Najikuta machozi yananibubujika Kila nikisikiliza nyimbo hizi, inanifanya nimkumbuke mama yangu kipenzi, Shelida, Rebeka, na Rahel walipenda sana hizi nyimbo hawa watu Wa Mungu, Pumzikeni Kwa Amani mama zangu 🥰🥰😭😭💔💔
@franciskimuyu-k5y
Ай бұрын
Love it!!this was when gospel was real
@jameswachira6380
25 күн бұрын
Wenye kutengeneza na kuandaa hizi kanda miaka hiyo waliziweka kwa kiwango,na kumbukumbu za radio ya BIBILIA HUSEMA KIJABE.
@neemaadamu3698
Жыл бұрын
Huyo mpiga solo ni nani alyosha sana
@ruthjohn4317
3 жыл бұрын
Wanaimba moja kwa moja kutoka katika mistari ya kweny Bilblia.
@JULIEN-q5s
Жыл бұрын
Amen amen
@skhamadi
Жыл бұрын
Beautiful
@deogratiusmgute5983
Жыл бұрын
Those days when gospel was real , all songs from Bible verses 🍎♥️. Iam listening 31-01-2023🍎♥️ . GOD GIVE ME STRENGTH
@raymondkipipi516
4 жыл бұрын
Mungu Awabariki waimbaji hawa nakumbuka miaka y 1990-1995 ilikuwa ikipigwa hata kama hujaokoka unasisimuka ila mpaka sasa zipo vizur Sana Mungu azid kuwabariki
@emmanuelraymondsalema3110
8 жыл бұрын
Kweli nyimbo nzri sana zinamweka MTU kutafakari
@gideontebuye5329
2 жыл бұрын
Mwanikumbusha mbali sana. Miaka ya 80,90 mbarikiwe sana nyimbo zinaishi
@hamisseregenyi7220
7 жыл бұрын
napata nguvu ya kulitafuta neno la bwana pindi niskilizapo nyimbo hizi.
@eteekisanga2102
8 жыл бұрын
Nazipenda sana hizi nyimbo za ulyankulu ni nzuri vyombo standadi yake na hukundiko kumwimbia mungu tofauti na sasa biashara
Пікірлер: 39