Fr Kitima Ni miongoni mwa Mapadri ninao waheshimu sana tangu akiwa pale SAUTU - MWANZA namwombea maisha marefu zaidi na yenye mafanikio juu ya KANISA na sisi.
@ponsianamataka4607
2 жыл бұрын
Asante Pd. Dr. C. Kitima. Kanisa Katoliki liko vizuri na utaratibu wake ni mzuri kiroho na kimwili kuienzi, kuiendeleza na kuiishi kazi ya Mungu. Baba Mungu tunaomba uendelee kulilinda na kuliongoza Kanisa Katoliki.
@baghabaghaingwengwe1750
Жыл бұрын
Sister alikuwa anafanya Tamisemi Dodoma alikuwa mchapa kazi hodari kweli kwenye kitengo cha Elimu
@allanaugustine303
2 жыл бұрын
Unapongelea Kukua kwa chuo kikuu cha St Augustine University of Tanzania ni Wewe Baba Kitima... Askofu Mkuu Nyaisonga, Askofu Mfumbusa, Askofu Kassala haya yote ni Matunda ya uongozi na Hekima yako Ulipokuwa Makamu mkuu wa Chuo Saut.. Udumu katika Utumishi na Uongozi mwema Dr Rev Baba Charles Kitima...
@leonardmrope9528
2 жыл бұрын
Thanks for that !!
@mekumeku2484
2 жыл бұрын
Umeelewa hapo..ukwel wa ki Mungu na kisheria.....
@fredrickmichael2317
Жыл бұрын
Majibu manzuri sana
@hezronmsogoya1572
2 жыл бұрын
Umeeleweka sana
@mekumeku2484
2 жыл бұрын
Looh asee basi kanisa catholic limejipanga asee nimewakubali
@YohanaWanday-ye2mo
Жыл бұрын
Ahsante sana PhD wetu Kwa maelezo yakinifu
@denismabubu291
2 жыл бұрын
Hongera sana na ufafanuzi fr ç kitima
@eliasnganira7661
2 жыл бұрын
Nimekuelewa baba
@JohnAthuman-f3x
3 ай бұрын
🙏🙏
@filbertrobert1141
2 жыл бұрын
Safi sana
@mlangiralameck9158
2 жыл бұрын
Thanks father
@baghabaghaingwengwe1750
Жыл бұрын
Hata anaye gawa chakula vitani ni mpiganaji
@josephpetermaganga2907
2 жыл бұрын
safi
@paulina.baynit7970
2 жыл бұрын
Majibu mazuri sana pd. Kitima.
@ktkkilan
2 жыл бұрын
It is very surprising that this issue is raising a lot of heat. in Kenya priests in the Military is common place. In fact they are also ranked. Bishop Rotich who was the Bishop of Military Ordinariate was a Colonel at the time of his retirement, in line with Kenya's military rules. He is now the Bishop of Kericho Diocese.
@wannaproducts
2 жыл бұрын
Baki na Kenya yako acha ulinganifu...watu wamehitaji ufafanuzi kwa Jambo ambalo hawajawahi kuliona nchini kwao labda lipo lakini halijawa wazi, halafu wewe unatuletea ukenya wako hapa, jifunze kubalance shobo wewe. Kwahiyo huko Kenya hao mapadri ni makomandoo, PhD holders na mengineyo? Jiheshimu
@celestinshayo7295
2 жыл бұрын
@@wannaproducts hii kitu kweli ni ngeni kwetu watz. lakini kwani ukimjib u mtu kwa kauli ya kiungwana unapungukiwa nini
@ktkkilan
2 жыл бұрын
@@wannaproducts ndiyo!, kutojua kwako na kutotaka kufunzwa ni shida na ugonjwa mkubwa. Inaitwa ignorance. Ili si jambo la Kenya peke yake. Hata kwingineko utapata mapadri machaplain wa kijeshi,polisi etc, na wasomi katika viuo vikuu. Kubali kufundishwa yale huyafahamu ndugu.
@reginaldhhayuma6907
2 жыл бұрын
Well elaborated Dr kitima
@luganomwasongwe1158
2 жыл бұрын
Good!well elabolated
@gilbertshirima2684
2 жыл бұрын
Eti nn🤔
@gilbertmathias7594
2 жыл бұрын
Asante padri kwa maelezo na una upeo mkubwa sana
@johnkyashama2299
2 жыл бұрын
Safi sana padrii
@bujikuwilliam7680
2 жыл бұрын
Umenena
@jumasaidi8157
2 жыл бұрын
nimekuelewa vizuli
@NgambilabalinziBaliguluk-os3ln
Жыл бұрын
Hongera father kitima
@emanuelmlowe6854
2 жыл бұрын
Nimekusifu kusema viongoz WA kisiasa wafuate sheria
@ysmasalu
2 жыл бұрын
Maelezo yamejitosheleza!!
@audaceleroi1370
2 жыл бұрын
Dkt Kitima amepotea siku hizi
@benedictmrisho2361
2 жыл бұрын
"Mikakati mizuri ya kumtumikia mwananchi."
@charlespatrick4859
2 жыл бұрын
Muandishi bado sana
@mdoefrancisketto1989
2 жыл бұрын
Undercover
@bujikuwilliam7680
2 жыл бұрын
Umenena
@mzazi1467
2 жыл бұрын
Mtangazaji nanga rudi shule, unarudiaje maswal.
@gesusgegangphray7689
2 жыл бұрын
Kuna tafsili cyo.alikuwa mwanajeshi na sasa padre ..mwandishi wewe huna akili kabisa ,,umesomea wapi unajenga hoja kupotosha umma.. fwatilia Jambo kabla ujakulupuka,, research.
@emanuelmlowe6854
2 жыл бұрын
Upumbavu wako naujinga wako kulinganisha mambo us nchi nyingine
Пікірлер: 40