Hii ni 2023 nasililiza nyimbo zenu ulyankulu hakika msg tosha, Tena ujumbe bado unaishi , Mungu awabariki
@deogratiusmgute5983
Жыл бұрын
Oooh Dear God give be more days to live . Today iam listening 31 -01-2023 Bless me after 8 years I will come back and worship your name here will be 31-01-2031🍎♥️♥️
@jacksonpetro495
29 күн бұрын
Yaani huo ubeti nimeupenda sana umenigusa moyo wangu, njoo kwake Yesu usamehewe, kwake Yesu utakasike, kwake Yesu utapona, suku moja utaingia mbinguni.
@user-do8qw8jr9u
Жыл бұрын
Bwana yesu asifiwe nyimbo hiz ni za kiroho kabisa mpaka nimelia aaaaaaaa
@mzansitv714
5 жыл бұрын
Nani anauskiliza huu wimbo 2019?
@moureenchebii4235
Жыл бұрын
2023.God is great ❤
@PatB2011
Жыл бұрын
2023 hapa goma/D.r.congo .
@rewardombeni157
4 жыл бұрын
Hizi nyimbo zitaishi Zina ujumbe mzuri kuliko nyimbo za zama hizi!!
@deogratiusmgute5983
Жыл бұрын
Iam listening now it's 31 January 2023 . Old is gold I remember those days 1995 when gospel was real . Old songs was real derived from Bible verse . Thanks my God for this life I will praise your almighty name now and then . YOU ARE THE GOD OF GOODNESS ♥️🙏 WEWE NI MUNGU WA MIUNGU HATA UHAI HUU NI KWA REHEMA YAKO JEHOVAH
@juliusmwendwa3742
Жыл бұрын
Indeed.... Powerful messages
@mathewshayo3792
Жыл бұрын
2023...bado nasililiza nyimbo zao
@adelegatimbirizo7696
6 жыл бұрын
Who is still here in 2018? Tears in my eyes I can’t listening to these songs. Childhood memories ! When the gospel message was still pure🙌
@fredozz6760
5 жыл бұрын
Adele Gatimbirizo 2019!!
@calvinsanga721
4 жыл бұрын
Ya kaleee ni dhahabuu sana 2020
@salomemtumbuka3751
4 жыл бұрын
Nabarikiwa mno
@lookenfrag7412
4 жыл бұрын
HABARI MAALUM STUDIO/PRODUCTION, Mungu awabariki sana, tena sana na MUNGU wa mbinguni awainue sana..Kazi zenu ni baraka na zitakumbukwa vizazi hata vizazi...
@DignaMachange
4 күн бұрын
Hawa walitumwa na Mungu.walikuwa na unabii mkubwa kuhusu Tanzania
@richardkubanda6627
2 жыл бұрын
Hisia ninazozipata kwa nyimbo hizi za zamani hasa wana Ulyankulu, zinanifanya nikumbuke mbali sana khari inayonipelekea wakati mwingine natokwa machozi, Namkukumba pia mama yangu mzazi alizipenda sana nyimbo hizi. Mungu amrehemu. Hongereni sana watu wa MUNGU kwa kazi zenu nzuri. Hakika nabarikiwa mno na nyimbo zenu zote Kila ninaposikiliza.
@eunicenjoroge2334
6 жыл бұрын
Barabara13 nyimbo zenu zanikumbusha miaka ya zamani sana.leteni casette zote tatu
@nicholauscharles6674
3 жыл бұрын
2021 September....mbarikiwe sana
@abcccc2665
2 жыл бұрын
Nawapendaga sana
@abcccc2665
2 жыл бұрын
Hiv hawa watu wapo kweli jamani
@moseskapyuku114
3 жыл бұрын
Ata Leo hii yesu kristo analililia taifa letu jaman Tanzania tuamke tumtazame muumba wetu
@isabellaczulu7268
Жыл бұрын
Bado nausikiliza mwimbo huu wenye ujumbe mkali 🙌
@jacksonpetro495
29 күн бұрын
Ujumbe kama huu ndio tunahitaji siku hizi za mwisho maana dunia imelewa sana
@TonyBenedicto
Ай бұрын
2024 nimeuona mji wa maisha yangu nimeulilia nikisema kwanin hubadiliki unaninyima amani?
@erikjonath1427
6 жыл бұрын
nyimbo za zaman lakin zinanikonga mpaka sasa.
@elaineeliudi2497
3 жыл бұрын
Asante Yesu MUNGU awabariki nyimbo nzuri sana zinagusa mioyo sana
@gabrielisack7786
5 жыл бұрын
Mambo yote yatapita lakini Neno la Mungu litadumu milele.
@annampinga1667
2 жыл бұрын
Hizi nyimbo hazitachuja kamwe hata uimbaji wake ni mzuri sana Mungu awabariki popote mlipo
@danadon6782
3 ай бұрын
❤❤❤ 2024 tupo hapa
@jacksonsilvery5963
Жыл бұрын
hizi nyimbo zitaishi milele.Asante Mungu kwa watumishi wako hawa.najua wengi ni watu wazima kwa sasa.
@daudizengo8865
4 ай бұрын
Wengi wao wana umri wa miaka 68
@adamsonsadock6049
6 жыл бұрын
ni wimbo mzuri sanaaaa, yaan sijui kwanini hamtoi albam nyingine, mko vizuri sana
@ChezoDotto
Ай бұрын
Adi mim nimelia sanaaa
@jacksonpetro495
29 күн бұрын
Nani anawasikiliza 2024 tuungane, hakika nyie mlitumiwa na Mungu
@JanetMaende-ds2yb
4 ай бұрын
2024 bado nipo hapa nabarikiwa..
@nelsonzakayo496
9 ай бұрын
Hii ni 2023 November lakini bado ni hit
@gta9318
3 жыл бұрын
Best of the best
@abodetidings8392
3 жыл бұрын
asante sana
@dominicndolo6415
2 жыл бұрын
2022still listening
@user-do8qw8jr9u
Жыл бұрын
Barikiwa sana
@felicienbahati3132
3 жыл бұрын
natamani nipate wimbo " muwe na nia moya, wenye ku hurumiana, wenye kupendana, kama ndugu........"(FAHARI YA VIJANA) Mungu awabariki, asante
@zebetayowafula5347
3 жыл бұрын
This are the songs
@user-wo2ye5vh4q
4 ай бұрын
Nausikiliza 2024
@lucasmhagama8166
2 жыл бұрын
Nakumbuka enzi hizo nikiwa Kyaka Misenyi Kagera
@cyrusbravo24
5 жыл бұрын
Pliz make your videos to be downloaded,they are nice
@askofuswedy8386
2 жыл бұрын
Deus ajude a vocês para esse lindo trabalho.
@ezekielisagut151
3 жыл бұрын
Thanks uliankulu
@alexanderkilisa5473
6 жыл бұрын
just love this,,in my tears listening to these
@samuelkubiha976
3 ай бұрын
Amen amen amen 🙏🏻
@franklinathuman1363
4 жыл бұрын
Njoo kwa Yesu Kristo!
@ananiamkasu8847
2 жыл бұрын
Wimbo huu naupenda sana! ❤️
@abodetidings8392
3 жыл бұрын
nyombo za zamani kabisa
@mrutusimonshundi628
3 жыл бұрын
2021
@kamellincitizenkenya129
6 жыл бұрын
2018 upto 2040
@mrutusimonshundi628
2 жыл бұрын
2021🇹🇿
@childofgod4412
2 жыл бұрын
Nipo nasikiza zote June 2022
@aronmwambapa5250
6 жыл бұрын
Ujumbe A-Z
@LOGOSNew
6 жыл бұрын
Barabara 13, TAFADHALINI TOENI TENA HUU WIMBO NA PICHA ZINAZOONYESHA VIZURI MADHAMBI YA SIKU HIZI - USHERATI, GAY NA LESBIANISM, MAUAJI, DEVIL WORSHIP, MAVAZI MABAYA, KUKUFURU, WIZI WA MABAVU, ETC. WATU WATASAIDIKA ZAIDI. MUNGU AENDELEE KUWATUMIA, AMINA!
@medaryndikumanawilliams4769
10 ай бұрын
Yukowapijuvita
@DignaMachange
4 күн бұрын
Hawa walitumwa na Mungu.walikuwa na unabii mkubwa kuhusu Tanzania
Пікірлер: 62