Wacha kupotosha umma mzee mzima fatani na muongo. Njaa tupu yakusumbua muisilamu fatani mkubwa na muongo huoni hata aibu. Subhannallah
@BongoAirdropsMemecoins
7 күн бұрын
Mkishaanza kuingiza dini kwenye siasa ni machafuko tuu mtatuletea, hebu kaeni pembeni wacha CCM iendelee tuu maana naona mnataka kuingiza udini ukristo na uislam hauna nafasi kwenye siasaaaa acheni hayo mambo wazanzibar
@hassanmitayo1875
8 күн бұрын
Uzanzibar na U Tanganyika hilo hapana, ila kwa lile la wabunge kulipwa hela nyingi upo sawa
@ahmedalbalooshi8518
6 күн бұрын
Hassan,hapa la kuzingatia ni mauwaji ya Wananchi wa visiwani wakati wa uchaguzi mkuu
@hassanmitayo1875
6 күн бұрын
@@ahmedalbalooshi8518 ningelikuwa na namba yako ningekupigia tukabadilishana uzoefu
Inafikirisha sana mzeee mvi uwe na hekima ila wewe ndio kwanza unawaza ujinga.
@erastomwambeje9920
6 күн бұрын
Ndio maana tunakataa serikali za majimbo. Nchi ni moja na Rais ni mmoja
@BabySheni
7 күн бұрын
Binaadam hata umlaze godoro la kioo Bado hatakushukuru 😂😂😂 mama Samia kakukosa nini jamani
@MehmetMtonga
7 күн бұрын
Waambieee
@nenolauzima5281
8 күн бұрын
Huyu Mzee Hana nia njema ....inakera sana
@Hemedmikole-r9e
7 күн бұрын
Mzee yupo sahii msikilize kwa makn
@exaverysimon1064
6 күн бұрын
anaongea tu irimlad asikike kwenye spika😂😂😂
@AnwarBabu-m2x
8 күн бұрын
Muache kuweka matangazo na habari
@BabySheni
7 күн бұрын
Hapa duniani huta pendwa na woote na Wala hutachukiwa na woote
@YusufSwaibu
7 күн бұрын
Wewe Mzee achaujinga kas nyumbani ulee wajukuu kwahiyo unalialia tu wewe umekandamizwa na nn Wacha uwendawazimu
@exaverysimon1064
6 күн бұрын
YAN NYIE NA SIASA ZA HIVI NDO MNATAKA TUWAPE DOLA SAS NYIE NA CCM MNAUTOFAUT GAN LABDA NIWAAMBIE TU NYIE KUHUSU KUSHIKA DOLA SAHAUN LABDA MIAKA YA HUKO MBELE BADO HAMJA KOMAA KUONGIZA DOLA NYIE
@moddysunshine6618
7 күн бұрын
muwe mnaangalia watu wa kuwapa uongozi au muwe mnawaaandikia hotuba. Huyu Babu kameza mvinyo wa madoriani?
@PartySekemi
8 күн бұрын
Mnakosea mliko weka tangazo
@GibsonMallet-p1l
7 күн бұрын
Uwi
@AmaniKizinga-ew9mk
8 күн бұрын
Sasa si nchi moja
@ahmedalbalooshi8518
6 күн бұрын
Mbona kuna maraisi na serikali mbili?
@PartySekemi
8 күн бұрын
Kumeanza kuchangamkaaaaaa😂😂😂😂
@samsonhamery3809
8 күн бұрын
Ndiocmaanacmimi,husema kuwa wazanzibar wana akiri,wanajitambua sana ila sisi Tanganyika mbumbumbu,sana kama kundi la nyumbu hatuoni,mbele kwa manufaa ya hatima,yaTanganyika yetu na,kizazi chetu
@IddrisaSeif
7 күн бұрын
Upo sawa mzee
@ShamteMohmed-ed2kk
8 күн бұрын
Kashiba Hana njaa , acha abwabwaje .
@exaverysimon1064
6 күн бұрын
HUYU MZEE ANAONGEA TU IRIMLAD ASIKIKE KWENYE SPIKA 😂😂😂😂 WATU KAMA HAWA MUWE MNAWAANDIKIA HUTUBA WASIWE WANAROPOKA OVYO
@FrankolaisLukumay-tx8vr
8 күн бұрын
Huyu Mzee na uzee wake ukubwa wake hana akili mbona Pesa zinatoka Tanganyika kwenda Zanzibar acha ujinga ww
@MuzneOthman-l7i
3 күн бұрын
HATA HAJUI ANACHOSEMA..HUYU CHIZI..MIMI SIJAWAHI KUONA BOT TRUCK IKITOKA ZANZIBAR KWENDA TANZANIA BARA ISIPOKUWA KILA MWEZI BOT TRUCK INATOKA BARA NA ESCORT YA POLISI INALETA FEDHA ZANZIBAR.
@ElivasslukumyaiElivassluku-w1r
7 күн бұрын
Musije kungawanyika mukue kama kongo watuawana amani usiku namushana wewe enda ukapimwea akili fujeni iyomungano mutaona dunia nihii mutateseka kulaungali yako naulale mwanangu tulia ashausebe
Пікірлер: 35