Kuna watu hapa duniani wanaishi kama wako peponi Ya Rabbi tujaalie na sisi Maisha mazuri yenye furaha🤲
@hejmabohejhej9
21 күн бұрын
Ameen
@Elybwayz
21 күн бұрын
🙏🏿
@hatibumohamedi3471
20 күн бұрын
maisha ya kesho Akhera ni bora kuliko maisha haya ya mwanzo
@hamzaibrahimu
20 күн бұрын
@@hatibumohamedi3471 kweli ndugu Mungu atujaalie Mwisho mwema 🤲
@hatibumohamedi3471
20 күн бұрын
@@hamzaibrahimu Amiin
@andrewkaswagula3367
21 күн бұрын
Mimi ukweli Mungu akinijaalia uwezo wa kipesa na kunijaalia uhai mpaka nafunga harusi yangu. Watu maarufu ninao tamani wafike kwenye harusi yangu ni Mchezaji wa Basketball wa Kike wa Marekani ANGEL REESE na Mchezaji Tenisi wa kike wa urusi MARIA SHARAPOVA. Nawapenda sana yani ❤
@TahilaRamadhan-hz3pd
21 күн бұрын
Wenzenu wanakufa njaa huko india nyie mnaharibu helatuu
@beatricejohn1659
3 күн бұрын
Sasa hayo ndio maisha tunatakiwa kila mmoja aishi hapa duniani haya mfuateni LoveGod awaunganishe to the real world ❤❤❤❤ kuogopa kwako ndio umasikini wako.Matajiri wanakula na matajiri wenzao.
@AbshirMubaarack
21 күн бұрын
Waache wafanye hvy,maana "hawana pa kuzipeleka hizo hela"
@emmanuelmchomvu2676
21 күн бұрын
Allah akiwa katkat yetu inatoshaa
@Elybwayz
21 күн бұрын
🙏🏿 kabisaaaa
@hamzaibrahimu
20 күн бұрын
@@emmanuelmchomvu2676 Swadaqta 👍
@beatricejohn1659
3 күн бұрын
Shida ni kwamba Wahindi ndio wanaongoza kwa kuachana.Nimefurahi kuhudhuria atleast nikawaona ma celebrates wakubwa🎉🎉🎉🎉❤
@LizenMaker
21 күн бұрын
Wakati huku kutoa maali hata laki mbili zimetushinda , tunapitia madirishani kuoa
@user-wf6jo2dh1h
16 күн бұрын
Uyo mume sasa😂😂
@user-hb7mq8lg9e
20 күн бұрын
Muwasaidie Wahind Wenzenu Wanaolala Nje..😂😂😂😂
@hassanjuamchipua9384
20 күн бұрын
Mama samia
@user-kj2sw1gg2r
22 күн бұрын
❤❤❤❤
@Jackilinedanielikilika
19 күн бұрын
mimi natamani san mungu akaonekane katika kwenye ndoa yangu
@geofreybarama4000
17 күн бұрын
Mzee Ambani kamfanyia sherehe Mwanae kwa sababu maalum I think Kamua mumfuraisha Dogo but.....
@fbr5113
7 күн бұрын
KUFURU SANA HII KUNA SIKU HUYU ATAFILISIKA NA HATAAMINI WAKATI KUNA WAHINDI KIBAO HUKO INDIA NIMASIKINI WAKUTUPA WANALALAA NJE MADUKANI USIKU YAKIFUNGWA NA WENGINE WANISHI NYUMBA ZA MANAILONI CHAKAVU
@remidusmwanandenje-yy5gs
21 күн бұрын
Duuu 🎎🎎🎎🙏🙏🙏🙏🙌🙌🙌🙌🤲🤲🤲🤲🤲
@kimwinyikmy
21 күн бұрын
Mm nataka aje Michael Jackson na 2pac😂😂
@Chettymlambalipsi-lb9km
22 күн бұрын
khaa nimemvulia nguo huyo tajiri😂😂
@michaelsamson9663
22 күн бұрын
Dunia inamambo utajili ulio kithir
@berry4726
20 күн бұрын
Hamna kitu hapo wanavijisenti tu hao.
@salma-fc4xc
12 күн бұрын
Acha uongo😂😂😂@@berry4726
@ShabiruMsabaha-c1l
20 күн бұрын
Miaka 29 kama hiyo kuna jambo ......... Ins
@berry4726
20 күн бұрын
Hamna pesa hapo wanavijisenti tu hao.
@shafiiramadhani
22 күн бұрын
Ambao mume alikwa na hatadhuria naombeni Link zenu maana mimi naenda kutumbukiza komasava live
@samiraabdimahamed4449
21 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂
@ClassicUsed-jg6ri
22 күн бұрын
Nilikua huko harusi ilikua bomba sana
@devisshirima6780
22 күн бұрын
Safi sana ulikuwa kiroho ila kimwili upo bongo unafukuza nzi 😂😂😂😂
@user-vy2bc6xg3i
22 күн бұрын
@@devisshirima6780 india mbona kama ubungo tu pesa yk tu unapaa. Inawezekana alikuwepo huko
Пікірлер: 54