Wafanyibiashara wanaotumia basi la Guardian Angel kutuma mizigo yao magharibi mwa Kenya wamejipata katika hasara kubwa baada ya mali zao kupotea tangu mwaka uliopita. Juhudi zao za kupata suluhu kwa basi hilo zikiambulia patupu. Mariana Muli alizungumza na pande zote zilizohusika na kubaini ukweli wa mambo.
- Күн бұрын
Kampuni ya basi ya Guardian Angel yashutumiwa kwa madai ya kupotea kwa mizigo ya wateja
- Рет қаралды 10,067
Пікірлер: 17