Ahsante kwa kutufafanulia hili hwa ndugu. wanatakiwa.kupatana.wenyewe.
@samwelmbonea7335
10 ай бұрын
Bibilia neno la mungu. Lazima ukubali tu
@shabbymakapane
10 ай бұрын
TORATI , ZABURI , INJILI , Ndio Neno La MUNGU Sio BIBILIA 😜😜😜
@Ronkiroo
10 ай бұрын
na bibilia ni nini? wajua maana yake?😁😁😁😁😁@@shabbymakapane
@shabbymakapane
10 ай бұрын
@@Ronkiroo mh 🤷♂️ Cjui Mie Naona Ugalagala Tu , 😜😜😜 Labda Uwaulize Wale MATAIFA 10 Waliokaa Mezani Na Kutunga Hilo Neno BIBILIA ,😂😂😂. MUNGU wala YESU Hwajjui BIBILIA ,😜😜😜 ,
@Ronkiroo
10 ай бұрын
unajielewa kweli ama ni mafunzo potofu ya mohammad imekudanganya🤣🤣 aliye waambia dunia ni flat🤣mnayaamini hayo?🤣🤣poleni sana @@shabbymakapane
@NgengeMkeni-uo5hq
10 ай бұрын
@@shabbymakapaneSasa hivyo vitabu vinatoka wapi🤣🤣🤣.. juha kalulu mkubwa wewe
@AnithaMuvurwaneza
3 ай бұрын
Shee ayo ni maubiri ambiya waislamu Kama ni masmdiko kwenye Bibliya ukifundisha sema mahi coroani....,Mwanzo... Njo mtumishi Yesu anakutaka karibu
@singanoatanasi1994
10 ай бұрын
hajiri hakua wa agano shehe alie wa agano ni sarai shehe utaratibu unaokwenda nao sio sahihi shehe . nasikitika sana mkiwa mmefungwa ufahamu aise una tetea dini kwa namna unayoijua shehe
@nehemiaayo9527
10 ай бұрын
Nashagaa iyo anayo yasema akuna katika icho kitabu chawo uyu kasoma Bible tu
@stevensosipita
10 ай бұрын
Uko sahihi muda umekaribia waendelee kumponda yesu KRISTO
@NgengeMkeni-uo5hq
10 ай бұрын
Hawa ni wapotoshaji ndugu. Ndio wapinga Kristo waliotabiriwa hata kwenye Biblia. Yaani wanapindisha mpango wa Mungu tokea kwenye chimbuko la imani (Abrahamu) mpaka kwa Yesu mwenyewe. Ndio maana wanapinga hata kufa na kufufuka kwa Yesu.
@hassanisaidi5422
10 ай бұрын
Ahadi alipewa Ibrahim siyo Sara Wala hajiri, Ibrahim aliambiwa kizazi chake,Sasa ISMAIL ni kizazi Cha nani..
@NgengeMkeni-uo5hq
10 ай бұрын
@@hassanisaidi5422 Umeelezea kwa mtazamo wa imani yako. Imani yetu sisi Wakristo inatueleza Agano la Mungu kwa Ibrahimu lilipitia kwa uzao wa Isaka na sio Ishmaeli. Hii imeelezwa vizuri katika kitabu cha Mwanzo 25:19-34 ambapo tunaona uzao wa Ufalme wa Daudi ukipitia kwa Isaka.
@Barakamchumia
2 ай бұрын
Mashaallah dr sule🙏🏻🙏🏻
@singanoatanasi1994
10 ай бұрын
hebu waelezee vizuri wenzako hao waebusi wahiti na wakanaani kiundani zaidi shehe usijione unajua sana unafahamu hao waliondolewa kwanini? mara nyingi una wadanganya waislamu wenzio shehe
@MichaelKweka-eh6gw
10 ай бұрын
Kenge weye
@singanoatanasi1994
10 ай бұрын
@@MichaelKweka-eh6gw sawa hata ivo ukisema ivo kwani kweli
@neemamajana3078
10 ай бұрын
Huo ndio ukweli kabisa
@paschalkija-gg6lr
8 ай бұрын
kunavitu mwislm anajion sana lla pow
@paschalkija-gg6lr
8 ай бұрын
Mazinge naye amesha batizwaaa sasaaaaaa
@hilfigermnungu1689
9 ай бұрын
Swadakta 😊 Baarakallahu fiika 🤲
@dicksondkaganga1290
9 ай бұрын
This is like studying the book of CIVICS while preparing to do the exam of PHYSICS! 🤣
@abadzeidmohd-kl3bk
9 ай бұрын
You who say that😬😬
@bibisalim8666
10 ай бұрын
Shukrani shehe uko sawa
@deogratiasrugangila3100
10 ай бұрын
Mi nashangaa wanaopigana ni ndugu wao wanajua wanapogania nini tatizo mnaingiza dini zenu ambazo hazina mahusiano .Kwa kuwa hawa ni watoto wa Ibrahim na Mungu ndiye aliwateua tumwachie atafanya maamuz kujua nani ana kosa na atamuadhibu
@singanoatanasi1994
10 ай бұрын
nikweli kabisa
@happysamwel3880
10 ай бұрын
Watapata taabu sana,walikua wapi siku zotee? Badala ya kuwaombea wenzao ,wanaingia kwenye udini !?
@nicksonlyimo1562
10 ай бұрын
Deo usidanganyike Wala Israel na palestina sio ndugu ,kwani waarabu hawapo kwenye Torati kwa maelezo ya uchaji wa Mungu Bali wamezungumzwa kama maadui na ndio maana Mungu alimwambia Musa na Yoshua awaangamize kwasababu wanaabudu miungu na walimpinga Mungu wa kweli kitu ambacho wameendelea Hadi Leo , ,Ndugu wa Ibrahimu ni Lutu na sii zaidi ya hapo kwa mujibu wa Neno ,na ishmail sio baba wa waarabu kwani waarabu walikuwepo hata kabla ya Ismail na ndio maana mama yake alikua mwarabu wa misri inamaana nchi nyingine zilikua na waarabu pia mbali ya Misri ,na kanuni ya uzao na ukoo Ishmael hawezi kua mwarabu kwasababu baba yake ni muebrania Au Myahudi ,kisa Cha ishmail ni watu kujipakazia tuu Ili kuhalalisha dini ya uongo kua niya kweli , Sule anasoma Biblia kwani kwenye Quran haipo hiyo japo anakosea kosea kueleza uhalisia ,
@samuelochieng8784
10 ай бұрын
Kweli nakubaliana na we we.....
@jannffer
4 ай бұрын
I love the way you teach
@kevinMwiva
10 ай бұрын
Why is that our brothers Muslims keep on telling us about our Saviour ?? Let them keep on believing their prophet
@agneslozi867
10 ай бұрын
😂😂😂ndio wanapenda kubishana na cc na cc tumetulia tuli
@NgengeMkeni-uo5hq
10 ай бұрын
Yaani ukiziainisha tu sifa za Mudi na Yesu Kristo wallah ni wazi kuwa Yesu ni Bwana. Mfano mdogo tu; > Mudi alioa mtoto wa miaka 6 (Bi. Aisha) na alijamiiana nae akiwa na miaka 9. > Mudi aliuwa watu zaidi ya 3,000 katika vita zake za Jihad. > Mudi alielekezwa Waislamu waoe wake wanne (4) ila yeye alikuwa na wake zaidi ya kumi na tatu (13). > Mudi alikuwa anamiliki watumwa na alikuwa akifanya nao ngono kila anapojisikia. > Mudi aliruhusu waislamu kutumia uongo (taqiyya) pasipo kujali kuwa ni dhambi. > Mudi aliruhusu maswahaba wake kuwabaka na kuwachukuwa utumwa wanawake waliowapata mara baada ya kupiga vita za Jihad. KWA HAYA MACHACHE TU WAWEZA KUONA MUDI ALIKUWA NI MTU WA AINA GANI.
@fayverenah
9 ай бұрын
Jamani why are muslims concerned about our faith🙄mbona kila mtu akae kwa lane yake na aamini tu katika imani take tuache kuchambana and yet nobody knows the truth hata huyu anayeongea hamna anachokijua yeye pia
@NgengeMkeni-uo5hq
9 ай бұрын
@@fayverenah Shida ni moja, Waislamu walio wengi wanalazimisha kila mtu pasipo kujali imani yake kuamini kuwa Uislamu ndio Dini sahihi. Tofauti na Ukristo kwa mfano ambao unatambua utofauti baina ya imani za watu na kujikita zaidi kwenye kuhimiza *UPENDO* over everything.. regardless of our differences Inshort Wakristo hawana time na Uislamu ila Waislamu wako busy kukosoa Ukristo wakiamini ni jukumu lao la msingi kuhakikisha wanawabadili wengi kufuata Uislamu.
@sikujuachonya
9 ай бұрын
@@agneslozi867❤
@BeatriceBahati-op6gl
10 ай бұрын
Muche mungu mwenyewe atapeganiya taifalake yéyé anilijuwa hakuna wakati yakujeteteya
@peterrevocatus199
10 ай бұрын
Yesu christu mwana wa mungu wa kweli akubariki uendelee kutafuta uchochezi wa kidini wewe vita inakuhusu
@swafiirbulbul819
10 ай бұрын
Mbona hamueleweki.. Yesu ni Mwana au Mungu ..!??
@neemamajana3078
10 ай бұрын
Haya maislamu muda wote yanawaza vita, sasa huyu Sure sijui anapigana na nini? Walimtukana Yesu akina na ni na Imeandikwa wapi?
@swafiirbulbul819
10 ай бұрын
@@neemamajana3078 Hueleweki ulichokiandika ..
@agneslozi867
10 ай бұрын
@@swafiirbulbul819yesu mwana wa mungu sio mungu nani alikwambia ni mungu Jamani
@agneslozi867
10 ай бұрын
@@neemamajana3078yani hawa wangekua mungu cjui watu wangekua vipi yani wanajitia kujua dini sanaa
@Moon-146
10 ай бұрын
Pole kweli hatuko sawa
@listonjiwe3467
10 ай бұрын
Waislam wanapotoshana sana mpaka wanawachanganya waimini wao kila shehe anakuja na uongo wake na hadidhi zake tatizo si kwamba hawajui ukweli bali hawautaki kwa sababu ya imani yao israel itasimama kama taifa milele
@hajiameir8688
10 ай бұрын
Shekhe Kwa taarifa yako hakitasimama kama mpaka mpigane na mayahudi na mtawashinda kwahivyo ndugu taifa la izraeli litaangamia tu
@NgengeMkeni-uo5hq
10 ай бұрын
@@hajiameir8688Mmerithi chuki toka kwa Hagar (kijakazi wa Sarah) mpaka leo mnapambana kuangamiza kizazi cha mteule wa Mungu Isaka. Sasa kwa taarifa yenu, mtapambana sana ila hawatashinda. Walishindwa tawala za Babylon, Persia, Pharao na kina Hitler sembuse nyie😂
@AnnaSanga-bs7pl
10 ай бұрын
Mbona hamfundishi kutengeneza majii makata na jini maimuna
Uchochezi kwenye dini sio nzuri uzuri wakristo ni wapole hawana uchochezi
@JaziraMustafa-g9p
5 ай бұрын
Ni kweli wskristo no wastaarabu na watu wa amani kwa kule kumuua Sadam Hussein kwa k7mshingizia uongo na mwisho wa siku ikajulikana kuwa ni uongo. Kuwa hakuwa na silaha za maangamizi.Jee kule kumuua Gadaffi jee?Jee Wakristo wamarekani kuunda na kudhamini makundi ya kigaidi na kuwasingizia waislamu hiyo ni amani na ustaarabu.Hakika katika watu washenzi na wahuni ni nyinyi wakristo wauwaji wakubwa muliwauwa wajapani kule mamilioni ya watu,wafilipino,waajentina,na wengi wengi sana.
@hassangalgallo8496
10 ай бұрын
Genesis 16:1-9 Hajiri ni mjakazi wa Sarah,hakuwa bibi mwenza
@salumsodangu1372
10 ай бұрын
Elewa we kijana hajakataa kwamba Hajira si mjakazi.Alikua Mjakazi lakin Sara alimuamulu Nabii Ibrahimu Amchukue awe mkewe ili mzalie mtoto
@hassangalgallo8496
10 ай бұрын
@@salumsodangu1372 wewe ndio uelewi soma MWANZO 21:8-21, inasema Abraham alimfukuza hajiri naye akapotea katika janga la Ber-sheba
@jannffer
4 ай бұрын
Kuna mungu binguni mwenye uwezo na mamulaka
@KennedyThemistocles-ko4ji
9 ай бұрын
Yesu anawapenda
@festinamwakipale3919
10 ай бұрын
Yaan mnaandika yesu ni.mtoto wa zinaa kizazi cha nyoka Wana wa manyoka hata angekuja leo akaanza Moja kukataa dhambi mtaungana mumuuwe tena mmetia.aibu na mwandishi.wako mm kama mwandishi siwezi kubali kuandika daa.dunia imelaaniwa
@stevensosipita
10 ай бұрын
Hakika
@EmmanuelParnyombe
10 ай бұрын
Israel kweli imefanya jambo.Leo wameamua kuhubiri kwa kiswahili,si Alah Wakubar. Bwana Yesu asifiwe sana.
@pilotclassic4468
10 ай бұрын
Wewe una chuki ya kidini. Waisraeli unaowapenda wewe wengi ni wayahudi hawamuamini hata huyo Yesu, hawamtambui kama ni mtu wa imani wanachoamini wao alikuwa jambazi tu mpotoshaji, ufunguke uone japo kidogo usiwe na chuki ya kidini, uislam unamkubali kristo kama masihi wa Mungu na mkombozi halali wa wana wa Israeli katika nyakati za utawala wa warumi Yerusalemu ukombozi wa kifikra na kiimani kupitia injili, ila wewe unajifanya unawajua saana waisraeli
@asina9hkewxahyakubog713
6 ай бұрын
Masha Allah
@isaacmwaipopo
10 ай бұрын
Juzi Waziri Mkuu wa Israel alisema Israel ni kwao na akimwambia Mwandishi hakumbuki historia ya Yesu ambaye alikuwa ni Rabi wa Kiyahudi. Means wao pia wanamtambua Yesu.
@allensengati8803
9 ай бұрын
YESU akusamehe maake hujui unachokisema
@MAKANGESTEVEN
Ай бұрын
Waambie waelewe hao
@listerchiluka8633
9 ай бұрын
Biblia ipo wazi, Musa alizikwa na Mungu na hakuna ajuae kaburi la Musa.
@AbdonJonathan-r1w
8 ай бұрын
Wakristo tunajua.kwanini waislael hawamwamini yesu, baadae watamwamin. hao watu waMungu mnaowadanganya nakuwafitinisba na taifa la Mungu dam yahao mamuma mnaowadangañya itadaiwa juu yenu
@jamalabdul5336
10 ай бұрын
Mayahudi. Ndyo. Magaidi
@bonabonala5559
10 ай бұрын
mimi mayahudi ni ndugu zangu kuriko waarabu ni magaidi wapigwe wote mpaka kufaa magaidi waarabu mayahudi kwangu oyee wapigwe parestina ameni
@rukiaiddyyahaya9506
10 ай бұрын
Shetani wewe walikufanya nini mshirikina wewe
@stephenmwithii6765
10 ай бұрын
Wewe ni mjinga wa wapi?
@RamadhaniMtoro-jb5kb
10 ай бұрын
Acha upumbavuwewe kamanihakiyao basi Allah atawajaalia ila dunianitunapita
@rukiaiddyyahaya9506
10 ай бұрын
@@stephenmwithii6765 mjinga wa baba ako mie
@Ramsomoviereview
10 ай бұрын
Kwani Gaidi maana yake nn usije ukakuta hata ww nigaidi
@jobmwakipesile9903
10 ай бұрын
Yani waislamu ndo mnalishanaga madudu na matakataka kiasi hicho......😢
@AibotTech-s1i
9 ай бұрын
Umemsikia😂 embu fikiria huyu ndio mwenye elimu halafu anakwambia Esau ana haki ya kurithi ardhi ya Isaka na Ibrahim
@ramawilson3709
10 ай бұрын
Ila kama kweli mungu angekuwa na dini ya kiisilam kwa matendo tu yenu na mafundisho huyo mungu mwabuduni ninyi wenyewe nipo tayari kwa lolote kuliko kufuata mafundisho ya kinafiki mliyonayo
@mkuyukasulu9841
9 ай бұрын
Sule mwongo xana
@adrianmgode6409
10 ай бұрын
Kwanin waislam kila siku mna deal na mambo ambayo haya wahusu kwanini msi deal na mtume wenu ni kwamba hamuiamini dini yenu ndiomana kila siku ni kutafuta kuchafua wengine mambo ya wamama wa uswahilini kwenye dini Sema Wakristu wastaarabu sana kizuri kinajiuza siku zote hakitegemei kuchafua wengine
@ramdhwaOmary
10 ай бұрын
Hujamuelewa ww sikiliza Kwa making,hajasema wakristo amesema mayahudi!!!
@NgengeMkeni-uo5hq
10 ай бұрын
Chuki zenu dhidi ya Wayahudi kamwe haiwezi kushinda upendo wa Mungu. Mtapambana sana ila hamtashinda
@RobertBitambaOfficial
10 ай бұрын
Mimi ni mkristo huwa nawauliza wakristo wenzangu wamesoma history ipi inayonyesha wale tunaowaona pale Israel ndo wayahudi wanaosemwa katika biblia.
@manenoagrey1519
10 ай бұрын
Ukiona wanapigwa vita basi hao ni wenyewe hasa
@machoguhameri7757
10 ай бұрын
Mtatoa povu sana lakini hamgeuzi nia ya Mungu na upendo wa Mungu juu ya Israel.Lama wayahudi siyo watu wa Mungu Mbona ninyi mnasema ni wacha Mungu; Mbona Mungu hawawezeshi kushinda Israel,?
@jumamgwami-px7ls
10 ай бұрын
Uelewa wenu ni mdogo sana, mko kama kondoo mnashindwa kutafuta ukweli, mshalishwa matango pori, walioutafuta ukweli weshama huko. Tena viongoz wenu.
@machoguhameri7757
10 ай бұрын
@@jumamgwami-px7ls wewe huwezi kupingana na Mungu juu ya Taifa lake Israeli soma som vitabu vyote vya Musa kuanzia Mwanzo hadi kumbukumbu ya Torati hakuna mahali Mungu aliwahi kusema Wafilisti ni Taifa lake zaidi ya Kuwaita Kuwa ni Makafiri wasiotahiri Magovi ya miwili yao.ukitaka mistari nitakupa
@jumamgwami-px7ls
10 ай бұрын
@@machoguhameri7757 mataifa yote yaliyopo hapa Dunia I ni ya mungu, elewa hilo kwanza, lakini pia katika historia ya vitabu vyote vitakatifu hakukuwa na nchi iliyoitwa Israel, kiufupi hakuna taifa la mungu liitwalo Israel labda kwenye vjtabu vilivyochakachuliwa,.mitume wa mwenyez mungu wametoka kwenye nchi mbali mbali, mfano hata Ibrahim au Abraham kama mnavyomuita ambaye ndiye mwenye uzao huo asili yake ni hii nchi inayoitwa irak sasa hiv, usisimamie upande mmoja tu, ukitaka kuelewa jambo kwa uhalisia sikiliza pande zote, ukimchikia huyu mtoa Mada utaishia kuwa mbishi tu. Hao wayahud mnaowatetea mungu alishawalaani kwa kukiuka maagizo yake na ndio maana hata walipoletewa yesu kama mkombozi wao walimsulubu. Mpaka leo pale mnapopaita Israel wakristo hawazid asilimia tatu, jiulize hiyo maana yake nini.
@jumakalaye2792
10 ай бұрын
Unauhakika gani kinachofanywa na isirael ni mapenzi ya mungu? Kwani wanaokufa wameumbwa nani?
@machoguhameri7757
10 ай бұрын
@@jumakalaye2792 soma yoshua 23:3-12"maana Bwana aliwafukuza mbele yenu mataifa yaliyo hodari kisha wenye nguvu lakini kwenu ninyi hapana aliyesimama mbele yenu hata leo. Mtu mmoja miongoni mwenu alifukuza watu elfu.Maana ni Bwana Mungu wenu ndiye anayewapigania"
@zahraalbaloochi2841
9 ай бұрын
Mayahudi Kweli hawamjui Yesu dini yao peke yao hawajiiti wakristo
@nasibubashiri1435
7 ай бұрын
Hivi hadithi na historia za zaman zinatufunza nini katika maisha haya uhalisia ,zaidi ya kutufariji na kutudumaza akili
@KelvinKarisa-ov4xl
10 ай бұрын
Acheni kusumbuana hapa someni hiki kitabu YOSHUA 13 kuanzia moja waizirael wako na haki ya kupingania hiyo ni sehemu yao
@AnnaSanga-bs7pl
10 ай бұрын
Mungu awabariki yesu awafumbue macho
@sammarley1413
10 ай бұрын
Bali mungu amjalie yesu ajicomowe misumari msalabani
@JacklineDaudi-tf2du
10 ай бұрын
Bila iman ya kikristo au bila Yesu iman zingine ikiwemo ya ndugu zetu hawa hawawez kuendesha mihazara yao ila cc wakristo Yesu mwenyewe anatosha kuhubiriwa
@ProsMurshd
10 ай бұрын
Wayahudi Hawana Din???
@mariammanyama7290
10 ай бұрын
Swali lako nimelipenda ....anaejua aje ajibu tuelewe
@Harrison-zh9sb
10 ай бұрын
@@mariammanyama7290 wayahudi ndio dini Yao Wana wa Israeli yaani Hilo neno uyahudi ndio dini Yao kama vile useme ukristo au uislamu wao wanaita wayahudi au dini yakiyahudi
Wewe kwa bibilia ni gumbaru au una njaa?? Eti Yesu ..... Mbwa jalala Wewe utamshawishi nani na ugumbaru wako endelea kulidondoshea mate ESRAEL
@nicksonlyimo1562
10 ай бұрын
Ni vema Biblia kuhubiriwa na Dr Sule msikitini wasijesema hawajawahi sikia
@SandegeMdoe
10 ай бұрын
Alhamndulilah
@NgengeMkeni-uo5hq
10 ай бұрын
Halohaloo chuki yenu haiwezi kushinda upendo wa Mungu😂😂
@ibrahmpinga380
10 ай бұрын
Ustadhi story umeunda unda lakini inanoga 😂
@alfrdmahiya1467
10 ай бұрын
Wayahudi maana yake ni wana wa Yuda. wakati ule waliitwa Wayuda mji wao uliitwa yudea. kwamaana hiyo Wayahudi kumkataa YESU hakuwabadilishi na kuwa kama unavyowaita watabaki kuwa wayahudi walewale watoto wa Ibrahimu na wa Isaka na Yakoboko tusipotoshe ukweli huu kwa Waisrael. Mungu anasema hivi: atakaye mbariki Israel atabarikiwa na atakaye mlaani atalaniwa. Kuwa makini.
@ellyjaccob9970
10 ай бұрын
Wislamu kwa kuremba maneno uislamu umeanza miaka 600 baada ya YESU iweje mtume aje stori za miaka 600 afundishe wakristo mmekopi vittu ambavyo kimsingi mtume havijui kwani mtume hakusoma alikuwa maamuma jina lake mwenyewe hawezi kuandika ninyi ni wazee wa hadithi mkihitaji kumjua MUNGU someni biblia
@bensonmutambo
10 ай бұрын
Mbona kuna muungano ndhidi ya hawa watu lakin munarandwa vile vile
@selinathomas-p7u
10 ай бұрын
Huyu Yesu ndiye mtakayemuona siku ya hukumu sasa sijui itakuaje?
@loner_wolf
9 ай бұрын
WAKRISTO WANAAMINISHWA KANISANI KUWA UISLAM ALIKUJA NAO NABII MUHAMMAD (saw) ....lakini , Muhammad hakuleta uislam isipokuwa aliteremshiwa QURAAN . na Quraan ni kitabu tu kama ilivyo Injili ,Zaburi na Torati , ambavyo vyote vinafundisha uislam ,yaan kunyenyekea amri ya mwenyezi mungu mmoja asiyekuwa na mshirika ,muweza wa yote aliyeumba dunia na vyote vilivyo ndani. Mungu anaharamisha pombe akisema ni kazi ya shetani lkn mkristo anaamini muujiza wa kwanza wa Yesu ni kubadiri maji kuwa pombe na bado watu hawastuki tu , Luke 1:1 inatwambia jinsi biblia ilivyoandikwa na inasema hakuna Roho mtakatifu aliyehusika Bali ni tafiti na hadithi tu lkn bado wanasema hiki ni kitabu cha mungu....hahahahaaaa
@lusekeloemmanuel4569
10 ай бұрын
Acheni mambo ya ajabu na mipango ya hovyo
@zakayolazoro48
10 ай бұрын
Korowani haisemi ukweri hapo anasoma bibiria yote hiyo bibiria ira tatizo siyo wao tatizo ni Hawa jama ukitaka Kujuwa Yesu na muhamadi nani wakwanza niyesu kwahiyo wisiramu pasina Yesu Hapana isitoria wamechukuwa bibiria wamegeuza majina Kira nabi razima au arahi ndo awe nbi kwahiyo korowani inaamini manabi au
@paulosamwel9853
10 ай бұрын
Anachokiongea kipo sahihi ndio agano la kale katika kitabu Cha Musa kiitwacho Musa. Yupo sahihi
@listonjiwe3467
10 ай бұрын
Anawahadisia maamuma hawa ndio wanaopotosha kweli ya mungu wanajalibu kupambana na mungu wakiwa hapa duniani
@hemedbamja3197
10 ай бұрын
Google sensa ya Israel ya 2021(religion structure) uone wakristo ni 1.9%; na Judaism ni 78%. Sasa sijui huwa mnabariki Israel yupi asiyemkubali yesu,ewe usiye maamuma
@J4UPro
10 ай бұрын
Huyu hajui chochote
@NgengeMkeni-uo5hq
10 ай бұрын
Hawa ndio wapinga Kristo wenyewe
@frankjohn8706
10 ай бұрын
Mungu amesema abarikiwe anaembariki Israel na alaaniwe anaemlani Israel
@hemedbamja3197
10 ай бұрын
@@frankjohn8706 : ndipo nami nikauliza ni yupi haswa?hawa kina netanyahu? Maana 78% ya wayahudi hawamuamini Yesu na wanapinga Imani ya kikristo. Je ndo hao mnaotakiwa kuwabariki ama kuna wengine?
@festinamwakipale3919
10 ай бұрын
Sioni wanadamu mnachojivunia mm sion kinachowapelekea kuandika yesu ni mtoto wa zinaa what?
@musapfute6608
10 ай бұрын
Mara 100000000000, nibadili iman niwe myaud kuliko kua iman fln imejaa ubinafsi na chuki iliyopindukia
@faithfaith-zr6gz
10 ай бұрын
Kawaida ya watoto wa kijakazi, Wala hata usije maaana huku hakuna kufuga maruhani, Wala kuchoma ubani kuwaita mashetwani kuongea. . Huku ni free from GOD
@faithfaith-zr6gz
10 ай бұрын
Chuki mnazo nyinyi mnaochinjana chinjana na kujilipua lipua eti thawabu.
@mkude
8 ай бұрын
@@faithfaith-zr6gzwewe unachuki sanaa na muongo sanaa kwanza dini ya muislamu Haina sifa hizo unazosema wewe,je ningetoa sifa ya dini yenu na vituko vya viongozi wenu patakuwa hapatoshi hapa,halafu huyo unaemjibu ni mkiristo kama wewe sio muislamu
@faithfaith-zr6gz
8 ай бұрын
@@mkude Jiteteeee Mtukuze MUNGU JUA,, Mambo gani ya kufuga maruhani na kufusha fusha miudi,ubani, Mara Pete,chano, maoepo mnautwa malaika wazuri,, hivyo vinavyopandaga kichwani mnavipa ubani au zafalani Ni vitu gani!?? Wewe tushatoka Huko sisi,, Kama unaona kwako Kuna faida na kuzuri Kaa kimya, usijihesabie haki eti upo salama, Mbinguni atuendi kwa dini yoyote ni matendo yako,, Dini ni taasisi tu za kutuweka ktk kujua kanuni za MUNGU, Wote tuna haki mbele ya MUNGU... Angalia moyo wako Na Imani yako c dini.
@faithfaith-zr6gz
8 ай бұрын
@@mkude Mimi sitishwi na mtu kujiita mkristo, Anaiweza kuwa mkristo jina na hana kanuni za UKRISTO.
@jacobkihanga5455
10 ай бұрын
Naelewa sn uislamu ee mwenyezi mungu nijarie roho yakuingia ktk uislamu
@NgengeMkeni-uo5hq
10 ай бұрын
Yaani ukiziainisha sifa za Mudi na Yesu Kristo wallah ni wazi kuwa Yesu ni Bwana. Mfano mdogo tu; > Mudi alioa mtoto wa miaka 6 (Bi. Aisha) na alijamiiana nae akiwa na miaka 9. > Mudi aliuwa watu zaidi ya 3,000 katika vita zake za Jihad. > Mudi alielekezwa Waislamu waoe wake wanne (4) ila yeye alikuwa na wake zaidi ya kumi na tatu (13). > Mudi alikuwa anamiliki watumwa na alikuwa akifanya nao ngono kila anapojisikia. > Mudi aliruhusu waislamu kutumia uongo (taqiyya) pasipo kujali kuwa ni dhambi. > Mudi aliruhusu maswahaba wake kuwabaka na kuwachukuwa utumwa wanawake waliowapata mara baada ya kupiga vita za Jihad. KWA HAYA MACHACHE TU WAWEZA KUONA MUDI ALIKUWA NI MTU WA AINA GANI😂
@MohamedMohamed-u3t1n
8 ай бұрын
@@NgengeMkeni-uo5hqmoyo wako umejaa chuki za ukafiri huwezi kuzuia nuru ya uislam hata ukiangalia wanaosilimu duniani ni wengi na huyo yesu unaemuita mungu wako sisi ni ndugu yetu muislam mwenzetu nabii wa mungu
@NgengeMkeni-uo5hq
8 ай бұрын
@@MohamedMohamed-u3t1n Kwanini Mtume Muhammad alimwingilia mtoto wa miaka 9 kama sio ubakaji?? Jibu swali acha blah blah.. yaani kweli kwa akili zako timamu unaweza kumuozesha mtoto mdogo kama huyo? Nuru ipi hiyo unazungumzia? Ya kubaka watoto au?
@MohamedMohamed-u3t1n
8 ай бұрын
@@NgengeMkeni-uo5hqadam alimuingilia mtoto wa siku moja kuzaliwa hawa alizaliwa siku hiyo hiyo akamuingilia siku hiyo hiyo akapata mimba siku hiyo hiyo mambo ya nabii unataka yawe kama wewe tatizo lako
@MohamedMohamed-u3t1n
8 ай бұрын
@@NgengeMkeni-uo5hq ukijibu kwa nini adam alimpa mimba mtoto wa siku moja utapata jibu kama utaacha jazba
@luckymwakyoma2746
9 ай бұрын
Kwanini watu mwapoteza muda kwa kutaka kujua dini ipi tunastahili kuiamni ili tuwe na mwisho mwema,badala ya kufundishana watu kumwamini MUNGU na kutubu,ndiyo maana hakuna kitabu cha dini kinachosema dini hii itakupeleka ahela,ama mbinguni,cha msingi ndugu zangu tumwamini MUNGU kepee na tuishi ktk kweli hiyo tutende yampendezayo MUNGU,kisha kila siku tusiache kutubu,hizi dini zote unazo zijua na usizo zijua ,zilizo anzishwa na ambazo hazijaanzishwa hazita tupeleka popote, Sababu dini hizi hizi zimekuwa ni Sababu kubwa za watu kutenda mabaya,dini hizi hizi hazina upendo hata kidogo
@adadiissa8510
8 ай бұрын
We dini huna soma ujue ipi dini ya haki
@isakajunior7139
6 ай бұрын
Unasema hakuna kitabu kinachosema dini hii itakupeleka akhera au motoni? Umesoma vitabu vingapi? Au unatumia akili yako kuandika unachowaza,Rudi darasani ukasome upya dini huijui
@newgarden8036
10 ай бұрын
Shekh nikusaidie. Waliotumwa kupeleleza nchi ni 12 siyo 24
@MaryWuantet
10 ай бұрын
Thank you for the point of correction
@NgengeMkeni-uo5hq
10 ай бұрын
Tatizo anatumia Biblia asiyo hata ijua😂.. yaani ukweli ni kwamba Uislamu bila Biblia na Hadith za mtume za kutungwa hautoboiii
@experiusmrefu1003
10 ай бұрын
Hata wayahudi ndio waliomsulubu YESU na Bado Sisi wakristo tunawapenda Wayahudi na Wala Hatuwezi kuwachukia coz ni taifa teule la MUNGU licha ya kuwa wakaidi na wabishi na Wala Hadithi zenu haziwezi kutubadilisha Chochote.
Yan hata akiwepo muyahudi mmoja anaemkiri YESUKRISTO inatosha
@gosbertmuta5421
10 ай бұрын
@nassiriabdallah9017 ilibd iwe hvo
@sameerbaksh98
7 ай бұрын
Tatizo elimu ndogo sana fatilia chanel ya middle east zionist wanamtukana mpaka yesu na wanalipua mpaka makanissa
@healthandscience1996
7 ай бұрын
Ndo maana zinaitwa hadithi walitoa jina abunuasi aidha si Neno la Mungu
@NNCTVnewnurucinema
6 ай бұрын
Je unaitaji Dua kwa shida na maradhi yanayokusumbua ?kzitem.info/news/bejne/uYVvuXeYfZuEpqQsi=XG1OTgTd6QyJDjUR
@singanoatanasi1994
10 ай бұрын
shehe hayo uyapati kwenye korani yaani Biblia ndo kila kitu kibaya mnapindua aya zake umesoma ndo unawaadithia wenzio kwa kua umechaguliwa uongelee swala hilo kwakua jambo lilivotokea sasa . shehe na nyie mnamkubali Yesu Kristo apo msikitini? acha unafiki shehe
@SizaAyub
10 ай бұрын
Unasema Nini vile? Suratul Ibrahim ipo ndani ya Quran inaeleza Kila kitu, anachokieleza sie kwetu sio jipya tunasoma tangu wadogo mpaka tunakua, vyote tunaelewa na huo ndio ukweli, hauupati ila kwenye Quran❤❤❤
@singanoatanasi1994
10 ай бұрын
@@SizaAyub sasa ndugu unavodhani huyo ibrahim alie kwenye korani ni sawa na yule wa Biblia ? ukijua ivo ndo utajua kwanini wakiristo wale ambao ni waelewa kwanini wametulia kuhusu ugomvi wa palestini na wayahudi kama wameupa kisogo jiulize kwanini wakiristo wametulia wamewaacha nyinyi ? yaani jiulize au unavodhaani mfano Yesu aliezaliwa chini ya mtende kwa mujibujibu wa korani ndo yule YESU KRISTO aliezaliwa Bethelehemu ? ndo uone jinsi wakiristo waelewa wenye kufatilia nukta hadi nukta wametulia ukweli upo ingawa utachelewa kidogo tu ndugu tusubiri
@kasindejonathan978
8 ай бұрын
Hayo yote umeyasoma katika biblia halafu mnasema si kitabu cha mungu .msidharau vitabu vya wenzenu ila lengo ni kufika mbinguni acheni dharau.yaliyomo ktk koroani ndio yaliyomo katika biblia tuelewane tu mungu ni mmoja tu ila Yesu ni mfalme wa wafalme hana mpinzani atatuhukumu sote..
@MilajiHaji-f8f
6 ай бұрын
Bibilia nikitabu chanan na kimeshushwa na nan
@IvanChrisantus
6 ай бұрын
@@MilajiHaji-f8f unaushahidi gani Quran ilishushwa
@hassanjonas1491
25 күн бұрын
Wewe yesu mungu gani aliyo zaliwa ?
@chikwela
12 күн бұрын
Msisahau Yesu mwenyewe walipokuwa wakimsujudia aliwakataza na kuwaambia msujudieni Baba ambaye ni Mungu
@akiliiddtuliza418
10 ай бұрын
Ma Sha Allah umeelezea vizuri Dr. Sulle. Allahu Musta'an
@charlesopudo7192
4 ай бұрын
Hubiri uislamu, wachana na wakristo, wako sawa vile wako. Mind your own business.
@ramadhanjuma610
4 ай бұрын
Tuna ubiri Dini yeyote so ukristo peke yake kama utaki jinyonge
@elizabethdamas-zp9xl
4 ай бұрын
ifike mahali kila mtu aongelee din yke na kila mtu aishi kwa kadri ya imani yake sababu dini haimpeleki mtu mbinguni bali ni matendo yetu 🙌
@ramadhanjuma610
4 ай бұрын
Toa andiko linalo sema Dini aimpeleki mtu mbinguni acheni kuropoka wakristo
@MohamediOmari-nz4vv
4 ай бұрын
Wakristo wenyewe awaiamini dini yao
@pastorjully3657
10 ай бұрын
Tatizo ni kuwa Mungu aliwaambia waisrael waangamize wote wasibakize hata mmoja.na kama watabakiza basi watakuwa miiba kwao nayo hiyo miba itawachoma.
@MohamedAhmada-ie7ke
10 ай бұрын
Dah ndio kitabu icho kina amrisha kuuliwa watu wasio na hatia eety wauliwe wte, sjawah kuona watu wajinga kwma nyie dah
@frankdanford8245
10 ай бұрын
@@MohamedAhmada-ie7keukisema hivyo je historia ya lusifa kwenye Quran inasemaje? Jibrii si alimuonea huruma lusifa akamchukua na kumpeleka mbinguni akiwa mdogo Mbona amekuwa ni mwiba wa ulimwengu huu? Au Quran haisemi hivyo???
@Ramsomoviereview
10 ай бұрын
Mungu hajaagiza jambo kama hilo ila hayo ni maneno ya mtu aliyeamua kuandika katika biblia kwa manufaa yao binafsi
@Ramsomoviereview
10 ай бұрын
NAKUPA FAIDA YA BURE KAMA KWELI UNATAKA KUELIMIKA GOOGLE VIONGOZI WOTE WA ISRAEL ALAFU ANGALIA KAMA KUNA KIONGOZI WAKISERIKALI AMBAE NIMUISRAEL NIKO HAPA NAKUSUBIR ALAFU UJE NA MAJIBU KWANII IPO HIVYO NAJE KWANN TAIFA LA ISRAEL LIMEPIGA MARUFUKU RAIA YEYOTE WA ISRAEL KUPIMA DNA WANAOGOPA NINI
@benjaminmunyao4301
9 ай бұрын
@@MohamedAhmada-ie7kewe do mjinga zaidi
@Mponzi22
10 ай бұрын
Muda mingine fundisha watu kuhusu imani maana wewe umekazana kuhubiri dini kuna mambo mengine nikazi ya Mungu mwenyewe
@AbdulIssa-o7e
6 ай бұрын
Ishallah Allah akujaalie kuwaelimisha wasojuwa
@porthealth4838
10 ай бұрын
nyie pigeni kelele wenzenu wanakunwa huko,nyie mmebaki perepere mingi
@NgengeMkeni-uo5hq
10 ай бұрын
😂😂😂 mikuno imaendelea Gaza huko
@lucksonsikaona505
10 ай бұрын
Wayahudi tunao wasoms kwenye bibilia ndio hao hata mungu ukifanya zambi anakuazibu ndio maana mungu amewaazibu waparestina Kwa kutenda zambi ya kuivamia Israeli hapo waislamu munapigana na mungu wa Israeli aliye hai na mutahangaika sana na jibu hamutapata ila mutaishia kuchapwa na wayahudi taifa teule la mungu
@ndekemwaifyusi8499
10 ай бұрын
Unaongea kama upo usingizini Israel bila Wazungu hawana kitu. Wapalestina hawana silaha. Itokee waruhusiwe kuwa na silaha sawa. Hawezi Mziki wa Wapalestina. Na unaposema Wayahudi ni Taifa teule vipi Hitler aliweza kuwateketelza zaidi ya Milioni 7.
@ahmedhamis
10 ай бұрын
Israel hii si taifa la mungu.maana haimuamini mungu
@davidwambura5915
10 ай бұрын
Mnaikataa Biblia halafu mnaitumia kwenye mahubiri yenu, Biblia ndo kila kitu.
@shabanikavula1304
10 ай бұрын
Wewe HAKUNA MUISLAM anaepinga biblia ..Ila hii uliopo imechakatwa sio HALISI.na USHAHIDI UPO 100% waislam hawaamini yaliochakatwa.msikie ASKOFU Anthony lusekelo anasema WAZI WAZI kasoma biblia na anadiploma lkn UKRISTO imechakatwa na wazungu
@daudinyello4033
10 ай бұрын
KITABU KILA MARA KINAHARIRIWA NA WAZUNGU, UTASIKIA "NEW EDITED HOLY BIBLE" YAANI TOLEO JIPYA LA BIBLIA TAKATIFU ila mnaita agano jipya ili kupunguza ukali wa maneno na tafsiri halisi
@nathankihiyo6194
10 ай бұрын
walimsurubisha Yesu hatukuwachukia iweje leo tuwachukie kwa maneno ya kulishwa? Bibilia ndiyo kiongozi wetu.
@kangchi3049
10 ай бұрын
Toka huko njoo huku ,huko hampati mahubiriokama haya
@mfukunyuzi8335
10 ай бұрын
Siku si nyingi YESU ANARUDI,mtakuja kumuelewa tu
@singanoatanasi1994
10 ай бұрын
kweli watamuelewa ndugu maana ufahamu wao mdogo kihistoria mpaka kidini na kiroho
@JeanMuzaliwa-bs6qh
10 ай бұрын
barikiwa sana mpendwa umenena vyema!
@swafiirbulbul819
10 ай бұрын
Sote tunaamini kuwa Yesu anarudi.. WAISLAMU na WAKRISTO. Tumsubiri arudi 😂😂 .. Aje atueleweshe YEYE ni Mungu, Mwana au Nabii ... 🖊 ... Atueleweshe pia, Je alikufa na kukufuka .. (Nani alimuuwa na kumfufua) ... 🎉 Bila Shaka majibu atakuwa nayo..
@SelestinaHamisi-ju8rx
10 ай бұрын
Waache kudadeki iyo siku naitamani wamezidi kumsimaga YESU
@swafiirbulbul819
10 ай бұрын
@@SelestinaHamisi-ju8rx Siku unayoitamani, ni hiyo Siku ambayo Yesu atakukana kwa nguvu zote kuwa hajui utokako.. Msitie aibu vijana Born again Christians, Waislamu wanataka kujibiwa hoja zao zenye mashiko.. Huwez kusema: "Ngoja tu, Yesu anarudi, ngoja tu" Hii ni kuonyesha udhaifu wa hoja, ufahamu na Maarifa.. KAENI MSOME, MUMJUE MNAEMUABUDU.. (Yesu au Baba yake ..??!!) Au wote wawili or 2 in 1..🖊
Kwan wewe inakuhusu nini......ndo maana africa hatuendelei kwasababu sisi ni watu wakufatilia maisha ya watu kaa chini utafute hela sio kufatilia watu.......tafuta hela achana kufatilia maisha ya waisrael na wapalestina ambao huwez kuwaongezea kitu wala kuwapunguzia tafuta hela mzeee achana na maisha ya wenzako na stori za vitabu vya dini ...........
@chebielkasabiy1387
9 ай бұрын
Je na ww umecoment hapo inakuhusu nn
@estermgoma7451
10 ай бұрын
Nyie lumbaneni tuu ila yale mengine tunayo jiuliza majibu anyone Mungu cha msingi tuu Mungu atusaidie twende hapoo anapo hitaji tufike
@LastdayJesu4153
9 ай бұрын
Nimependa hiyo ...anapotaka tufike
@mussamssuya3051
7 ай бұрын
Hamjielew nyie
@sadri_khan9319
6 ай бұрын
Hata na wewe pia unayo majibu maana umefanywa kua ni kiumbe bora na ukapewa akili utakosaje majibu
@ramadhanwilbard8196
6 ай бұрын
Kila mtu anayo akili na maarifa lakini ufahamu unatofautiana kila mtu anajifunza kwa mtu anaemuona anamzidi maarifa!
@JacklineDaudi-tf2du
10 ай бұрын
Unaingia alafu unatokaa...ninyi wote mmetokana na mtoto wa nje ya ndoa KWA Ibrahim
@lavieestbelle3263
10 ай бұрын
Yani kitabu kilicho ingizwa mkono wa mwanadamu lazima kiwe na kasoro tuu... hivi kwaakili yako nabii wa mwenyezi Mungu anaweza kutenda dhambi kubwa kama ya uzinifu???? Acheni kuwachafua manabii huyo ni Ibrahimu sio mwamposa, luka ama zumaridi ikichunguze upya kitabu chako.
@Microsoftznz-eq8vf
10 ай бұрын
Yaani wee unathubutu kusema nabii Ibrahim ni minifu? Subhanallah
@nemeskulaya3962
10 ай бұрын
@@lavieestbelle3263 hakuna nabii asiyekuwa na dhambi. Suala la kuzini sio ajabu kwa nabii. Yesu mwenyewe walimwita mwema akawajibu hakuna aliyemwema ila Mungu peke yke. Shida yenu manataka kuhalalisha uzinifu wa nabii ili muwe watoto halali wa ndoa, hilo halipo. Subirini Yesu arudi ndo mtajua hamjui!
@zahraalbaloochi2841
9 ай бұрын
Kwanza kasome jifunze dini yko sio kupayuka ovyo tu
@mussaissa6796
7 ай бұрын
MWEHU WEWE UNA MAANA IBRAHIM ALIKUWA MALAYA SIO!! HUO UTAKATIFU ANGEUPATAJE KWA KUVUNJA AMRI ZA MUNGU!! WEE UNADHANI MUNGU NI KAMA MJOMBA WAKO TU, KIASI KWAMBA ANAWEZA KUKUACHA UHARIBU MAMBO HALAFU UWE MTAKATIFU!! NDIO MAANA KWA KUCHUKULIA MAMBO KIRAHISI RAHISI TU, UNAZINI, UNAUA, UNAIBA HALAFU UNATEGEMEA JUMAPILI UKAMWAMBIE PADRE AKUFUTIE MIDHAMBI YAKO, NA KUKUTANGAZIA MSAMAHA!! YAANI WEE MZINIFU UKAFUTIWE MAKOSA YAKO NA MZINIFU MWINGINE!! NDIO MAANA DINI YENU NI RAHISI SANA KWA AJILI YA KUCHUKULIA MAMBO KIRAHISI RAHISI TU.
@stevensosipita
10 ай бұрын
ACHENI UPUMBAVU NA KUFURU MTAINGIA MOTONI WOTE TIMU SURE TIMU MAZINGE NK YESU KAZALIWA KWA UWEZO WA MUNGU HIVYO NI MWANA WA MUNGU WALA SI MUNGU BALI NI MTUME KAMA MITUME WENGINE ENDELEENI KUMPONDA SIKU AKIRUDI MPONDENI HIVYO HIVYO TENA NAWAPA POLE JEHANNAM INAWAHUSU.
@NgengeMkeni-uo5hq
10 ай бұрын
Hawa ndio wapinga Kristo wenyewe. Lakini hata ukisoma Quran yao yenyewe imeandika Yesu atarejea siku ya mwisho, sasa waache watakutana nae tu😂
@stevensosipita
10 ай бұрын
@@NgengeMkeni-uo5hq WAACHE SIKU ZIMEKARIBIA HATA HIYO QURUAN YAO HAIMPINGI YESU KRISTO INAELEZA KILA KITU ILA WAO KWA VILE NIWAPINGA KRISTO WANAJARIBU KUIPINDISHA HADI QURUAN YAO DINI YAO SIYO TATIZO ILA TATIZO NI WAO WENYEWE NI WANAFIKI WAKUBWA
@AnnaSanga-bs7pl
10 ай бұрын
Ubarikiwe kwa kufundisha ukristo
@gosbertmuta5421
10 ай бұрын
🤣
@kahindimkamba9275
10 ай бұрын
Abraham hakuzikwa Yerusalem ila Hebron. Soma vizuri usidanganye watu
@NgengeMkeni-uo5hq
10 ай бұрын
Hawa ni wapinga Kristo. Kazi yao ni kupimdisha maandiko ya Biblia kwa ajili ya itikadi zao za kishetani.
@neemamajana3078
10 ай бұрын
Matoto ya kijakazi ndivyo yalivyo, yanajaribu kuitafuta haki kwa nguvu isiyowezekana.
@NgengeMkeni-uo5hq
10 ай бұрын
Wamerithi chuki toka kwa Hagar mpaka leo wanapambana kuangamiza kizazi cha mteule wa Mungu Isaka. Watapambana sana ila hawatashinda.
@jumamgwami-px7ls
10 ай бұрын
Mkiambiwa ukweli mnasimamia ujinga wenu, yesu angekuwa anathaminiwa na wayahud wangemuua kama mnavyoamini, eleweni kuwa wakristo pale Israel ni asilimia tatu tu.
@frankdanford8245
10 ай бұрын
@@jumamgwami-px7lskwani tunagombea au wanagombea dini au aridhi wewe uislamu wako mpaka saahizi umekunufaisha nini? Umerithi nini wewe kwenye uislamu mpaka sasa?
@pilotclassic4468
10 ай бұрын
@neemamajana3078 wewe ni mpotevu wa fikra, unaakili ndogo kama za mabinti wa Lutu.
@pilotclassic4468
10 ай бұрын
@@frankdanford8245 unaongelea manufaa yapi? Manufaa ya uislam yapo ahera tu wala sio fahari za dunia. Sipo kwaajili ya kubishana ila nataka nikueleweshe zaidi alichomaanisha huyo ndugu hapo juu. Wakristo wengi wanahisi kuwa waisraeli wanaambatana kiimani pamoja na wao kitu ambacho si kweli, wengi wa waisraeli ni wayahudi, imani za wayahudi na wakristo juu ya Yesu ziko mbali saana ila imani ya waislam na wakristo juu ya Yesu zinashabiiana kwa mambo mengi ya msingi. Muislam anaamini kuwa Yesu alikuwa ni masihi mteule wa Mungu na alizaliwa kwa muujiza na mama yake, mwanamke bikira Mariamu. Muislam anaamini kristo alizaliwa kwa muujiza na aliweza kuponya wakoma viwete viziwi na kufufua hata wafu kwa Uweza wa Mwenyezi Mungu. Myahudi aliamini kuwa kristo aliyafanya yote haya kwa msaada wa beelzebuli, hakuwa mtoto wa muujiza isipokuwa zinaa, hakuwa nabii wala mwana wa Mungu isipokuwa jambazi, ndio maana walimshusha thamani walipomthaminisha na baraba (mhalifu). Sasa hii ndio taswira halisi ya hawa waisraeli. Israeli ya leo asilimia chache ni wakristo na waislam. takriban asilimia 73.8 ya wakazi ni Wayahudi, asilimia 18 Waislamu, asilimia 1.9 Wakristo, na asilimia 1.6 druze. Sasa wewe unahisi kuwa waisraeli ni ndugu zako wa Damu unaleta chuki ya kidini mpka unauliza manufaa ya uislam. Manufaa ni matunda ya ahera ya kile ulichokipanda hapa duniani. Kwangu kuwa muislam ni zawadi tosha, sihitaji muujiza kuamini Mungu yupo kwani Qur'an tukufu ni muujiza tosha kwangu.
@GeorgeByalugaba
10 ай бұрын
Sio kweli Salah ndie aliemwambia iburahimu mfukuze mjakazi maana moto wa mjakazi hatarisi pamoja na mwanangu
@usaynmakumbo7394
10 ай бұрын
Kajifunze kwanza kiswahili ukishajua ndio uje kwenye mjadala
@mkude
8 ай бұрын
@@usaynmakumbo7394😂😂😂
@abduawesu9165
6 ай бұрын
Nynyi wa kristo mutajuwa wapi dini wakati vitabu vyenu v imejaa propa ganda
@emmacurpanen44
5 ай бұрын
Hizi zote ni stori zilizoandikwa.ukwel anaujia muumbaji
@samuelmbisu3569
10 ай бұрын
What do say he is yourself? He i the prince of life and peace. he holds your life in his fingers. Good thing he fights for himself
@MaaDii-iz3ur
10 ай бұрын
Na nyie mnamuamin muhamad simulete sifa zake hapa,walai yesu ndie mungu na leten ubishi.
@NgengeMkeni-uo5hq
10 ай бұрын
Yaani ukiziainisha sifa za Mudi na Yesu Kristo wallah ni wazi kuwa Yesu ni Bwana. Mfano mdogo tu; > Mudi alioa mtoto wa miaka 6 (Bi. Aisha) na alijamiiana nae akiwa na miaka 9. > Mudi aliuwa watu zaidi ya 3,000 katika vita zake za Jihad. > Mudi alielekezwa Waislamu waoe wake wanne (4) ila yeye alikuwa na wake zaidi ya kumi na tatu (13). > Mudi alikuwa anamiliki watumwa na alikuwa akifanya nao ngono kila anapojisikia. > Mudi aliruhusu waislamu kutumia uongo (taqiyya) pasipo kujali kuwa ni dhambi. > Mudi aliruhusu maswahaba wake kuwabaka na kuwachukuwa utumwa wanawake waliowapata mara baada ya kupiga vita za Jihad. KWA HAYA MACHACHE TU WAWEZA KUONA MUDI ALIKUWA NI MTU WA AINA GANI.
@RamadhaniMtoro-jb5kb
10 ай бұрын
Yesu siomungu nimtukamawewe achakudanganywa zinduka
@PeterKalindo
10 ай бұрын
Kumbe ili historia inyooke ni lazima mfundishaji atumie Biblia
@AJ-li2jx
10 ай бұрын
Is not using Bible but is for everyone understand to where all debate come and truth to b understood to whom that does understood
@NgengeMkeni-uo5hq
10 ай бұрын
Bila Biblia hawa hawatoboi ndugu yangu. Huoni hata ndio maana wana Hadith zao za hapa na pale, hiyo yote ni kwa ajili ya kukibeba kitabu chao cha Quran kwa maana bila hivyo hakitoboiii
@SizaAyub
10 ай бұрын
Dah, mbona mnapenda kujidanganya na kujifariji namna hiyo, au kisa majina hayo aloyataja, mbona kwetu sie hatuoni jipya hapo tushasoma toka zamani! Na madrasa hatutumii bible mzee nyie ndio mnaona vipya, coz wachungaji wenu hawawachambulii kama Ivo, ndio maana kakwambia Quran ndio imewaelezea wayahudi Kwa kina kuliko kitabu kingine! Mnahitaji kuhurumiwa sana! 23:44
@jombadulla
9 ай бұрын
Ndio wazungu waliwaandikia akina Solomon
@emilemukolo
10 ай бұрын
Kweri itadjulikana kwa wote n'a Jérusalem ni ya wana wa yakub kwa mujibu wa cheikh
@NgengeMkeni-uo5hq
10 ай бұрын
Wnalielewa hilo sana tu. Jerusalem ni ya Bani Israel hata Quran yao inasema
@EmmanuelMandela-f7k
10 ай бұрын
Sas Sulley hadhi yako inasadia nini kwa mapigano yagaza wakt watu wanapigwa acha uwongo bn
@shabbymakapane
10 ай бұрын
Hivi Husikii AIBU ??? Wanaopigwa Wanasilaha gani ? WANAO PIGA Wanatumia MADEGE , VIFARU , MAKOMBORA ,🙆♂️🙆♂️🙆♂️. yaani ni Sawa SEREKALI Iingize JESHI KARIAKOO Na Kuanza Kutumia Silaha Nzito Na Kuuwa Watu hovyo , Wasio na Hatia , Wagomvi Wao HAMAS Wapo kwenye MAHANDAKI CHEMBA Za Maficho kwanini Wasiwafuate huko ??? Na si Kila MPALESTINA ni HAMAS , Chama kinachotawala ni FATAH Sasa Jiulize Hao WAPALESTINA Wa Fatah kwanini Wanauliwa ??? , Tumia Akili , Halafu Ugomvi Wao Sio Wa DINI ,
@Johnpetermugarura
9 ай бұрын
Mwalimu huyu anatudanganya kabisa. Ardhi ya Gaza sio miongoni mwa ardhi ya Wakanaani. Kulikuwepo nchi mbili, nchi ya wa Kanaani na nchi ya wa Filistia ambayo ilikuwa na miji mbalimbali kama Gathi, Gaza, n k. Kumbukeni wakati ufarme wa Israel ulipokua haujaanguka kutokana na dhambi zao. Ile nchi ya Wafilistia ilikuwa bado ni nchi thabiti hata kuliko Israel, hata Daudi nae aliwahi kukimbilia Ufilistia wakati alipokua akiandamwa na Sauli. Kwa hivyo Gaza kamwe haikuwa ardhi ya Israeli
@pnn3880
9 ай бұрын
We ujui
@clementdaniel3975
9 ай бұрын
Wewe ujui omba ufundiswe
@Johnpetermugarura
9 ай бұрын
@@clementdaniel3975 mimi nisichojua ni kipi? Je historia ni mbili zinazokinzana? Tafadhali niambie, wapi katika historia ardhi ya Gaza kuwa ya wakanaani? Je Wafilistia ni miongoni mwa wakanaani? Je hukubaliani na mimi kwamba Gaza kuwa ni ardhi ya Wafilistia?
@DevidsLema
10 ай бұрын
katika jina la yesu kristo mwogopeni mungu acheni uongo
@teamallyracing1780
10 ай бұрын
Sasa uongo ni upi na hii hata kwenye biblia ipo waulize mapadri zenu wanaolewa
@gatekanene5753
10 ай бұрын
DevidsLema: hujuwi kama hawa wafuasi wa mudi kusema uongo kwa ajili ya dini ni halali kwao?? Afazali adanganye kwa kujionesha kuwa anaweza na anajuwa kila kitu kumbe uongo mtupu😂😂😂😂😂😂
@jobmwakipesile9903
10 ай бұрын
Hii ni Miongo hatari
@ywydhhd7941
10 ай бұрын
Devidslema ,jifunze kwanza kuandika majina ya Mungu au MUNGU herufi kubwa, Yesu au YESU , Mungu au MUNGU
@pendosharif-kw4gl
9 ай бұрын
Hakuna kiongo hapo. Mimi ni mkristo na naamini yote haya
@danielmuthuidajoker4576
10 ай бұрын
😂😂😂😂😂 you need to learn religion historic kakangu but umejaribu anyways
@NgengeMkeni-uo5hq
10 ай бұрын
Hamuwezi kutupandikizia chuki kama mlizo nazo nyie dhidi ya Waisraeli. Sisi tunaongozwa kwa upendo❤ wa Yesu Kristo🙏🏿. Mtapambana sana lakini hamtashinda
@Erik-kj5no
10 ай бұрын
Wewe funguka tumedanganywa sana kama kweli Israel ni taifa la mungu lile la makabila 12 kwa Nini wanaushirika na marekani wakati marekani inasapoti ushoga pia Israel Kuna kitu kinaitwa guy palled Yani sherehe za mashoga
@RamadhaniMtoro-jb5kb
10 ай бұрын
Waisrael wenyewe wameshalaaniwa
@NgengeMkeni-uo5hq
10 ай бұрын
@@RamadhaniMtoro-jb5kb Mmelaaniwa Watanzania kwa *UJINGA*, *UMASKINI* na *MARADHI*
@yahayaannu3663
9 ай бұрын
Toka gizani huko ulikojifungia 😅
@NgengeMkeni-uo5hq
9 ай бұрын
@@yahayaannu3663 Gizani yupo Mtume wenu Mudi ndio maana akawaachia msala wa kumuombea mara tano kwa siku😂... madhambi aliyotenda mpaka anaogopa mwisho wake mwenyewe Shaytan mkubwa yule
@KhalfanSalim-v1x
4 ай бұрын
mashallah mashallah mashallah doctor sule umelimisha vizur sana wanao taka kufata dini ya kislam wafate wasio taka kazi kwao ukweli ndo huo mmeisha alimishwa
@kingcole60
10 ай бұрын
Wawe ndugu zangu wasiwe ndugu zangu ila siwezi kuwa upande wa waarabu kamwe
@ceciliahharon268
10 ай бұрын
Pia Mimi siwezi
@sammarley1413
10 ай бұрын
Warabu hawana shida yamtu kama ww nenda kwao uone wanavotumikiwa na dunia muzima mungu wako katika bibilia yako kaisha mtukiza Ishmael atazaa ( masayedi12 ) unawajua maseyidi niwatu gani ? nami nitawabariki sana . sasa boya kama. Ww utabakia tu kubwabwaja basi
@kingcole60
10 ай бұрын
@@sammarley1413 we kweli takataka aliyezungumzia mambo ya biblia nani hapa yaani umejifunza awakbar basi unajiona muarabu mimi nimesema siwezi kuwa upande wa waarabu kamwe hakuna sehemu niliyotaja sababu na tatizo mnatumia nguvu kubwa tuwachukie Wayahudi haya mambo kama wewe umechagua kuwa kwa waarabu mimi nimeamua kuwa upande wa Wayahudi that's it.
@ALLYZAHOLO-gr9py
6 ай бұрын
Jiulize nan aliyekufikisha apo ?mwarabu ajakuksea wa ayuko kalibu nawe lakini unamchukia uko tayari afe bila sababu...alafu na ww unatalajia kuingia peponi.. mungu anasema akitaingia peponi kilicho dhaifu..
@bingwaidrisa6680
6 ай бұрын
Okay
@byoseasolokoci7257
5 ай бұрын
MUSA, YOSHUA, PAMOJA NA DAUDI, HAWAKUWA WA ISLAMU, BALI WAYAUDI. Hakuna makundi mawili iliyoingia na yoshua katika mji wa ahadi. Kundi lililoingia ni lile lawalio amini ,na wasiyo amini ni wale waliyofia njiani. Mungu alimpa kanani kwa IBRAHIM, ISAAC na Yakobo. 12Tribes, The children of Jacob .
Пікірлер: 1,1 М.