nimefurahi sana kusikiliza raisi wangu akiwa na hamu ya kuibadilisha tanzania
@geraldnyasembe4214
3 жыл бұрын
Kwani jukumu la serekali sinikukarabati miundombinu iliyo haribika kwenye tetemeko na siyo kutumia michango iliyochangwa na nchi mbali mbali ipelekwe kwenye miundombinu ,,hata kama haitoshi wagawane jelo jelo hata kama ni kidogo na siyo kuibadilishia matumizi na wananchi wanafiki wanashangilia??!!!!!!!!
@ommysaphone2156
7 жыл бұрын
mungu akupe maisha marefu raisi yangu ninge furahi kama ungelikuwa raisi wa Tanzania milele kusiwe na uchaguzi
@danielmartinnapiya8802
7 жыл бұрын
Serikali ni wananchi,na yeye amechaguliwa na wananchi...kuwajengea nyumba waathirika ni jukumu la serikali...kubana kote matumizi na misaada toka Njesh bado hawezi kujenga nyumba ata 1000???
@karaoglan9444
2 жыл бұрын
Tulipigwa hapa!
@joashnyabange8830
7 жыл бұрын
Rais wetu hongera sana tunakupenda sana!
@MfarijiKibinga
8 ай бұрын
R.I.P JPM
@Swahili360
7 жыл бұрын
Ni fahari kuwa na Rais mwenye Utu, Uzalendo na Hofu ya Mungu .. Maisha marefu JPM
@rajabadam3692
2 жыл бұрын
Nyerere
@christianbandio376
3 жыл бұрын
Kwenye kuludisha shure serikalini safi kabisa
@hamidankata2590
7 жыл бұрын
JPM ni mtendaji na anataka kusema ukweli tu, hataki uongo! Mungu bariki Tz Mungu mbariki Rais wetu
@leehabari9834
7 жыл бұрын
Vema sana
@charlesmagindu3343
7 жыл бұрын
anatisha sana huyu mtu ni Wa kipekee
@ramawaziri3048
7 жыл бұрын
upo vizur mzee magu
@wilgismbunda5340
7 жыл бұрын
uko vizuri mh
@emmanuelwilliam7114
7 жыл бұрын
emmanuelwilliam
@evodbaliremwa4146
7 жыл бұрын
asanteh prsnt
@charlessilvester738
3 жыл бұрын
Tutakukumbuka San raid was wamu was
@rashidimatandayaabdalla4818
7 жыл бұрын
safi kabisa yote ni ya ukweli
@loveletlwakatare8878
7 жыл бұрын
kama Raisi wetu ni msema kweli, wacha na mimi niwe mkweli kwake ili niwe mpenzi wa Mungu. ni kweli anafanya kazi kubwa lakini anaifanyaje kazi hiyo? maneno yake yanafrustrate😤. analack udiplomasia. ni vema kusema ukweli lkn unausemaje? Ni vema wasaidizi wake wampe shoulder..wansaidie in the favour of our nation. la si hivyo we are loosing as a nation.
@athanaselisha1617
7 жыл бұрын
safi sana mjomba
@gilbertemmanuel6891
3 жыл бұрын
Mlikuwa mnamsifia ira msha nyooka na bado msipo fanya mabadiliko mkamchagua lissu
Пікірлер: 26