Mungu alinde safari zao awaondolee lile lisilo pando lake Mungu ! Wazalendo watetea wapenda haki wa watanganyika.✌✌🙏👊✌✌
@Dismasbccmiraclecenter-rv9qi
8 күн бұрын
Mwandishi makini be blessed
@user-pf2qk8fz9o
7 күн бұрын
Asante sana kakamkubwa kwa darasa huru la uchumi na siasa jinsi chama pendwa kinavyo piga hatua katika kuchukua DOLA 😊😊
@illomowerner7690
4 күн бұрын
Really user
@namsifubwana2152
7 күн бұрын
Asante sana kuunganisha hizi habari nyeti pamoja❤❤
@dismasmtui729
8 күн бұрын
Hongera sana kwa uchambuzi mzuri
@leocadianjau7410
8 күн бұрын
Mungu awabariki viongozi wetu hawa na wengine hakika wanafanya kazi kubwa sana inabidi tunahakikisha ngorongoro inafikiwa bila kujali chochote tusikubali kutishiwa ndani ya nchi yetu tungejiunga kundi kubwa tuingie hata kwa miguu
@simonnaivasha6393
7 күн бұрын
Hongera Sk media kwa tadhimini ya kina ya hotuba za viongozi wa mageuzi Tanzania.
@josephpila23
2 күн бұрын
Mungu naomba. Wape viongozi wa chadema maisha malefu
@gowekogoweko5803
7 күн бұрын
MBUNGE YUPO TAYARI KUPIGWA RISASI KWA AJILI YA WATU WAKE MAENDELEOO
@Emmanuel-bp7ir
8 күн бұрын
Kwa kweli ni hotuba inayoonyesha kwamba Chadema ina viongozi ambao wana uwezo wa kuongoza kwa maarifa na sio ubabaishaji tunaouna, think tanks zao ni kubwa missions and vision ni kwa ajili ya wananchi sio kwa ajili ya familia zao,
@BabuGga-td3mg
8 күн бұрын
Naomba ufafanuzi na issue ya MPINA, #SK media
@AnsbertNgurumo
8 күн бұрын
Sawa
@kashiririrkaasongwisye9487
5 күн бұрын
Yaa huu uchambuzi wa issue ya mpina nasubili kwa hamu sana@@AnsbertNgurumo
@desderiuskamugisha1102
8 күн бұрын
Sisi vijana tuamke tuache ujinga mkubwa wa kukumbatia ccm wanaotunyonya.
@msabahaali758
8 күн бұрын
kama Watanganyika wataamka kama wazanzibari mapema hawa tunawaondoa CCM
Wenye masikio na wasikie.Hivi CCM wamepatwa na nini jamani?? Rasilimali zetu zinaenda.. The future generations are doomed😢😢
@Dismasbccmiraclecenter-rv9qi
7 күн бұрын
@@adelinelyaruu3036 tukiendelea kumchekea huyu Mama atatuuza na sisi. 2025 tuamue hakuna cha mitano tena. Minne inatosha akalee wajukuu kizimkaz huko
@Zanijasy-hy7vm
7 күн бұрын
Vivaaaa!
@charlesshitobelo6870
7 күн бұрын
@@Dismasbccmiraclecenter-rv9qiSiyo tu minne imetosha bali minne imetuchosha. Mitano tena ndiyo kabisaaa hatutaruhusu. Mama akapumzike tu Kizimkazi. Imetosha.
@Dismasbccmiraclecenter-rv9qi
7 күн бұрын
@@charlesshitobelo6870 kwa kwel
@dribrahimmamboleo4435
2 күн бұрын
Kiongozi naomba ufanye utafiti juu ya sukari na haya ya mpina, bashe na spika🙏
@DanielLulyalya-gl2ro
8 күн бұрын
Ubalikiwe.mtumishi
@bukurunestory3540
6 күн бұрын
Kazi iendelee
@MageAwe-hl5zb
7 күн бұрын
Ee mungu tupe Raisi mzalendo mwenye uchungu na raslimali ya watanzania
@francisjohanes3027
7 күн бұрын
Umekuwa sehemu ya mabadiliko ya kisiasa katik nchi hii vitabu vya histora vitakukumbuka Mungu akubariki na hongera kwa utume
@cosmaswilliam3805
3 күн бұрын
Mungu ipiganie nchi yetu.
@muhamadsalim5295
8 күн бұрын
Nyinyi watanganyika wakati wanzanzibari tukidai haki yetu ndio namba moja ambao munatoa majeshi na kutuuwa kila kila kipindi Cha uchaguzi Kama laiti ingalikua muliamka mapema nchi hii haki ingalikua imeshapatikana zamani .
@gowekogoweko5803
7 күн бұрын
NDO MAANA TUNADAI KATIBA MPYA NDUGUU
@amosdickson6318
7 күн бұрын
Watanganyika wengi ni maboya. Labda tuone jana kama watakua
@MathewNathan-yb2bz
7 күн бұрын
Ni kweli kabisa.Roho ilikuwa inaniuma sana kipindi kile mkiuawa baharini mkipigania haki yenu ya kushinda uchaguzi
@kashiririrkaasongwisye9487
5 күн бұрын
Shida ya wazanzibari inaanzia hapo kuona tatizo ni watanganyika iyo sio kweli kwani ni bahadhi tu ambao wameungana kutoka huko na kule Tanganyika lakn mapinduzi ni ya huko viziwani kwani huo ndo msingi wa serikali chama tawala ni chenu kunajidhihilisha na jila lake linasadifu kwahiyo kichukueni nasi turudi kwa nuta
@richardmakweta8875
6 күн бұрын
Watanzania wacha Mungu naomba mkazane kuliombea Taifa hili la Tz na chama Cha CHA CHADEMA kwa sababu ndiyo pekee wanao tutetea watz
@MuhojaMalicho
7 күн бұрын
❤❤❤❤❤ asante sana
@petersenteu7252
4 күн бұрын
People power
@josephpila23
2 күн бұрын
Mungu.awalinde.chadema.
@MwajumaRajab-nj3nz
2 күн бұрын
Nakubali.sana.makamanda.wanqu
@safarisalehe7752
7 күн бұрын
Nikwel ushaur wangu tengenezen maandamano makubwa tuyaelekeze kwenda ngoro goro tukawakombowe
@user-md7sd3hk6l
5 күн бұрын
nawa kubali sana chadema
@barakamwasenga2143
8 күн бұрын
Viva chadema
@nanguniMtaita-hz4zt
6 күн бұрын
Ngurumo, tunakusubiri urudi, ila sio muda huu bado ajali za lisiasa kwa watu kama nyie ni kubwa. Tunafarijika kwa hoja zako.na mchanganuo maridhawa. Wafariji wasomaji waitambu Chadema kwamba ndicho chama makini kwasasa. Nami nikobioni kuunga juhudi zao.
@rastheunique
6 күн бұрын
This is very furious speech from Tundu Lissu! We should understand it and take it very serious 😠😠
@user-cw2nj4io3v
7 күн бұрын
Ukweli ulisemwa, labda tu asiyependa kuelewa kwa sababu tu wengi wanaburuzwa tu kama ng'ombe wanaopelekwa machungani!
@jacksonbalama5990
7 күн бұрын
Maneno mazuri sana nimeyasikia
@sagandamalechampullo659
6 күн бұрын
Kweli kabisa
@charlesmkony5453
8 күн бұрын
Viongozi ni watumishi wa watu, wakisahau, wakijifanya miungu ya watu kuna tatizo la kimsingi.
@MashakaMagesa
6 күн бұрын
Rip Jpm ndiyo alikuwa kiongozi mzalendo wa kweli
@samsonfulgence5553
3 күн бұрын
Mbona hakutuachia katiba nzuri? Mbona alituachia bunge na wabunge wa namna hii? Mbona wabunge walipigwa risasi?
@MageAwe-hl5zb
7 күн бұрын
Tanzania bara vijana hawaajiriwi ila zanzbar ajira ipo na watumishi wameongezewa mshahara tusemeje?
@MathewNathan-yb2bz
7 күн бұрын
Nchi yetu inahitaji mageuzi makubwa sana ili liwe taifa lenye mifumo imara,taifa linalofuata misingi ya utu,ubinadamu na haki.
@user-rn9og1rk3l
6 күн бұрын
Wanaongea watu wenye akili timilifu siyo mambwege kama yaliyo jazana bungeni kupiga d Shangwe
@atupegemwakahesya
7 күн бұрын
Kama kweli kinachoongelewa ndicho kinachoweza kufanyika, basi, nchi yetu itatufikisha mahali salama. Shida ni je, ni wangapi wanaofuatilia kauli mbali mbali za viongozi wetu?
@aminielkombe66
8 күн бұрын
Boya kabisa😂
@abdalahgunda1319
8 күн бұрын
Vary lntrest but painful explanation from tundundulisu consern ngorongoro ccm leadership refiuse tundundulisu talk to few Tanzania people in ngorongoro under ccm leadership of exelence president Samia sluu Hasan give ngorongoro to Arab lnvestor and chess Masai community on they land belong to life time history wich late julias kambarege Nyerere left power tundundulisu explanation tells Samia sluu Hasan stay in power for only two years but push Tanzania people outside of they land tutaongea luga tafouti hata km hamtaki ili hao wageni waelewe uchungu wa taifa letu hatutaki kuteswa hakuna nchi yoyote duniani lnanayoweza kuendelea kwa mkopa bila technology au kutumia rasilimali zake vizuri Botswana wanatucheka nchi unategemea ngombe na madini tuu wanaishi kukinga maji ya mvua mwaka Hadi mwaka wa mvua fikirini wenyewe tulivyonavyo nchini kwetu lakini nchi ya mateso.kwa wananchi wake km wafungwa ndani ya magereza wageni ndio wenye kuishi kifalme ktk taifa letu
@danielmakundi8927
8 күн бұрын
Nina wasiwasi Sana miaka 30 ijayo watoto wa kiarabu ambao watakuwa wamezaliwa Tanzania watasumbua Sana watoto wa Kitanzania kwa sababu Moja wataona maeneo ya ngorongoro.Kia. Bandari ni mali za baba zao .hii italeta shida kwa wajukuu zetu.ni vizuri tukawa makini zaidi kwa huu uwekezaji
@ChristmasMaheri
7 күн бұрын
Siyo vema na hatuwezi kutoa urithi wa watoto wetu,aliotupa Mungu kwa dhamana tuwape wageni na hasa waarabu ambao historia yetu na wao siyo ya uzuri kabisa.Waarabu wamemwaga damu nyingi sana katika ardhi hii wakati wa utumwa.Hawawezi kuaminiwa kurithi mali za watoto wetu.
Ngorngoro ni Mali ya wa zanzibari na wazanzibara na watanganyika? Je hwa waarabu wanfanya nini huko nchi yetu inanufaika nini?
@elibarikimollel7149
7 күн бұрын
Hilo ni jepesi kwao mķuu mara tu baada ya zoezi la uenguaji na mabomu ya polisi kupita, watawahamisha watendaji wote kutoka hapa kwenda kule kwa gharama zetu mh.Lissu
@MageAwe-hl5zb
7 күн бұрын
Pamoja hizo raslimali Nchi imetawaliwa Roho ya mikopo
@MathewNathan-yb2bz
7 күн бұрын
Hahahahahahahs😂😂
@omaryyusuph7877
7 күн бұрын
Imeishaa hiyo
@MageAwe-hl5zb
7 күн бұрын
Hatuwataki waarabu
@narcissusmakenge4710
7 күн бұрын
Huyu Mama ana nini na Dubai?
@King_Of_Everything
6 күн бұрын
👊✌️🇹🇿
@user-eo4bl3do8k
6 күн бұрын
NAKUWA NA WASIWASI WA NCHI YANGU PENDWA TANZANIA IKO SIKU KUTAKUWA NA MAREBELS KAMA VILE NCHI JIRANI YA CONGO ,KUTOKANA NA UTAWALA WA CCM,,CCM WANATAKIWA WAJITAFAKARI KWASABABU NCHI WANAIPELEKA KWA WAGENI NA KUWAACHA WATANZANIA KUWA MAFUKARA
@nabimanyafesto5014
6 күн бұрын
Ivi ngoja tuulizane wa Tanganyika; "hawa wabunge wa ccm na viongozi wa serikali pamoja na kupewa rushwa lakini wenyewe wanafurahia ndg zao wanyanyaswe?
@AnsbertNgurumo
6 күн бұрын
Ndiyo
@illomowerner7690
4 күн бұрын
@@AnsbertNgurumokabisa, wapo tayari tunyanyasike hata baada ya kunyang'anywa raslimali zetu, very much paining
@yordanyona1234
8 күн бұрын
Lisu ameanza kubadilika sasa ..naona anaanza kupangilia vitu
@corporatethugsent7380
7 күн бұрын
😅😅😅😅😂😂😂😂😂 acha pumba mwamba
@jacksonbalama5990
7 күн бұрын
Chadema naomba kama kunauwezekano wamsajiri mchezaji hatari hata kama alikosea ijapo nayeye anajuta alikosea Makonda uwezo anao na atakivusha chama
@AnsbertNgurumo
7 күн бұрын
Du! 🥶
@illomowerner7690
4 күн бұрын
@@AnsbertNgurumomakonda aivushe CHADEMA😲
@user-my7fj6wn7y
6 күн бұрын
Tuko nyuma yenu mzee
@gtvonlinemdee7001
7 күн бұрын
14,000,000😢😢😢
@gangmore9091
7 күн бұрын
Marahi pazitoo😅2025
@jumamchungu2326
8 күн бұрын
Wameanza vizuri
@Edwad-zg1yr
7 күн бұрын
WApe ukwel mwamba
@gowekogoweko5803
7 күн бұрын
NGORONGORO KUNA NINI?SWALI WATANZANIA WANATAKA KUJUA TU BAASI
@illomowerner7690
4 күн бұрын
Kabisa, we need to know, what's in Ngorongoro? Why there is selection for groups going to Ngorongoro, some are allowed(green) but others NO
@MrKhatibu
6 күн бұрын
Bandari ilianzishwa na Mwarab wa Zanzibar, mjifunze history ya nchi yako
@nabimanyafesto5014
6 күн бұрын
Kwahiyo?
@MrKhatibu
6 күн бұрын
@@nabimanyafesto5014 huwezi zungu zia history ya Dar bila kutaja utawala wa Sultan of Zanzibar. Asianzie kwa mjerumani 🤣🤣
@nabimanyafesto5014
6 күн бұрын
@@MrKhatibu sawa. Kwahiyo mtu akivamia aridhi yako akalima afu badae ukamuondoa kwasbb aridhi ni yakwako, baada ya kipindi flani anamuita unamrudishia lile shamba kwenye aridhi kisa ndo alilima kwa kukuvamia?
@user-si5rl7kc6c
8 күн бұрын
Hawana jipya wamevaa ngozi za kondoo
@Dd-mu4fj
7 күн бұрын
Uliwavika wewe? Hao upande wako wamejivika nini
@omaryyusuph7877
7 күн бұрын
Ccm wameshindwa kutuletea maendeleo kwenye hii nchi sio yakukopakopa 2025 mtajua tuu magufuri kashatusanua.
@nabimanyafesto5014
6 күн бұрын
Wenye jipya tuwapate wapi??
@illomowerner7690
4 күн бұрын
@@Dd-mu4fjbig comment commander, ur IQ sounds great, get blessed
@MageAwe-hl5zb
7 күн бұрын
Mungu awabariki jeshi la Polisi kwa kusimamia kwa usawa na haki
@emmanuelbwile1175
7 күн бұрын
Well Done Mr Ngurumo and the guest. Your analysis is always brilliant and to the point. I pray the analysis to reach to Tz populous. Hongera
Пікірлер: 97