Shikamoo @Dj Smaa... Aya tuletee sas behind the scene...
@R1Lifestyle-f6n
13 күн бұрын
nilijua huyo muhindi wa ea asinge dumu kwa hao watu wanaojiona bora zaidi ya wenzao duniani..🙌🙌
@aminaali792
12 күн бұрын
Argh sisi wenyewe wananchi tulimchola Muhindi ameleta ushenzi hatumtaki anafkiri hii ni india atawale anavotaka aendeee 😏🙄
@R1Lifestyle-f6n
12 күн бұрын
@@aminaali792 lazima avutie kwake, mana naona kila sehemu wanayopata nafasi wanabebana sana.. na sidhani kama kaacha legacy kubwa kwenye mda wake aliotawala kwenye taifa hilo..
@user-uh9xg1pn6i
12 күн бұрын
Dj sma
@sundaysenga7608
13 күн бұрын
NIPO HAPA NIME VOTE LABOUR NAANGALIA SKY NEWS LIVE
@mohamedmanga8391
12 күн бұрын
Safi sanaa, baniani apigwe chini
@khamisomar889
13 күн бұрын
Dj smaa unajua kuchambua
@bigjizee4130
12 күн бұрын
DJ smaa yuko wapi hapo
@omarymwaluko9765
11 күн бұрын
@@bigjizee4130dj smaa kiboko yenu nyiny mliozoea kudanganywa na mashoga
@ndukulusudikucho_
12 күн бұрын
Yaani nilivyoona Mfalme anamuita Sunak mjengoni na kumuarisha aitishe uchaguzi haraka, maana ni kashfa kuongoza Uk alafu sio Mzungu
@mariyamgharib940
12 күн бұрын
Tunatarajia life itabadilika UK japo si asilimia kubwa but ss maskin itakuwa haijambo kwa utawala huu labour wajitayarishe Bangladesh kurudi makwao jamaa kasema anawadurisha na wengine Rwanda vilevile plain iko palepale
@sonnyr1899
12 күн бұрын
Itakuwa vizuri ila sasa watuache na sisi na africa yetu.
@mtzhalisi2232
12 күн бұрын
Safiiiii
@nsabimanaabedi541
13 күн бұрын
Habari djema kwa wahamiaji kutoka wingereza
@user-cj2kl7cd9k
12 күн бұрын
Jidanganye tu
@Yayouselim
12 күн бұрын
Afadhali rishi kaanguka
@Gody360
12 күн бұрын
😂😂
@nick1o7bang17
12 күн бұрын
🧪💉
@user-tq4lx9si1n
12 күн бұрын
Wamehiba kula eiza wamefanya upendereo sunachi kashnda nahana pendwa sana na wanyonge
@user-cj2kl7cd9k
12 күн бұрын
Labda unampenda wewe 😅
@omarymwaluko9765
11 күн бұрын
Wanyonge au mashoga
@amanbeyanga8055
12 күн бұрын
Putin atawabadilisha viongozi wote wa kimagharibi hadi pale watakapo inua mikono juu
@josephwilliam5813
12 күн бұрын
Uingereza mubadirika kwa kiongozi ni kugusa HATA KWA kujiuzuru iyo NDIO democrasia
Пікірлер: 26