Mashekhe wetu wanakashif mashekhe wenzao Allah akujaze kheri
@user-dn7gn6ib4k
Ай бұрын
My Allah protect you sheikh i like him❤❤❤❤
@haidanally5343
Ай бұрын
Kwakweli shekhe Malini Athumali nakukubali sana Mungu akupe Afya na maisha marefu na yasiodhiki ishalwah ili jamii izidi kunufaika na dawa
@user-cb1uq7vd7f
Ай бұрын
Kweli wengi wetu maigo ndio maisha Yao tujisitiri ajilia ya kutafuta kuridhiwa na Allah swt
@RonjoSalum
Ай бұрын
Masha Allah muungu akubarik shekh
@abdulhafidhali5614
Ай бұрын
Asalam Aleikum warahmatullah wabarakatuh MASHA ALLAH tabaraka rahman sheikh wetu mwenyezi mungu akuhifadh yaarab akupe zaid ya elmu ulopewa na ALLAH na sisi tufaidike
@user-fh7wu8vx1y
Ай бұрын
Ma shaallah shekh Allah akuhifadhi
@user-cb1uq7vd7f
Ай бұрын
Asalaam alaykum warahmatunillah taala wabarakat alhamdulillah Mashaa llah Allah swt akupe furaha daima na umri mrefu wenye heri Tuzidi kufurahia daawa
@BinTwahirinho-rw1nv
Ай бұрын
maashallah sheikh Othman maalim kwa elim unayotupa Allah akulipe kila lenye kheir hapa dunian na kesho akhera, ila kwa baadh ya mashekh wasiojitambua wao kila siku wapo kuwakosoa wenzao tuu, hali ya kua wao wenyew wana makosa, wanasahau ya kua hakuna mkamilifu zaid ya Allah pekee..
@KasalamaAlly
Ай бұрын
Maashaalla Allah akupe umri mrefu Aaamina
@issamushi6389
Ай бұрын
Allah akupe kila la kheri shekhe wetu
@user-rc7oi2hp8l
Ай бұрын
Shukran jazaka Llah kheir
@hamisiforo
Ай бұрын
Mashaallah
@hamisisalimu6908
Ай бұрын
Mashallah
@issamushi6389
Ай бұрын
Shekhe kama utaona ujumbe huu semea jambo la shekhe sule na mashekhe wanoamshambulia kwenye mitandao 13:16
@hamzakimaro3764
27 күн бұрын
acheni visa vya uwongo kwenye dini yetu,visa vizuri kutoka kwa mtume na maswahaba zake vimejaa ,hizo alfu lela ulela za nini othman?
@majorito-y9r
Ай бұрын
!!!!utumwa umekuta vp uislam wkt binam wakwanza Adam alikuwa Mwisilam kipindi duniani akuna kiumbe binadam ,ebu naomba uniweke sawa hapo
@yunussalim6577
Ай бұрын
Sheikh anakusudia kipindi cha Mtume (s.a.w). Mtume aliukuta utumwa na maovu mbali mbali kabla ya kupewa utume (zama za ujahilia) na kuanza kuhuisha uislamu katika zama zake. Na muislamu wa kwanza katika zama zake ni mkewe sayyidati Khadija akifuatia sayyidna Aliy bin Abu Talib na wengineo kwa mujibu wa tareikh ya kiislamu.
Пікірлер: 19