Kama hamtaki mali nyie ndugu za mume na mna mapesa kwa account zenu sasa mnataka mali zigawanywe kivp na mrathi mnataka ya nn kama sio unafki.....na machoz ya umbea ili uonekane una umia huna lolote wakulia hapo ni mtoto wa marehemu sio ww......maana yy kapoyeza mzazi ww hapo ulipo upo na wazazi wako yy yupo pekee yake laiti baba yake angekuwa hai nadhani mngekuwa mwampenda balaa acheni unafki
@princessshannia4215
5 жыл бұрын
Ety merry
@bedatarimo9679
5 жыл бұрын
Kuwa mpole dada ndugu wa mkea wa marehemu washamlisha maneno mtoto wa marehemu, ili wabebe mali angali kuna watoto wadogo wa marehemu hawajuwi nini unaendelea. Mali za marehemu lazima Ndugu zake wangalie kwa makini maana watoto waliachwa wao ndiyo wanatakiwa kuwatunza
@radhiyaoman2543
5 жыл бұрын
Kabisa wanafiki tu
@princessshannia4215
5 жыл бұрын
Beda , muhimu ni kuhusu mali wala siyo mauwaji , watoto wapewe haki zao basiiii
@mwesblind8990
5 жыл бұрын
Lakin kwa nn uyo mama alimuua mume wake ili kuchukua mali na kiwagawia ndg zake
@veronicamgeni9414
7 ай бұрын
Mungu wetu mwema mama ametoka 2024 mwanao kapambana kelvin you're a soldier
@anastaziamathias8861
7 ай бұрын
Mungu fundi mama ashatoka na kijana kasimama imara
@trilionea_online_TV
5 жыл бұрын
Jamani tusiwe washabiki, hili ni fundisho, hata siku moja mwanaume unapokua na mali nyingi jitaidi sana kumuandaa mrithi wako mapema maana hujui kesho yako, pia ni vizuri sana kuwainua ndugu zako pale ambapo Mungu amekupa utajiri, washike ndugu zako mkono, ili likitokea la kutokea pasiwepo na mgongano,,,
@naomiherman1792
5 жыл бұрын
👏 Nakupongeza Mh. DC What a Leader is, Encourager, relationship builder, problem solver and leadership involves loving and listening , attendance and accountability. Jamani Mh Muro amekuwa akitatua migogoro katika ofisi yake Arumeru , sijawahi kuona umati usiopungua toka amekuwa DC -Arumeru mpaka sasa, anatatua migogoro ya kutosha kila siku..kweli ni kiongozi wa kuigwa kwa uwajibikaji wa hali ya juu. Hiyo ya family ya Msuya cha mtoto, ila hajawahi kuchoka, anafanya kwa upendo wakati wote. Mungu akubariki sana Mh, una moyo wa pekee sana.
@euvassammy8537
5 жыл бұрын
Apa ndipo kifo cha Tajili kinapoletega uchungu mara kumi zaidi. Mungu awaongoze Busara zitumike ktk kulitua hili jambo.
@linnamlay3643
5 жыл бұрын
Sijaona chozi la kunishtua hapo usanii mtupu acheni mali za marehemu aliyeacha watoto duniani.Mama amepewa mil 200,baba nae 200,mashangazi mmepata shukuruni Mungu.Acheni tamaa kama kaka yenu asingekuwa na Mali mngekomalia nini,msitishe watu kwa machozi ya kiunafki .
@johnpesambili4806
5 жыл бұрын
Poleni sana tunawaombea mungu mmalize salama swala hili. Mungu awatangulie sana.
@rachellaizer941
5 жыл бұрын
Hao wanaosema isionyeshwe kwenye mitandao nysmazeni kimya acha ionyeshwe na wengine wajifunze kitu juu ya maisha yao tutaishi ktka kizazi cha laana na ukaidi mpka lini Halafu wapare ni watu wabaya sana
@samwelimoshi5614
5 жыл бұрын
Hahahaa Masai umeona we wapare noma sana
@shabanmwasopo1469
5 жыл бұрын
Mkuu wa hongela kwa upatanishi wa familia, ila nashauri ukae na kila upande tofauti ili upate mawazo yao na kuwajenga na kuwabadili badhi ya mitazamo yaoitakuwa rahisi kukaa nao, ndo uwaite kwa pamoja utakuwa umejuwa nn kinasumbua, bila hivo watamalizana Sana na watoto watakuja gawanyika,
@aminaabdallah7702
4 жыл бұрын
na towa hongera sana kwa sharia sha tz mana hao wa toto wengi dhulimiwa n'a famille yama rehemu wakati hizo Mali aka zichuma pamoja 'na mama yao wowo wana sahau kazi yakidandani yasiku au mchana wowo wanawapi wakati huo?
@nuurinkluge7584
5 жыл бұрын
Ohoo your so good mukuu yamkoa tanzania. You tell them the true..hazitakiwi kuja hapo
@CotridaKigwile-d6p
3 ай бұрын
Hii family imechezewa sana polen
@ladykimoraladykimora3933
5 жыл бұрын
Sasa kama ulikuwa na mali kabla ya kifo cha erasto kinacho kutoa ushuzi ni nini😎😎
@rehemaradhid5716
5 жыл бұрын
😃😃
@annamkomba576
5 жыл бұрын
Hapo sasa...😂
@mariamustapha1677
5 жыл бұрын
😱😱😱😱
@nancyronaldmasawe8625
7 ай бұрын
Watoto leo mungu kawaonaaa
@rahmamrope4341
5 жыл бұрын
Mtafute vyenu jamani marehemu angekufa maskini mngekomaa midomo yenu? Pole mama mjane Mungu akutie nguvu😭😭
@samwelimoshi5614
5 жыл бұрын
Mama mjane ndy muuwaji na Yuko ndani maisha ujue mr
@aishakhatib3107
5 жыл бұрын
Nimeielewa, huyo mama mjane ndio tatizo ,manake mwenye mali na dadaake wameuliwa je na .nani?
Kuna kitu nimejifunza ktk huu mgogoro. Kumbe ni muhimu sana kuandika hati ya mirathi mapema sana kipindi uhai wetu. Maana hatujui saa na siku ya kufa kwetu amen.
@samwelimoshi5614
5 жыл бұрын
Mda mwingne zinatenguliwa maakamn
@mdroman6547
5 жыл бұрын
Nyny mashangazi wazulumatii tuu hamuoni hata hayaa
@kakurukakurupacha859
5 жыл бұрын
Kwa upeo wangu naona hata msuya kufa kuna watu waliusika kwenye familia hii. Na hapa bado watauwawa wengi.
@shamimushittindi1418
5 жыл бұрын
Hawana uchungu kabisa
@peterfania1005
5 жыл бұрын
Hao ndugu wanalilia Mali siwatafute zao marehu walikuwa wajane hata aibu hawana njaa tu
@mankamathayo4007
5 жыл бұрын
Happy Iwambo we mpare acha kulia kinafki,we we ndo muuaji nini,mgekuwa na hela msingefukuza wtt waarehemu,Mali ni Mali ya wtt wa Erasto,wapare mnatuajisha
@mwesblind8990
5 жыл бұрын
Na mke kwa nn amuue mume wake kisa mali na hawala sasa bora wote wakose
@stellapaul5795
5 жыл бұрын
Uwiii Mali ya baba inanitoa roho
@rehemaradhid5716
5 жыл бұрын
@@mankamathayo4007 wambie wapone Manka
@ernestmpembela2885
4 жыл бұрын
@@mwesblind8990 wameasi ukoo
@namvrasafi7332
5 жыл бұрын
Wakwao na mume wanafki ya rabby subhanalla sbb ya mali za watoto wa Kaka yenu mnataka mchagiye ya Allah Mh wanafika mtashimamiya nizenu wakat ameza nayuko na watoto wake na mke wanafki moto unawasubr marehem ameacha watoto unatowa machoz sbb ya mali za watoto rahis magu wasaidiye watoto wapate haki zao 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏 wey ni mtetez wanyonge mnaliya sbb ya unafki wenu
@irenematt8018
5 жыл бұрын
It’s painful, the wife family have killing the family slowly, it’s so sad .
@hiacinthanjau641
2 жыл бұрын
TATIZO KUBWA, HUYU MIRIAM ALITAKA KUUWA NDUGU WOTE WA MSUYA! SOOO DAD..
@paulinamloka2817
5 жыл бұрын
They are very good actors and actresses.... sasa analia nini??
@mwesblind8990
5 жыл бұрын
Kwa nn mwnamke alimuua mume wake ilo swali kwanza
@edwardmkwelele
5 жыл бұрын
Wamemweka ndani huyo mama ndani makusudi kumbambikia hayo mauaji makusudi ili wagawane hizo mali walijuwa mama ni kikwazo walimuunganisha wakijuwa Itakuwa rahisi wao kugawana mali
@khneesajumaa2052
5 жыл бұрын
Hivi kwanini watu wazima mlilie mali za watoto ??Nanyie mkifa hao watoto watakuja kulilia mali za mabibi mababu na mashangazi??kuweni na aibu
@theleo3899
5 жыл бұрын
We acha tulilie bann pesa tamu😂
@rehemaradhid5716
5 жыл бұрын
@@theleo3899 😂😂
@mteulenyotamchana2623
5 жыл бұрын
Yes nimke
@musathobius4122
5 жыл бұрын
Imeniuma San unatafuta pekeyko wanakuja wengii utu uko wapi?YESU TUNAKUOMBA RUDI TUU
@mwesblind8990
5 жыл бұрын
Pia uone kwa nn mke amuue mume ili ale pesa na hawala uoni tatizo hapo
@bashaliwaziri8342
5 жыл бұрын
musa Thobius
@Catherine-u6g
Жыл бұрын
Kutafta atafte mwingne ila hawa ndgu jmn mungu atupe maisha maref tulee wtt wetu
@arafaarafa6558
5 жыл бұрын
Innalillah wainnailayh rajiun ss viumbe tunakoelekea ni pabaya izo ni mali za yatima sio za mashangazi tumuogope mungu
@rehemaradhid5716
5 жыл бұрын
Analilia nini sasa na anayo account 4 waachieni watoto basi hizo Mali mtachinjana hadi lini Mungu simamia hizi Mali za hawa watoto minanawa mikono kama pilato
@SophieSpira
4 жыл бұрын
Analilia kakake na dadake kuuwawa kinyama na mke wa Msuya... Msuya alioa shetani na akazaa watoto shetani wakosa huruma ma heshima. Mboma hawalilii babayao ila mama muuaji? Bure kabisa.
@tedysylivester3703
7 ай бұрын
Weww😢@@SophieSpira
@rodasanga1312
5 жыл бұрын
Mmmmmh MWENYENZI MUNGU TUSAIDIYE
@dreambeesafricalimited4831
5 жыл бұрын
Hili Swala Jery Muro Ni Kubwa Kwake ..Nadhan Anahitajika Mtu Mkubwa Zaidi ..Ana Maneno Mengi Yaliyo Nje Ya Uhalisia
@ramaabu8167
5 жыл бұрын
Apo jerry nimekukubli kauli nzuri sana
@marcymasitsa5161
5 жыл бұрын
Huyu dada wa marehemu yuko sawa kabisa namuelewa wala hana tamaaa ni ile atanaka ukweli uwe waZi
@petermangama330
5 ай бұрын
Ukweli ni kwamba hana mirathi kwa kaka yake sheri ipo wazi
@pendoyese4452
5 жыл бұрын
Mmmmmm unafiki mtupu wapeni yatima haki yao
@matilidampeta7237
5 жыл бұрын
mungu kwanza pesa baadae,mungu ingilia kati
@mathewmzigo6909
5 жыл бұрын
Familia za kiafrika tabu sana
@lizzynkifu4179
5 жыл бұрын
Watu hawafanyi kaz wanatolea macho mal za ndugu zao
@bombommakabe8665
5 жыл бұрын
Sanaaaaa
@teeanna2060
5 жыл бұрын
Duuh Kama naona watu watakavoangamia kwa kuuwaa kisa izi mali za hao watoto ambao tayali wana akili zao masikin.😢😢😢😢😢.
@floradori5760
4 жыл бұрын
Mali za watoto bahna nawala sio ndugu kuingilia mbona hamuna haya ina maana mumefurahi kufurahia mwenzenu kufa huo ndo ukweli wa mambo mali ni za malehem na sio ndugu wacheni wizi wa mabavu
@floradori5760
4 жыл бұрын
Walia nini sasa mama mzima unalilia mali ya mwenzako hiloo hata haya huna kalilie za mumeo akifaa wacha uchuro hapo
@johakizinga3003
5 жыл бұрын
Bora wazazi wangu wamekufa masikini
@paulkkinuma1587
5 жыл бұрын
njaa bana
@lizybabyface7750
5 жыл бұрын
jamani ee mungu tetea vizazi hivi vya Leo vinaangamia
@Gwanchele
5 жыл бұрын
Acheni tamaa
@angelapius7526
5 жыл бұрын
Dunia hii ukiwa tajili shida ukiwa maskini tabu ee mungu tusaidie kukufahamu
@mdroman6547
5 жыл бұрын
Mungu anawaona nyny
@mwanaidiamanzi7187
5 жыл бұрын
Heheheheh mm nikifa Mali zangu zote za wanangu tu ctaki shobo na mtu
@samwelimoshi5614
5 жыл бұрын
Hahahaa hyo n kwel ila shida Sasa zikiwa nying je
@salmaalimusa547
5 жыл бұрын
Andika kabisaa
@sarahmunyiva5769
5 жыл бұрын
Hivi watanzania mna nini?mtu akiwa na watoto mali ugawa kwa familia madugu wake aje?si mali niya mtu na watoto wake?
@fidesbenard3270
5 жыл бұрын
Tatizo ukishakufa huoni tena unakuta wanandugu wanataka Mali ya watoto na wewe unakua umeshapumzika
@azizaz1628
5 жыл бұрын
Ww dd acha kujifanya msanii kwenye jumba la Sanaa km hamtak kuzipola nini kinasumbua viongozi mpaka saa hii?
@hafsamhd9264
5 жыл бұрын
Hatari sana
@rehemaradhid5716
5 жыл бұрын
Nishida alafu mwisho huondoki na chochote hatua5 bora kuwa na Mungu kuliko kuwa na Mali nyingi
@jumakapilima5674
5 жыл бұрын
Hatari sana,,,,,ndio maana alipokufa mtume wa mungu hakuacha chochote isipokuwa vitu viwili vitatu tu!!!!
@awadhirajabu7754
5 жыл бұрын
Mkuu Wawilaya Mbona Uko Na Chembechembe Za Uchochoro Kidogo Sio Bure Wapewe Watoto C Ndio Damu Ya Marehemu
@aishakhatib3107
5 жыл бұрын
Kwann wameitoa mahakamani kesi na c kesi ya kimzaaha
@khadijanjama9016
5 жыл бұрын
Nyinyi hamtaki mali na mnasema mali zigawanywe zigawanyiwe nani sasa waongo nyinyi ndugu yenu amefariki mnagombania mali sidhani kama mnamuombea dua njema kwa mungu
@thomasraiton7760
5 жыл бұрын
Itungwe movie na episode zake kwenye hii familia maana mpaka vilio basi hatati
@leilabuisha6578
5 жыл бұрын
Unalia nini wewe pamoja na familia yako ni waporaji mnataka kumzulumu huyo mtoto Nyoooo hata hamna haya mume laaniwa na mwenyezi mungu kwakutaka kumdhulu Yatima, mungu anawaona msokua na haya nyinyi Nyoooo
@MagrethMallya-we8ui
7 ай бұрын
Urithi ni WA mke na watoto nyie wengine ni vipiiiiiiiii?
@chamwinoduka7446
5 жыл бұрын
jmn kwan wanachotaka hao ni mgao wa pesa au walilia hao watoto ili wawalee?
@neemadickson5401
5 жыл бұрын
acheni mali za watoto
@samkoka3
5 жыл бұрын
Maombi ya mama gerezani yanafany kazi
@gamelahg4613
5 жыл бұрын
wanadamu wanadamu ivii muangamize watoto wadamuyenu ivi wew shangazi ivi mumewako akufe alafu mawifi zako wagufanye njisi unafanya wifiyako ao wawatese watoto wenu hamujuwi ucungu wakukuwa yatima ama mujane
@alexchungu9505
5 жыл бұрын
Gamelah G , daah kiongozi hichi kiswahili
@eliahmhanzi6357
5 жыл бұрын
Hiii issue ni ngumu sanaa sanaaa watoto si wapo wote mamayao si yupo ndungu mgawane maliza ili iwajee
@efremmazingo7312
5 жыл бұрын
tujikumbushe kidogo "mutegemea cha ndugu hufa ni masikini na aibu juu"
@landmadvdmbeyacity9561
5 жыл бұрын
nyie kweli amnazo c mkalic mali za bwana zenu uko kuliko kulilia mlali zaw atoto
@mohdseif1659
5 жыл бұрын
Huu mgogoro ni mkubwa sna na umeanza muda mrefu dah mkuu wa wilaya kuumaliza huu mgogoro ni kazi kubwa
@kombuchahluckyMartin
5 жыл бұрын
Pesa
@MagrethMallya-we8ui
7 ай бұрын
Hao ndugu ni waizi urithi ni WA mke na watoto.
@WahidaHilaly
3 ай бұрын
Saaaaana Roho zimewatoka
@aibansaidy2286
5 жыл бұрын
Aiseeh hiz Mali zinawez akuzigawa familia kama hatutakuwa makin, mungu awasimamie vyema muweze kulimaliza
@aleyslaim4935
5 жыл бұрын
Kweli msiba wa Masikini mambo huwa shwari lakini kwa mwenye Mali ni matatizo hufikia hata ndugu kutoelewana wanatoana Roho kwa Mali alizoacha baba . Msondo ngoma hao
@mohdkhamis6885
5 жыл бұрын
Hatari sana sasa Jerry muro unapata wapi ruhusa ya kumkumbatia mke wa mtu duh
@doktazimba5202
5 жыл бұрын
hahaha duh kuishi bongo raha sana eti Jeri umepata wapi mamlaka ya kumkumbati make wa mtu
@sqs735
5 жыл бұрын
Hapa ndipo utajua kuwa uislamu ni mzuri, katika sheria za mirathi.
@landmadvdmbeyacity9561
5 жыл бұрын
mnafaka mgao zaid ya wenye mali iz njaa iz kha!!!!
@tanaboy5151
5 жыл бұрын
mh. jery muro toa kauli moja kaka kwan hao ndugu si wanafamilia zao na wanao wanaume zao,,,, wape watoto mali zao bna kaka. hao watoto wana akili zao timam
@nshomamayungu2326
5 жыл бұрын
Hivi kweli mnao lia wangekuwa watoto wenu ndiyo wanafanyiwa hayo nyinyi hampa duniani mngejisikiaje? Nivele marehemu hawezi kuamuka msinge wanyanyasa hao watoto.
@giftnyakipande1253
5 жыл бұрын
Sass marehem si kaacha watoto si muwaache na mali zao jmn kwani shda nn kha
@allylinda7191
5 жыл бұрын
mashangazi jmn waachien watt chao
@abelmirwatu544
2 жыл бұрын
Watu wana lilia mari kama wamechuma wao dah!! Kwani hao wanao taka hizo mari za marehemu wao awana mari zao na wao wakifa mari zao zitagawanywa pia?
@Mwitamkunyimarwa
3 ай бұрын
❤❤❤❤
@salomejohn6395
5 жыл бұрын
mmmh binadam wangekea wanarudi msuya angekuja kujiona watu walivonauchu namali alizozitafuta kwa jasholake
@annaelia5743
5 жыл бұрын
Mmmm marehm si alikuwa na watoto
@florangido202
5 жыл бұрын
Sasa hapo mnafanya nini, kama hamtaki mali!! waacheni watoto na mama yao!! Mali ni zao, baba na mama washagawiwa inatosho!! Vinginevyo shauri Lirudi MAHAKAMANI. YETON MGERA SON!!
@alexpaul2937
5 жыл бұрын
Umeona eeeh mm nawashngaa pia wandai wanmali thn wanzngua
@tanaboy5151
5 жыл бұрын
yani mpaka apo mama na dada wa marehemu wanaonekana hata erasto wamemsahau daaaah.,, dunia simama nishuke.
@bjzee1981
5 жыл бұрын
Ni vizuri jamani mtu ukiwa na mali uwajulishe uwagawie wahusika wao ukiwa hai. Kwani mauti hayana hodi
@jabarmalid5393
5 жыл бұрын
Moshi, Kilimanjaro
@Rylee_kerrueche
5 жыл бұрын
Meshachoka kuwaangalia hawa ndugu.... Wananiboa tu.... Hao watoto wapewe vtu vyao vyote wavmiliki na ulinzi wao uimwrishwe
@priscamwita.mtotoniwakeham9126
5 жыл бұрын
Dada wamarehemu acheni yan ningekuwa mm mbona mngenitambuwa kaishini majumban kwenu mulipo olewa
@lucymacha1853
5 жыл бұрын
Vichwa vigumu hichi kimama hakina Point kabisaaaa msikilize muheshimiwa kaa chini bana
@patrickmadiwa3845
5 жыл бұрын
Hii DRAMA isingekuwa inaonesha kwenye vyombo vya Habari ni Aibu na sio utamaduni mzuri .
@klaragreen7999
5 жыл бұрын
NYIE FAMILY YA MSUYA JPM AKIINGILIA KATI MTAZITAPIKA PESA ZOTE MLIZO KULA..JIFANYENI WAJUAJI
@radhiyaoman2543
5 жыл бұрын
😁😁😁😁
@rehemaradhid5716
5 жыл бұрын
Wambie ata walizogawana watazitoa ni Mali ya watt chezea Magu wewe tumbua tumbua nje nje bora kurizika na walizopata
@lipymuscat4779
5 жыл бұрын
hahahahaa kweli kabisa
@happybalama3591
5 жыл бұрын
mh aingilie kati hawana utu hao
@janethpallangyo2633
5 жыл бұрын
Ulijuaje
@claudiajames2003
5 жыл бұрын
Mmh bora Mimi,sina hata wazazi wenye hela,km kurithi labda nitarithi masufuria na vijiko tu! Najua hivi ndugu zangu hamtagombania au sio???This is so dramatic!
@rockzenamtui6296
5 жыл бұрын
Yaaani inauma sana mauwaji ya erasto na dada yke kisa Mali wtt wamemezeshwa matango pori wanatakiwa warudi upande wa baba wapate baraka za babu na bibi na mashangazi Mali tutaziacha hata aliyezitafuta ameziacha ila wanawake tuwe makini sana tusidanganyike
@winnifridaashery4449
5 жыл бұрын
Ndiyo maana kuna ile kauli kuwa husemwa WAKATI mtu anapoariki japo wengi huwa hawaelewi isemayo MAREHEMU AMEACHA MKE/MUME NA WATOTO zingatieni hyo kauli NI nzito sana mbona huwa hawasemi marehemu kaacha Baba,mama dada na kaka?Muogopeni Mungu achieni mama na watoto Mali zao.MUNGU awape macho ya rohoni wanadamu hamna huduma jmn!!!!
@avelinaswai7572
5 жыл бұрын
Jaman Waachien hawa watoto mali zao.tafuten za kwenuuu
@luizabahati5198
5 жыл бұрын
Ila jamani...Ndugu wabaya Sana..CHUKI IMEPANDIKIZWA NA PANDE ZOTE MBILI KWA WATOTO...HAPA KUNA PEPO LA CHUKI NA TAMAA YA MALI NA KUONA KWAMBA WENGINE HAWASTAHILI MALI ZA KWA KINA MSUYA..MUNGU AWAVUSHE CHAAA...CHUKI YA MDA MREFU HII SANA HAIWEZI KUISHA LEO
@paulinamloka2817
5 жыл бұрын
Tunasubiro episode inayofwata
@geofreykashebo4944
5 жыл бұрын
Paulina hahahaha umenichekesha kweli hahaha
@habibaramadhani436
5 жыл бұрын
Wow jmn hii family hatari
@dicksoncharles5211
5 жыл бұрын
Mashangazi hawana hata aibu!! Dunia imeisha kwa kweli.
@franceslenis4512
5 жыл бұрын
Kwakweli marehemu anawaona
@ibrahimaziz7158
5 жыл бұрын
Hilo swala mpk aje mzee baba utaskia ww shangazi njoo hapa na ww dada ake erasto njoo hapa na ww nmtoto njoo hapa haya msameheane mali tutampa kila mtu nyumba moja na vilivobaki tutasimamia serikali kwa maslahi ya wananchi
@kipe6918
5 жыл бұрын
Hakuna kesi mtoto hameshafika miaka 18 mpeni Mali yake na wadogo zake, wewe mkuu wa wilaya una Nia mzuri hao kina dada Wana familia zao Sasa kwa Nini wanataka kurithi mali za watoto,Sheria inasema Kama mzazi mmoja hakifa haliyebaki hatahangalia Mali za watoto lakini kwa Sasa baba kafa na mama Yuko jela kwa hiyo warithi Ni watoto na mmoja tayari Hana zaidi ya miaka 18 yeye hatahamuwa Nini Cha kufanya na hiyo mali Kama kuonga shauri yake eti mtoto Hana elimu ya kutosha Nani kasema uwe profesa ndiyo upate haki yako.huyo dada pumbavu haende kuhangaika na Mali za mumewe
@happybalama3591
5 жыл бұрын
kbisa
@samwelimoshi5614
5 жыл бұрын
Kwan mama yao na watoto amefungwa au
@kipe6918
5 жыл бұрын
@@samwelimoshi5614 ndiyo wanasema alitaka kumpa simu mmoja wa dada wa marehemu nimeona kwenye moja ya Crip walikuwa wanaongea
@happybalama3591
5 жыл бұрын
@@samwelimoshi5614 yupo segerea kwa kosa la mauaji ya wifi yake ambae chanzo cha mauaji yao ni migogoro hiyo hiyo ya mali
@mbarikiiddi3437
5 жыл бұрын
mnatamaa kama fsi ulizike namlicho kipewa
@tedymwandara5480
5 жыл бұрын
Analilia mali za watoto huyu
@aminafesali5817
5 жыл бұрын
😁😁😁😁😁kabsa Mali huwa za watt nasio za ndugu
@mwaasamwene3084
5 жыл бұрын
TedY Mwandara
@aloycemacha9894
5 жыл бұрын
wana pesa huu mgogoro ni mkubwa kila familia inajua chazo cha pesa zake
@aloycemacha9894
5 жыл бұрын
kumbuka anneth kachinywa na wadada wamepigwa risasi wasuya lazima waje juu
@sittasilesi6298
5 жыл бұрын
niuzieni nyumba zote mgawane mapesa
@witnesskilongo8619
5 жыл бұрын
Achen kulilia Mali za marehem tafuta za kwenu na nyie mrithishe
@mwesblind8990
5 жыл бұрын
Ndg yako akiuawa na mke wake ndo utakuja kijuaaaa
@saunakatauyanawausufanyeni9504
4 жыл бұрын
nyie mbona wapumbavu sana tafuteni mali zenu nyamani mnawasumbua watu.
@leilabuisha6578
5 жыл бұрын
Chumeni vyenu, hapo hamtakiwi kupata chochote kile, labuda mtoto mwenyewe awape kwa mapenzi yake, mh unae simamia hilo suala nakuomba haki itendeke hapo hapana kuzulumiana...
@edwardmkwelele
5 жыл бұрын
Watoto wanajuwa wanataka kunyang'anywa Mali ndio maana wamekimbilia upande wa mama yao
@ziadaalute6836
5 жыл бұрын
Edward Alex Mkwelele Watoto kila siku wanakuwa upande wa mama yao,naalieleta fitna Ktk hiyo familia ni mwanamke muolewaje alie jela,naafiehuko.
@edwardmkwelele
5 жыл бұрын
@@ziadaalute6836 ni kweli mtoto ni wa mama maana yeye ndio pekee anajuwa kuwa mtoto ni wake kwa 100% na mwenye Haki zaidi kwa vile alimzaa ndiye aliepata uchungu mwanaume ni spam donor tu. Sasa Ziada ni Sawa watoto wapo tena wengiii mali zigawanywe kwa ndugu wa mwanaume labda Kidogo babu na bibi tena hiyo kiukoo. Ukweli siyo Haki Ngoja wanaenda Serikalini huko ndiko serikali ikiwa na huruma tu labda babu na bibi wanaweza kuonewa huruma lakini wanaweza wasipate kitu pia wamepewa zaidi ya milioni 400 bado wanataka kila kitu hiyo ni roho mbaya na uzamani. Ana watoto kibao hao ndio warithi kiserikali inategemea tu na roho zao ndipo wanaweza kugawia ndugu za baba lakini hawastahili mama ndiyo ndugu kamili wa mtoto wengine kibaolojia.
@lucaslusambo4118
5 жыл бұрын
MTT wa kiume hahoj baba alkufaj anawaza mal tu
@edwardmkwelele
5 жыл бұрын
@@lucaslusambo4118 haisaidi chochote kuwaza baba alikufaje kwa sasa kesha kufa cha msingi kwao kwa sasa ni kuishi wataishiji ni pamoja na hizo mali. Swali hilohilo waulize hao ndugu za marehemu. Hiyo ni dhuluma wenye haki hapo ni watoto wakipenda na mungu akiwaongoza watagawia wanaowataka wao na busara zitawaongoza
@smwansasu8605
5 жыл бұрын
@Ziada muolewaji ana kosa gani? Hao ndugu wa Msuya hawana aibu kutaka mali za watoto. Warithi halali ni mke na watoto. Hao wengine ni hisani tu ya mke na watoto wakitaka kuwapa. Hata hiyo kesi ya kuua wifi nahisi wamembambikizia tu ili wafanye wanachofanya sasa!!!
@piuslimagi2904
5 жыл бұрын
Leo ndio nimetambua kazi ya ukuu wa wilaya sio kazi rahisi.
@pennyjohn2816
5 жыл бұрын
Ama kweli dunia imeisha yaani mnalilia mali za watoto wa kaka yenu bila ata huruma? Yaani mpo radhi ata kuwauwa watoto hili mchukue mali
Пікірлер: 510