Mchungaji Asante sana namshukuru Mungu kwa kusema NAMI Leo hii. Kwa Yale ninayoyapitia na Binti yangu kufukuzwa kwenye eneo la biashara yetu. Ninaamini neema Iko mbele yetu🙏🏿
@OlaisMeyasi
Ай бұрын
😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊
@getrudaleonard8323
Ай бұрын
Pole ni mapito Nayo yatapita na hiyo ni njia ya mafanikio Zaidi
@EsterMarwa-x8x
Ай бұрын
Pastor! Umeniokoa sana,! Niko ktk Hali ngumu sana ya kusingiziwa na baadhi ya waumini na kuchukua la kunitoa Kanisa nililojenga Kwa kumpata mfadhili. Kosa nilimwamini nikawapa namba za mfadhili badala yake wakampigia cm kwamba Sasa sio Kanisa Bali nimefungua baa, mfadhili hataki kupokea cm yangu na amewaambia wasimamie Kila kitu ilihali wakati najenga Tena kwenye mvua, nikaanzia ibada hapo likiwa jengo limefikia kwenye Renta ya madirisha, mvua zinatunyeshea tumeweka maturubali, Leo Kanisa imeisha kabisa, wakaja kama waumini niakawapokea vizuri, wakiwa waaminifu sana, baada ya miezi 2 ndo wamenifanyia haya. Afadhali Leo nimefarijika.
@consoassenga7153
Ай бұрын
Mchungaji umezungumza na mimi. Asante sana Namshukuru sana Mungu kwaajili yako.
@estherlemburismollel5901
Ай бұрын
Asante Yesu kwa kuniona, ujumbe huu ni ka ajili yangu leo nimevuka eneo moja kwenda nyingine, ubarikiwe Mchg. Dr. Kimaro unatumika kutuhuisha wengine tulikuwa tumeshakata tamaa
@0759852719
Ай бұрын
Lilian...upo
@francjose9596
Ай бұрын
🙏🏾🤲🏽
@paulineuisso
Ай бұрын
MUNGU kakutuma ili tupone
@giftmasharo4018
Ай бұрын
Ameen Ameen Ameen IN Jesus Name KUOR'EE KINDO KYAA RUWA❤
@RahelIbrahim-id2li
Ай бұрын
Eee den
@AbisaiBilla
Ай бұрын
Mchungaji hongera kwa mahubili ya kututia moyo, Asante sana MUNGU azidi kukubariki.
Nakushukuru mchungaji kwa maneno niliyopata kutoka kwako, mungu akubariki sana
@francjose9596
Ай бұрын
🙏🏾🤲🏽
@FurahaMahesha-xe7yy
Ай бұрын
Ameen nimepitia kipindi hichocha Haman sasa naona uelekeo wa Modekai
@AnethMushi-c3e
Ай бұрын
Ameeen
@francjose9596
Ай бұрын
🙏🏾🤲🏽
@richardonai3419
Ай бұрын
Namshukuru mungu .kunakitu Cha mungu ndani yangu ndiyo maana wanajitahidi kunitenga na Binti zangu.
@RahelIbrahim-id2li
Ай бұрын
Mungu afanye alichokusudia kwako
@julianapenza1223
Ай бұрын
Shalom Mch mie ni Pata ndoto magufuli matatu yamefungwa juu ya bati sijaelewa Maana yake
@fatumamshana-yz2tu
28 күн бұрын
Nakuombea umri mrefu unanitia moyo sana unayofundisha ndio tunapitia mungu akusimamie
@francjose9596
Ай бұрын
🙏🏾🤲🏽
@EddaAnthony
17 күн бұрын
Duh,mbona kama naambiwa mimi,Asante Mungu nimefarijika sana
@mancamushi
Ай бұрын
Ameen mchungaji kwa kweli kindo Kya iruwa
@jameskilowoko7153
Ай бұрын
Ahsante sana Mtumishi wa Mungu kimaro.Nimeelewa sanaaaaaa.limenifariji mnooo
@StellaSelli
Ай бұрын
Amina mtumishi ubarikiwe sana, haya mahubiri yamenigusa sana
@eldaphilemonkabondo9883
20 күн бұрын
Mtumishi wa Mungu Bwana Yesu akubariki sana kwa huduma hii
@dorothymbise3427
8 күн бұрын
Amina mtumishi wa Mungu. Hakika Bwana amesema na mimi.
@RahelIbrahim-id2li
Ай бұрын
Nimepata ujumbe wa kunivusha kimaisha
@dionicyndelwa663
26 күн бұрын
Amina mtumishi nimebarikiwa sana sana
@valentinengetich
10 күн бұрын
Amina
@CassianSigore
Ай бұрын
Amina
@irenemwaigwisya6499
28 күн бұрын
Amina
@marymassawe8350
Ай бұрын
Amina!
@LeahMuganyizi
Ай бұрын
Ameeen!asante sana Baba kwa ujumbe huu
@gracebasondole6990
11 күн бұрын
Amen baba,Mungu akutunze
@Monicamadaha
Ай бұрын
Amen baba 🙏🙏
@jeremiaisowe4443
Ай бұрын
Kindo kyaRuwa!!!!!
@EllahGunzu
14 күн бұрын
Ameen
@elizabethlinusndanzindanzi
Ай бұрын
Barikiwa, Asante mchungaji kwa maneno ya kututia moyo...tuliokata tamaa
@lamiriamNishell
Ай бұрын
Amen 🙏
@RoseMrio
Ай бұрын
amen
@angelrugemalila3359
Ай бұрын
AMEEN Mtumishi wa MUNGU Ubarikiwe mno yaani nimepata kitu kipya
@DanielKishinja
Ай бұрын
Amen, pastor nimebarikiwa ujumbe wako
@shijacharles
Ай бұрын
Mungu akubariki nimesikiliza naona moyo wangu unapata Amani Mungu atusaidie sote🙏
@apolinaayebacanadienne7188
Ай бұрын
Amène 😭🙏
@JacquelineBusime
Ай бұрын
Amen Amen mtumishi wa Mungu, Mungu akuzidishiy maisha marefu na Afya nzuri ndani ya wokovu wey na you family
@WwEe-qc7tc
Ай бұрын
Amina Amina Amina hakika Ubaya unao kusudiwa kwetu baada yakuuvumilia nakuupokea kwa njia yakuukubali na kukubali kuhangaika nao hadi upite mwisho wake huwa kumejaa mema yakushangaza
@AlexMchau
Ай бұрын
Mungu aendelee kukulinda ili uendelee kufanya kazi ya Mungu .
@Regina-yz9bu
Ай бұрын
Amen mchungaji,mungu tujalie neema ya kuweza kuvumilia na kukutumaini Ili tuweza kuona wema huo in Jesus name amen
@erikalutevele8362
Ай бұрын
Amen mtumishi mbona Mungu ameniona mm asabuhi hii yaleo
@Nancybosibori-sz5nb
Ай бұрын
Be blessed 🙏 mchungaji
@diackbenoit3215
Ай бұрын
Ameen yani iyi leo imenipa faraja sana mungu ni mwaminifu sana
@abigaelmwadena2262
Ай бұрын
Asnte kwa somo hili la leo nimepta kitu jipya 🎉❤
@JacquelineBusime
Ай бұрын
Mchungaji ubarikiwe saaana
@naeema8155
Ай бұрын
Amen Mungu akubariki sana baba Mchungaji
@LeahMuganyizi
Ай бұрын
Ameeen!asante sana Baba kwa ujumbe huu
@rumariletimba7585
Ай бұрын
Amen, umenifunza kitu Man of God
@forminaformina7694
Ай бұрын
Amina.nami.nimebarikiwa.asante
@velmamwango4393
Ай бұрын
Amen l have gain hope again 😭😭😭
@veronicasarita8422
Ай бұрын
Ameen kuere kindo Cha ruwa
@VeronicaOwenya
Ай бұрын
Amina mchungaji wangu
@RICHARDNDAUKA
Ай бұрын
Ameen🙌🙌
@ElizaMgendi
Ай бұрын
Asante sana
@clarageorge8385
Ай бұрын
Your the best ever
@asiliyetu
Ай бұрын
Amen 🙏🙏🙏
@FabiolaAntony-up7ih
Ай бұрын
Mchungaji eeh ebu mungu akupe maisha marefu mataifa tupone
Пікірлер: 92