Licha ya giza la kiroho na faraka kwenda mbali na Mungu ambalo lipo katika makanisa yanayounda Babeli, kundi kubwa la wafuasi wa kweli wa Kristo bado wapo katika ushirika wao. Kuna wengi kati yao ambao hawajawahi kuona kweli maalum za wakati huu.
Негізгі бет KESHA LA ASUBUHI, OKTOBA 8, 2024
Пікірлер: 2