Mm hushanga juzi yemen wamemlawiti mtoto wamepigwa risasi hazani saud hukukata kichwa Oman utauliwa kidogodogo Kwann tz hawana maamuzi ukatili huuu😢😢
@ShukranMwakyambo
7 күн бұрын
@@Rizikialiamechannel763 kiukweri inasikitishaaa sana. Wangeeanza na baba yake mzazi
@JosephKingwere
7 күн бұрын
Ila Rais alitangaza inamumiza kwa hiki kitendo daaah mtt mdg mzriwamemktsha maisha😢
@Rizikialiamechannel763
6 күн бұрын
@@ShukranMwakyambo kbisa yaan albino hawana aman mm nimechukizwa
@Maichampiongirl
7 күн бұрын
#mhsamiasuluhuhassan Hawa watuhumiwa waliotenda huu ukatili wote wauwawe kikatili kama walivyotenda unyama Kwa malaika asiye na hatia😢inauma sana mama angu na nipresha kubwa sana hasa Kwa wenye familia tulio na watoto hawa,Wababa wamekosa utu Karne hii tukisena nani kama mama tunamainisha na mungu atulinde na vizazi vyetu Wanawake🙏🙏🙏
@nuruosward8161
7 күн бұрын
Maarifa yao yamekuwa upumbavu watakufa umaski mpaka siku ya kiama walaaaaniwe kwa roho zao ngum chafu katili nimejiuliza tuu mtu mzima nikijichoma tuu na mwiba sehem ndogo naumia nawaza walimkata akiwa hai au wakat amekufa😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭Maumivu na machungu aliyo pitia huyu mtoto Mungu naomba wayalipe kwania sasa dah😢 so pain fully
@nizarrama225
7 күн бұрын
aisee mimi mpaka mwili unanitetemeka nikifikiria maumivu aliyoyapitia malaika huyu, hakika "MUNGU" atoe adhabu kali kwa wote waliohusika na ukatili na unyama huu
@nuruosward8161
7 күн бұрын
Mungu atawalipa
@user-qq6mv6vh3e
7 күн бұрын
😭😭😭acha dada angu
@johnsway5253
7 күн бұрын
Daaaaaaqh baba mzaziii nae kahusikaaaa😢😢😢😢😢
@JaphetBikayamba
7 күн бұрын
Dah!! Kadhalilisha kanisaa kabisa
@user-uf5ry6tx2r
4 күн бұрын
Raha ya mlele umpe Ee Bwana na mwanga wa milele umwangazie apumzike kwa Amani. Amina
@danielamosi6871
7 күн бұрын
Mtoto niliyemzaa nikimsaliti nife namim siku hiyohiyo
@melanialeonard4031
7 күн бұрын
Ndo maana mungu kawaumbua kwanza wamemtesa sana
@aaa64sa13
7 күн бұрын
Inalillahi waina ilayhi rajioun. Allah amlaze pahala pema kwenye wema. Amin ya Rab 🤲
@Official83640
7 күн бұрын
Subhannallah hd Paroko😢😢😢😢
@halimamasai2234
7 күн бұрын
Paroko pia jamani hii dunia imeisha 😭😭
@BenjaminMetanyau
7 күн бұрын
Unashangaa Nini Sasa kwani paroko uliambiwa ni mungu ? Ilitakiwa ustaajabu kwanini watu wamekuwa wanyama lakini uvivu wa kufikiri et Hadi paroko kwani dhambi Ina watu maalimu wa kuitenda?
@OmmyJames-xn7ji
7 күн бұрын
HAYA WAGALATIA VYUMA VIMEKAZA SASA MIUJIZA HAKUNA TENA 😢😢😢😢😢😢
@user-js7lr8vr9i
7 күн бұрын
Mimi naomba hao watu wauliwe na wao wasipelekwe hata mahakamani jamani nawao wakatwe katwe mpaka wafe
@rosenyenyembe4698
7 күн бұрын
Ee Bwana Yesu utusaidie,Paroko😮😮😮😮
@mwanas2
7 күн бұрын
Duniani hakuna kubwa hii dhulma mliofanya kwa uyu mtoto Mungu kawalipa mekamatwa jana nililia sana nikasali mkamatwe kweli duah za wananchi na dua za wanafamilia zimefika kwa Mungu.Mungu wetu tunakushukuru kwa hili mnadhulumu nafsi ya mtoto mkitaka utajiri wa sekunde mungu kawalipa kwakweli. Mama samia tunakuomba nyonga kabisa hao yani au tuachie wananchi tumalizane nao
@rahmaabdallah4514
7 күн бұрын
Dhulma ya mtu haipotei wamedhulumu roho ya malaika huyu inauma sana..... tajiri ni pekee Allah tutaiacha dunia na kila kitu. Eee mungu tupe kinaa za roho na tuepushe na imani za kishirikina
@user-dx6dm6lh1i
7 күн бұрын
Allahuma amiiin
@Jasim-uddinIftakhar-uddiin
7 күн бұрын
Ni haramu kumuita mtoto malaika kwa mujibu wa Qur-an ewe ndugu yangu muislamu naomba ufahamu hilo leo kama ulikuwa hujui basi jua leo' huyo inatosha tu kumuita mtoto ila sio kumuita malaika' nimechukizwa na kitendo alicho fanyiwa huyo mtoto ewe Allah nakuomba wape nguvu na uvumilivu familia hii iliyo pata huu mtihani mzito
@user-tq3hr7te1s
7 күн бұрын
Baraza la Maaskofu la Katoliki Tanzania lipo wapi?? 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭 Utu na huruma ya wanadamu Leo ipo wapi?? Mwanaume hawezi kujuwa uchungu wa mtt tunaposema mama pekee tumaanishaa mwenyezi Mungu awape adhabu kali 😢😢😢😢😢😢😢
@mornasaidtindwa3622
7 күн бұрын
Mtoto mzuri jmn Allah ampe subira mama ake
@rerisamba
7 күн бұрын
Mungu nae ninani wakapatikana na viungo wakivitembexa usichezee damu ya mtu
@IMANWILLIAM-bl2ui
7 күн бұрын
askari mngewaachia kazi wananchi wenye hasira Kali wamalize kazi tu, inatia hasira aisee
@neemajohn6142
7 күн бұрын
Pole sana mama Asimwe 😭😭
@saimarmuhsin9578
7 күн бұрын
Aisee Allah atuongoze sasa uharibifu na ukatili upo mpaka majumbani mwetu baba anashiriki kumdhulum mtoto wake uhai kisa pesa mtihani
@rusimbitumaini7772
7 күн бұрын
Polisi Tanzania mmefanya kazi nzuri.mwenyezimungu tupe mwisho ulio na mema mengi.tunahangaika sana wanadamu na tunasahau hata waliovaa hariri leo hatunao.
@joysekiza3944
7 күн бұрын
Hee paroko tena Dunia simama nitelemke
@user-gp7tr7it8u
7 күн бұрын
Subhanallah na baba mzazi😢😢akate kate mtoto wake 😢😢
@SalamaNauthar
7 күн бұрын
Ni maumivu makali sana alopitia huyu mtoto hadi kukata roho' inauma sana wallah 😭😭😭😭😭
@user-dq1lm2be2u
7 күн бұрын
Tena wamecheza kipindi cha mama aliyeingia leba uchungu unaujua vizuri mama tunakutegemea juu ya unyama huu 😢😢😢
@MuniraShughuli-kc7vj
7 күн бұрын
Ya Rabby tupee mwisho mtto mzur wallah 😭
@IrankundaAnit
7 күн бұрын
Nawaza maumivu uyo mtoto amepata wakati wakukaatwa viungo vyake
@user-po8hz7xw9j
7 күн бұрын
Nilisema baba wa huyu mtoto ndio anahusika}
@maryamsaleh4787
7 күн бұрын
😢😢😢😢😢 sio haki waliomfanyia mtoto mdogo hana zambi kosa lake nin lakin hata baba hakua na chembe ya hofu iman ipowap? wangu wangu nisamehe nisije kukufururu ila inauma mnoo😢😢😢😢😢😢
@rosemilingi7860
7 күн бұрын
Aiseee hadi paroko kweli jamani
@mariamfritsi4943
7 күн бұрын
Hao watu wauawe kwa kukatwakatwa wakijiona hadi wafe ,mhh jamani hadi mzazi ,Mungu kabla hawajauawa kwanza wahukumu .
@naturelle1097
7 күн бұрын
Hii nchi na ushirikina fanyeni kazi acheni kutafuta short cut😢
@shabanibussara8454
7 күн бұрын
Daah! Aisee, aisee, aisee.!
@mpefu_4936
7 күн бұрын
Nilisema damu ya kichanga itawaanika wote
@israelkisaila8401
7 күн бұрын
Haya wakatoloki mpo wapi?! Toeni tamko? Semeni kitu,siku hizi huko koventine kuna somo la kuuwa jamani? 😢😢😢😢mbona mmemtesa sana mtotot?😢😢😢 WEWE PAROKO,ULIYECHUKUWA PESA ZETU ZA SADAKA KUPANGA KUMUUWA MALAIKA UWIIIIIIIIII 😢😢😢😢😢😢
@AsheyAmey-hl5em
7 күн бұрын
Yaani watu wote hao walikuwa na roho moja ya kishetani hakuna hata mmoja kwa hiyo siku kuingiwa na roho ya huruma 😢😢dah😭
@venancerutta6875
7 күн бұрын
Sasa maisha ndio haya wakuongoza watu wawe na iman na tabia njema hao ndio wabomaaji tunaenda wapi
@SalmaAthuman-hp3en
7 күн бұрын
Aiseee 😭😭😭😭
@muniraahmed624
7 күн бұрын
Nimejikuta nalia 2😢😢😢
@vanessalaizer4363
7 күн бұрын
Lord Have Mercy 😢😢
@tatutatu1570
6 күн бұрын
baba tena😢😢😢😢
@almasramadhan9387
7 күн бұрын
Hawa watu wakibanwa vizuri watawataja hata viongozi manaake uchaguzi ukikaribia na mauaji ya Hawa ndugu zetu yanaanza mwenyezi mungu tunakuomba walinde Wana wako katika kipindi chote Cha uchaguzi na baada ya hapo na uwaanike wote watakaotenda haya ilaze mahala pema Peponi roho ya marehemu
@dedsecmalis2005
7 күн бұрын
Daaaaah 😢
@elvira9325
7 күн бұрын
Hakika ni simanzi kaka sns unasimulia ukiwa umetulia sana hakika haya ni majonzi makubwa😢😢
@baizoboy1719
7 күн бұрын
Hii combo ya Paroko na mganga kitaalam tuiiteje??
@sharifanyumayo6314
7 күн бұрын
Jamani huyu baba Tena na paroko mmh! Wanyongwe kabisa hao
@boniphace1
7 күн бұрын
Kuna mambo yanafikilisha sana. Paroko, mganga na Baba mna plan kuua mtoto kweli!
@jebbymnyama2379
7 күн бұрын
Oh my god Dunia imejaa watu wenye roho za kinyama sana
@FranceJickson-nk8bn
7 күн бұрын
Dah😭😭😭😭😭
@salhazuberi3898
7 күн бұрын
Daah pumzika kwa amani mtoto mzuri
@joysekiza3944
7 күн бұрын
Maskini nilitamani apatikane akiwa hai
@mackysuphian
7 күн бұрын
😭😭😭💔
@balicharo1339
7 күн бұрын
🕊💔
@hemedmwipopo780
7 күн бұрын
Dah!, Paroko naye!?
@annamussa185
7 күн бұрын
Kwahiyo hapo Kuna mganga, muislam na mkristo jamani
@user-uf7wk2ib1e
7 күн бұрын
Na mpgani pia yupo 😢n huzun ila damu ya malaika huyu haitotulia mpk wote waliousikaaa kwenye tukio hilo waangamizwee vikal watakufaa vibayaa hao wote walioshirik nawenyewe watakufa kwa upangaaaa na maumiv makali km waliyomfanya mtt huyu mungu atawaadhibu mchana kweupe laanatullah hawaaaa ma lusifeloo kbs hawa na sura zao km ngumu km yaan ndimu hawa wangekuwa uarabun n mwendo wa kuchinjaa hadharani hamna cha mahakamaa maana ushahid wameshikwa nao
@muhengamakunga
7 күн бұрын
waende jela halafu huko jela wapelekwe watu ambao maalum kwa ajili ya mateso kila siku hao watu watolewe kiungo kimoja kimoja na wapewe mateso halafu wapigwe picha ipostiwe nchi nzima alafu mwisho wa uawe
@IsaacpauloNgwavi
7 күн бұрын
Sasa maparoko nao wako ktk kundi LA wachawi kufa na wafe
@Mlokoz_twangalatwz
7 күн бұрын
😢😢😢
@aishaabdul9287
7 күн бұрын
No pain no gain
@sameraamiry3849
7 күн бұрын
Bukoba me napaogopa sana
@ZainabLol-wx7xf
7 күн бұрын
Sio sehemu ya kuishi Tanzania.UTAULIWA
@NacymboyaMboya
7 күн бұрын
Jamani ii taa rifa ime niliza sana duniani tuna enda wp Mungu ai laze roho yake mahali pema peponi amini
@hashimuntandu7139
7 күн бұрын
Duuuh haya maslah jamani??
@user-he2pk6io4d
7 күн бұрын
😢😢😢😢😢mungu wangu tunaenda wapi sisi binadamu
@azzaalhabsi1505
7 күн бұрын
Laanakum llah. Walaaniwe mpaka itakapo fika hukumu yao na wao wanyongwe hadi kufa. Masheitwan wakubwa.
@ramadhanmohammed6474
7 күн бұрын
Wameishaa
@billskeez92
7 күн бұрын
😢😢😢😢😢
@VIVIANEMAKOTO-rl8lt
7 күн бұрын
3:39 😊
@aediayumgo8546
7 күн бұрын
Tunaomba sura zao ili tuwalaani😫😫
@rehemashariff3119
7 күн бұрын
Mtoto asiye dhambi yoyote wala kosa llte imeniuma kwa kweli eeh Mungu usinyamaze kwa hili
@user-ny2cd9dt1d
7 күн бұрын
Kinacho uma zaidi ni wale wanaodai ni walinzi wetu kiiman na wazazi wetu. Ndio wanaotuuwa
@BakarIdi-qc8yf
7 күн бұрын
😢😢😢 Dunia imesha
@user-go5wb2pi2i
7 күн бұрын
😢
@mbikamtanganaki
7 күн бұрын
Watatafuta mwana sheria asaidie kuficha maovu maana ndyo kazi yao
@mwanas2
7 күн бұрын
Kwa uwezo wa Mungu hakuna mwanasheria wala mwana nani watafungwa tu wabaya wakubwa hao
@bigirumanalululouise4540
7 күн бұрын
Mungu wang baba yako🙆🙆🙆🙆😭😭😭😭😭😭😭
@TVT4888
7 күн бұрын
😢😢😢😢
@Gody360
7 күн бұрын
R.I.P
@rerisamba
7 күн бұрын
Vile mtoto mwenyewe ni mrembo na hilo rinda lake lina.mpendeza
@user-by3gj5ob9y
7 күн бұрын
Wanyongwe
@dubzman5874
7 күн бұрын
Hawa mbwa watu wauwaji ikifikia hatua ya kukamatwa hukumu yake bora wangekatwa vichwa au kupigwa vitanzi
@cyracyra384
7 күн бұрын
😭😭😭😭😭😭
@fatmaallyabdul1732
7 күн бұрын
Akina babaaaaaa😅😢😢😢😢😢
@uzungupoint
7 күн бұрын
MUNGU WANGU😢
@Maxpaul-oi8pw
7 күн бұрын
Paroko tena mh! Ngoja kwanza tutajua ukweli
@jenipheraron3566
7 күн бұрын
Auliwe uyu baba makatili sana auwawe Yan anaumia mtoto wake mwenyewe?
@fettykange437
7 күн бұрын
Omg ninahasira nimeshindwa hata kusema
@mariam-pu4kg
7 күн бұрын
Mungu wangu malaika mchangaa my god
@Jasim-uddinIftakhar-uddiin
7 күн бұрын
Subuhnallah ewe ndugu yangu muislamu jua kwa mujibu wa Qur-an haifai kumuita mtoto malaika ni haramu kumuita mtoto malaika nakufamisha tu ujue hilo leo kama ulikuwa hujui basi jua leo' kwa kweli jambo alilofanyiwa huyo mtoto ni jambo baya sana namuomba Allah awape subra na nguvu na uvumilivu hiyo familia katika khali hii waliyo nayo kwa sasa hakika ni mtihani sana!
@PaulinaSemindu-ob3de
7 күн бұрын
Paroko msaidiz jmn hulizik na ela z kanisa? Huli ukashiba? Vipaji kila juma 2 tunajitolea jmn hii dhamni gan jmn😭 ona dam ya huyo malaika ilivyowakamata kwa haraka na libaba nalo mwanao anachinjwa umekaa kimya jmn
@linnerphilip4260
7 күн бұрын
Yoooooo mawe kaziro abahaya mwatushonaza si
@user-qq6mv6vh3e
7 күн бұрын
Wawalete mkapa wanyongwe hazalani izo shetani 😢😢😢
@user-rf7wx7og6t
7 күн бұрын
Maskin 😢😢😢😢😢
@FAUSTAMBAGA
6 күн бұрын
gharama za mganga sadaka za watu
@amemasudi5735
7 күн бұрын
Inakuwaje Baba mzazi anakujia mtu anakwambia umuuwe mtoto wko utapata utajiri mbona yy hajawauwa wanawe Hawa wote watafutwe wanyongwe hadharani inauma sana Tanzania hii tunakwenda wapi tufanyeni Kazi hakuna utajiri kama huo hii ni laana nalaami sana
@sylvesterBukoro
7 күн бұрын
Paroko tena ...ndo maana mm nimesimama kidogo kwenda kanisani...
@redemtamkemwa6067
7 күн бұрын
Wanaume maubwaaa
@mpefu_4936
7 күн бұрын
Selikari waachieni wananchi wawakabiri tu
@rukiaiddyyahaya9506
7 күн бұрын
Paroko
@abdallahmmary8591
7 күн бұрын
Ama kweli ata wachungaji kondoo nao na baba Mzazi tutayaskia menngi
@husseinkonz5192
7 күн бұрын
Had paroko jaman duh hatar
@bonifasiemanueli21
7 күн бұрын
Paroko ni Hatali sana,
@sr.elizabethmbuligwe5540
7 күн бұрын
Jamani paroko msaidizi wa parokia hiyo sio Hilo jina mnaweza mkamchafua huyo paroko huyo msaidizi mtakapo kuja kujua ukweli mtaaibika kuanzia keshi la police Hadi walio mtukana huyo paroko msaidizi
Пікірлер: 160