Mungu wangu , na baba yangu , tu waovu sisi hatufai mbele zako! Achilia Rehema zako juu ya kizazi chetu baba! Hatuna pa kujificha , uasi umekaa juu yetu, hatuna pa kwenda wala wa kutuepusha na haya ila wewe Yesu Kristo Amina
@FredMjuni-di7zs
Жыл бұрын
Mwitege
@theopistachialo9286
8 ай бұрын
@@FredMjuni-di7zs p
@patrickmunishi2277
Жыл бұрын
NINACHOJUA SIKU ZA MWISHO, UOVU NI MWINGI SANA, HIYO NI TRELLA TU, YAPO MENGI MSIO YA JUA, USHAURI WANGU. TUBUNI MUMWAMINI YESU KRISTO MUOKOLEWE. DUNIA INAELEKEA MWISHO.
@Mpakauseme
Жыл бұрын
Hakuna mtu ambaye ataijua siku ya mwisho uwovu ulimwenguni haukuanza leo
@user-ow3lc6lk9p
4 ай бұрын
Yesu siyo Mungu muwe na akili timamu
@user-ic7oo1vt4v
4 ай бұрын
Baada ya dhehebu kuwa mengi na wachungaji wengi mambo yanazidi kuwa mabaya hivyo turudi enzi za mababu zetu tuachane na madhehebu ya watu wa Magharibi
@Mommy4147
9 ай бұрын
Ssa uyu mama alimkasilikia uyu msichana Wake ju alisema kw watu duuuuuh mungu amrehemu aky pia nae sikupenda kwake mungu amuepushie adhabu za kabulini amin 🙏
@raymondmjebe2412
Жыл бұрын
Mungu ndo anajua ukwelii wa hili Jambo tuombe tu mungu atujalie maadili mema la sivyo wasemaji WA ili swala nao wanaonkan wanpenda Kiki
@jacquilinenoah949
Жыл бұрын
mhhhhhhhh mungu muepushe mama angu na hii laaana 😭😭😭😭😭nakulilia mungu toa hii laaana kwenye familia zetu yan watu wamekosa hof ya mungu jaman....
@consolatamedard6593
Жыл бұрын
Watu wanalogwa my yani hapo unakuta alirudishiwa faham baada ya watu kujua Lakin uyo Mama alifungwa fahamu
@magretsamba5002
Жыл бұрын
Mungu msamehe mwanamke mwenzangu..Pombe ni shetani mbaya sana...sio akili yake
@anjelamathias-xn2nz
Жыл бұрын
Eee mwenyezi mungu tusaidie sisi na vizazi vyetu
@sabrinaandrew4245
5 ай бұрын
😭😭😭😭😭😭😭Eee mwenyezi mungu tunakuomba utuhurumie sisi sote😭😭🙅🙏🙌
@zayumar2955
Жыл бұрын
Innalilah wynalillah rajiuun Tumuombe Mwenye enz Mungu atusaidie Jmn matukio yanayotokea ktk nchi yetu ni mazito mnoo makubwa Yan yanaogopesha wallah watu wamekua hawana utu kabisaa wala hofu ya Mungu 😢😢💔
@Mwahijamohamedi
4 ай бұрын
😊
@jumaseleman5972
Жыл бұрын
Hii dunia inamambo,Mambo sisi wenyew binadamu,eeee mwenyezi Mungu tujalie mwisho mwema,kila kukicha afadhari ya Jana.
@MerrySele
2 ай бұрын
yaani jamani tunapotea
@achouraachoura5763
Жыл бұрын
Inna lillah wainna ilayh rajiuun....allahu Akbar.. yarabb tunaomba utusamehe dunia imekua ya Moto Sana tuepushie hii mitihani ya ajabu ...
@miriamdavis3893
Жыл бұрын
Mungu usituache watoto wako tunaluitaji sisi na uzao wetu
@suzanamwangingo2995
Жыл бұрын
Mimi sina lakusema zaidi ya kuogopa sana 😢 🙏
@angiringalyimo365
Жыл бұрын
mama amefanya hivyo ili wapate mali! kwa sababu binadamu tumemkataa Mungu katika fahamu zetu, hayo ndo matokeo yake! Warumi 1:24-26
@muddymuzungu4357
Жыл бұрын
Inna lillahi Wainna ilayhi Raajioun😭😭😭😭
@scholarmawala1403
Жыл бұрын
Dunia imebaki kiduuchu 😭😭😭
@asiamerey9081
Жыл бұрын
Saaaana tena
@catherinemuhagama7338
Жыл бұрын
Duh hatar kwel Mungu haziakiw unaapa na kwel unaenda mbaya zaid unaapa wakat kwel mmetenda ktendo ambacho hata vtabu vya dini vnakataza si uchaw huo jamanii.,.Anyway Apumzke kwa Aman pia Mungu ndio mtoa hukum🙏🙏🤲
@nurdinmfamau3493
Жыл бұрын
Tatizo Kubwa Lajamii Yetu. Wengi Wetu Tunashindwa Kuelewa. Hapa Tunaangalia Tulipoanguakia. Nasio Tupojikwaiya. Tatizo Sio Mama Nawala Sio Mtoto. Pombe Nikharamu. Tuache Pombe.
@donathakimaro5276
Жыл бұрын
Mungu wangu tutasikia mengi.kama watu hawataacha ulevi ni hatari kuna mengi sana kama hayo yanatendeka watu hawaweki wazi tu kwa kuogopa aubu. Ulevi ni hatari kuliko hata huyo shetani
@wemakingdaily1462
Жыл бұрын
Hivi huyo mama ana umri wa miaka mingapi?
@Asha_167
Жыл бұрын
The world has run out of basic repentance 😥 😥
@khadidjasuleiman8006
Жыл бұрын
Innalillahi wa inna ilaiyhi Rajiuun 😢Ee mungu Tunusuru waja wako 😢😢😢
@Mamatee7013
Жыл бұрын
Mungu atunusuru na haya maovu dunianii ni huzuni 😔 😟 🙁 😥
@hamzakivuma
Жыл бұрын
Namuona pastor mzava....👋👋
@consolatamedard6593
Жыл бұрын
Nyie watu wanalogwa mm naamin uyu Mama na mtoto wake wamechukuliwa fahamu zao angekuwa anafanya kwa kupenda asingekufa mana alikusudia kufanya kwaiyo Haya nimbo ya kiroho Sana tuombee Familia zetu Ibilisi yupo kazini
@upendombise8113
Жыл бұрын
Kwakweli ata mimi naamini ivyo
@janechaula2870
10 ай бұрын
uko sahihi my
@agnesspaul1866
9 ай бұрын
❤❤❤❤❤kilichopo ni kutubu zambi tuziache siku za nwisho izo
@annamitumba3981
Жыл бұрын
Asante ndugu ripota wetu baba tishii kutoka soko la maimorya.
@aash4145
Жыл бұрын
Aibu imemuua mama, jamaniiiiii😢😢😢
@alisterlexter1115
Жыл бұрын
Mungu uturehemu sisi wanadamu.........tusamehe tunusuru na ghadhabu Yako eeh baba Mungu🙏😭
@TeresiaShirima
Жыл бұрын
Huyu mama inawexekana alikuwa na laana
@ephraimwadaudi2867
Жыл бұрын
Ni serikali ya mpinga kristo inaandaliwa
@joycelongo1213
Жыл бұрын
Du dunia imeisha tuzidi kumuomba mungu. Sana
@annehk8185
Жыл бұрын
Maajabu yanaendelea kutokea ee Mwenyezi Mungu tusamehe sisi wanadamu
@MeryMichael-mg2zc
Жыл бұрын
😢😢turehemu Yesu
@cecygeorge4443
Жыл бұрын
Pasua kuna makabila kibao sio wachaga niseme tuu changanyikeni poleni wamepigwa na kitu kizito kweli mama safari salama😭
@zubedajamuhur6467
Жыл бұрын
Innalillah mollah atupe mwisho mwema wallah
@navyoagrey7523
Жыл бұрын
Yesu rudi.... sasa
@DaudiPius-oc7ye
Жыл бұрын
Mungu atusaidie sisi na vizazi vyetu
@NashonNashon-dk1sq
Жыл бұрын
Dunia imefika mwisho tunakwenda wapi jameni 😭😭😭😭😭
@PaulinaSemindu-ob3de
Жыл бұрын
Waganga watu wabaya sana watakuwa wamemrubuni huyu mama mashart mabaya jmn dah😢
@saidmasengo7988
Жыл бұрын
DUUH hizi tamaa hizi😢😢😢
@luqman4030
Жыл бұрын
SubhanaAllah
@monicambuya-sq9ms
Жыл бұрын
Mh sijui uelewa wangu mdogo kwa mujibu wa diwani mama alikataa kula chakula mahabusu bila mwanae pia upande wa dhamana pia aligoma hawezi kutoka bila mwanae inawezekana alikua anafanya kwa kujua
@traudkamugisha8051
Жыл бұрын
nihatari sana ulimwengu huu Mungu atusamehe sana
@salamakiwinga6310
Жыл бұрын
dunia simama nishuke 😭😭😭😭
@alumonkisinda4574
Жыл бұрын
Mungu amsamehe hamu alikuwa nayo ya kutosha alafu ndo kakosa wa kumsaidia hadi kamludia mtoto jamani hamu ya lala salama siyo kitu kidogo tumuombe kwa mungu tusimlaumu sana
@emmanuelmlowe-ew7gx
11 ай бұрын
Inaonekana unaona sawa
@chunanachu2529
Жыл бұрын
Subhanallah
@kingbabzubekingbabzube5992
Жыл бұрын
Duh Allah atunusuru
@khamysamursally5932
9 ай бұрын
Umejibu vizuri jirani watt wanashidaa sanaa
@MariaCassian-ys7pt
3 ай бұрын
Mungu turehemu. Tusanehee watanzania tunaomba rehema na Neema zako
@user-qq6mv6vh3e
Жыл бұрын
Istakhafilulah😢😢😢
@ashakisongela1891
Жыл бұрын
Duh! aiseee
@hijamwinyi3233
10 ай бұрын
Mtihani wallahi allah atupe mwisho mwema
@officialtinnyaltezza9878
Жыл бұрын
Khaaah..... Pombe gan hii
@user-ci8zd6ij7c
4 ай бұрын
Mungu aturehemu, kama nimeelewa naona huyu mtoto ndio alikua anamvizia mama akiwa amelewa
Kwahiyo mtoto alikua anamuingilia mama akiwa hajitambui au
@yakobomaganga6557
Жыл бұрын
ILE STAILI YA DINI ZOTE KULIOMBEA TAIFA IMEPOTELEA WAPI? JAMANIIIIII!!!,, HEBU NIWAOMBE VIONGIZI WETU WAPENDWA WA DINI ZOOOOTEEEE!! WALUDISHE ULE MFUMO WA KULIOMBEA TAIFA!! MAANA NAONA KAMA KUNA GIZA TUPU,,😭😭🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿😭😭 MUNGU IBARIKI TANZANIA 🇹🇿🙏🏿🙏🏿
@Nurjan847
Жыл бұрын
Kweli kabisa
@khadijazayumba3857
Жыл бұрын
Mmmmmh!!!! Mungu amlehemu huyo mama mungu ndio hakimu
@mwawekomiuda9779
Жыл бұрын
Unamuimbea mtu mchafu kama huyo?msamaha kwa uchafu kama huo ulio wazi??? Usijibebe thumbing za mtu kwa kumshirikisha M'mungu
@MwanaharusiHatibu-wj5vp
Жыл бұрын
Ee mungu tunusuru
@aminashabanjuma4705
Жыл бұрын
wachaga shikamooo mnapenda kulala na watoto wenu
@marthaadammakatobemwakatob4246
Жыл бұрын
Mambo yamekuwa mengi Tukeshe na kuomba huu mwisho wa dunia
@khadijashabaninimba7890
Жыл бұрын
Hakika
@neemasamson314
Жыл бұрын
Kweli kabisa ndugu yangu maana ni hatari
@shemsahemed3577
Жыл бұрын
Mungu atupe mwisho mwema jamani ni dalili za kiyama
@asmarashidi9295
Жыл бұрын
0
@Yunis-hn9hn
Жыл бұрын
Ni kweli kabisa
@linahmacha370
Жыл бұрын
Shetani yupo kazini jamani hii kitu inaweza mkuta mtu yeyote yule Cha msingi tuzidi kuombea familia zetu Kila siku 😭😭
@zenaycechanzinho6702
Жыл бұрын
Sanaaaa
@fatmamayunga5792
Жыл бұрын
Tumekwisha
@Yunis-hn9hn
Жыл бұрын
Wamama na ulevi mmeziuwa familia nyingi.
@user-rn4gm1gj8f
4 ай бұрын
Duuuh dunia imevaa sketi jemen
@LeonardWangele
3 ай бұрын
Huyo jamaa atalaaniwa hadi mwaisho wa maisha yake, pia hili tukio liwe fundisho kwa jamii pombe si chai jaman achani pombe.
@pendo8082
Жыл бұрын
Jamani uwii
@aash4145
Жыл бұрын
Mtihan mkubwa mno, jaman dunia 😢😢😢😢😢😢😢😢hadi inaogopesha mm
@zainabubalama8869
Жыл бұрын
SubhanaAllah 😭😭 huyu mtoto hana radhi kabisa
@zulfasalum9384
Жыл бұрын
Kwn alimbaka?
@zainabubalama8869
Жыл бұрын
@@zulfasalum9384 Ww unaweza kuingiliwa na baba yako kilasiku hebu twambie inamaana hii kitu umeona ni saw au
@benedethamapunda71
9 ай бұрын
@@zainabubalama8869 Dah waganga mrudieni Mungu masharti mnaowapatia vijana saizi ndo
@benedethamapunda71
9 ай бұрын
huyu inaonekana amefurahia
@Lassana755
4 ай бұрын
mama ndo hana laaana katembea na mwanawe wa miaka 16
@lucyjeremia1381
Жыл бұрын
Daaah dunia hii 😢😢😢😢😢kuna siku tutaamka haipo
@amirmussa6735
Жыл бұрын
Kabisa yaan
@janembiro3057
Жыл бұрын
Hatari sana
@flavianamrema7857
Жыл бұрын
Mhhh umenena neno zito
@neemareuben311
Жыл бұрын
Kwa ss wa cristo tunaisoma biblia tunasoma sana na kujua Dalili za mwisho ndio izoo hpaaa aisee Mungu atupe mwisho mwema
@user-xo5lq7mw3n
5 ай бұрын
Innalillah wanna illah Rajiun Baki Allah dah Mungu ampe kaul thabit ni mtihan mkubwa,
@clarahoza5866
Жыл бұрын
Jamani jamani tumuombe mungu sana
@maryandason1815
Жыл бұрын
Dah yhn hiz mapombe ya vilabu bubu.muache haki...aisee mm mpka saah ctak kuamin Mama Ney n kwel uliamua kufanya n uy chalii uliyemlea mwenyew n kumzaa.chanzo Cha yote n mapombe yacyo na adabu...polen 😢.neema..
@janelulambo3957
10 ай бұрын
Mungu hadhihakiwi jaman,tena hadhihakiwi,et naomba nife hapa hapa,naukizingatia jambo lenyewe nichukizo mbele zake,unaondoka huku unajiona.
@agneskapwani3484
Жыл бұрын
Mungu atusaidie sana
@YoungjOfficial787
Жыл бұрын
Balaaaaa Ili😥😥
@user-px2zk9bl3y
9 ай бұрын
Pole
@modycombo7421
Жыл бұрын
Mtihani kwakweli tusubiri sunami tu haya mambo ya duniani yanatisha tufanyeni ibada 😢
@user-px2zk9bl3y
9 ай бұрын
Polen jamn kwahili lakn Jamn tuache hiyo tabia imenium san mung tusaidie😮😮😅😊😊😊😊😊
@user-px2zk9bl3y
9 ай бұрын
Duhh inauma sana mama tubadilik
@user-px2zk9bl3y
9 ай бұрын
Mung tusaidie jamn
@tinnahagustinolyelu4247
5 ай бұрын
Huyo mama kiboko alikuwa anataka utajiri sasa Mungu amemhukumu
@MamaIbrahim-tl4or
Ай бұрын
Ee mungu nakuomba tuepushe naizi laana maana namm nimama
@rosemwankemwa9413
9 ай бұрын
Mungu atusamehe kwa yote ck zimekwishaa
@candy9969
Жыл бұрын
Subuhana Allah 😭
@Majanga-d4h
Жыл бұрын
TUTUBU NYAKAT ZA MWISHO ZIMEFIKA ,
@WardaKassim-do2xg
Жыл бұрын
Daah😭😭
@user-jc3uh2mp8f
4 ай бұрын
Yan tumche mungu sana
@jrsaid4270
Жыл бұрын
Kuna tabia siku Hizi wamama watu wazima hawaitikii salamu za vijana wakisalimiwa ndio kama hivyo sasa Alafu Dunia inaenda Kwa mbinde sana sana nani anakubaliana nami tushuke kituo kinachofuata
Пікірлер: 410