Hongera sana mzee uwezo wako ni mkubwa kuliko hata viongozi wetu
@issaalfani1030
22 сағат бұрын
Hii nchi inawatu mwenye elimu zao tuache kuchukulia poa Mf huyu mzee safi sana
@MiriamAbdallah
20 сағат бұрын
Hakika
@selemanmcharazo
6 сағат бұрын
@@issaalfani1030 Mambumbu wakisikia maneno ya kiingereza ndo wanaona Kama Kuna Cha Cha maana anachoongea
@Sahlomon-jp4jr
Сағат бұрын
@@selemanmcharazobwahabwahabwahahaaaaaaa!
@msokainno
10 сағат бұрын
kazi.njema.sana.wazee kama hawa wanakufa na maarifa yao talanta hizi tunazihitaji kwenye.serikali
@themaestro-24
21 сағат бұрын
UBERIKIWE WEWE NA UZAO WAKO.KUSIWEPO LAANA YOYOTE ITAKAYOGUSA UZAO WAKO.
@kajsun5918
20 сағат бұрын
Rushwa 10/5
@YohanaPetro-xv9tp
20 сағат бұрын
Dawazee Mlijificha Wapi Nchi Tunawahitaji
@salomeshongola1697
22 сағат бұрын
Hawa watu mungu awatunze.
@selemanmcharazo
6 сағат бұрын
@@salomeshongola1697 mungu hawezi kuwatunza wavurugaji
@akidajulius8397
12 сағат бұрын
NALIHESHIMU SANA KANISA KATORIKI, LINAWATU WA KILA IDALA,, limejitoshereza kwakweli
@OmmyJames-xn7ji
20 сағат бұрын
WAZEE WA KANISA WAKATI WA MAGU MLIKUWA MNAJIFICHA TU KANISANI KAMA MNYIKA SIO 😢😢😢😢😢😢ASANTE MAMA KUTUPA DEMOKRASIA YA KWELI NA KUJUA WANAFIKI WAKATI WA GIZA 🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🤩
@OptimisticSpaceAstronaut-cu5sr
10 сағат бұрын
Nyie ndo ma boya yenyewe which democracy are u talking about do you even know the meaning of democracy
@DOMINICUSHAULE-xr3em
5 сағат бұрын
Tafuta video siku Magufuri anafungua Maktaba pale UDSM utamuona huu mzee akitema nondo mbele yake. Utakuja kuthibitisha hapa kwamba wewe hukuwa unamjua huyu mzee kabla ya leo
@deniccgabriel6153
5 сағат бұрын
Ommy James iposiku utanyonya naniiiii na hao unaowatetea utajua ujui😂😂
@samiahjmlimanzilla9354
Сағат бұрын
Nimekupenda mzee baba hako ka dimpos❤
@samludo5435
Сағат бұрын
😅😂unaugonjwa na dimpoz wew ad kwa wazee😂
@jonsjones2580
2 сағат бұрын
camera man mpumbavu anashindwa kuonyesha table unaonyesha sura ya mzungumzaji
@maryamsuleiman6340
22 сағат бұрын
Kwakweli kimi nionavo sidhani km huu utekaji utashindikana kukomeshwa ,iwapo wanaujua wakalitendea kazi ,kw nia yakuiokoa Tanzania nahasira za wa Tanzania , nakm Askari mmetajwa sana ktk hili namnahakika hamuhusiki kwnn msijivue gamba lauovu mnaotajwa nao ,inashindikana kivipi ,ukimya wenu lazima mtahusishwa ,mimi ni Mtanzania tu sio lolot ila napenda Amani yetu
@benedictmrisho1800
10 сағат бұрын
Kila awamu report ipatikane ili kuweza kufanya proper comparison ili isionekane kuonea awamu ya 6.
@propKibali
9 сағат бұрын
Mbona nchi ina watu wenye akili kbs, kwa nn hawamo kwenye vyombo vya kuongoza nchi hii na vizazi vyetu?
@HamadBashir-bs5wo
22 сағат бұрын
Mbona sioni unapoonyesha
@johnsinyinza7450
12 сағат бұрын
Rais aperekewe.ripoti ysnu.
@MohamedIbrahim-bn1gz
5 сағат бұрын
IT VERY SLOW
@MariaJacob-w5v
10 сағат бұрын
Acheni kuwafananisha watu na wanyama. Kama kinachosemwa hakikupendezi, piga kimya!
@rabielfadhili994
18 сағат бұрын
Mzee wa 5P's
@remigusluambana9880
14 сағат бұрын
Huyu alifundisha IFM ni Lecturer ndo maana anaongea vitu kwa data
@salummohamed2689
48 минут бұрын
Kongamano hili linaweza kutafisiriwa negative na watawala na wasifanyie kazi vipengere vinavyolalamikiwa na wananchi na wakadai watafanya nini, na ikabaki hivyo. "Basi na iwe hivyo". Tutafanyaje.
@selemanmcharazo
21 сағат бұрын
Hizo takwimu zako za uongo kwenda huko
@MiriamAbdallah
20 сағат бұрын
Lete zako zenye uhakika haya mambo tusiweke udini
@StevenGendo-vx9jo
11 сағат бұрын
We ni mbwa Kama mbwa zingine
@GambasonLuselegasi
6 сағат бұрын
Kwani akina selemani mnaakili nyie
@propKibali
9 сағат бұрын
'0'
@selemanmcharazo
21 сағат бұрын
Hivyo hawa wazee wa kanisa miaka 5 kabla ya uongozi wa Samia walikuwa sayari gani? Lakini pia watu waliokufa kibiti mamia kabla ya Rais Samia hawana thamani kama hawa mbona mlinyamaza acheni kelele ng'ombe nyie.
@paschalsafari9747
21 сағат бұрын
acha matusi..jenga hoja.
@Re-Agrotec
21 сағат бұрын
Ww ndio uwaufuatilii siasa, uenda ni chawa tu coz kama nimfuatiliaji 2019 ulitoka ujumbe wa kwaresma enzi za magufuli, hvy unadata na sio mfuatiliaji you better shut your fuckn ass
@Re-Agrotec
21 сағат бұрын
Ujumbe wa kwaresma 2019 uliufuatilia au ata siasa aufuatili, umekalia uchawa bila kuwa na takwimu?
@keithapeter7854
21 сағат бұрын
Kuwa mwelewa Kati ya waliotekwa na Kupotea angekuwepo mwanao ungekoment matusi hayo??
@MiriamAbdallah
20 сағат бұрын
Heri wao ni ngombe wanao wafuatilia wanapotea na kuuwawa kuliko wewe nakulinganisha na nyumbu au nguruwe angepotea au kuuwawa nduguyo ,mwanao au mzazi wako ungeongea huo upumbavu wako?
Пікірлер: 48