Sawa bwana Mpanzi nimekuelewa sana ndugu yako wa seedco hapa
@winfridakipesha8214
4 ай бұрын
Nashukuru kwa somo zuri, nimejifunza kitu hapo 🙏
@KilimoProTanzania
4 ай бұрын
Karibu sana
@erickmgongolwa8505
4 ай бұрын
Nina experience ndogo ya avocado for busness, ukitaka kulima kwa biashara tafuta maeneo kimo 1500 from sea level, alafu yawe yenye mvua za kutosha, hutapata shida kuhudumia. chini ya 1000m, ww lima kwajiri ya chakula chaco tu. ukifika Arusha ukaangalia hass inavobeba, alafu ufike dodoma uangalie unaelewa kwamba dodoma umeforce,
@KilimoProTanzania
4 ай бұрын
Asante kwa Mchango wako, Karibu
@Salumchiwili2023
2 ай бұрын
Mimi nawaza kuanza kilimo hicho handeni tanga ila bado sijafanya utafiti mana nipo nje ya nchi sijui unaweza kunishauri nini hapo kiongozi
@gracekawiche
7 ай бұрын
Asante sana kwa darasa zuri naomba mawasiliano ni kilimo tija
@KilimoProTanzania
7 ай бұрын
Karibu, 0715 866 027
@lamama.
3 ай бұрын
mi natoka Songea, mwinuko 1060m. vipi unadhani avocado inaweza kukuballi vizuri kama ntazingatia mahitaji mengine kwa usahihi.
@KilimoProTanzania
3 ай бұрын
Ndio unaweza kulima vizuri tu! Karibu 0715 866 027
@lamama.
2 ай бұрын
@@KilimoProTanzania ahsante ntawatafuta
@user-vj9pu3rr8q
7 ай бұрын
Nimependa sana mafunzo
@KilimoProTanzania
7 ай бұрын
Karibu sana
@PaulEddy-bi3fi
4 ай бұрын
Natafuta soko la kuuza parachichi naomba connection, nipo Iringa, wiliya ya Mufindi
@KilimoProTanzania
4 ай бұрын
Wasiliana Nasi 0715 866 027
@AZAM_MEDIA
3 ай бұрын
@@KilimoProTanzaniaKwa Iringa aina Gani ni Bora Zaid?
@KilimoProTanzania
3 ай бұрын
@@AZAM_MEDIA Hass Avocado
@witnescholela1156
3 ай бұрын
Naweza pata namba yako
@KilimoProTanzania
3 ай бұрын
@@witnescholela1156 0715 866 027
@mercyMahenge-sp2yj
7 ай бұрын
Asante kwa elimu. Naomba mawasiliano yako, nahitaji kuwekeza katika hii industry
@KilimoProTanzania
7 ай бұрын
Karibu sana 0715 866 027
@suaside7021
7 ай бұрын
Mbona hujaizungumzia songea kwani huko parachichi haifanyi
@KilimoProTanzania
7 ай бұрын
@@suaside7021 Mkoa wa Ruvuma pia unaweza kulima parachichi na ukapata matokeo bora, ni moja ya mikoa mikuu ambayo unaweza kulima! Karibu
@daudhenry6212
7 ай бұрын
👏 👏 👏 👏 👏
@KilimoProTanzania
7 ай бұрын
Karibu
@masachihorticultureunitcol711
Ай бұрын
Tarime je
@siasia5469
2 ай бұрын
ASANTE SANA. UMETOA SOMO ZURI SANA MUNGU 🤲AKUBARIKI & AZIDI KUKUPA NGUVU YA ELIMU KILIMO TUKIPENDE. UMENIGUSA SANA NA NITAKUTAFUTA TUFANYEKAZI PA1🌹👊
@KilimoProTanzania
2 ай бұрын
Asante Karibu sana! Endelea kufuatilia vipindi vyetu
@isaacmwaipopo
7 ай бұрын
Broo upo vizuri sana. Unajua kuelezea sana. Mungu akubariki. Ntakuchek kwenye namba yako kwa ushauri zaidi.
@KilimoProTanzania
7 ай бұрын
Karibu sana
@corneljoseph6653
5 ай бұрын
Unayo namba yake nisaidie kiongozi
@KilimoProTanzania
5 ай бұрын
@@corneljoseph6653 0715 866027
@stevenelisha14
5 ай бұрын
Kwa Kanda ya ziwa ipi mbegu bola yakulima
@KilimoProTanzania
5 ай бұрын
Hass Avocado! Inapatikana kwetu, Karibu 0715 866 027
@saimonwantango9569
5 ай бұрын
Mkuu nimeingia you tube mara kibao kufatilia kilimo cha ovacado ila sikupata jibu, niko wilaya ya kibiti kilomita 2 kutoka baharini,je naweza kulima na mimi ovakado ama sio sahihi kwa kilimo hicho?
@bavonwatson7360
4 ай бұрын
Inawezekana ndugu, Mimi Niko Masoko karibu na Kyela Kuna joto pia lakini nimepanda avocado na navuna kwa sasa kama uko what's app nitakutumia picha kwa ushahidi zaidi
Пікірлер: 44