But make sure that's all young African players there an additional of work hard
@laninjeje8290
12 минут бұрын
Dube sio mchezaji wa kumtegemea kuifunga Al hilal labda baleke, chama au Aziz ki
@amadeusmdetele6206
Сағат бұрын
Hapa yanga anachukua points 9 nyumbani plus 6 za nje
@kessysenga8700
56 минут бұрын
Yanga huu ndio wkt wa timu kuonyesha uwezo wa timu hapo Sasa ndio tutaona ubora timu yetu
@mlumendoigonza6398
Сағат бұрын
Muda umetimia yanga kuchukua kombe mwaka huu
@ZuinabuJaeka
56 минут бұрын
Mazembe hasumbui mwenyekit lawasemaj
@godfreysimoni4270
42 минут бұрын
Ally unavyo ongea unaongea vizuri Hadi unanipa Raha sana
@suleimanmwenyemvua995
25 минут бұрын
Kamwe wewe haichezi.. kundi hili ni gumu.. japo majina ni mepesi mepesi huu ni mpira usitengeneneze mazingira magumu kwa timu mpira una mchezo mchafu tusije tukajikuta na kulia....😂😂😂😂
@maxmia100
2 сағат бұрын
Kwweli kabisa Ali hilali Ina wachezaji wazuri Sana na Wana fitnes kubwa kwahiyo yanga yetu wasiwe na maneno bila vitendo tuna tuungane tena kweli kweli wanayanga wenzangu
@JonasAthanas-m5n
Сағат бұрын
Hapa msemaji tumepata aijawai kutokea
@DomisianBuxhay
2 сағат бұрын
Mi ni mwana Simba ila huyu jamaa anajua kuwajaza japo ukweli anao akilini mwake. Haya acha tusubiri. Mda ni mwalimu mzuri sana.
@frankwilliam7740
Сағат бұрын
ukweli gani..kolo kwa yanga ni mchumba tu
@stejasatv7349
Сағат бұрын
hahahaahaha😂😂😂😂😂
@abdulbango6939
Сағат бұрын
Chonde×2
@kessysenga8700
57 минут бұрын
Yanga huu ndio wkt wa timu kuonyesha uwezo wa timu hapo Sasa ndio tutaona ubora timu yetu
Пікірлер: 37