Makamanda tuko pamoja Tundu lissu mungu akupe maisha marefu mnatufungua maskio mnatupa akir
@user-zy4rr9iv3m
21 күн бұрын
Wape elimu lisu watanzania bado wamelala
@peterkumongishu9580
21 күн бұрын
Great sana brother a pillar of the nation.
@JohnChacha-cy3fz
21 күн бұрын
Hakika lisu uko vizuri, ila Sasa ndugu yangu kwani hamuwezi kuanzisha kikundi Cha kukabiliana na hawa maccm yasiyokuwa na huruma
@Paplick9
22 күн бұрын
Genius 💥💥💥
@user-rn2dl8cf4t
22 күн бұрын
Lisu ni TUNU na HAZINA kubwa ktk TZ endelea kuwaondolea wtz tonngtongo waamke.Nimda mrefu sana ccm imewahadaa.Mbaya zaidi na wasomi wetu wengi wanaunga mkono hii ccm.BABA uokoe umma unaokandamizwa.MUNGU atatuvusha INSHAALAH.
@user-jv5gh9os5n
20 күн бұрын
Ooh
@elibarikimollel7149
22 күн бұрын
Huo ndio ukweli mtupu Mh.Lissu,ni ajabu tumepata uhuru mikononi mwa Nyerere, kikazaliwa chama ambacho ni zaidi ya mkoloni sasa! Hawa watu kwa sasa wanasugua vichwa kumtafutia mbw jina baya kwa mara nyingine ili waendelee kututawala utumwa uendelee...lakini Mungu ana uwezo kuliko wao...
@BonaventureJohn-mk6xh
20 күн бұрын
A big brain can only be understood by at least the same brain
@JohnChacha-cy3fz
21 күн бұрын
Watakumbuka ipo siku maana, madhira tuliyopitia wanayopitia watu Hadi Sasa, Ni taabu sana
@labunaabouna6122
22 күн бұрын
Sawa tu tundu anacho fanya kuhsu waarabu ndio wao ccm wanawaambia wafuasi wao kuhsu wapinzani wao wacha tu awakipe back
@gowekogoweko5803
22 күн бұрын
Well said
@user-df9ue7ko3u
22 күн бұрын
Mungu yupo
@Mima-cl2im
21 күн бұрын
Kwa haya lazima watanganyika mujiulize. Tanzania ni moja kwa nini wa Tanganika Hawana haki Zanzibar? Wala wa Tanganika hawako kwenye bunge la Zanzibar? Lakini wa Zanzibar wamejaa kwenye bunge letu? Tena wengi kushinda idadi yawo. Watanzania wana haki ya ufafanuzi.
@hamicpina1151
21 күн бұрын
Huna bunge ww lile ni bunge la muungano anzisha Tanganyika uwe na bunge la Tanganyika uxjikanyage
@jumanassor5913
21 күн бұрын
Kaka sema
@NicolasKileoSkySafari
21 күн бұрын
Hosea 4-6
@saidrakwe8727
22 күн бұрын
jamaa anajua ❤
@makobamasawemangu4122
22 күн бұрын
Ila Lissu wew ni hazina kubwa sana kwenye hili Taifa ni wachache sana wenye uelewa kama wew
@safihunasingo5413
22 күн бұрын
Wewe umekwisha
@Yness-vh4yy
22 күн бұрын
Diamond usimuowe Zuchu Mzanzibar
@khamishussein3502
19 күн бұрын
Hhahahahahahaha
@abdulbonomali6548
22 күн бұрын
Siasa za kama hizi zimepitwa na wakati
@ramadhanchenga4606
21 күн бұрын
Kwa hizi zimepitwa na wakati zinazotakiwa ni kuuza bandari kimya kimya,na kuwapa wa china ziwa kufugia samaki
@user-ic9ke2ws8q
21 күн бұрын
kaka yangu Lisu ulikua bungeni haya ukuyajua acha kupotosha watu watanzania wa leo sio wakudanganya chadema kimepoteza mwelekeo
@JacksonFrances
21 күн бұрын
Acha Kuongea Ujinga ww, Kwani Alipokuwa Bungeni Hujui Kuwa Yeye Ndiye Alikuwa Akipinga Uovu na Ujinga Mpaka Akafikia Hatua Ya Kupigwa Risasi! Au Unajitoa Ufaham Unajifanya Hujui, Fuatilia Clip Uone Bungeni Alichokuwa Akifanya Giniasì Tundu Lissu"
@user-dk5kk4rf3v
22 күн бұрын
Kweli kabisa akili nyingi
@albertinamichael6123
22 күн бұрын
Ana upendo kwa waarabu na Zanzibar.
@aronimanirakiza5655
22 күн бұрын
Tundu Lisu. Ni Mwanasiasa. Bora. Tanzania. Ukubari. Urukundo. Lisu. Mungu. Akurinde ……….
@hamisijuma8124
21 күн бұрын
Hamnasiasayoyotehapo
@hamisijuma8124
21 күн бұрын
Watu wenyewewanne
@FadhiliKato
22 күн бұрын
Lisu Mtu na nusu hawa wa Zanzibar wanauza vitu vyetu mana huku sio kwao vp znz wa bara hawamilik ardhi
@user-nk4oq4ek9y
22 күн бұрын
Ivi we baba kuongea ivo ndo waona utashinda urais kwanza una leta chuki tz ww
@adamlubawa1281
22 күн бұрын
Ashinde wapi Duniani hakuna Rais mlemavu
@hassangasaba4565
22 күн бұрын
Acha uongo gavana wa Texas marekani ni mlemavu. Na kumbuka gavana wa marekani usimlinganishe na rais wa africa
@leahmgunda4154
21 күн бұрын
Usishangae kabla hujafa utakuwa mlemavu wa kubebwa.
@calvinloveambroce842
21 күн бұрын
Watanzania hatukuwahi kuwa kitu kimoja toka dunia iumbwe
@calvinloveambroce842
21 күн бұрын
@@adamlubawa1281ujaizunguka dunia Acha kudanganya watu
@user-zo8ep4rz3l
22 күн бұрын
Propaganda
@kinanaomar
22 күн бұрын
Wewe ni mbeya huna la kusema ndio haja chaguliwa lakini ame kuwa raisi wa jamhuri ya mungano wa Tanzania kikatiba wewe ni fala sana nenda kasome political science 🧬 kwanza uji funze kuongea na siku zote mpaji ni mungu angalia usije uka mkufuru mungu
@sylvestercameo6263
21 күн бұрын
Hivi mpaka usome "political science" ndipo ujue kwamba kabila la wamasai makazi yao ni Ngorongoro, Monduli, Longido na Loliondo? Hivi mpaka usome "political science" ndipo ujue kuna nchi inaitwa Tanganyika na Zanzibar ziliungana 1964? Lakini kati yako na Lissu nani anaweza kushauruwa kwenda shule? Mwisho, ebu tuelimishe maana ya "political science"!
@Leminelimited
22 күн бұрын
He is very right.
@evelynmwaimu-vd9jo
22 күн бұрын
Tuelemishe babaaaa!
@dorothmsuya1686
21 күн бұрын
Mi naona dawa zimemdhuru kichwani! Huwezi kuwa unaropoka tu bila mipaka! Kila kitu ni kibaya! Wewe ukipewa nchi utatufanyia lipi jipya??
@MohamediOmari-nz4vv
21 күн бұрын
Wewe mpumbavu itakuwa baba yako ccm watu wanateseka nchi ya kwao wewe unaandika utopolo
@dorothmsuya1686
21 күн бұрын
@@MohamediOmari-nz4vv Mpumbavu ni wewe na jazba zako! Mtasubiri sana huo uongozi! Labda uongozi wa maandamano! Fyuuu!! Unafikiri kuongoza nchi ni sawa na kuongoza familia yako! Hebu tupishe huko......
@rithaurassa
22 күн бұрын
Yaan ukiona mtu anamwambia mwenzake mpumbaf yeye ni Zaid tena ni chiz mpaka kachizika.WATU WA MUNGU WANAANGAMIA KWAKUKOSA MAARIFA.
@cyprianmgogo7625
22 күн бұрын
So you don't get anything from him.useless, learn and collect the best from this wise man.
@user-fk6mt5ib6g
21 күн бұрын
Unaongelea maarifa yapi kwa mfano?
@KevinOlela
21 күн бұрын
wee ndohauna maarifaa ndg yng
@mbukumagiubukumagu406
22 күн бұрын
Mbona husemi gari zenye number za zanzibar haziruhusiwi tanzaniabara na gari za east Afrika zinakubalika ni makubaliano ya mungano
@kassidpandu866
22 күн бұрын
Huyu Mtu ni Mbaguzi sana huyo na atatugawa Wa Tanzania
@user-fk6mt5ib6g
21 күн бұрын
Hatugawi , anatufumbua macho, ila wenye ufinyu wa fikra kama wewe wanaona anatutenganisha
@KevinOlela
21 күн бұрын
we jamaa nenda mirembe ukapimwe au umepewa pkpk ya mama yenu
@georgewambura7695
21 күн бұрын
Fikiria vizuri
@hamicpina1151
21 күн бұрын
Muungano ukatwe tuu mbona Zanzibar wanajitambuwa kwa uzanzibar Yao ila Tanganyika xjuw hawajielew hawaitaki Tanganyika Yao kwa nini
@dorothmsuya1686
21 күн бұрын
Kwani Msomera sio Tanzania? Au umechukia kwa vile wamepatiwa makazi ya kudumu na ya heshima?? Ulitaka wabaki nyumba za tembe maisha yao yote! Huo ubaguzi utakumaliza! Ungepata uraisi bahati mbaya ukatangulia Salim Mwalimu asingekua Raisi kwa vile ni mzanzibari?? Acha kutupotosha!😂😂😂
@parambaramadhani4203
22 күн бұрын
Kwa kauli hiyo ya uchochezi urais utausikia redioni, unaleta chuki sana wewe.
@novatusabond9253
22 күн бұрын
Mbona mwenyekiti wako haongei kama wewe
@alinabhan952
22 күн бұрын
Wewe unatembea kupeleka CHUKI katika wanainchi. Huna siasi kabisa . Unasambaza chuki ya kikabila
@leahmgunda4154
21 күн бұрын
Kumbe ujinga unaleta upendo? ???
@user-vl4rz6lf6d
22 күн бұрын
Chizi Freshi huyo
@ramadhanchenga4606
22 күн бұрын
Hata baba yako na ndugu zako ukoo mzima hakuna mtu ambaye unaweza kumfananisha na lisu
@mgoamkiza1117
22 күн бұрын
Acha kuligawa taifa ww ,Nadi sera za chama chako mshamba ww
@user-vl4rz6lf6d
22 күн бұрын
Mwanasiasa feki anaongea upumbavu mtupu na kupotosha watu
@kurwanjonge4586
22 күн бұрын
Ok sema wewe basi ukwel tukuelewe sasa
@cyprianmgogo7625
22 күн бұрын
User, you are really sick, malus, malus.
@FadhiliKato
22 күн бұрын
Mwana siasa bora anaongea ukweli mama anauza Mali zetu watanganyika
@ramadhanchenga4606
22 күн бұрын
Ww una mental problem au vinginevyo ww pia ni mzanzibar tumewasituka mnachukua mali zetu mnaijenga zanzibar
@cyprianmgogo7625
22 күн бұрын
Leo hii hakuna mtu wa kupotoshwa,watu wote wanaelevu ,isipokuwa wewe.watu wavumilivu ..ili kulinda Amani ,Hali ya uongozi wa Ccm ni Tete sana,Mimi ni Mwana ccm.mambo yetu Sio fresh kabisa.
@shaukhansogo8170
22 күн бұрын
Acha ushamba ww labda kakutikisa ww na wagonjwa wenzako
@cyprianmgogo7625
22 күн бұрын
The worst sick and stupid creature is you.malus, just keep quiet when you are empty like that
@yothambenard7785
22 күн бұрын
Mwehu
@gibsonsimburya5291
22 күн бұрын
Hujitambui
@nuhhungaso8091
22 күн бұрын
Ila wakikaa na wazungu ni sawa.
@nuhhungaso8091
22 күн бұрын
Sawa lisu lkn huelezi sera ya chama chako kitafanya nini?
@issakazi2758
22 күн бұрын
Huna sera kichaa wewe
@user-tn7ic2ky3i
22 күн бұрын
Nyinyi mnaho mtusi Lisu myaka si nyingi mta ya kumbuka hayo maneno yake ukweli usemwe Samiya anatuuza mulisha hona nchi ngani inayo huza rasilimali zake tengemezi kwa wangeni 🇹🇿 tu
@dorothmsuya1686
21 күн бұрын
Wewe nawe hata kuandika hujui! Si utulie tu! Hata havisomeki lakini upo tu!😂😂😂😂
@tezuramziray8700
21 күн бұрын
Na kuna siku atasema Singida ni ya Wanyaturu wengine waondoke
Пікірлер: 83