Najihisi Niko Dunia yangu mwenyewe naposikiliza huu wimbo
@lovenessmjaka9754
4 ай бұрын
2024 jamni zamni wasanii walikuwa wanaimb kweli
@mussaemanuel3848
4 жыл бұрын
Mziki wa nyuma kidogo mtamu sana bonge kazi toka kwa criss wa Marya Kama na we unaskiza bado gonga like twende sawa😘
@kideboy4605
3 жыл бұрын
Twenty one mojoz full ovyo priss jmp. Tarhe 22 Kama unaskiza tia pike
@boscomseso2724
6 жыл бұрын
Kama wewe bado upo Kama mimi tangu hii nyimbo imetoka ngonga like
@juliethhenry2374
5 жыл бұрын
Bosco Mseso saaaaana wimbo mtam
@yusufuchipita2799
5 жыл бұрын
Bosco Mseso umetisha
@emanuelmdak8306
4 жыл бұрын
Ngoma atar saana iyo enzi izo kwa sisi wahenga
@MiragorethLaswai
8 ай бұрын
Nipo nilipenda sana hii nyimbo
@user-zr8lq9lo8y
Ай бұрын
@@juliethhenry2374🙏🙏🙏
@gnamesofficial5996
2 ай бұрын
2024 Who's still around onthis👑👑
@abuude-saintchannel3260
6 жыл бұрын
penda sana huu wimbo has a kipindi ambacho my love hayupo
@tadeokayuni4123
5 жыл бұрын
Nani yuko hapa 2019? Gonga like
@andochiusrwelengela1844
4 жыл бұрын
Kipindi hicho namfukuzia mpenzi wangu leo hii tuneoana with 2babies, I lo u Diana.
@jabbydux
2 жыл бұрын
My favorite since that day it was released in 2010! Passed by to collect my memories today April 17, 2022
@beatricejuma3609
2 жыл бұрын
2022❤❤❤
@betrammchopa4922
Жыл бұрын
We are together
@worldnews1400
Жыл бұрын
Daaaaaàah tujuane wakubwa tunaokumbuka mbali kipind tupo shule darasa la sita mwaka 2010 but now tupo kazn tayari 2023
@misalabacharles2728
Жыл бұрын
Hivi Hawa Wasanii Waliendaga Wapi jamani si waendelee kutoa nyimbo tumemiss Ladha Ya hizi Nyimbo
@Abby_Shawn_KE
Ай бұрын
Mzee tunabaniwa kwa kuwa tulikataa vyama vya utoaji wa kafara, MEDIA zinajuwa wapo wakali ila hazitaki kusapoti kutokana na tofauti za misingi ya kimiungu
@hockelydasillowhockelydasi1669
6 жыл бұрын
umeimba sana hii nyimbo hakuna nyimbo kam hii katika nyimbo zako
@officialmatambi5550
5 жыл бұрын
Upo unaitwa Sinyorita,,,
@BhashiruLuchiya
Жыл бұрын
Tujuane mapema tuliotazama mwaka huu 10,8,2023❤❤❤❤
@AbdronaMwichande
Жыл бұрын
2023❤❤❤❤❤
@Fau60-Official
4 ай бұрын
01/05/2024 bado nipo
@bonykimario7187
6 жыл бұрын
2018 kama upo gonga like
@martinengovi7893
6 жыл бұрын
Hatary
@hildafredmwalongo4692
6 жыл бұрын
still watching 2018 nice song
@eddyeddlay8769
6 жыл бұрын
Nimekusaka weeeee hatimae nimekupata..dah nilikupenda sana ww Nyimbo r.I.p
@emmysam1510
3 жыл бұрын
Kwani huyu muimbaji amekufa?
@leonardmbuya6943
11 жыл бұрын
Kilo mita 6 umeuimba vzr sana sidhani kama utakuja kuimba wimbo mzuri kama huu.
@joyally2080
7 жыл бұрын
nyc xong keep on climbing the tree
@esterngonde1977
7 жыл бұрын
Joy Ally nice saana song love moree
@zuleambao5415
5 жыл бұрын
Leonard Mbuya nyimbo kali kama hizi ziko wapi jaman
@princeuzieri4548
6 жыл бұрын
Kama bado upo hapa gonga like ngoma ni fireee 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@patrickgikaro5262
5 жыл бұрын
prince uzieri picha inanichanganya
@jaytheboy2393
5 жыл бұрын
wale tunakumbuka muziki mzuri Tujuane hapa kwa like
@dorynussiri8197
5 жыл бұрын
April 2019 still watching.....
@dicksonrobati1384
5 жыл бұрын
Naikubali sana
@haidhabushiri9558
3 жыл бұрын
2020 jaman kama imetoka Leo .kama unaamin nyimbo za zaman zinaishi gonga like
@josephabel7654
3 жыл бұрын
Nyimbo hii itaishi milele yote imebeba hisia nzito ahsante Teena 28 Nov 2020🥂
@kassimsalum1479
3 жыл бұрын
Aya wangapi wapo pamoja nami 2021💥💥
@JossephPetro
2 ай бұрын
Wimbo mtamu kamahuu watoto wa 2000 awazielewi kabisaa
@hameezhami7795
Ай бұрын
Enzi hizo navaa sket ya secondari mlegezo soksi za shule sasa pindo ya juu ndioyachungulia kwenyekiatu.aloo enzihizo ni moto
@eliassylvester8150
5 жыл бұрын
I hope mimi ni wa kwanza 2019 kuitazama hii tena
@makorilucas7456
4 жыл бұрын
Ahahahahahahah....
@aishamother9943
5 жыл бұрын
Jamani mko wp wadau wangu hii nyimbo inanikumbusha mbali sana nani anasikiliza sai gonga like
@aishamother9943
5 жыл бұрын
Nice
@cikuwachira5455
10 жыл бұрын
I love the song...feel like crying wen listening to it.........kilomita sita
@paulisack9492
8 сағат бұрын
Nani anakumbuka ngoma za huyu Bwana ndogo was amazing sana !!!
@AlissonJB_77
4 жыл бұрын
2020 twenty twenty..... Nani huyo kama mimi?
@nijanini9543
5 жыл бұрын
Wangapi bado tunaisikiliza hii ngoma 2019💥💥
@stangamba9017
4 ай бұрын
GREAT MEMORY COMES IN MY MIND WHEN I HEAR THIS SONG, DISTANT LOVE
@Abby_Shawn_KE
Ай бұрын
Noma sana, usisahau huyu Criss Wamaria alitetemesha kwenye wimbo CHEUSI MANGALA
@rumayojr4638
5 жыл бұрын
Dec 2019. Chriss huna wimbo mkali km huu.. Naqbali xna Kak🔥💪
@deboramageta9683
4 жыл бұрын
Kilometa sitaaa daah huu wimbo naupendaa sana jmn
@minnahlove6519
4 жыл бұрын
Dah kitambo sana ngoma kali
@dodoskymwinyi9607
11 ай бұрын
Good Vibes, huyu msanii Bado yuaimba ama....
@Abby_Shawn_KE
Ай бұрын
Ndiyo, yupo na channel tofauti liandike jina lake kwenye KZitem utaziona na zingine, pia mimi msanii mwenza anayefanya nyimbo zenye maadili
Пікірлер: 291