Mungu akubariki sana mtumishi wa mungu sana nakuombea sana wewe na mkeo watoto pia huduma yako hasa ya uimbaji tangu albam ya Kwanza ya mke wangu cheupe
@shelyboyshely2928
Ameen ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu
@maxmafie5313
Barikiwa Sana mtumishi wa mungu
@IRINEMWENDEKENYA
Ni maneno ya uzima kweli kweli.
@kevinowenga5201
Ninafanya kazi iraq pia zidi kutuombea sababu tuko katika nchi ya maadui barikiwa sana baba
@kevinowenga5201
Baba abiudi nikumbuke kwa maombi yako nizidi kushikilia imani ya wokovu
@GodfreyEleneus
Baba ninakupenda sana na Nina penda album ya usirudi nyuma na simama mwenyew uwa nikizisikiliza ninapata nguvu ubarikiwe
Пікірлер: 9