Poleni sana wana Arusha,pia ninazidi kuwakumbusha kuwa Yesu anawapenda pia ni mwokozi ktk jamii,mtu akimpokea kuwa Bwana na mwokozi wa maisha ya mtu huyo,ataokoka na atakuwa na uzima wa milele
@tarsilatesha-el8qu
3 ай бұрын
Polen sana familia
@RabiaIddi-ci2uz
3 ай бұрын
Kwahiyo ukimpokea yesu huto kufa kabisa utaishi milele kama mlima?
We are together mda huo wote I think itakuwa nii i do know but nafikiri ni Mungu tu 😢😢😢
@FatumaJumanne-p4d
3 ай бұрын
Cku hz rahc kufa pekee yako yaan ndg zako unaweza kaa hata wk au Zaid na wacsh2ke kwa ukmya wako vjana muoe au mutafute ndg zenu Waco na makaz muish nao kama ndg unahc Hatareee bhac tafuta Dada wa kaz😢😢😢😢😢
@faidhamyovela179
3 ай бұрын
Maisha yamebadilika sana
@FatumaJumanne-p4d
3 ай бұрын
@@faidhamyovela179 Hakka 2naish kwenye don't spy malife
@cbegram6161
2 ай бұрын
Mimi nakaa hata miaka 2😂😂😂😂 sasa sijui itakuwaje😂😂😂😂
@FatumaJumanne-p4d
2 ай бұрын
@@cbegram6161 Yaan ujiandae kuangukiwa na nyumba ndio kabur lako Maan unaweza ukute Umelipa kodi ya miaka mwenye nyumba hakudai utajzka mwenyewe 😂😂😂😂🤦♀️MUNGU a2str
@evaakyoo3009
3 ай бұрын
Vijana oweni acheni ufala ona sasa mtu anajifia mwenyewe angelikuwa na mke au mtu anaishi naye yasingemkuta yalio mkuta
@00chammy52
3 ай бұрын
Pole sana 🙏🏿
@ShazmaRamadhan-w4o
3 ай бұрын
Dunia si chochote mwanadam maringo yann 😢
@AshuuuBakari
3 ай бұрын
Sasa siku zote hamkumpigia simu muone ana hali gani .
@mymuhnabdallahshaban7763
3 ай бұрын
Mpk mtu unaoza ndug hawakushituka labda cm hapokei au hapatikani 😢😢😢😢😢
@judyngowi391
3 ай бұрын
Namimi nimejiuliza
@mymuhnabdallahshaban7763
3 ай бұрын
Kweli voo siku tatu Bila kuwasilia na ndug yao kaamkaje
@thewarriorlady693
3 ай бұрын
Mdogo mtu nuwakuoji vizuri kunataarifa aweki saw
@yasnshaban9827
3 ай бұрын
Ww upo makini Kuna kitu akipo sawa
@sophsoph4740
3 ай бұрын
Kwer mana simuelewi hata sura ake
@thewarriorlady693
3 ай бұрын
Uyo marehem kifochake kitakuwa cha sumu walimtilia .. uyo mdogo mtu kunaishu anajua.. Kwanini awewamwisho kuwa nae na wakwanza kugundua mwil .... alafu siku 3 mwili umeoza kiasikwamba Hata hospital wameshindwa Kwenda yaani mwili umeoza kiasi iko..? Basi sum aliyopewa ndo imemfanya ivyo... anyway mipango ya Mungu lakin sio bure kunamtu anahusiks
@thewarriorlady693
3 ай бұрын
Uyo marehem kifochake kitakuwa cha sumu walimtilia .. uyo mdogo mtu kunaishu anajua.. Kwanini awewamwisho kuwa nae na wakwanza kugundua mwil .... alafu siku 3 mwili umeoza kiasikwamba Hata hospital wameshindwa Kwenda yaani mwili umeoza kiasi iko..? Basi sum aliyopewa ndo imemfanya ivyo... anyway mipango ya Mungu lakin sio bure kunamtu anahusiks
@thewarriorlady693
3 ай бұрын
Uyo marehem kifochake kitakuwa cha sumu walimtilia .. uyo mdogo mtu kunaishu anajua.. Kwanini awewamwisho kuwa nae na wakwanza kugundua mwil .... alafu siku 3 mwili umeoza kiasikwamba Hata hospital wameshindwa Kwenda yaani mwili umeoza kiasi iko..? Basi sum aliyopewa ndo imemfanya ivyo... anyway mipango ya Mungu lakin sio bure kunamtu anahusiks
@kevinkatima4975
3 ай бұрын
Haa
@nwntz
3 ай бұрын
Maelezo ya dogo ukimskiza vema utajua dingi anahusika kwa namna moja au nyingine, kuna namna
@judyngowi391
3 ай бұрын
Naogopa kucomment mwanasheria wangu sina hela ya kumlipa
@nwntz
3 ай бұрын
@@judyngowi391 acha kbs
@leahmarai4177
2 ай бұрын
No post mortems in tz or what? At least kujua cause of death?
@JanephyJohnny
3 ай бұрын
😢😢
@musampanda3643
3 ай бұрын
Sasa baba alitaka ukaite balozi wa nini wakt nyumba uliokuwa unaenda ni ya kaka yako
@StevenGiven
3 ай бұрын
Familia ichunguzwe
@HASSANBAKARI-q9c
3 ай бұрын
HUYO SIO MTOTO WA TAJIRI....MTOTO WA TAJIRI LAZIMA AWE NA UANGALIZI,,HASA KAMA HUJAOA LAZIMA BABA-MAMA MDOGO AU RAFIKI LAZIMA MMOJA WAPO AKUCHEKI..SIKU NZIMA INAPITA HUJAONEKANA WATU HAWASTUKI NI MATAJIRI GANI HAO??MNAISHI VIPI??
@salimanguzo5553
3 ай бұрын
Mtu anapesa hanamke hana mfanyakazi hana rafiki wakuishinae Wala ndugu mmh mtihan usikumrefu jamani wawili ni wawili kifo ni wajbu ila mkiwa wawili sihaba uwezi ozea ndani
@ednamunuo354
3 ай бұрын
Upo and 8.Innocent 0:39 😅iikkkii😅998😊99909
@musampanda3643
3 ай бұрын
Alisafiri mke
@HannanSomaiyah-wp7ny
3 ай бұрын
Dah!Kwa hakika kila unapo ingia kulala tujikabidhi kwa Muumba, Mungu alisha mpangia hata Kama angekuwa ns Mke ,mfanya Kazi,su tafiki ndungu,Wasinge jaaliwa kumuona wakat anakufa,Kifo chake kilishaandikwa afe peke yake 🙏 Mungu akampe pumziko la milele,
@directorabiero340
3 ай бұрын
Poleni sana
@kevinkatima4975
3 ай бұрын
Inaleta maana dah!
@Mhandisi2008
3 ай бұрын
Rest in peace rafiki yangu BENSON, Collegemate wa ARUSHA TECHNICAL COLLEGE.
@leonardjohnson2058
3 ай бұрын
Huyu alifanya SOA grumet au ???
@hamisaally968
3 ай бұрын
Uyo mdogo wake mbona aelewiki pia kama anataka kuchekaa😢 haojiwe vizuriii uyoo, unasikia harufu ujui ya nini unapiga simu kwa baba kwa nini usingepiga simu ya marehemu maana ndo anaishi hapo?
@ElizabethWamcha
3 ай бұрын
Nami sijamuelewa😢
@hamisaally968
3 ай бұрын
@@ElizabethWamcha ata mie ndugu kwa nini amtafute baba wakati kaka akee ndo anaishi hapo pia alikuwa ajui nini kimempata au kutokea mi naona mtu wa kwanza kumtafuta angekuwa uyo marehemu
@FaustinMarko-t6y
3 ай бұрын
Yesi
@bonifacejames34
2 ай бұрын
Hawezi kueleza Kila kitu hapo lakini kwa akili ya kawaida tu mpaka anamtafuta Kaka yake ina maana hakumpata hewani kwa muda au simu ilikuwa haipokelewi
@uwezontalengwa1827
2 ай бұрын
@@hamisaally968hata mi sjaelewa,,et akampigia baba
@linnusaloyce6559
3 ай бұрын
Msilaumu familia nyingine hazina mawasiliano ya kila cku labda kma kuna taarifa mpya au changamoto yoyote ile ndio mawasiliano yanakuwa mengi mm mwenyewe tu kuwasiliana kila cku na nyumban kwetu au ndugu zang ni fumbo kwasabab za kimaisha unawaza kesho yko unawaza mambo kibao salam unaona hazina muda wakati huo kwasabab za kikazi
@AshuraMaulid
3 ай бұрын
kweli aisee
@linnusaloyce6559
28 күн бұрын
@@AshuraMaulid ndio ivyo dada yangu ila cyo km hatuwapendi ila ubize ndugu yangu
@eliudjoram1504
3 ай бұрын
Poleni sana, Mdogo wake marehemu nimependa utulivu wake, he is a really man
Baba anasema Katie polisi kwanza badala ya kuingia ndani kama mwanàfamilia na kuchunguza kisha wamemzika fasta hapohapo nyumbani kabla ya kuchunguza sababu za kifo hata Kama ameoza 😮 aisee hii Wala haihitaji Elimu Wala degree mtu mwenyewe D mbili atakuwa ameelewa
@barakahazard3182
2 ай бұрын
D mbili unazo wewe
@LeahGlory-ju2ci
2 ай бұрын
Sasa hata wakichunguza wakapata majibu atarud?
@christinewomanoffaith5479
2 ай бұрын
@@barakahazard3182😂
@mwajabually5321
Ай бұрын
yaaaan wamerahisisha mno
@neemanyimbi2355
2 ай бұрын
Uyo dogo anajua kitu mchukueni maelezo vizuri
@RebeccaYusuf-m2o
2 ай бұрын
Kabisa Dogo anajua
@mwajabually5321
Ай бұрын
hahah
@EREVUKATV
12 күн бұрын
Umekua na mtazamo kama wangu kweli kabisa
@AshuuuBakari
3 ай бұрын
Subhannallah daaah jamani mwenyezi mungu atupe mwisho mwema
@joycekalago532
2 ай бұрын
Ukisikiliza vizuri kuna kitu unaenda kwa ndugu yako ukasikia harufu kwanini usiifuate hiyo harufu mpaka ujue ni kitu gani? Na unaanza kupiga sim kama vile unajua kuna tatizo,hata kumuita ukishindwa? Mtakua mnajua nyie kifo cha huyo ndugu yenu,na siku zote hizo hamjawasiliana? Haiwezekani
@edsonnelson4464
3 ай бұрын
Halafu maisha ya mtu kuishi peke yake ndani siyo vizuri mtu anaweza kufa kwa tatizo dogo tu kwa kukosa huduma ya kwanza
@deogratiusyudatadei5658
3 ай бұрын
Nahicho ndiyo kilicho muuwa huyu chali mm na mfahamu Sana anaugojwa wakifafa
@RachelMalekela
3 ай бұрын
Kumbesasa kwann akaepekeake jamani
@AshuuuBakari
3 ай бұрын
@@deogratiusyudatadei5658mwenyezi mungu amhaalie kauri thabit
@Hellen-i2y
3 ай бұрын
Kweli kabisa vema kuishi hao na mtu mmoja
@betricemainoya4176
3 ай бұрын
@@deogratiusyudatadei5658ooohhh
@mcback4384
3 ай бұрын
Yesu Kristo pekee ndio njia kweli na uzima, ukishakufa hakuna mtu atataka hata kukusogelea haijalishi ni nani wako watu wanaojivunia watu na vitu bila kujua kuna wakati havina msaada kwako, Yesu Kristo yupo nawe nyakati zote katika hali zote.
@jamesmaths2296
3 ай бұрын
Kuna maswali ya kujiuliza hapa kuhusu response ya Baba mzazi baada ya mdogo mtu kumpa taarifa ya harufu. Badala ya Baba kwenda eneo la tukio fasta alimpa maagizo ya kuita polisi. Baba mzazi alitakiwa awe wa kwanza kushirikiana na uongozi wa mtaa kuvunja mlango na siyo kusubiri polisi. Mtoto anauma jamani na mimi naongea kama baba maana kuna sintofahamu hapa ambayo iko very clear.
@colletatesha5265
3 ай бұрын
We hujui kufiwa funga bakuli lako
@Thomas-lm1dq
3 ай бұрын
Unajua baba yake aliuwa na hali gani kiafya? Alikuwa wapi muda huo? Alikuwa na usafiri karibu?
@fatmakhanii1676
3 ай бұрын
@@Thomas-lm1dqbora useme mana watu wengine kazi zao ni dhana potofu tu bila kujua huyo baba alikua katika mazingira gani
@RabiaIddi-ci2uz
3 ай бұрын
Me naona hata huyo mdogo mtu majibu yake ni mepesi sana. ni kama vile alikuwa tayari anauhakika jamaa kafariki 😢
@yodeatv.com15
3 ай бұрын
huyo mdogo mtu napata mashaka nae sana kwa maelezo yake. binadam tumetofautiana uwezo wa kutafsir Mambo lkn mm namuunga mkono mtoa post hii Kuna kitu huenda kimejificha
@saumsaid1966
3 ай бұрын
Hapa tunajifunza km unaishi pekee yangu uwe na utamaduni wa kusalimia kila siku asubuhi japo wazee au ndugu. Ili ikitokea siku hujasalimia. Wakutafute na waseme sio kawaida yake kutokupigia sm na kusalimia
@linnusaloyce6559
3 ай бұрын
Ss kama kaskia arufu alafu aingie bila kuwepo mtu wa ziada je angeiona Hali ya kk yake akazirai nae c angeingia kwenye matatizo jman au angeambiwa yeye kafanya tukio lazima majirani wawepo balozi au mwenyekiti wa kijiji ili atoe izini ya kuvunja mlango kujua kulikoni msiisi vibaya ivyo watu wapo kwenye maumivu ya kumpoteza mwana familia yao tupunguze fikra potofu
@dazuujuma778
3 ай бұрын
Hakika na umenena vyema
@salmakeitha3846
3 ай бұрын
Maisha yana Siri kubwa sna 😢Mungu ndo anajua zaidi
@aloycesamba998
3 ай бұрын
Ni kweli
@idarousomar1
3 ай бұрын
Kuna umuhimu mkubwa mno wa kuishi na majirani na kujichanganya nao vile vile
@mariasalomelukosi6846
3 ай бұрын
Au usikute alidhulumiwa
@RobertRange-uf3rf
2 ай бұрын
Ukisikiliza maelezo ya huyu mtoto kuba haja ya kuhojiw na police
@Nancy_Daniel
3 ай бұрын
Polen sanaaa Lee❤️🙏. May your brother's soul rest in peace🕊 amen 🙏.
@tupacthedon7104
3 ай бұрын
Arusha ni kama soweto ya South Africa,eeh Yesu tujalie mwisho mwema
@zabibubashiri3034
3 ай бұрын
😢😢😢😢
@deograciousrugambwa2054
3 ай бұрын
Mortuary wanakataa mwili sasa postmortem atafanyikaje?? Hii nchi ya hovyo sana
@ericdaniels2608
3 ай бұрын
Uko sahii kabisa, uchunguzi unafanywaje hapo. Ovyo kweli.
@gabrielutou20
3 ай бұрын
Mojawapo ya sababu ambayo inaweza kufanya postmortem kua ngumu ni kuharibika kwa mwili (decaying ) hivyo hata kama wangepokea bado kupata majibu sahihi ingekua ngumu
@dork8749
3 ай бұрын
@@gabrielutou20 are u sure?
@josephjohn2114
3 ай бұрын
@@gabrielutou20kwa teknolojia ya sasa post mortem inafanyika hata baada ya miaka.
@aby21111
2 ай бұрын
1 or 2 weeks? Why not call him before you go, why no one called him all the days he was absent.
@tatusalehe8775
3 ай бұрын
Tujitahidi kuishi na watu ndani ya nyumba hata msaada mdogo unakosa
@neemadeo7803
2 ай бұрын
Siku 3 hujapigiwa simu na ...ndugu...rafiki....wafanya kali wenzio? Siku 3 mwili umeharibika vibaya how...watu wanafukuliwa na miezi? Mnieleweshe jamani.....
@allymahiyo2464
3 ай бұрын
Uyo dogo ktk maelezo yake mbona kama kuna kitu cha kupanga vile why baba yake aseme tafuta askar mjumbe au askar.
@hidayaswai3119
3 ай бұрын
Hayo ya kawaida
@adoniemanuel908
3 ай бұрын
Kwanini baba alikimbilia kwamba tafuta balozi au maaskari kwakuamiwa tuu amesikia harufu yeye alihisi nini huyo baba
@josephineokama2200
3 ай бұрын
eti nami nimebakia sielew
@amourabdallah2978
3 ай бұрын
Mimi pia nimeona kitu huyu mdogoake akiminywa kende ataongea ukweli,hapo kunakitu sio bure waanze na huyo dogo
@princejuma
3 ай бұрын
Nilifikiri nimimi tu naeona story fulani
@jumahili8121
3 ай бұрын
YESU KRISTO ni Bwana. Mwamini leo uokoke. Siku ya kufa upumzike. Maisha haya ni kivuli cha maisha yajayo. Kama alikuwa na YESU kuozea ndani sii tatizo. Sasa atakuwa amepumzika
@givenessdavid3743
3 ай бұрын
Inawezekana alikuwa mtu wa kujitenga sana sio mtu wa kampani
@shamlimah5682
3 ай бұрын
Kwa Nini ?
@shantellemwanakombo3703
3 ай бұрын
Kwasababu hakuna hata mtu mmoja alimtafuta kwa njia ya simu hadi 3days zinapita kweli?@@shamlimah5682
@yasminoluoch169
3 ай бұрын
Kwa sababu kuna watu si mtu wa marafiki sana @@shamlimah5682
@IreneIsaya-ek5pc
3 ай бұрын
Ni mtu wa kampan tena sanaa
@svt3
3 ай бұрын
@@shamlimah5682kuishi na watu ni kazi mara nyingine unaona tu ukae mbali na walimwengu kuliko kuzinguwana kila siku
@kekiplus1andonly
2 ай бұрын
Duh pole sana kwa ndugu ,jamaa na marafiki🙏🙏🙏
@winnesakara6957
3 ай бұрын
Maelezo ya dogo hayaeleweki 2 week au 3 bila mawasaliano wote mko arusha na kwanini usipige simu yake kwanza na kwanini usimpigie marehemu kwanza na kwa nini usimpigie kwanza beni uko wapi ili ujue hapokei yupo ndo uende kwake
@agnesmartin5716
3 ай бұрын
Eee Mungu tusaidie Taifa la Mungu kama vijana Bwana atusaidie. Nimeumia sana hakika
@vi3ayo1622
3 ай бұрын
nyie hamjakutana na wapangaji wamepinda😅😅 mim nakaa dar na nimepanga yaani hii nyumba hata mpangaji akukute unakojoa nje hakuulizi kila mtu bize hana muda na mtu ni salamu tu
@kevinkatima4975
3 ай бұрын
Haa😂
@MsBunch
18 күн бұрын
What happened to this boy? Someone please translate for me in English.
@seifibrahim3883
3 ай бұрын
Mtajua vp na mtu kazikwa ata bila kuosha kaharibika, aiwezekani kujua sababu ya kifo ni kumuombea kwa mungu aende salama
@YusrahMohammed-rq1lz
3 ай бұрын
Siku tatu tafrani duniani unanuka vibaya kila mtu hatamani ubaki kwenye ardhi na mortuary pia wanakukataa...lakin sie sie wanadamu tunaringa km hatuozi
@judyngowi391
3 ай бұрын
Wewe acha tu , mimi nilishashtuka siku nyingi siringi
@NeemaSamson-ti8pc
3 ай бұрын
Ndio hapo sasa ndugu yangu tumejawa na maringo tumesahau kuwa hii miili tulionayo ni uozo tu
@NeemaSamson-ti8pc
3 ай бұрын
@@judyngowi391 bora umeshituka mapema umefanya vizuri
@AshuraMaulid
3 ай бұрын
Na maisha ya saivi mtu akijipata kidogo tu kimaisha anaringa mnoo mimi nina wifi yangu alikuwa anasoma muda mwingi akihitaji msaada anapewa na kaka yake ambae ni mume wangu alikuwa mpole anaheshima anahuruma....jamani hii miaka mitano kajipata kapata kazi nzuri kafungua maduka ya nguo, viatu, jamani kawa mkali, mbinafsi hataki mawasiliano na ndugu anamtukana mpka kaka yake aliekuwa anamsaidia Mama yake mzazi aliumwa akawa anamnyanyapaa nyie kabadirika mnoo 😢😢😢😢
@sir_ENOCKMACHA
3 ай бұрын
@@AshuraMaulid uyo ni mtu wa hovyo sana kwa kujisikia huko
@joharikitundu
3 ай бұрын
Hii tabia mbaya sana .Tafuta mtu 1 Hadi 5 .Kila siku asubuhi uhongee nayo na kabla ya kulala sema tu usiku mwema
@judyngowi391
3 ай бұрын
Kweli kabisa ndugu, mimi kuna ndugu yangu anaishi Tanga peke yake ikigika jioni sijamsikia lzm nimtafute
@florakibona8042
3 ай бұрын
Nimewaza kuwa hii familia hawawasiliani au ndo matajiri wapo hivi😭.. kiukweli tunatakiwa kupigiana simu kila sıku na ukiona ndugu yako hapokei simu siku nzima fanya mpango wa kumtembelea
@cbegram6161
2 ай бұрын
@@florakibona8042mi nakaa hadi miaka miwili😂😂😂😂😂 sijaongea na ndugu wala kuonana, hapafi huyubwa siku tatu mnamlaumu😂😂😂😂 sasa mm si ndiyo ningeoza na kuisha kabisa yani watakuja kuta mifupa hawa ndugu zangu😅😅😅😅 na hivi nalipa kodi ya mwaka😂😂😂 hta sijui kiukweli
@AsheyAmey-hl5em
3 ай бұрын
Hayo maelezo ya mdogo wake bnafsi sijaelewa kufika nje kasikia harufu hajui hata ya nini anampgia cm baba yake moja kwamoja anamwambia asingie peke yake alijua nini? mpk amzuie asingie mwenyewe au hata kuchungulia madirishani na vipi milango ilifungwa au aliikuta wazi
@sadockmhinza699
3 ай бұрын
Nimewaza kama wewe lakini vipi je una mwanasheria mzuri?
@AsheyAmey-hl5em
3 ай бұрын
@@sadockmhinza699 😁🤗 nimewaza tu jmn
@judyngowi391
3 ай бұрын
Dunia ina mambo hii jamani! Siri sirini
@SuzanFelix-mo8fq
3 ай бұрын
😅acha kutuchekesha wenzio tumefiwa
@SGIT-jd6fg
3 ай бұрын
@@sadockmhinza699 sasa kama mtu yupo ndani si lazima mlango umefungwa ndio maana wakaja kuuvunja na mashuhuda ndio maana kabla ya kuuvunja alimuuliza baba yake kwanza na kumueleza hali aliyokutana nayo ya harufu
@ramadhanihudhaifani4376
3 ай бұрын
Polen sana wanafamilia. Mungu Awatie nguvu katika kipindi hiki kigumu. Marehemu Mungu Ampokee mja wake kwa aman.
@fatmayahya2483
2 ай бұрын
Jaman tuwe tunajuliana hali hata kwa simu tu inatosha... 3 days kaka au mwanao kipenz kafa kaoza nyie hamjui....yote ni kutowasiliana..atleast busy lkn mpigie sim ndug, baba kaka ujue tu kaamkaje...then endelea na busy yako..
@RUTAMANTZ
3 ай бұрын
Mdogo wa marehemu ana changanya luhaa sana bhana
@HannanSomaiyah-wp7ny
3 ай бұрын
@@RUTAMANTZ Alhamduli'llah 🙏 Si msomi,What the meaning Mji Wa Arusha,Hakunaga Mambumbumbuu kabisa 🙏
@renaldasilvery110
3 ай бұрын
@@HannanSomaiyah-wp7nymmmh!!
@OscarDongo
2 ай бұрын
Kuna swali najiuliza hapa, kwanini huyo mdogo mtu alivyokutana na hiyo harufu, hakupiga simu ya kaka yake ambaye ndio marehem akapiga simu ya Baba,wengi mtahoji kwa nini ampigie marehem, ni kwa sababu alikuwa hajui harufu ni ya nini, ni bora angepiga simu ya marehem hara kama ingeita bila kupokelewa au isingepatikana ndio angeendelea na hatua inayofuata, kama kuongea na mzee wao ama majirani, lakini unakuta harufu tu alafu direct kwa mzee bila kujua kaka yako yuko wapi na ile harufu ni ya nini!? Simuingizi hatiani huyo dogo ila kwa umri wake alitakiwa awe na logic kwenye maelezo yake, 'REASONING', Something is not OK somewhere........
@christinewomanoffaith5479
2 ай бұрын
Yes na mi Nawaz hivyo
@Kibaadvocate
3 ай бұрын
Hiyo familia itakuwa na shida ina maana siku tatu bila kuwasiliana
@FaithOluouch75
3 ай бұрын
Watu tunakaaa week kitafutana inategemea mnakaa nyumba moja au mnafanya kaz pamoja apo tunge laumu
@annafredinandmatandiko8438
3 ай бұрын
Et jamani
@IreneIsaya-ek5pc
3 ай бұрын
Anaishi peke yake hapo na mpangaji mmoja tu ,mpagaji wake ni wakiume nq haishi na familia yake ni mtu wa safari
@naomikatharinaandrewmnkai6760
3 ай бұрын
Soooooo Sad😭😭😭😭😭😭kwanini afureee Kama c sumu ? Kwa Nini mumzike kabla ya postmortem?
@esamwakilasa
2 ай бұрын
Point 😢@@naomikatharinaandrewmnkai6760
@hamisaally968
3 ай бұрын
Kwa nini umpigie simu baba badala ya marehemu ambaye anaishi hapo? Alafu mtoto wa kiume umeita watu kwa nini usiongozane nao kujua kinachotoa harufu, uyu mdogo wake aangaliwe kwa jicho la pili
@swaiseif2989
3 ай бұрын
Mimi ninavo ogopa kuishi mwenyew😭😭😭mungu wngu tunaomba mwisho mwema
@Jurbeg
3 ай бұрын
Kwaulivyo mrembo ukiishi mwenyewe umejitakia Kama Hauna mume muombe MUNGU akupe mume mzuri natumai itakuwa Hivyo 🙏🙏🙏
@swaiseif2989
3 ай бұрын
@@Jurbeg niyamume saiv alhamdulilah namshukr mungu
@ElizabethKidogomaa
3 ай бұрын
Tusali sana
@annehaysanday9214
3 ай бұрын
Sasa wewe mdogo mtu tangu mmetoka kwenye mizunguko yenu ina maana hujaweza kumpigia simu kumjulisha umefika nyumbani salama inakuwaje siku zote hukumtafuta kwa simu halafu unaenda tu kama unajua nini kimetokea! Binafsi sijaridhishwa na maelezo yako
@judyngowi391
3 ай бұрын
Kweli lakini
@josephmusagasa
3 ай бұрын
Uchunguzi ufanyike kwa kina, inawezekana pengine kuna wabaya wake ambao pengine walimuua kisha wakafunga mlango. Mbona hainiingii hiyo?
@InjiliyaUfalmetv
3 ай бұрын
Msimlaumu mdogo wake angeingia moja moja napo pangekuwa na tatizo hii nchi ni shida ,Na pia kama anajichanganya kujieleza Kufiwa nikugumu mno ,Binafsi huwa sijui kujieleza
@NiceMbuya-s4t
3 ай бұрын
Hapo hamna ndugu mtu anakufa mpaka ananza kuoza hata kujiliana hali
@Emma_Bernard
Ай бұрын
Nimesoma nae huyu Brandon, asee pole sana kaka
@anenragnesmunis8490
3 ай бұрын
Jaman haya mambo yapo sana hata sisi binam yetu alifia ndani hivyo hivyo kijana majirani hawakujua kama yupo ndani anapigiwa sm kazini haipokelew kuja nyumbani sm inaitia ndani wakavunja mlango siku ya tatu hatari
@sarahnyithambe6726
2 ай бұрын
Pole sana
@EmilyAlph
3 ай бұрын
Wiki,wiki 2 hakuna aliyempigia simu??😰 Duh Apumzike kwa Amani Ben🙏
@farajiissa560
2 ай бұрын
Sasa nan atapokea bro inaweza ita tu ukajua yupo bize
@peninashungu6633
3 ай бұрын
Mwandishi mwenye matukio yake mjini😅 haunaga tukio la arusi wa sherehe 😂, ww ni wapi wamekufa wapi wameuwana wapi, wamechinjana wapi😅tuko pamoja na ww ndugu mwandishi mpaka na ww tusikie tukio lako😅
@FatumaJumanne-p4d
3 ай бұрын
Jaman Sasa Kla m2 c naktengo chake nmecheka kwenye 2kio la kucktsha 😂😂😂😂
@jovanafidelis2802
3 ай бұрын
Leo tu nilikuwa namtafakari korumba lebabaz ukiona amepotea ujue Arusha matukio yamepungua! Jana kaonekana kwwnye ajali ya moto
@salhawaziri1668
3 ай бұрын
Aongezewe mshahara kwa kwel
@aminatanzanya7475
3 ай бұрын
😂😂😂 Umefany nicheke kwa saut sana wakat habr ya huzun
@SophiaSophiapaulo-cj3ko
3 ай бұрын
kwakweli jaman 🙌🙌
@ruqaiamohammed345
3 ай бұрын
Apumzike kwa amani 😢😢😢ndio tujue sie binadamu c chochote c lolote pumzi isituhadae 😢
@NeemaSamson-ti8pc
3 ай бұрын
Kabisa
@ruqaiamohammed345
3 ай бұрын
@@NeemaSamson-ti8pc 🤝
@haryanyawu640
2 ай бұрын
Poleni sana wanagqmilia jamani duh inaumiza mnooo mtu kufa akiwa peke yake na mwili kuharibika
@lilmojr7
3 ай бұрын
Nyinyi waandishi mbona hamuulizi maswali ya muhimu?huyo anadai ni kaka yake na mzee pia yupo kweli mtu mnakaa mpaka siku ya tatu bila kumjulia hali mtu,siku ya kwanza imeisha ya pili hata kumpigia simu au kwenda kumuona kwake kweli?
@kenethpatrick6634
3 ай бұрын
Jambo la kufikirisha hizo siku zote walikua hawana mawasiliano ya kupigiana simu ili kujuliana hali kama ndugu wa familia
@batashqiraa9936
2 ай бұрын
Binaadamu kulala ktk nyumba peke yake bila ya kuwepo mtu mwengine sio jambo sahihi, binadamu tumeekewa mitihani ya kila aina na Mwenyezi Mungu, kwaiyo lolote linaweza kumtokea na kwa wakati wowote kama kuumwa, kufa, kupata ajali nk kwaiyo binadamu sio sahihi usiku kulala peke yake
@Aidhjuma
2 ай бұрын
Usiseme hivyo niko poke angu wenye nyumba wamesafiri leo siku ya Tatu na huku hamnaga ujirani😢😢😢Allah Atulinde
@AishaHaji-jn7sg
3 ай бұрын
Mbona mdogo mtu sijamuelewa alivyofika wa kwanza kuskia harufu alaf ampigie baba ake simu…..!!!?yaan alipiga kabla ya kujua harufu ni ya nini…? Mmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmnh
@husseinjosephitocho6754
2 ай бұрын
poleni sana ndugu na jamaa maisha ya mwanadamu hapa duniani ni mafupi sana lakini hilo tukio liwe fundisho kwa jamii mtu upaswi kuishi pekeako kwenye jumba kubwa kama hilo kuna shida unaweza kutokea na ukaitaji msaada na ukaukosa ndio kama uyo ndugu yetu aliefariki pekeake na kukosa msaada mwili kualibika
@peninashungu6633
3 ай бұрын
Arusha ukiwa muuza madini shida Sana
@MaryMichaelMaryMichael-i7o
3 ай бұрын
Hiv mbona hi Arushayetu matukio n ming sana as uku kwenye wilaya ya meru😢😢😢
😢😢hivyo amezikwa bila kufanyiwa vipimo vyovyote au
@kennethbenjamin275
3 ай бұрын
Duh arusha kila mtu tajiri Any way poleni wanafamilia
@markmushi8940
3 ай бұрын
Ni matajiri kwa asilimia 70au80 mkuu arusha si seem ya kuishi wachovu
@kevinkatima4975
3 ай бұрын
Kumbe!@@markmushi8940
@abdallahrashid2899
3 ай бұрын
Hivi Arusha mbona imatukio mengi Yani Kila ukiripoti taarifa lazima Arusha kwa wingi shida nini??
@DorokasiIssa
3 ай бұрын
Poleni sana wapendwa mungu awatie nguvu
@jojotz1210
3 ай бұрын
Kifo ni fumbo sana😭 mdog angu alifariki ghafla pia sis bila kujua siku nzima ad jion tukaj kujua
@Jacklinejohn7
3 ай бұрын
Emu muwe munaandika kichwa cha habar vizur ukisema tajir mbona anaonekana namaisha ya kawaida tuu all in all mungu amlaze mahali pema
@jasmineeomary2041
3 ай бұрын
Na ww uwe unasoma vizuri amesema mtoto wa tajiri yani baba ake ndo tajiri sio yy woooii
@dorcaserick4473
3 ай бұрын
Yaan ni wapuuz sana cjui kwann apotoshe
@nancyg8664
3 ай бұрын
macho ya jackline yanashida
@husnathabiti4114
3 ай бұрын
Yule mdogo wa mtu mbona simuelew
@HalimaChuwa-kk5lt
3 ай бұрын
@@husnathabiti4114dogo anajikanyaga sana
@HannanSomaiyah-wp7ny
3 ай бұрын
Inna lillah wainna ilah rajiun Baki Allah tu 🙏 Allah ampe kaul thabity
@SalimAthuman-xh7ci
2 ай бұрын
Dogo kifo akina taarifa swa muda wowote nasaa yoyote unaundoka
@sophiakimaro5174
3 ай бұрын
Poleni saana jamani.ila maisha ya kuishi pake yako sio mazuri.natamani hata angeweza kishi na ndugu wa mbali tu.wawili ni wawili haswa mida ya usiku.
@ThadeoKiondo
2 ай бұрын
Hawakuwasiliana nae hata Kwa simu siku zote 3,any way RIP
@BNT05
3 ай бұрын
How tutapata chanzo cha kifo cha marehemu???!!! Na mwili washauzika??? Sikusikia any samples being taken from the 'victim' kwenye maelezo hapa. Na kwa hali ya mwili walishindwa kuupeleka popote na kuzika pembeni ya nyumba! Imagine hata watu wa mortuary waliukataa kwa hali yake!
@judyngowi391
3 ай бұрын
Alishaoza
@Gersah
3 ай бұрын
R. I. P😭😭😭
@PrinceHendry-hp8vv
3 ай бұрын
Tayar washachukua vitu nyeti ndo mana polis wakakubali azikwe
@BNT05
3 ай бұрын
@@PrinceHendry-hp8vv Sijawahi kusikia hivyo "vitu nyeti" vinachukuliwa nyumbani kama vya ng'ombe, mbuzi au kuku! Kuna namna yake maalum ku-avoid contamination na kiubinadamu. Halafu vitu hivyo "nyeti" havitolewi na kila mtu, hata polisi hawatoi!...kuna watu maalum wanaitwa 'coroner'.
@PrinceHendry-hp8vv
3 ай бұрын
@@BNT05 kuna wakati mpk maiti inatolewa kaburini km ndugu wameleta utata na kifo cha marehemu Acha huyo aliekutwa ajazikwa
@SurprisedAstrolabe-id9gc
3 ай бұрын
Kaka yenu anapotea siku moja siku mbili siku tatu hamjui yuko wapi mpaka anaoza nyumbani kwake, yani familia ya kitajiri???
@judyngowi391
3 ай бұрын
Life style yao sijui ikoje?inakuwaje siku inapita hamjawasiliana na mndugu yenu
@judyngowi391
3 ай бұрын
Hapo kwenye utajiri, yaani utajiri wa miakahii unatuogopesha sana
@seneu.2128
3 ай бұрын
Vijana tutafute wake tuoe kama msela angekuwa na mke asingekufa kirahisi hivi
@victorianganyagwa2467
3 ай бұрын
Na hata angekufa bs asingeoza jmn
@Mughusi
3 ай бұрын
Wako wapi hao wanawake wa kuoa, hata mimi sina bado natafuta
@@bockerNyarusahikuna vitu mke wako anaweza akasolve usife labda jamaa angekuwa na mke pengine huo ugonjwa angewahishwa hospitali angepona au pia asingeozea ndani angesitiriwa mapema. Tafuten wake acheni ubishi
@rachelndaki5642
2 ай бұрын
SubhannALLAH 😭😭ALLAH tupe mwisho mwema YARABBI🤲🤲
@davidjoseph1143
10 күн бұрын
Wanafanna dah
@mpefu_4936
3 ай бұрын
Kuishi mwenyewe ni tatizo sasa uwezi jua ila sio tukio la kwanza Kuna mdada pia alikufa hapo kwa iddi
@faithjonathan3845
3 ай бұрын
Siku ya kufa utakufa tu hata kama umezungukwa na watu 100. Unaweza kuwa umezungukwa na watu ukadondoka hata chooni ukafa peke yakom na ukishakufa hata kama una watu 700 hapo haisaidii na mwili unabaki hauna hata maumivu yoyote. Tujifunze kumuamini Mungu na kuishi pia vile tunavojisikia kuishi. Kama mtu anataka kuishi mwenye we na aachwe aishi mwenyewe. Tatizo watanzania engi hatujafundishwa kuheshimu matajwa ya watu na machaguo yao katika maisha.
@RhodaKabuka-cw3uw
3 ай бұрын
Exactly
@FaustinMarko-t6y
3 ай бұрын
Nisawa kufa kupo tu ila angekuwa wako wawil asingeoza namna hii
@evertheobald1811
2 ай бұрын
@@FaustinMarko-t6y Sawa laki kuoza au kutokuoza hakusaidii kitu mtu akishakufa
@MashaMbwana
3 ай бұрын
Sasa maelezo kamili hamna akikutwa chumban ukumbin chooni au vp
@lunangabenjamin3121
3 ай бұрын
Njiya fupi kafariki bado mdogo rip.
@godfreyjohn3847
2 ай бұрын
Uyu s bensin machange nilisoma nae 😭😭 pamba sec
@franssmoses6791
3 ай бұрын
Ila hi familia labda kuna kitu aiwezekan mdogo mtu uwende kwa kaka yako uogope kuingia ndani wakati aujui tatizo nini inamaanisha mpaka uite askari ulikuwa unajua nini kinaendelea
@lilianhoney5744
3 ай бұрын
Amesema alipo fika alisikia harufu nzito ndiyo akanipigia baba yake, afu uwe unaweza Kama mtu yupo ndani maana yake mtu wa nje hawezi kufungua Ni lazima mlango uvunjwe
@shantellemwanakombo3703
3 ай бұрын
Duh alikuwa haishi hata na dada wa kazi jaman😢 hatar hii sana
@azizaali687
3 ай бұрын
Jamani arumeru haupiti hata mwezi tukio juu ya tukio Allah atupe mwisho mwema
Пікірлер: 421