"Itazingatiwa kuwa Wahudumu wa Afya ngazi ya Jamii ni wale wanaokaa katika maeneo husika, nchi yetu ina vitongoji 64,384 na lengo la Mkakati huu ni kuwa na Wahudumu wa Afya Ngazi ya Jamii wawiliwawili kila kitongoji mmoja wa kiume na mwingine wa kike .
Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais, TAMISEMI Dkt. Wilson Mahera wakati akizungumza katika Kikao kiliwakutanisha Wanganga Wakuu wa Mikoa Jijini Dodoma kutoka mikoa yote ya Tanzania bara lengo likiwa ni kujadili Utekelezaji wa Mpango Jumuishi na Endelevu wa kuwatumia Wahudumu wa Afya ngazi ya Jamii
Pata elimu kuhusu masuala yote ya afya kupitia Channel hii. Mafunzo yote yanatolewa na Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto kupitia Idara ya Kinga, Kitengo Cha Elimu ya Afya kwa Umma kwa kushirikiana na wadau mbali mbali
Негізгі бет WAHUDUMU WA AFYA NGAZI YA JAMII NI MUHIMU
Пікірлер: 5