KESI MKE WA BILIONEA MSUYA - "NILIUKUTA MWILI WA MAREHEMU Chumbani UKIWA MTUPU " - SHAHIDI AELEZA..
Shahidi upande wa mashtaka, Mwanaisha Hassan katika Kesi ya mauaji inayomkabili mke wa aliyekuwa mfanyabiashara marehemu bilionea Erasto Msuya, Miriam Mrita na mfanyabiashara Revocatus Muyella ameiambia Mahakama kuwa anakumbuka mnamo Mei 26,2016 akiwa nyumbani kwao Kibada kigamboni jijini Dar es Salaam majira ya saa moja na nusu asubuhi alifuatwa na mtoto wa marehemu Anathe Msuya akimweleza waende kwao kuangalia mama yake kwani hamuoni ndani.
Kauli hiyo imetokana na wakili upande wa mashtaka, Gloria Mwenda aliyekuwa akimuongoza kutoa ushahidi wake kuuliza swali hilo mbele ya Jaji Edwin Kakolaki anayesikiliza shauri hilo.
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline
Негізгі бет KESI MKE WA BILIONEA MSUYA - "NILIUKUTA MWILI WA MAREHEMU Chumbani UKIWA MTUPU " - SHAHIDI AELEZA..
Пікірлер: 81