WAMATA Taasisi iliyo katika mapambano dhidi ya watu wanaoshi na Virusi vya UKIMWI , wameamua kuanzisha mfuko ujilikanao kama AFYA FUND kwa ajili ya kuchangia matibabu kwa waathirika wa UKIMWI lakini pia wakiwa na SARATANI , Kazi ambayo wanashirikiana na Taasisi ya Ocean Road lakini pia wakihitaji msaada wa kila mtanzania mwenye uwezo wa kuchangia kiasi chochote ulicho na uwezo nacho.
Kwa mawasiliano TEAM KIDANI 0688475656
Негізгі бет KDN EPs 105- Shilingi 100 inavyookoa Maisha ya Waathirika wa Saratani na HIV
Пікірлер