Pole sn jamani, Mbele yake nyuma yetu, Raha ya milele umpe eeh Bwana na Mwanga wa Milele umwangazie apumzike kwa Amani "Amina"
@monahelipidius7696
5 жыл бұрын
polee kaka angu
@user-ik3ey9cs9e
5 жыл бұрын
Innalilah wainailah rajiuni. Poleni sanaa wafiwa mungu atawajalieni subra katika mitihani yake. Tuombe kheer na mungu ataleta kher. Ameen mungu ampokee salama.
@user-ik3ey9cs9e
5 жыл бұрын
Duwa ni wajibu kwa binadamu yoyote mungu alietuumba ni mmoja.na pili katika mema yake alitendea kila mtu. Si mwislam wala mkristo. Kafiri lakini alishi na watu vizuri.
Mungu mwema mwenye rehema, umrehemu kijana wetu Ruge. Umpokee kwenye makao yako ya milele mbinguni. Amina
@levinajeremiah3078
5 жыл бұрын
Rip
@gitu4me
5 жыл бұрын
Ruge Mutahaba anaweza kuwa ametajwa kwenye masakata mengi ya ubaya dhidi ya wasanii, akibebeshwa lawama kuliko mtu mwingine yeyote kwenye tasnia ya muziki Tanzania. THT, Tanzania House of Talent, ni kituo kilichoanzishwa mwishoni mwa mwaka 2005 kwa lengo la kuwasaidia vijana wenye vipaji, lakini wasio na uwezo wa kujiendeleza wenyewe kwenye sekta ya sanaa hapa nchini. Mwaka 2005, baada ya Rais Jakaya Kikwete kufurahishwa na ushiriki wa wasanii kwenye kampeni za uchaguzi mkuu, aliwaahidi THT kuwajengea studio kubwa ya kisasa ili iweze kuwasaidia vijana wengi zaidi. Baada ya serikali kutimiza ahadi yake na studio kukabidhiwa kwa THT, aliyekuwa Mkurugenzi mwanzilishi Ruge Mutahaba alianza kulalamikiwa na wasanii wenzake kuwa amejimilikisha studio hiyo kwa manufaa yake na rafiki zake, na ameifanya studio hiyo kama mali ya kampuni ya CMG inayomiliki vituo vya Clouds FM na Clouds TV, na kuwa anawabagua, kuwanyonya na kuwadhulumu wasanii wengine. Baadhi ya wasanii ambao hawakukubaliana na Ruge ni Lady JD, Joseph Mbilinyi SUGU, Dudu Baya, Q Chief, Joseph Haule na wengine, walianzisha umoja wa kupinga unyonyaji huo uliopewa jina la Anti Virus. Sugu na Ruge waliingia kwenye ugomvi baada ya Sugu kumtuhumu Ruge kujimilikisha Project ya Malaria iliyofadhiliwa na Serikali ya Marekani kupitia THT. Lady JD aliwahi kumtuhumu Ruge na Kusaga kuwa ndio wanaonyonya jasho la wasanii, hadi kufikishana mahakamani kiasi kwamba waliapizana kutozikana, ugomvi uliopelekea Clouds kutopiga nyimbo za Lady JD na yeye kukimbilia EATV. Q Chief naye alikwaruzana na Ruge kwa tuhuma za Ruge akishirikiana na BASATA kuzuia kibali cha mwimbaji wa Nigeria Davido. Si hao tu, Ruge ameshawahi kukwaruzana na kundi zima la WCB linaloongozwa na Diamond Plutnamuz, ilifikia hatua wasanii walio chini ya WCB nyimbo zao kutopigwa na Clouds FM wala Clouds TV na hata kutoalikwa kwenye matamasha ya Fiesta yaliyokuwa yanaandaliwa na CMG. Leo WCB wameanzisha tamasha lao linalojulikana kama WASAFI Festival na TV yao ya Wasafi TV.
@hassanmakamba7166
5 жыл бұрын
Unaeleza ya mwenzio ya kwako je? Jitahid kuficha ya mwenzio il ya kwako yawe salama hakuna mkamilifu dunian ila Allah mpekee tu ndo mkamilifu...
@kassimmkemae1533
5 жыл бұрын
Je angemsifu ungesemaje
@nfbdbxbxbdb2902
5 жыл бұрын
kwaiyo ndo unatuambia nn sasa hata ww unamabaya yko tuorodhoshee bs kwanza kabla hujaorodhesha ya marehemu sisi tumetosheka na wema wake asilimia 90. katika mambo ya kazi majungu hayakosekani unaongelea ubaya hisani zke huzioni
@hamadiali1075
4 жыл бұрын
Kilo,zeyo
@antidiusalex8653
5 жыл бұрын
Daaaaaaaaah kwakwel inatia uchungu
@janethaule4281
5 жыл бұрын
So sad,,, njia yetu wote ni moja,,, may his soul rest in peace
@njeriann3680
5 жыл бұрын
RIP 😢😢😢😢
@geraldndabemeye9459
5 жыл бұрын
dogo anafanana na baba yake . r.I.p luge
@paschalmashimba3584
4 жыл бұрын
Poleni sana
@veronicadickson1859
5 жыл бұрын
walimfaidi kipindi cha kumuguuza, daaa,rip ruge.
@khalidchengula5030
5 жыл бұрын
poleni sana
@ramadhansaidi6669
5 жыл бұрын
inauma Sana jamaniii
@mbogojaphet8713
5 жыл бұрын
So sad
@youngislah6048
5 жыл бұрын
msiba usikie tu kwa mwenzako usiombe ukukute Daah inauma sna munGu amlaze mahali pema peponi RuGe
@saumuhassan6365
5 жыл бұрын
Kwakweli inasikitisha sana
@azizarajabu3630
5 жыл бұрын
Ht mi kmniliza wallah
@merrykimario5073
4 жыл бұрын
Maa jabu yanchi
@ashamwandu3781
4 жыл бұрын
R I P.pumzika kwa amani.Raha ya milele umpe eebwana na mwanga wa milele umuangazie.apumzike kwa Aamani
@ninaclaudia1990
5 жыл бұрын
😢😢
@gggjjahhhh9419
5 жыл бұрын
Maskiin
@ashaathuman1472
4 жыл бұрын
Nenda salama kaka
@andreashayo6266
5 жыл бұрын
ruge tutakukumbuka daima r.i.p
@emanuelmatinde5350
4 жыл бұрын
Polen sana
@ugaboy4736
5 жыл бұрын
Kajitahidi saana kuisoma lisala mie nisingeweza
@zaujiaomary6713
5 жыл бұрын
😭😭😭
@yunisomary2102
4 жыл бұрын
Wachezaj wakifanya mazoez
@aloismwenda8975
5 жыл бұрын
Poleni, ushauri wangu mjitahidi kuexpose mambo mazuri akiwa yuko hai, naona kuna clips nzuri nyingi zinatiririka mtandaoni kumbe alikuwa kijana mzuri hivyo, poleni watz wote, Na familiya yake,
@adelinenziku6358
5 жыл бұрын
R.I.P rugee
@lubatikoseme1446
5 жыл бұрын
Sisi watz bwana.. mtoto analia hapo mbele hakuna hata anaewaza kwenda kumfariji pale juu na kumkumbatia kha
@kimarowitness7397
5 жыл бұрын
Mungu akutie nguvu
@chamvitv7027
4 жыл бұрын
Kwaya
@glorianikiza92
5 жыл бұрын
Unamufanana ruge
@mwaitukamwallah1300
5 жыл бұрын
Zikeni jamani mbona mwatukumbusha mbaliii.
@munnawwaryaqoob3414
5 жыл бұрын
Poleni familia so sad
@frankmkupala3197
5 жыл бұрын
Munnawwar Yaqoob amina
@ludacrissrangiyabank3737
5 жыл бұрын
Mbona wanawake wooooote weupe
@uhondotv2242
5 жыл бұрын
Doh
@thabitngangila8562
4 жыл бұрын
Amejitahidi
@zclassicfashionz1573
5 жыл бұрын
JASIRI MUONGOZA NJIA
@fazilidheba9201
5 жыл бұрын
Apumzike tu ka Amani
@husnauthman7609
5 жыл бұрын
Uridhi akili ya babaako
@ilovejesus9303
5 жыл бұрын
No way huyu ni mtoto wa Ruge? Kumbe alikuwa na mtoto mkubwa hivi? Wamefanana sana. Mie nawajua akina shubi na juju tu. RIP brother 🙏
@redvannytz1691
4 жыл бұрын
Nice😂
@raymondkaswaga8334
5 жыл бұрын
Unaesema ubaya wa Ruge kumbuka hakuwa Mungu....na ubaya wake haukufanyi wewe kuwa mwema au malaika...kila nafsi itaonja kifo
@teddymeela2791
5 жыл бұрын
Du its more than pain
@bjzee1981
5 жыл бұрын
Ndio mana mba ambiwa zisipite siku tatu kabla walio kosana hawaja ombana msamaha. Kwani hakuna ajuae ataondoka saa ngapi
@ifgodsayyes.nobodycansayno1796
5 жыл бұрын
UMEFANANA NA BABAKO SANA WEWE NDIO UTAM REPLACE REST IN PEACE.
@sponsor7882
5 жыл бұрын
FA MALE DAVERO, MA E LA VITA.RIP
@joycejaphet8882
5 жыл бұрын
Chukua mazuri aliyofanya Baba yako
@kingjuniorkingjunior
5 жыл бұрын
Kweli alichosema huyu kjn Ni Cha kweli na kinaumiza Sana haswa aliposema kwamba tusameheane
@christinemangati1865
5 жыл бұрын
The son, is a true copy of the original.
@salumissa1985
5 жыл бұрын
brother unapendwa na watu
@ilynpayne7491
5 жыл бұрын
Mtu anakufa watu wanalia akati mimi nkifa wanafurahi nyumbani kweli kuna familia zingine bora zisinge kuwepo
@nickalreadyknows
5 жыл бұрын
ilyn Payne mmh unapenda kutoa hukumu Eeh?
@abdulmakbulisunlies2504
5 жыл бұрын
Kila nafsi itaonja umauti mukumbuke hilo na humfaa marehem amali yake alicho wekeza ndicho atacho kikuta uko mbele ya haki tuombe tuliobakia khatma njema allah atuongoze kwenye njia ilionjooka na sio iliopinda ambayo njia ya shettan
@shwaibually4238
5 жыл бұрын
daaaaa inauma sana mngu amlaze mahali pema pepon amiin
Пікірлер: 150