Novemba 22, 2023 Wizara ya Afya kwa kushirikiana na Ofisi ya Rais-TAMISEMI zimewakutanisha Wanganga Wakuu wa Mikoa Jijini Dodoma kutoka mikoa yote ya Tanzania bara lengo likiwa ni kujadili Utekelezaji wa Mpango Jumuishi na Endelevu wa kuwatumia Wahudumu wa Afya ngazi ya Jamii.
Pata elimu kuhusu masuala yote ya afya kupitia Channel hii. Mafunzo yote yanatolewa na Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto kupitia Idara ya Kinga, Kitengo Cha Elimu ya Afya kwa Umma kwa kushirikiana na wadau mbali mbali
Негізгі бет KIKAO CHA WIZARA YA AFYA NA WAGANGA WAKUU WA MIKOA
No video
Пікірлер