMU TUMEUMBWA KUPAMBANA!! NI SUALA LA MUDA TU!!
@benjanykilonso2007
Жыл бұрын
Wataka kunywa sumu ,wamwangalia mtoto anatabasamu😅😅😢😢😢
@user-dy2qn2xc3x
6 ай бұрын
Naicheki mpaka 2024 kwa fwasi ya ghetto
@jofreychristian
Жыл бұрын
i still listen to this song you cant believe
@gregorysondo3761
5 жыл бұрын
K a l a .L. Jeremiah! Your song bob is remarkably phenomenal... feels like you touched a million hearts all with in one of your several song, you definitely got to my soul bro! Shouts to east Africa shouts to Shy town to Dar es salaam and to the world, Kala wewe ni jembe la wote wasiyokua na sauti! #Usikateetamaa keep on going! #Godspeed
@rashidyrashidy3923
Жыл бұрын
2023 it's still Dope 🇹🇿🙏🔥
@zenarenge9797
4 жыл бұрын
Unaweza kaka kala kutuelimisha
@jorodik
8 жыл бұрын
man you're so creative.... this song leaves me wid alot of emotions I can't seize listening it though
@issambaraka1901
9 жыл бұрын
A good song brother, keep it up. Unaweza. Tuwe na mioyo ya subira, isiyokata tamaa It doesn't matter how much difficulty life is, we should strongly fight to improve our life standard. BIG UP MAN.
@user-ne7ob5qg6i
10 ай бұрын
Imenigusa maana baba wa mtoto alikataa mimba halafu anakuja kukubali mtoto kweli jan😭😭😭😭
@zabronmligo9629
4 жыл бұрын
Uko vizur endelea hivo
@alhaji6094
5 жыл бұрын
2019 bado hii nyimbo inanifanya nilie kwa ujumbe
@weradiatelight_
9 жыл бұрын
I love the song Kala is truly back So inspiring
@benbranco3688
2 жыл бұрын
nuruwell asee jamaa anajua sana
@oscarmvuyekule2901
5 жыл бұрын
Heshima kwa kwako kala.unatisha sana
@sammytysholei
7 жыл бұрын
love the concept and the colors.....Powerful
@johnsonfilikunjombe8447
9 жыл бұрын
Surely i drop my tears nice video. Hakuna usharo baro kama video nyingine but mmefikisha meaeji nice, nuruell nimeipenda stail yako keep it up broh nice. Then last i like is "LEO NDIO KESHO ULIYOIHOFIA JANA"
@gabagambi
9 жыл бұрын
kazi nzuri this is what we need to see!! music that reflect reality.
@johnjuma2526
8 жыл бұрын
EBwanah ! this dude is GOOD Halla kwa Nuru too
@fellenmanochi4802
9 жыл бұрын
you are good keep it up brother
@hassanimapanga7024
4 жыл бұрын
Hawa ndo walikuwa wasanii 2020
@benbranco3688
8 жыл бұрын
kitu alichofanya nuruwell ni zaidi ya hatari
@andarsonmartine627
4 жыл бұрын
naikubali sana hii ngoma, .. kala apa ulipga mze baba Aprecieted
@erickbmaxunga6019
3 жыл бұрын
Wanacheka k8xha wanagonga glass "taaa!!"
@davidmoshi8820
5 жыл бұрын
Daaahh nyimbo kama hizi hazipewagi air time..... why....
@na0m1fes51
4 жыл бұрын
😩🤔 kweli
@s.y.b..0039
4 жыл бұрын
Vipaji vpo Tanzania Love my Country
@monicamichael8119
5 жыл бұрын
Hakun Kama kalajelemaa 💋💋💋💋💋
@isackmsalila982
4 жыл бұрын
Usikate tamaaaa 2020
@henrydaprince718
Жыл бұрын
Let Me See Who Is Listening To this Incredible Song In 2023? Give Me 1k Likes
@josephmanyama435
3 жыл бұрын
December 2020 hapa nacheki bonge la song
@geoffreyembasa8483
4 жыл бұрын
The first time to listen to every of his songs,there is always a lesson
@saidmungulu7053
2 жыл бұрын
daah naichek tena 2021 hii nyimbo inaishi siku zotee...👍❤
@ismailnamtuma1830
4 жыл бұрын
Daaaaah,,100% ndo yanayotukuta wengi
@henrydaprince718
2 жыл бұрын
It's 2022 In July , I Am Listening And It Makes Crying So Hard
@ibrahimalex275
Жыл бұрын
Same to me..
@allanmapito507
2 жыл бұрын
2021 bado nipo apa from Kenya
@harrykassegejr9623
9 жыл бұрын
ikitoka dear God huu ndio wimbo Wa pili kwangu mkali Sana Kala,binge la beat,mashair yenye uhalisia nurueli kamaliza kabsa acha video ndio kabsa daah well done my nigga
@kinggodfather2628
Жыл бұрын
Nimetia ngima by in time
@samsonkazimili2221
9 жыл бұрын
Nc song with full of inspiration message da! Kp it up bro
Пікірлер: 332