Jamani siku hizi kuna ugojwa wa shida ya akili vijana wengi sasa tuna shida ya akili asaidiwe huyo kwa kina inasikitisha mno
@salumahmadasalum1556
3 ай бұрын
ATAKAE KUJA KUPANGA KWANGU AJE NA CHETI CHENYE KUTHIBITISHA AKILI YAKE
@achouraachoura5763
3 ай бұрын
😂😂😂
@cloudngoko.2679
3 ай бұрын
Hii hali ipo sana hasa kwa sisi wakiume hizi plastiki tunapozitumia kukojolea ina fika mahla mtu anajaza chupa mbili na mwisho wa siku chupa 3 na kisha unakuwa adicted. Ila kwa wenzetu wanawake wao wanatoboa tobo kubwa huoni akibadilisha chombo cha kukojolea.
@patriciamrina2275
2 ай бұрын
Mpaka nimesikia harufu ya mkojo humu kwenye cm😂😂😂
@floramlowe7078
3 ай бұрын
Mmmh kuna watu wanatisha jamani sio kwa Uchafu huo
@elizabethismile6827
3 ай бұрын
Ila kwa kwelii khaa uyu kijana sio mzima haki😂😂😂😂😂😂😂😂
@mwanduelizabeth2282
3 ай бұрын
😃😃😃yaani imenibidi nicheke kwanza. Yaani kakojoa ndani kwenye Dasani zote hizo pamoja na kunya kwenye mabeseni halafu akija kulala anavaa Barakoa 😃😃😃 Huko si kukwepa Kodi tu ya nyumba huyo atakuwa na shida kichwani kabisa. Hata Kama uvae Barakoa harufu haikwepeki hata kidogo.
@humphreyfungo7669
3 ай бұрын
Anakuja saa 8 usiku anatoka saa 10 alfajiri , kisa kukwepa kulipa kodi analala masaa mawili tu .
@kimaronemes5689
3 ай бұрын
😂😂
@LeilaWilfred-zc7gn
3 ай бұрын
Daaaa
@claudiajames2003
3 ай бұрын
Ila we mama labda ulimbana mpangaji wako khs kodi mpk akaanza kuogopa hata kwenda chooni
@talentshow2024
3 ай бұрын
😂
@reginamichael-eh8yy
3 ай бұрын
😂
@gloriadaniel3827
3 ай бұрын
Atashtakiwa Kwa kosa gani?😅😅
@LeilaWilfred-zc7gn
3 ай бұрын
Daaa mwacheni kaka wa Mungu jamnii' cha msingi atafutiwe mke aoe
@godfreykameme6644
3 ай бұрын
Wamsamehe tu alikuwa anajificha kupia Kodi Ili asionane na mama mwenye nyumban🤣🤣🤣
@naomisamwel18
3 ай бұрын
Alikuwa anatita wap😂😂
@naomisamwel18
3 ай бұрын
Alikuwa anatita wap😂😂
@humphreyfungo7669
3 ай бұрын
Alikutwa na beseni mavi ndani ya chumba chake
@mariumseif6751
3 ай бұрын
Yaani mkojo mpaka ujae beseeni ni miezi ht 4 kwa hiyo haikua anaogopa kodi atakuwa na mambo ya ushirikina tu.maana hata uvivu wa kumwaga usingefikia hapo
@maryamsuleiman6340
3 ай бұрын
Mtihani ktk mitihani ,tunamengi viumbe tunayoyaamua bila kupenda ,kwahali yakawaida huwez kufanyahivo , Mungu awasimamie kimaamuz viumbe wake sisi
@EuniceOdegea
3 ай бұрын
Mm nninapoishi kulitotea stori Kama hii...nlishuhudia live jirani alikuwa anakojoa na.kunya mwenye beseni...mpaka kukatokea.mabuu..
@MsNajma-e6e
3 ай бұрын
Mchafu uyo kijana ndio huweke mikojo ndan asimwage
@DamarisDuuTausi
2 ай бұрын
Nihofu tu ya kudaiwa kodi muachilie aondoke bure nimaisha magumu.hata wewe mama pia elewa.hiyo tu.
@arthurherman-rn8ko
3 ай бұрын
Tatizo Inavyo Onekana Landlord ANAMDOMO SANA
@shakilamasoud2983
3 ай бұрын
Geita😂🙌
@AlindaJoel-xy4vz
3 ай бұрын
Niliambiwa kua uyaone mbona naona mpaka yananizidia😮
@IsaacLameck-nz8yr
3 ай бұрын
Nilikuwa sijaona vituko vyote aisee
@IssaTayari
2 ай бұрын
Alikuwa anaogopa kwenda kwachoo kissa kod
@sophiakimaro5174
3 ай бұрын
Duniani kuna mengi jamani.waaah!!!
@israelkisaila8401
3 ай бұрын
😂unaweza ukadhani ulishamaliza kuona yote kumbe hata robo bado
@irhamseif
3 ай бұрын
😂😂😂 kunammoja walimtoaga huko manzese akitoka ndan shati limenyooka hatar kuja kuingia ndan ni gari tatu za taka walitoa na mikojo mpaka kwenye majaba chupa za soda sijui ni ugonjwa 😂😂😂
@doreenmsafari2945
3 ай бұрын
@@irhamseifnimecheka mieeeee 🤣 mtaniua 🤣🤣🤣🤣🤣
@personpeter2221
3 ай бұрын
@@irhamseifunanivunja mbavu 😂😂😂😂
@Sangaligospel
3 ай бұрын
Daaar pole kijana nichangamotoza kukosa kodi mwachieni huyo kijana akaendeleee kutafta maisha yake
@donathajasson6401
2 ай бұрын
akauze mkojo ni mbolea apate kodi
@shakilarajabu8059
3 ай бұрын
Mmh hizi nyumba tunazopanga imagine unaenda zako kupanga chumba kumbe kunamtu alifanya mambo yake kama Lazier doooh
@redtk2971
3 ай бұрын
Huyu mimi kabisa uvivu kwendAa chooni nje jamani msitulaumu
@claudiajames2003
3 ай бұрын
Mmhhhhh😅😅😅😅😂😂😂katibiweni akili jamani
@mariamdullazy8166
3 ай бұрын
Ndo ukikojowa usimwage haiwezekani
@joshuasamson9618
3 ай бұрын
Mkojo inafaa ukaukojoe chooni mda unaamka mkojo unakuuma kimbofu nenda chooni ukakojoe sababu ukikojolea ndoo au sadolini au chupa mkojo unatabia kujichuja ukienda kuumwanga asubuhu utasababisha maabukizi ya magonjwa kwa watu wengine
@mariamjuma5957
3 ай бұрын
@@mariamdullazy8166apo maajabu nayo wengi wakojoa mekebeni lakini wamwaga
@bensonwissa5777
3 ай бұрын
Ukiona Ivo jua kijana hakuna na mademu huwezi kuacha chimba kichafu ivo
@JacquelineMacha-y3n
3 ай бұрын
Mwamba kama mwamba,,,huyo ni mvivu wakutoka kujisaidia usiku😂
@salomethomas6469
3 ай бұрын
Hata asubuh kumwaga awezi
@joshuasamson9618
3 ай бұрын
@StanleyJ214 mnamshangaa huyo dar dsm maghetto ya waschana wanakojoa jagi anautuza asubuhi ananawia usoni ili usowake uwe sofiti yaani hao wapo wengi mno hawaumbui
@Fx_expertmoneymaker001
3 ай бұрын
@@joshuasamson9618huoni huyo katunza kama vile anataka kuuza yan.. 😢😢. Bora anaemwaga..
@joshuasamson9618
3 ай бұрын
@@Fx_expertmoneymaker001 Goja ni kupe siri ya mkojo ni utajiri mkubwa Ajabu yaani watu wengi hawafahamu ila sio kwa Jia kama ya huyu Maghati LA porini hajui kitu, Ukitaka mambo yako yayooke sawasawa kila unachokifanya ukipokee tumia mkojo wako uonge saa Tina usiku Mara saba marajiri watakuamini ajabu ukiwaomba pesa milioni Mia watakupa wajua tawarundushia imetoka hiyo ila uwe na Pesa iliyotengenezwa na mkoloni pesa Ina Madi ya dhahambu Alimasi Mekirii ukiwa nayo matariji wanasahau kama walikupa pesa hawakukubuku yaani usije ukaonga mkojo kama huna hiyo pesa nitafute takuuzia hiyo pesa ninazo yaan
@kemmymartine4884
2 ай бұрын
😮😮😮😮
@vero57
3 ай бұрын
Hiyo sio mzima kabisa, tatizo la dish
@hameezhami7795
3 ай бұрын
Linayumba ama😅
@ALCADOJAMES
3 ай бұрын
Laiza katuumbua staili yetu da!😂😂😂😂
@gidammatagi2723
3 ай бұрын
🦧🦧🦧🦧🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂😂😂
@BalksGitya
3 ай бұрын
Sasa kosa nn kulipa Kodi au kukaa na mikojo ndani?
@ussiussi3413
3 ай бұрын
Living in nature, acha awe kwenye sehemu ya Ekolojia.
@jacklinemsechu221
3 ай бұрын
😂
@Neemaluoga-u4j
2 ай бұрын
wapo wengi nimewai kushuhudia
@juliusdonard933
3 ай бұрын
Vitu vya kawaidaa , mama wa nyumba mkali Choo chakee
@vibetz9991
3 ай бұрын
Wapo wengi sana watu wa hivyo mitaani😂😂😂sema uyo kazingua kufika hadi milladayo,,,😂😂😂katoa siri ya kambi😂😂
@nickmkude7571
3 ай бұрын
😅😅
@SuzanMairy
3 ай бұрын
😅😅😅😅😅kula chuma
@frankmhengilolo1584
3 ай бұрын
Ayo Lizer
@CHRISTINAMAGASI
3 ай бұрын
Ayolaizer
@MigomgoMigali-ky1jl
3 ай бұрын
Duuuh huyu atakua ana matatizo ya akili sio bure khaah😅
@calvin6445
3 ай бұрын
Lizer mfanabiashara wa mkojo UTI sugu
@BatazalNdifwa-nk2hl
3 ай бұрын
Elimu Elimu Elimu. Huo ni udhalilishaji. Tuache kutesana Watanzania. Hali mbaya mno ccm ipi kazini. Mpe notsi kwanza sio mitandaoni humu Aibu. Ok
@christopherjoseph8330
3 ай бұрын
Kosa liko wapi?
@samwelikmollel
3 ай бұрын
Hi kitaa mbona kawaida sana hasa mjini
@b-creative4662
3 ай бұрын
Allen ni mbwa umempeleka Polisi mhuni!?
@personpeter2221
3 ай бұрын
Joja na mm nianze taratibu make hyu mama mwenyenyumba haishi kunizogoa nifkishe japo chipa mia na besen 5 za mavi
@SamwelomariOmari
3 ай бұрын
Kuna tofauti Gani na vyumba vya self?
@Jonsking
3 ай бұрын
Hii nilishaonaga😂😂
@rmars333
3 ай бұрын
Mboni maelezo ya upande mmoja tu.. na kosa lake nn?
@RahimaIdd-yf9jo
3 ай бұрын
Nchi za mwenzetu kinyesi na mikojo ni dili sasa nyinyi na umbea wenu mnahalibu madili ya watu unamponza mwenzenu awe masikin😂😂😂
@BatazalNdifwa-nk2hl
3 ай бұрын
Gooooooooood. Mavi ni Mbolea nzuri Sana na Mkojo ni dawa nzuri Sana ya vidonda. Ok
@mikalwila9342
2 ай бұрын
Sasa anatuumiwa kama anaogopa kukojoa nje jamani 😂😂😂😂😂
@zawadimpayo3839
3 ай бұрын
Kwani hakuna vyanzo vingine vya habari🤣🤣🤣
@bensonlameck6348
3 ай бұрын
Daaah huyu mwamba,asee mavi na mkojo....
@gcrack067
3 ай бұрын
Dah ana roho ngumu, sasa kama alikuwa anataka choo cha ndani angesema.😂😂😂
@MariamIbrahim-zz2hu
3 ай бұрын
😂😂 kwa kweli
@HanifaOman-oo4pl
3 ай бұрын
Hahaa
@spreadlove5300
3 ай бұрын
Aisee yaani kanya hadi kajaza beseni😮😮😮
@mariamjuma5957
3 ай бұрын
😂😂
@mariamjuma5957
3 ай бұрын
@@spreadlove5300😂😂
@musampanda3643
3 ай бұрын
Sema kijijin bhn watu wanafatiliana sana mno ingekuwa mjn akuna Mambo kama hayo
@nth3512
3 ай бұрын
Hio ni kawaida kwa mabarobaro wengi tu, tena umri 26 na hana mke ni kawaida iyo. Hata dar wapo kibao tu. Na ambavyo hana ajira yyte. Kawaida bn, ni maswala ya malezi tu. Alikua anajificha asionekane
@samwelikmollel
3 ай бұрын
Hi kawaida ila apo kwenye mavi no
@pendobaharia5598
3 ай бұрын
Ayooooo laizer 😂😂😂
@jacksonchiwalanga4817
3 ай бұрын
Sasa cha ajabu ni nini apoo??? Alafu mama mwenyenyumba anasema mtuhumiwa,, Ni mtuhumiwa kwa kosa ganii??? Kutolipa kodi ni kosa kisheria?? Kama mtu ana hustle ni ajabu??? Kukojoa kwenye makopo ya maji ni ajabu???
@eliyasanga6374
2 ай бұрын
😂😂😂alikuwa ana ogopa kutoka nje ndio maana 😷
@elidiustudoy2640
3 ай бұрын
Ukute ni petrol yenyewe 😅😅😅
@seifmiraji43
3 ай бұрын
Hiyo mkojo kutia kwenye chupa asilimia kubwa ya wanaume tunafanya ukija geto unaweza zani nahifadhi petroleum kumbe mkojo😂😂😂ila hiyo ya mavi kanishinda tabia.
@aishafrancis7714
3 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@ramadhanihudhaifani4376
3 ай бұрын
Wewe pekee ndio huwa unafanya hivyo! Sio sisi. Na ukiona mwanaume anayafanya haya,basi juwa ana tabia za kike! Ni mvivu na ni muoga wa kutoka nje kwenda kujisaidia. Nyau wewe! 😡😡😡
@jackiekimario9324
3 ай бұрын
Yaan najiuliza alikuwa anatawaza na nini akinnyaaaaa😂😂😂😂
@raymondwilliam3042
3 ай бұрын
Kijana wa hovyo kabisa
@Madam255
3 ай бұрын
Tumuone jamani 😂😂😂😂
@edakilibika5935
3 ай бұрын
Alikuwa anakwepa kodi
@muhsinmsimu7449
3 ай бұрын
Sasa mwenyewe anakaa nayo arufi yawasumbua😊
@ramadhaniraphael6955
3 ай бұрын
Mi pia ndo zangu hizo ninachupa za mikojo ndani 25 huwa nikirudi na juisi usiku naona uvivi kwenda chooni nje
@youngyayoo2805
3 ай бұрын
Kijana ajengewe mnara hapo njee
@filbertshayo3703
3 ай бұрын
Sasa cha ajabu hapo ni nini? Hiyo si ndio self contains? Mbona huku dar majumba mengi ndivyo talivyo?
@HusseinAlly-fq9il
3 ай бұрын
Jengeni vyumba na choo ndani ....Hana kosa huyo 😂
@MaryamMaryam-wp5yk
3 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@mariamjuma5957
3 ай бұрын
Ss siakamwage😂😂
@HusseinAlly-fq9il
3 ай бұрын
@@mariamjuma5957 😂😂😂 au Kuna sehem anauza nini?
@doreenmsafari2945
3 ай бұрын
@@HusseinAlly-fq9ilnimecheka vile ulikata 🤣🤣🤣🤣
@elimidakashumba2422
3 ай бұрын
Kama ameshindwa kulipa Kodi Kwa chumba hicho je self container ataweza?
@audaxbizimana8084
3 ай бұрын
Afya ya akili jamani jamani😅😅😅😅 watu wanaumwa
@fatmamayunga6250
3 ай бұрын
mikojo yake muachieni mwenyewe kwan inawahusu nn
@IshipalemyPasko
3 ай бұрын
Sasa swala la mokojo si lake mwenyewe jaman au.
@AgathaAndrew-j8s
3 ай бұрын
Kwani si angekuwa anadamka kumwaga jamani mbona kajitesa ivyo😂😂😂
@patsonkimaro5685
3 ай бұрын
Ayo tv ya mchongo
@warakawayohana2896
3 ай бұрын
Mama anamdomo sana kijana wa kimasai kaamua kuweka choo cha mobile😂
@SitiboWilson
3 ай бұрын
Heeeerrr 😂😂😂😂😂😂 syoatari bana iyonikama tabiatu sema yeye kapitiliza mpaka amepatumia kama selufu akapangishe selufu ataki foleni vyoo vyakupanga nikama changa moto kuna mtualiwai tokewa alikamaiyo😂😂
@faridbinjumaonlinetv9258
3 ай бұрын
Hili jambo milard ata mimi nilkua nalo niko zanzbar nilikutwa na chupa miamoja na kumi na nne kwahio nihali ya uvivu wa kuenda toylet huonndo ukweli
@amisafaraji5796
3 ай бұрын
😮😮
@josephpeter2343
3 ай бұрын
Hannah designed hapo
@giftpeter9118
3 ай бұрын
Harufu nimeisikia had huku nilipo
@NuruZebedayombise-ie5zb
3 ай бұрын
Kumbe geita hiyo kawaida yao😂😂😂😂
@silivestatesha9262
3 ай бұрын
Kwani huyo jama kafanyaje mbona hana makosa yoyote huo Achen umbea
@Mumewangu
3 ай бұрын
Kweli kabisa ujinga tu
@deborahmchona5584
3 ай бұрын
Kwanza si mkono ni dawa labda alikua anajiwekea dawa zake je??😂
@deborahmchona5584
3 ай бұрын
Mkojo ni dawa Alikua anajiwekea dawa zake 😂
@Pihansmo
3 ай бұрын
Kweli kabisa❤
@yugemasanza1008
3 ай бұрын
Mbona wewe hujafanya hayo!
@siamnyone8403
3 ай бұрын
😂😂😂😂😂nimecheka mm jamaan ety anawasha fen na barakoa..... MUNGU huyu bc ty😂😂😂😂
@glorybrayankessi7002
3 ай бұрын
Eti mtuhumiwa!!!!!!
@yasminjuma9146
3 ай бұрын
Wana uvivu kwenda chooni.
@LutfiaRashid
3 ай бұрын
Mimi mweny makaka wadogo hilo si jambo la ajabu
@رقيهالخصيبي
3 ай бұрын
Lakini sio kwa mikojo hiyo
@lakiabalozi5633
3 ай бұрын
,😂😂😂😂masai au😂😂
@johnmeshack4431
3 ай бұрын
Laizar ndyo
@chidmp
3 ай бұрын
Duu alkuwa anawezaje sasa kulala kwa hiyo harufu
@hurumadavid6210
3 ай бұрын
Xax mahakamani unamshitaki kwa kosa lipi
@mariamdullazy8166
3 ай бұрын
😂
@vero57
3 ай бұрын
Eti choo cha mobile
@shamimageta6651
3 ай бұрын
kuna Tako limepita hapo😅
@shabanbajhanun90
3 ай бұрын
Mmhh umenifanya niirudie😂
@rehemamajaliwa
3 ай бұрын
Hata mimi nimewahi kuwa na mpangaji wa ivo mamae🤣
@nahyahya7349
3 ай бұрын
Wee laizer weweeee(kwa sauti ya zuchu)
@MassunzuMashaka
3 ай бұрын
Sidhan kama atapata mke Mme mharibia
@zulfahaji91
3 ай бұрын
Chumba choo ajenge chake km rahisi
@azizayassin3623
3 ай бұрын
Mmmmmh😢
@ShangweSylus-nf6we
3 ай бұрын
Laiza mwenyewe yuko wapi jamani?
@kibasamohamedi8029
3 ай бұрын
Sasa hapo hamna kosa lolote mbona! Mumuache tu
@HazinaElisha
3 ай бұрын
Bora walikuta uchafu wakee kuliko wangekutaa maiti
@yunisimaiko
3 ай бұрын
Mpeni maua yake mwamba uyo😂
@mariachales3283
3 ай бұрын
Hii nanikumbusha kama yule wa daresam aliweka uchavu
@rickiefisher1085
3 ай бұрын
kosa likowapi sasa😂😂😂
@AgathaFerdinand
3 ай бұрын
Mbona kijana yupo sahihi tu, isipokuwa suala la kukosa kipato ni suala la muda tuu, na alihisi ni choo hicho maaana nyumba yenyewe haieleweki. Yaani mimi sioni kosa kabisa maana bibi huyu naye anongea pointless
Пікірлер: 338