Ndugu zangu tujitahidi kuview na ku share link tukifika 20k leo tunaachia Épisode 3.
@SaidiMkagile
11 ай бұрын
Poa hii wap kaka
@omarmkali3610
11 ай бұрын
Ushasema kaka
@user-tf5ut4wx6c
11 ай бұрын
Tuma link sasa kaka
@basharahamtzhalisi6871
11 ай бұрын
Angalia baadhi ya maneno unayoingiza kwenye movie zako. Mfano hilo neno laanakum, hilo neno halifai kulitumia hata kama ni mzaha, comedy au utani. Maana yake ni kumtoa Mtu ktk REHEMA ZA MWENYEEZI MUNGU. MWENYEEZI MUNGU awaongoze ktk njia zenu za mafanikio.
@aishaomarry6996
11 ай бұрын
Sawa kiongozi
@Joyce-qf5px
11 ай бұрын
Hahaaaaaaaaa chumvi nyingi jamani toa dabo dabo mm sitamani iishe
@saimonwantango9569
11 ай бұрын
Chumvi uko vizuri komaaa mzee baba vizuri sana kwa uandishi
@DivienSuleiman
11 ай бұрын
😂😂😂😂nawapenda jaman nime cheka naisi mapafu yame tanuka mungu awajaalie
@user-qv1jx5nj2u
11 ай бұрын
Good job chunv nying gang tunasubiri season 3
@houmdmajid-ur9dp
11 ай бұрын
Nimefurahi kumuona mzee wa hayayaiiiii 😂😂
@blonekasereka6961
11 ай бұрын
Kijiji chetu bonge moja la séries chumvi nyingi we ni mwandishi mzuri saana nakukubali brother
@user-us4to6of1m
11 ай бұрын
#leo kam mungu nimekuw wakwaz
@indexchitanda4477
11 ай бұрын
Safi sana tem chumvi nyigi 🙏🙏 nawakubali sana❤❤❤
@WixBoy-lc2esmrvumiliaSKMUSIC
11 ай бұрын
Weka mambo team yangu👏👏
@MwaishambaKipanga-bu9sz
11 ай бұрын
Chumvi unaweza nyau nimemuona❤❤
@WilsoniMalack
11 ай бұрын
Mwamba namba moja nauwakika sijayabanga lak zangu kwa wote❤❤❤❤❤❤
@HazardBoy-vc1tt
11 ай бұрын
Chumvinyingi gang mwakaaaa wa kaz
@user-vg9kf3ss3e
11 ай бұрын
😂😂😂chendu umeleta mzigo,wakimbia😂😂😂😂❤
@shukrankifutu
11 ай бұрын
dah chumvi utafika mbali sana ndugu yangu mungu akubariki kwa ili
@muuhmsomali2586
11 ай бұрын
Mjomba chendu mzigooo yallah....
@yasrikomba7874
11 ай бұрын
😂😂😂😂kumbe mnajua kukimbia mzee namsuli wake lakn anakimbia uyo 😊
@najmaabduli9593
11 ай бұрын
CHumvi ww kiboko kila dude tamu
@shishi68111
11 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂Naombeni like jamni sio kwa mbio hizo Lucy from Kenya 🇰🇪🇰🇪
@shahrayn93
11 ай бұрын
Nilimmisi nyau jna ila leo nimemuona moo fire😂😂
@Helen-vl8lb
11 ай бұрын
Nyau ww nioe mm tumu fundishe chumvinyingi ebu😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Mambo yameiva chendu umeombwa msaada wa kuhifadhi mwili sasa wewe umegeuza mradi wa kufanya uchawi wako
@deogratiusandrea2852
11 ай бұрын
Nakubal chumvi kaz njema
@user-ey2wb1vo8w
11 ай бұрын
Masha'Allah Tabbaraqa Allah 🥰🥰 ongera chumvi movie nzur sana
@Wanyuztz
11 ай бұрын
Ila hii ep naona kabisa itafika mbali much love chumvi nyingi gang
@faustapeter
11 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣 mzee chendu amekimbiaa Kama anafukuzwaa na Simba🤣🤣🤣🤣
@HazardBoy-vc1tt
11 ай бұрын
Hiii siries inatakiw ibebe tuzo koz mtunz very ginoous noma sana chumvinyingi respect 😅
@user-yu4jk5vu2n
11 ай бұрын
Eeee Mimi namuogopa huyo muzee chendu
@user-yi5rj2xu7l
11 ай бұрын
Huku Leo ni Moto.🎉😂❤❤ Diana hapaaaaaa 😂
@user-qm9js5rq2r
11 ай бұрын
Kazi poa sana chumvi nyingi apaaaa
@AwadhiOmary-np6fj
11 ай бұрын
Hii ni zaidi ya Siri ya kifo iko Bomba sana
@kura.the.boy-
11 ай бұрын
Kazi nzuri mnoooo mnatish chumvi nyingi gang back to back kipaji hakirogeki ✔️🔥😊💪
@omarmkali3610
11 ай бұрын
Chendu kwa sanda wewe😅 aah shkamoo
@jamillahnangi7034
11 ай бұрын
Napenda sana kazi yako
@samaamin2501
11 ай бұрын
Fantastic mambo mjukuu wangu
@chullymastertv5778
11 ай бұрын
😂😂😂😂😂hii kali sana
@RasheedSuleyman
11 ай бұрын
Hii hatar nawakubali sana
@KirivoloKakule-hu7ge
11 ай бұрын
ongera brother😂 Wale ambao wanamkubali Chunvi na team yake liks zenu apa zaupendo
@keykeyvant9067
11 ай бұрын
Hatar mchezo ya chumvi na nyau nawapenda
@aishaqassim1777
11 ай бұрын
Jamani hii nitamu kwl😊😊😊😊😊
@bakariharry2229
11 ай бұрын
Hii kali yao maana sio utamuu huu 😂😂😂😂😂
@antoniadudus7917
11 ай бұрын
Waaaah hii kali chumvi nyingi congratulations guys pamoja sana from saudia team strong like zenu kwa wingi km munakubali team chumvinyingi ❤❤❤
@mercylineabuko9572
11 ай бұрын
Tunakufuata nyuma kwa nyuma ❤❤
@saimonwantango9569
11 ай бұрын
Chumvi uwe unatoa epsd mbili ,mbili aisee
@ZaharaMapilau-fg6xj
11 ай бұрын
Mzuli at episode yakumi Bado lkn mzuli
@modestamodesta3940
11 ай бұрын
Daaah nimepitwaj hapa jmn nimekuwa wa mwisho daaah chendu na chumvi nying mbio😂😂😂 daah hii 𝕥𝕒𝕞𝕦𝕦𝕦𝕦𝕦
@shelyboyshely2928
11 ай бұрын
Kazi nzuri chumvi
@saidvankesh4903
11 ай бұрын
😂😂😂Chendu anakata mbuga kweli😂😂😂 yaa Allah....
@nellywambui2677
11 ай бұрын
😂🤣😂🤣🤣Kumbe chudu unaweza toka mbio hivyo eeh 😅😅 hapa kenya tunawapeda sana 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@mwinyidullailovetheprogram7404
11 ай бұрын
Kazi nzuri lkn Maina kapotea sana tunakosa ladha yake Chumvi lizingatie hili....much love ❤️ 😍 💖 from riyadh Saudi Arabia 🇸🇦
@rosemarenga832
11 ай бұрын
Kumb tuk weng at mm nimemc sana dada maina
@mwashashamohamed6467
11 ай бұрын
😂😂wale watu wa kijijini twenden nyumban tukatoe maoni
@floranceflorance3923
11 ай бұрын
😂😂😂😂 chendu haujapeleka mzigo
@user-vs3vs7ir4t
11 ай бұрын
tunangojea session 2 bwana chumvi mnakawia
@user-xm3bd3dt3m
11 ай бұрын
Kaka chumvi unajua
@godijoel1425
11 ай бұрын
Ndo kwanza ep2 ila kitu noma sana🙌
@katanangala8800
11 ай бұрын
Mmeichelewesha sana
@raphaelmoses3943
11 ай бұрын
Daah mzigo wamoto
@ShariffHussein-td1ji
11 ай бұрын
Wakwanza naomba like zangu
@NeemaMchomvu
11 ай бұрын
Chumvinyingi atari sana
@user-nj8kc7pr9r
11 ай бұрын
Leo wa 4 jmn 😢
@tamranadiya2962
11 ай бұрын
😂😂Kumbe chendu anakimbia hivyo
@rosemarenga832
11 ай бұрын
Honger san kwa kaz nzur ❤❤❤
@kibibimlaula2526
11 ай бұрын
Jamaa zilivyokimbia 😂😂😂weeh nmecheka sanaa
@TwahiruIssaShabann-qd7id
11 ай бұрын
Watu mpo chonjo sana 😂😂😂
@user-hy4jz2ng7z
11 ай бұрын
Mc machete baba
@perisbeib2126
11 ай бұрын
Nimewahi Leo naomba likes zangu ❤❤❤❤❤team Strong hoyeeeee
@mulhathamadomar4451
11 ай бұрын
Hii zaid ya siri ya kifo 🥰big up chumvi nying gang🎉
@amysimba8419
11 ай бұрын
Kwakwel
@ArafaAmirAmir-ci7ld
11 ай бұрын
Kabisa
@HazardBoy-vc1tt
11 ай бұрын
Xanaaa
@Annastazia-lo5nf
11 ай бұрын
Kweli Siri ya kifo ilkuwa moto 🔥
@myriam5411
11 ай бұрын
Mbona inatisha sana 😂😂chumvi nyingi na chendu mbona barariakuta nimbio hizo duuuu😂😂😂❤❤❤🇧🇮🇧🇮🇧🇮
@user-yh8qk8cd3v
11 ай бұрын
Chumvi unajua mbaka inakela jaman❤❤❤❤
@basharahamtzhalisi6871
11 ай бұрын
Angalia baadhi ya maneno unayoingiza kwenye movie zako. Mfano hilo neno laanakum, hilo neno halifai kulitumia hata kama ni mzaha, comedy au utani. Maana yake ni kumtoa Mtu ktk REHEMA ZA MWENYEEZI MUNGU. MWENYEEZI MUNGU awaongoze ktk njia zenu za mafanikio.
Пікірлер: 315