ACHENI MCHEZO NA QURAANI ALLAH ATAWAPA MTIHANI HAMTASAHAU MNACHEKESHA WATU KUHUSU QURAANI. SHEKENI ADABU ZENU .NAMUOMBA ALLAH AWAANGAMIZE WOTE WANAOCHEZEA KITABU CHAKE
@idisaidi287
2 жыл бұрын
Acha kuwalani bali waombeye dua kwa ALLAH awaongoze
@edrisalusonge4141
Жыл бұрын
Washitqkiwe
@zidaneommie911
Жыл бұрын
Allah is the great, He is the creator of universe, He is beyond to human comprehension, Mungu ni mkubwa halinganishwi na na kiumbe chochote, tuyatamke maneno yake aliyotuteremshia kwa heshima na utulivu na si kuyafanyia mzaha, Wallah ogopa siku ambayo huyu uliemfanyia mzaha dunian ndie mfalme na Hakimu wa siku ngumu ya kuhesabiwa cku ya mateso.. May Allah grant us goodness and be among those have achieved your mercy on the day of judgement
@vibesonvibes9189
Жыл бұрын
I'm a Tanzanian🇹🇿but to the honest, online support for the Tanzanians from Kenya🇰🇪 massively
@mohdzotv2676
2 жыл бұрын
Innah Lillah Wainnah Illah Rajjiun wallah sijapanda Hata kidgo kuona maeneo matakatifu ya Allah yanachezea kizemba kama hvyo
@michaelthobias9967
2 жыл бұрын
Maigizo
@allykazoa8324
Жыл бұрын
Tofautisha Uhalisia na Maigizo
@aboubakariramadhani1121
Жыл бұрын
Ayo ni maigizo sio uwaĺisia
@ernesthenry9589
Жыл бұрын
Mungu anajipigania mwenyewe hahitaji msaada wa mwanadamu.. hayo maneno tu we usichokipenda kitu gani hapo?
Na Dua ya waislamu hatajwi Baba mungu. Kuweni makini
@hemednassor2362
2 жыл бұрын
STANLEY Swala haifungwi ivo inakua mkono wa kulia upo juu wa keshoto
@asclassic504
2 жыл бұрын
🙌🙌
@tungozamswahilijk4656
2 жыл бұрын
Ostaz usitoe mimba yangu
@MetrixJohn-cx5jb
9 ай бұрын
QUR -AN YA ALLAH HAICHEZEWI
@khubeybjandal7435
Жыл бұрын
Ole wenu, istihzai kweny dini jahannam inawaongoja!
@shadadiswalehe3997
2 жыл бұрын
Hawa wapumbafu wanachezea maneno ya ALLAAH
@jonathanmj9374
Жыл бұрын
Kitale wee noma bro
@SamirBSam
Жыл бұрын
🤣🤣😂😂isotope mimba yangu
@saidmzee8792
Жыл бұрын
Mazinge Mnazini
@TALLUBOY
2 жыл бұрын
duh umeuwa
@tungozamswahilijk4656
2 жыл бұрын
Ndo ya kajala na majizo
@INFANI-SPORT-TV
2 жыл бұрын
aaaaaaAcha😍
@KmHn-qq4gi
7 ай бұрын
Pore sana kitare nimwizi
@deegrotv3215
Жыл бұрын
Kitaleee Mtt wa Mjini hahahahhahahahahahja😭😭
@joshuaeliakimumadehwa8593
2 жыл бұрын
kariiiiiiiíi nakbar san blooooo
@neemazee1864
2 жыл бұрын
Sio bloooo ni broo
@NiyogushimaAudace-jk7nv
7 ай бұрын
Nakukubali kinyama aiseee
@deakins.z7793t
2 жыл бұрын
Hayupo 😂😂😂😂
@lazalonzo4607
2 жыл бұрын
Kitale noma wallahi 🤣🤣🤣🤣🤣
@jislinmbilizi111
Жыл бұрын
Hi
@SAyosk98
2 жыл бұрын
Eti Bwana Afande🤣🤣
@Cambarada
2 жыл бұрын
Hiiiiii kasoma Tabatiada kweli😂😂😂
@salumhamisi6401
Жыл бұрын
Yaarabi wasamehe kwakuzitumia ayazako vibaya
@princemeddy5514
2 жыл бұрын
Aisee kitale katisha😀😀😀😀😀😀
@berrymshana4686
2 жыл бұрын
Naaam😁😁😁😁😁😁
@TLANDA_BG_93
2 жыл бұрын
Aminaa😂
@tixboymusiciantz
2 жыл бұрын
Umekosea Sana
@jamalmohamed3400
Жыл бұрын
Hap.ndugu mumeanguka....hii sio sawa ...kuafnya mzaha na Quran sio sawa
@almas_boy
Жыл бұрын
Cool
@fathimamct232
2 жыл бұрын
Shekhe kakutana na jini linalojuwa kisomo😂😂😂😂😂
@SAyosk98
2 жыл бұрын
Amina🤣🙏🙌
@magerechales9018
2 жыл бұрын
😂😂😂bhagosha kaji gashii
@lumistarboy8499
Жыл бұрын
Mweu kweli kitalee
@jumantakebuka
2 жыл бұрын
Allah atawalipa mnachostahiki
@chrissjoel7752
Жыл бұрын
Unawaombea mabaya
@mohammedmahamud9060
Жыл бұрын
Maneno ya mwenyezi mungu hayachezewi jamani ombeni msamaha kwa aliyewaumba
@adammgana3633
Жыл бұрын
Igizo zuri lakin msiichezee qur an kwan ni kitab kitaka tifu kuna watu walitolewa main kwa sabab ya quran ,kuna wat walipoteza meno sababu ya quran mtume mwenyewe pia mfano mzuri sasa mm na wewe tunapokuwa twaichezea inakuwa siyo vizuri Kwenye maisha haya hakuna mkamilifu tutubie kwake kwa Allah maadam tupo hai atapokea toba zetu
@coastermahenge8910
2 жыл бұрын
Kitale wewe nomaaaaaa
@rashidalmas3151
Жыл бұрын
Vizur San kitareee
@juliusgodfrey9820
Жыл бұрын
Kitale kuna movies yako natfta siioni
@rehanijuma1421
2 жыл бұрын
Kitale kisha staafiru pia usirudie tena kutumia kuurani illa nimeipenda shoo yako noma unatisha ustazi kajikata fasta 😁👍pia kumbe muislam mzuri tuu dini unaijuwa sheh wangu leo mimecheka sana wewe noma broo
@ndayisengaeddy2620
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣kitale shida kbs
@zubeirmuhammad3024
Жыл бұрын
Unamkuta huyu nae Kuna wakati anajinadi na kujifaharisha kua ni muislam Akisahau kua waislam wakweli hua na heshima na adabu na mambo ya muumba (mungu) ikiwemo maneno yake (Qur an) Waislam tubadilike kwan mpaka yafanyiwe mzaha mambo ya dini ndio watu watacheka? Tubadilike Mimi Wewe Yeye Wote kwa ujumla Tuache kufanya mambo ya ki Iman Sehemu ambapo hayastahili kuwepo Ahsante .
Пікірлер: 275