Tunachezea sana uhai😢😢Uhai ni zawadi kubwa sana Toka kwa Allah😢😢 RIP
@MashakaMagesa
26 күн бұрын
Hasa bodaboda wakiwa kwenye barabara hawana element lakini speed wanayokuwa nayo ni hatari
@MariamMwibidy
26 күн бұрын
Innalilah wainnailah raj uun,😭😭😭
@kulthoumkaita2181
26 күн бұрын
yaaan vijana wa chuga bhana eti somebody tarimo😂😂aiseee poleni sana sisi sote ni wa Allah na kwake tutarejea
@azizamaulid9257
26 күн бұрын
Nkazani ni jina lake
@rahmankya148
25 күн бұрын
😂 uyo wapili ndio somebody kbx@@azizamaulid9257
@Bulationlinetv
26 күн бұрын
Ndio shida ya sisi vijana wa Arusha tulivyo tukiendesha pikipiki tunakua ni kama tumefika mbinguni. Hatutaona tena kama kuna hatari mbeleni...😢😢
@mitchellshayo4801
26 күн бұрын
Huu mwaka nmekumbuka miaka kadhaa nyuma wallah matukio yalikuwa kila siku hadi tukazoea Mungu atupe mwisho mwema
@SamsungA03core-tz7sz
26 күн бұрын
Amiin
@HamisiKianga
26 күн бұрын
Piki piki ni chombo cha usafiri, alama za barabarani zizingatiwe vijana ni nguvu ya taifa, poleni sana
@mataypanga5262
26 күн бұрын
Pikipiki siyo chombo cha usafiri wa abiria kwa ajili ya biashara,bali usafiri binafsi
@trecygohy7847
26 күн бұрын
@@mataypanga5262 Nini maana ya plate number nyeupe kwenye pikipiki ?.
@MashakaMagesa
26 күн бұрын
Vijana hawaelewi wakiwa barabarani hasa bodaboda Hawa si vifaa Kinga angekuwa na element asingepasuka kichwa
@JumaGendeye-sv6yl
26 күн бұрын
ilaasinge kufa@@MashakaMagesa
@SalmanMughal-lq5lt
26 күн бұрын
@@MashakaMagesaSasa unaambiwa gari imepitia juuYakichwa Hyo Element ingesaidia nini
@HusnaLyale
26 күн бұрын
Inalilah wa inalilah lajuuni
@NagwaNagwatz
26 күн бұрын
Ina lilah waina ilah rajiun
@TheGothaman
20 күн бұрын
Vijana wa arusha wanaendesha pikipiki rafu sana.sometimes unaweza ukawa unaendesha gari unajikuta umewekwa mtu kati.Mungu ampe pumziko la milele Amina.
@jumarajabu862
26 күн бұрын
Mimi naitwa somebody
@MehaiZephania
13 күн бұрын
😂😂😂
@Kingstonbagamoyo
26 күн бұрын
Poleni bagdad hapo maskani yangu zamani,baba alii,godii,
@chikujuma18
25 күн бұрын
😢😢😢 Inalilaahi wainalilah rajighun
@rynesawaya7043
22 күн бұрын
Somebody wa pil jaman arusha pole familia ya mfiwa 🙏🙏🙏
@stn4873
26 күн бұрын
Somebody Tarimo
@mussaelia8693
26 күн бұрын
Kwann wote wamejitambulisha kama somebody
@tulymuhando96
26 күн бұрын
Awataki kusaidia police ndo maan awatoi ushirikino 😢😢😢😢
@SalumSafkim
20 күн бұрын
Inalilah wainah ilah rajiun
@AshaKache-nr5fz
10 күн бұрын
Pole kwa family
@AsiaBakari-rb2ok
25 күн бұрын
Mm mwenyew Kuna siku walitka kunigonga nilisimama niliangalia Ile pikipik mpk unapo ishia kwakweli nili niliumia sana alinitukana snaaaaa
@wine4music331
26 күн бұрын
ARUSHA VIJANA PIKIPIKI KWAO WANAONA KUENDESHA KWA FUJO NDO UDEREVA WAWE MAKINI KUFA MARA MOJA TU #MBIO SIO UDEREVA,UDEREVA NI UMAKINI REST IN PEACE 😢
@mosesgodfrey4143
26 күн бұрын
0:35 0:36
@dynachriss5126
26 күн бұрын
Arusha vijana wengi wanakufa kwa style hiyo hiyo ya kujifanya wanamautundu na pkpk waliobaki ni wadudu😂sa sjui miaka ijayo kutakuwa na wazee kweli huko😢
@endeshyamat6773
26 күн бұрын
Mungu wangu 😢
@MariamNdossy
26 күн бұрын
Innalillah wainnaillah rajiun
@D.MAN12-k5u
24 күн бұрын
Daah mungu ailaze mahali pema pepon
@zetrillionairlifestyle
23 күн бұрын
Innaillah waina illah rajiuun
@ScholasticaMathias
26 күн бұрын
Hii somebody imekaaje huko arusha????
@ayowardrey3782
26 күн бұрын
Some body....
@gymondclassic6729
17 күн бұрын
Daah😢😢
@SalamaNauthar
26 күн бұрын
Innalillaih wainnaillaih rajiuun😭😭😭😭
@SamsonJohns
25 күн бұрын
🙏
@kassimrajabu7805
26 күн бұрын
Kila shuhuda anaitwa Somebody??
@EmmasonYusuph
26 күн бұрын
Mmmh
@Fofo-z6t
26 күн бұрын
Inna lillahi wainna ilayhi rajiun 😢😢
@ayushiashanty9818
26 күн бұрын
Innalilahi wainna ilayhim rajiun
@gloryngoitiko3238
26 күн бұрын
Dah
@engineertarimo7345
26 күн бұрын
Dah! Nimepita hapo majira ya saa 11 hivi kuelelea saa kumi na 2 jioni, nimeona alivyokuwa chini kichwa halipo. Kiukweli nilishindwa hata kukatiza eneo hilo
@mwajabually5321
26 күн бұрын
aiseee Ina maana kimepasuka
@wolfgangkakiza6500
20 күн бұрын
Dogo wa kijijini kwetu huyo aliyefariki daaah
@mirajiabdallah1339
24 күн бұрын
duh kijenge
@NadhiraNa-vm5hs
26 күн бұрын
Inalilah wainnailaih rajiun 😭😭😭 poreni sana family
@MwaliSuleih
26 күн бұрын
Innalilaah wa inna ilayhy raaji'uun
@ElizabethKujerwa-qs3pl
24 күн бұрын
Somebody
@aaronjustin7235
22 күн бұрын
Hawa madogo wa arusha wapewe darasa wao wanahisi ni ujanja,binafsi naona uzembe tu unaendelea.
@chacha-255
22 күн бұрын
Vijana wa Arusha hii michezo itawamaliza na kuwavunja vunja, kwasababu -Wanatumia Pikipiki za bodaboda wakati hio michezo ina pikipiki maalum -wanaendesha wakiwa wamelewa bangi na pombe -hawavai helmet -Kuendesha kwa fujo bila kufuata sheria kwao ndio ujanja - hawavai viatu maalum wanavaa kandambili - hawavai mabegi ya kulinda mgongo -hawavai makoti magumu
@Rehema-h6t
26 күн бұрын
😢😢
@mparewaujerumani
26 күн бұрын
Jamani Arusha kwa matukio khaaa 🙌
@MikaelFijabo
26 күн бұрын
😢😢 inasikitisha saanaa alafu tukiwakataza kukimbiza pikipiki wanatuchukia wanasema tusiwaingilie kwenye maisha Yao
@neemamoshi5303
26 күн бұрын
Ajaiona gar Hla ni shuhuda Na ameona gar ya canter ndio imeleta ajal shikamo arusha
@salehkhamiss2449
26 күн бұрын
Kivumbiiii😂
@LinahRaphael-e1h
24 күн бұрын
😂😂
@YasintaNgimba
22 күн бұрын
Mhhh jmni mungu atusaidie afu ni vijana 2 ndo wanakufa
@hanifamziray277
26 күн бұрын
Yaani arusha kila sk matukio
@MariamKhalid-ub9jj
26 күн бұрын
Pole kwa familia jamani Allah awape nguvu na uvumilivu🤲😭
@RynoFire-w8k
26 күн бұрын
Safi tu, kwanini iwe kwao tu? Mimi nimeishi Arusha sana vijana ni wajuaji sana na wanajikuta wahuni mpaka kwenye vitu serious,
@deejaytalyq
23 күн бұрын
😢😢😢😢
@AshaMwamba-g3l
25 күн бұрын
Munguu wangu jamaa
@Ahlul-Bayt---Rasulillah2020.
26 күн бұрын
Mungu atunusuru
@anthonikabuye6819
26 күн бұрын
daah hizi speed noma wazee raia wanakula dundo sana skuzi
@alfredrweyemamu2925
26 күн бұрын
R.i.p
@BarakaMichael-dm2nx
22 күн бұрын
Mama yake nimekutana nae mountii melu mama analiaaa sana yuko pekuu kama kichaa 😢😢😢
@josephlorri431
26 күн бұрын
Aliyasema Lemma..
@emmanuellupiga
26 күн бұрын
Somebody ee
@AdamMohamed-u4p
26 күн бұрын
Unajua shida Arusha wanajiona wameshindikana sana wanaleta sifa sana yani acha wafe kuma hao unachezea pikipiki unadhan godoro
@mukhsintwaha5909
26 күн бұрын
Innalillah wainnaileihy rajiuun
@jamesloshilunye414
26 күн бұрын
Kwa hiyo wanao kufa kila siku dar ni WA Arusha?? Acha ufala wewe na wewe pengine mauti Yako ipo kwenye pikipiki wewe Koment ujinga mshenzi mkubwa wewe
@wizhustlaOfficial
26 күн бұрын
Huwa naumia kukutana na comment za maduanz kama hizi unafkiri kuna mtu anajitakia ajali ase
@kakaaignas3675
26 күн бұрын
@@jamesloshilunye414fala huyo
@FrancisRM-ex8vf
26 күн бұрын
Aliyesababisha ajali si aliye kufa kwa hiyo punguza jaziba, kifo hakina taarifa.
@joshuakinabo6861
26 күн бұрын
Yani vijana wa Arusha kila siku wanaambiwa ila hawasikiiii kila siku wanakufaa aisee kila siku wanakufaaaaa
@BraitonUrio-y2g
26 күн бұрын
Mungu wangu
@Misanyahidaya
26 күн бұрын
Kwani kila arusha
@stevenmichael9264
26 күн бұрын
Wafupi wameamka na kujifut vumbi dadekiiiiiiiiiiii 😂😂😂
@HamisiHemediWaguga
25 күн бұрын
Wezi hao
@FilbertHabashi-zn1qu
26 күн бұрын
Mi naitwa somebody.
@hellendaniel3809
25 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@dorislema2465
26 күн бұрын
Watakufa ad wapate akili timamu,,bodaboda wa Arusha awa vijana washenz sana wanaatarisha maisha ya watu wengine wasio na hatia awana huruma ata na maisha yao wenyew
@mrrockboy9508
26 күн бұрын
Safi sana apa arusha wamezidi kukimbia ovyo sana
@officialsbjovea5822
26 күн бұрын
Angekuwa ndugu yako usingesema hivyo ndugu
@directorabiero340
26 күн бұрын
Arusha daaaah
@FatumaMombo
26 күн бұрын
Dah jamani
@winifridanyenza4585
26 күн бұрын
Wakina sam bade ni wengi
@ScholasticaMathias
26 күн бұрын
😂
@hellendaniel3809
26 күн бұрын
Kwani baada ya Tarimo kusema Somebody Tarimo huyu wa pili nae anasema naitwa somebody😂😂😂. Dogo apumzike kwa amani.
@neemayatosha1618
26 күн бұрын
🤣🤣🤣,yaani nimekwama hapo kwny somebody,yaani hajijui jina lake au 😂 nyieee
@tucasashycom1072
26 күн бұрын
yaan wote wanaitwa somebody 😂😂😂
@danielthomas9609
26 күн бұрын
Sasa mnacheka nn@@neemayatosha1618
@machakuroger7068
25 күн бұрын
Dada Somebody ndio jina lake 😂 (First name ni Somebody)
@machakuroger7068
25 күн бұрын
@@neemayatosha1618 wana majanga hao, hawatajagi majina kamili
@Alidah-kg5hd
23 күн бұрын
Ma somebody wte wameeleza vzr mno😢😢😢 dogo pumzika kwa amin😢😢
@nashnene6326
26 күн бұрын
Katokea juu kuelekea chini
@verdianabanabi2205
26 күн бұрын
mungu tunaomba utuangalie kwa jicho la huruma.
@Justinestone4
26 күн бұрын
Dah kweli ajali Ila Arusha 😅😅 sio kwa maelezo hayo mbona utaelewa hii ni Arusha
@Peaceaminy
26 күн бұрын
ee mwenyez mungu nakuomba tuepushie na mitihani hio
@ShaibuKondo-h1s
26 күн бұрын
Some body
@leokamil6284
26 күн бұрын
R.I.P 😭
@kennethbenjamin275
26 күн бұрын
Mshaambiwa sana hamsiikiii Na mimwendo yenu
@niwemugenimediatrice5640
26 күн бұрын
We Acha tu wakipita Karibu na WW kama una tatizo la moyo unatangulia kufa Kwa mshituko
@AdamYusto
20 күн бұрын
Dah jmn
@realrzzocmg485
19 күн бұрын
Taarifaa ya habar inasemaa walkua nawakimbia pikpik
@elisdotenv
26 күн бұрын
life is very fragile my dear brothers, before you do it, ask yourself "What's in it for me? Why this?"
@nicolauslema88
26 күн бұрын
Boda boda wao ni wababe sana kama wana serikali yao.
@kdloon2030
26 күн бұрын
Watakufa sana tuu,maana wanaendesha pikipiki baadhi yao hawana leseni,hata sheria za barabarani hawazijui,helmet pia hawavai na bado wanataka sifa@
@jumaomary7615
26 күн бұрын
Labda uumbe dunia yako usi pande pikipiki maisha yako yote maana siku yako iki ifika uta rudi kwa muumba wako hata uki panda ndege kwa akili yako ya hovyo dereva boda ni wazembe...tumuombe mungu mwisho mwema..
@eliuskamwelwe1018
26 күн бұрын
Huko siyo TANZANIA
@faudhiasalum7279
26 күн бұрын
😢😢😢
@JohnGregory-u4p
26 күн бұрын
Akina sambody
@nadiatanzania
26 күн бұрын
Mungu tusamehe tu hali si hali tena Rip 😢
@Kachuba-w9p
26 күн бұрын
Kwann huoni kama ni uzembe 😂
@hamzahamid6262
26 күн бұрын
Arusha Arusha Arusha
@SarahCharls
19 күн бұрын
Yaan afadhal wawe wanapata funzo yaan huwa nawaonea huruma wanajifanya kama wao ndo wamiriki wa pumzi zao wasijue pumzi ni kazawadi TU 😢😢😢 ila polen lkn wajifunze
Пікірлер: 310