Inalilah wainailah rajuun 😢allha amrehemu mtume wetu salwale wasalamu yeye pamoja na bi khadija allha awarehemu inshaaaallha 🙏 ameeni thuma 🤲🤲🤲 ameeni allhau wakubaru 😢😢😢😢❤❤❤❤❤
@Fear_Allah394
Жыл бұрын
Maa shaa Allah! Bi Khadija alimpa utulivu Mtume wetu s.a.w kwa kua Mtume wetu s.a.w alikua ni muaminifu na mcha Mungu. Lkn hawa w’me wasiku hzi hawa wengi wao hawana uaminifu na hawana uchaMungu ile kukwera na wake zao hua km adhabu Allah amewapangia kwa dhulma zao. Mana mkewe akiwa na mali yote atamuhadaa amnyang’anye kitapeli akaiongezee wake astarehe nao.
@user-jk2hl1pr3f
Жыл бұрын
Mashaallah
@alinassormohamed8051
Жыл бұрын
Mbona unahukumu? Kwani wewe umekaa au umeolewa na wanaume wangapi hata ukawa unawazungumnzia wanaume wote....
@Fear_Allah394
Жыл бұрын
@@alinassormohamed8051. Unajua maana ya wengi wao au unajishtukia??? Km unajishtukia ndio uache hzo tabia nilozieleza na sio uone unahukumiwa. Hukmu utakwenda kuiona akhera kwenye moto na pepo na sio hapa unapozinduliwa.
@MnubiMm
Жыл бұрын
Wengi wetu ndio tabiaa zetu lakini wako wachache miongoni mwetu Allhamdulillah waaminifu wakweli watenda haki lakini hata nyie Wanawake wengi wenu MTIHANI wametufilisi na kuondoka na kusema siwezi kuishi na Mwanaume Masikini lakini yy ndio chanzo Cha umasikini
@Fear_Allah394
Жыл бұрын
@@MnubiMm. Kwa mlivyo siku hzi w’me wengi unakuta w’ke wanaokufilisini wengi wao hua ni wale mnaojifanya mnawaongeza au mnaowaoa kwa kuwaeka uhawara kabla. Lkn m’ke uloenda kumtolea posa kwao bila ya kupita nae uzinifuni si rahisi kukukimbia kwa unasikini wako. Unakuta m’me ana mke katulia halafu anakwenda kutafuta mke wa pili (lkn huyo wa pili huyo pengine alichompendea ni kubandika manywele, makucha, kujikwabua, kuvaa nguo zisizoeleweka nk. Ssa unategemea huyo m’ke akiingia hatokufilisi? Au ukifilisika hatokukimbia akaenda kutafuta wengine wenye pesa??? Na pengine unakuta kurumbembe hakuna asiemjua. Kwa hio mnawajua wake wakudumu nao na mnawajua wa kustarehe nao Ila mnajitoa fahamu kiasi yanakukuteni. Mana wakustarehe nae unakwenda kumuoa. Kwann hurafuti m’ke mwenye maadili anayejitambua kwenye mavazi mpaka mapambo???
@user-sm9xs6jg4u
Жыл бұрын
Mashaallah mungu akueke ili uzidi kutufundisha na mungu akujaalie janatul firdhaus
@ChilumbaAthumani
7 ай бұрын
Tunashukuru shekhe kwa mafundisho yako Mungu amekujaalia
@fatmafifi7909
Жыл бұрын
Maa shaa Allah, Allah atupe utulivu Kwa waume wetu, In shaa Allah
@badriasalem1976
Жыл бұрын
MashaAllah shukran sheikhna Mola akuzidishie eliminate na kipaji cha kuisambaza
@waheedaw1953
Жыл бұрын
ALLAHU AKBAR WALILLAHI L'HAMDU Sheikh wallahi tumefurahi sana ALLAH AKUPE UMRI WENYE AFYA INSHAALLAH YA RABBI ALLAHUMMA AMEEN
@nabiljumaothman5912
11 ай бұрын
Allah akulipe kheir Othman Maalim Nakupenda kwa ajili ya Allah ... natamani tufufuliwe pamoja na tupate kivuli na wewe .. natamani nawe unipende
@NyotaAisha-jg4pi
5 ай бұрын
Mashaallah Allah akujalie umri mref uzid kutuelimish
@salimmwakulo7279
Жыл бұрын
Mawaidha yaliyojaa ujmbe mzito maashaallah. Allah akuzidishie ilimu sheikh.
@asiamohd5516
Жыл бұрын
Alhamdullillah, mashaallah jazakallah kheri, Allah akuhifadhi.
@user-vw4mf3ks8e
Жыл бұрын
Sheikh maalim m mungu akupe umri mrefu,mawaidha yako kuntu
@halimahbwelele694
Жыл бұрын
MashaAllah ❤,ya Allah tujaliwe tuwe pamoja na kipenz chetu mtume wetu Muhammad S.A.W pepon🤲
@user-iq9mf4fv4n
10 ай бұрын
Amiin
@gakobwaadija7949
Жыл бұрын
Masha Allah sheikh umeni funza kitu nilikua sijui shukran
@user-tt6jt8pz5m
Жыл бұрын
Bi khadja kumbe ni mwanamke bora kulko wote mashalaah. Mpka jibril na ALLAH wamempa salaam. Hii ni kubwaaa😂❤❤❤shukran shekhe wetu. Mungu akujalie afya na siha inshallah uzidi kutuelimisha. Wanaume WA sku hizi kutwa ni kuoa tu. Mke mmoja hawamuezi vp wawil. Sisi wanawake wanatupa majaribu KENGE Hawa uadilifu HAWAJUI YANI acha tu
@ISSAIBRAHIM-fy8nn
Жыл бұрын
Mashaallah skeikh Allah akulipe kheri nyingi hapa duniani na akhera
@rayasaid7400
Жыл бұрын
Sheykh wangu Allah akupe umr wa kheyr
@jimjam-xg7rv
Жыл бұрын
MASHA ALLAH 💚💚💚💚
@mariamali1887
Жыл бұрын
MashaAllah mashaAllah Allah barik ❤
@SalmaMuhana-de9zc
Жыл бұрын
MashaAllah Ustadh othman maalim..
@mwanashaali1109
11 ай бұрын
Allahumma Barik fiii
@saidahmed9688
Жыл бұрын
Asante sheikh Othman maalim
@omanmct135
Жыл бұрын
Mashallllah mashalllah
@a.856
Жыл бұрын
Jazakallah khayran
@balkisamisi2131
Жыл бұрын
Allahuma sali ala Muhamadin wa ali Muhamad
@pachawadoto5911
Жыл бұрын
Swallah ghaleh wasallam.
@ashooraashoora1180
Жыл бұрын
Swallalah Allayhi Wasalam Jazzakumllah Khery
@salhamongi6469
6 ай бұрын
Allah wetu mlez awarehem bi khadija na mtume mohammad
@iboibo2989
Жыл бұрын
Allh Akibar❤
@alifaki4651
Жыл бұрын
Mashallah
@jumaomar8419
Жыл бұрын
Naomba notumiwe kisa cha Nabii Mussa na Hindhie
@Amina-rr8ve
8 ай бұрын
Bi khadija r.a
@AbbasAli-bo6bk
Жыл бұрын
❤❤❤
@fatumahassan3377
Жыл бұрын
MASHAALLAH. 😢
@fahimabeid6953
Жыл бұрын
Masha Allah❤
@FahadNassor
Жыл бұрын
Maashaallah
@SophiaRamadhani-xl6fu
Ай бұрын
Ishaalash
@tauhidakhamis1657
16 күн бұрын
Tabia njema tunajifunz kwak
@sophiaesmarcharo9775
3 ай бұрын
🌷🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@mussaathumani9814
Жыл бұрын
Shekhe je asiekua nauwezo wamali aruhusiw kuowa najee ikiwa anahamu zakimwili afanye nini tafadhar nijibu
@khadijamohamedy4492
Жыл бұрын
Fungamana na funga Kaka yng
@halimasalim3985
Жыл бұрын
Kama wamuogopa Allah jifunze kuepukana na matamanio maana ukiyaweka mbele ata wawili hutarithika kisha kuna masharti wafaa kutimiza ata kwa huyo mke moja.
@Mind_Tonic
Жыл бұрын
Kama unauwezo unaweza kuoa, na Kama huna bas unafaa kufunga, kwani swaum ni kinga.
Пікірлер: 55