Ila hujui bwana mnazingua na mnakurupuka kufanya mavideo yenu, unapomtaja mtu na mwenzake weka picha zao unganisha kwa pamoja halafu uweke Kila mtu akiwa peke yake lkn unaongea mpaka tunasahau nani unamtaja ndio unaleta picha hamueleweki jipangeni hivyo vipengele nilivyovutaja msivione vidogo vina nafasi yake katika kumvutia mtazamaji
@danciledeciella6442
2 жыл бұрын
Kabisa
@THETHIRDTV_
2 жыл бұрын
Asante kwa maoni yako..tunalifanyia kazi
@tanaboymbabe7935
2 жыл бұрын
Kapipo na Abbah sio baba mmoja wala mama mmoja ni mtoto wa shangaz yke Abbah mdogo ake finnah na kaka ake ni Jaiva real name Seba wakaz wa mburahat barafu mtaa wa mashineni kwa mwarabu muulize Abbah alafu mwambie tana boy ndio kakupa taarifa izi
@hhbb6142
2 жыл бұрын
Eeeh umeongea
@husseinndondole2061
2 жыл бұрын
Tin white na mavoko ni ndugu, ila dokii ni ndugu yake mavoko bhac au vp hapo imekaaje
@abdulrahmantv7164
7 ай бұрын
Sio Haba ni Abaa
@BoniphaceKanuda
4 ай бұрын
Waelekeze hahaha
@YoungSule-m2h
8 ай бұрын
Mavoko.tin.pamoјa na dokiii nikwrl ndugu watu wa morogoro
@youngblack6917
2 жыл бұрын
Kumbe Alikiba na abdkiba sio mastar au sio ndugu?
@gladnesskawanga1127
2 жыл бұрын
Hao wapo wazi kbsa
@nola9334
2 жыл бұрын
Uwiiii una Akili kaa mchwa 👏✌️
@dunkchainz7237
2 жыл бұрын
Hao kila mtu anafahamu
@dieumercifataki-nl9wo
3 ай бұрын
Shida Yako unaongea mambo mingi mupaka sielewi kitu chochote 😅Sasa Irène Na Elizabeth lulu na wema sepetu wanausikianaje nahilii
@DavidHitra-g5f
2 ай бұрын
Wabongo bwana bora huo mda ungeenda shambani kulima
@jassonkyaruziwilliam5372
9 ай бұрын
Punguza maneno mengi. Taja majina na picha zao. Unakalia story tu.
@aishafrancis7714
5 ай бұрын
Umemsahau baba revo na mwijaku😂😂
@AminaRashidi-gh8kc
14 күн бұрын
@@aishafrancis7714 kabisaaa🤣🤣🤣🤣
@adejoahjoah9155
2 жыл бұрын
Vanessa na mdogo ake tunajuwa kitambo
@hamsolexhamso2458
2 жыл бұрын
Unaongea sana bana jaribu kufupisha maneno unakera
@momademussa6583
2 жыл бұрын
Hili Iwe Vizuri Ungetuambia Undugu Niwa Vip Na Sio Story Book
@yasminoluoch169
2 жыл бұрын
Sasa si yuwakuambia ndugu tumbo moja😅😅
@MomadeMohammed
8 ай бұрын
Tin White Mavoko Na Dokii Ni Ndugu Wadamu Kabisa
@sinzoyihebabonuer9554
2 жыл бұрын
Nikweli kabisa.kusema tin white na mavoko.nakubali sababu wanafanana sana kabisa
@gaudensiamapunda9886
2 жыл бұрын
Bora umetuambia tucje kuchanganya Damu😅😅
@janneykennedy4787
2 жыл бұрын
Acha kuongea san bwana mpk tunasahau😏😏
@tzatza255
2 жыл бұрын
Mzee Fanya Research vzuri, D.Ommy ni Daudi Omary na ni mtu wa Arusha then Lil Ommy ni Omary Tambwe na n mtu wa Tabora....siyo ndugu kabisa.
@mwanahella9650
2 жыл бұрын
Nimeisikia hii kanichosha hata kuendelea kusikiliza nonsense
@richardtimoth7865
8 ай бұрын
Uko sahihi lil omy ni Mtu wa Mboka
@starbusinesslikondo1833
8 ай бұрын
Amepuyanga
@jayvannyclassic191
8 ай бұрын
😂😂😂duuuh huyu jamaa katucheza
@Nakomotosimfukwe
8 ай бұрын
Daud omary tambwe
@AjeiJosefu
29 күн бұрын
Niuongo tu
@Mamsocom
2 жыл бұрын
Umesahau mavoko, tin white na dada yao
@ShabaniKwambiana
8 ай бұрын
🎉Muongo ww unazngua aba na kapipo ni mtoto wa shangaz na mjomba aba ndug yake wa damu ni jaiva au Sebastian tena seba ndo wakwanza kuzaliwa aba wa pili watatu fina bhas familia yao ni yenye watoto watatu2 mmoja mwanamke kama vtu uvijui uliza usitudanganye wakat cc ao tunaish nao mtaani na tunawajua vzli
@MalijitiMjami
2 күн бұрын
Tammi na mbossooo 2nawazungumziaje aaah acheni ubaguzii jaman I wapeni nafasi basiiii🙄🙄🤔🤔😞😞
@piusalexander4322
2 жыл бұрын
Mtangazaji unazingua double ni msanii wa lege fuatilia bhana acha use..
@SoudShuraim
4 ай бұрын
Nandy na billnass umewasahau
@MusaHorota
8 ай бұрын
Lil ommy mdogo wake na dj Kally wa voice of tabora
@MalijitiMjami
2 күн бұрын
Mmmmhh kwani alikiba na abdukiba so ndugu 😫😫😫
@100Hundredmiles
2 жыл бұрын
SIO HABA NI ABA
@salamaksrisa9580
2 жыл бұрын
Tin white hio ni kweli lkn hizi zengine
@adriandaniel8304
2 жыл бұрын
Sio HABA bro ni ABA..
@KhojaNasri
2 жыл бұрын
Queen na Mondi
@Dymitri-Babushka.
8 ай бұрын
Makonda na mwijaku ni mtu na mdogo wake 😂
@Noreenmtui
23 күн бұрын
Ongea haraka mb zetu zinakazi nyingi😡
@IsabellEdward-jo8qm
6 ай бұрын
Hello nahitaji namba wa dereva Uganda to Tanzania
@SalmaOmari-rl2op
4 ай бұрын
Unyama
@yasminoluoch169
2 жыл бұрын
Tini na mavoko nilisoma nao ilala kasulu mama yao ni mwl Martin mwalimu wa stadi za kazi mkali sana alikuwa huyu mwalimu..mavoko ni mother's boy...
@zenahussein3840
2 жыл бұрын
Wee na mimi nimesoma ilala kasulu mwalimi martn namjua anapenda kupiga fimbo za kiuno huyoo
@zenasalum2231
5 ай бұрын
Mlisona mwaka gani kama namkumbuka huyo nwalimu
@CapitalMafionzo
4 ай бұрын
He na mie nimesoma ilala kasulu namkumbuka mwalimu kipesile mwalimu buzuka mwalimu faru jmn long time 😂😂
@KatotooKavishe-bw6tq
6 күн бұрын
ALI KIBA NA ABDU KIBA umewasahau
@tumimushi7245
2 жыл бұрын
Siyo Habba bwana, Ni Abba. Matamshi zingatia
@jojanes8477
7 ай бұрын
Elimu ndugu c kosa lake
@evangelistmcsarahmvungi3626
2 жыл бұрын
Flora mvungi na Sarah mvungi aka hanny wasanii wa maigizo na mziki
@jdeoffspliny2594
5 ай бұрын
Mbona belle 9 na bright ujawataja
@hashimupangani2093
9 ай бұрын
Fanya malekebisho kisha muhirudie tena hii video kwa sasa Mmezingua.. Picha amjazipangilia vizuri, Maneno mengi kuliko dhumuni, Taarifa zako hazipo sahihi kwa baadhi ya ma-star
@don_dallartz
2 жыл бұрын
Dabo ni msanii wa Reggae mzee👊
@ledasultan9098
2 жыл бұрын
Idirs na Lulu baba zao Ni tumbo moja
@RooneyRooneyRobison-z8i
25 күн бұрын
Una uwakika gani babu au unabahatixha tu ongea vitu vya maana bwana
@lizydazzler386
18 күн бұрын
Mbn dabo na jaydee washawahi fanya kaz pmj sema jmaa sio mkaaji san tz
Unazingua kwa Vanessa wako watatu mbona Nancy ujamtaja??
@suleimanjuly1396
2 жыл бұрын
Nancy hajulikani anazingua nin zaid ya wao kumtaja ndugu zake ungemjua huyo nancy
@neymichael1792
8 ай бұрын
Nancy sumali ndugu yake ni nakaaya sumali. Siyo Vanessa
@NaiIshumaeli
5 ай бұрын
Nancy sumar mmeru Vanessa mopare wapi na wapi
@AllyAlly99-o5d
2 ай бұрын
ndo mnanisanua hivy sijawahi hata kufikiria undugu wa lulu diva
@SelemaniSilima-hd7km
Ай бұрын
muongo z Antony na jay melody hawana udugu kabisa
@fridamusa8152
2 жыл бұрын
Nice
@MartinMaxmilian
4 ай бұрын
Oya abbah ni ndg wa jaivah
@rashidhussein3711
2 жыл бұрын
Unakurupuka tu
@KhojaNasri
2 жыл бұрын
Ali,Abdul kiba
@kanikionlineTV
2 жыл бұрын
kzitem.info/news/bejne/la-PmYiKbHeHrIY taarifa iliyotufikia hivi karibuni ni kuhusu msemaji mpya wa yanga sc , Alikamwe
@DaudSaidy
3 ай бұрын
Muongo bana jmelod alisema wala si ndugu
@AdolfMichael-v8d
Ай бұрын
Kalimeee bro* huna jipya kbxxx
@OctavianEvans-m6v
Ай бұрын
Yanawahusu nin kama auto umbeya
@muhibusaid3427
Жыл бұрын
Kwani tin whit ana semaje
@imanimahuwi28
2 жыл бұрын
Basi baadaee
@SadamuAhmad
23 күн бұрын
Z Anto na Jay melody..,......
@VumiliaManyerere
4 ай бұрын
Inafurahisha
@gwamakajasson
7 ай бұрын
Lilommy na dommy so ndugu bana majina yao tu umekosea
@GodenJohn
4 ай бұрын
Umeambiwa master ambao hawapendi kujiweka hazalan kama wao ni ndug
@Malangalusaede
2 ай бұрын
Naoba like or 💯
@philismbuluma5461
2 жыл бұрын
Lil ommy na do ommy Ni uongo100%
@shabbyofficial_
2 жыл бұрын
😂 😂 😂
@kingshata6370
2 жыл бұрын
Sasa unabisha nn na mama yao namjua
@abdillahhassani1121
2 жыл бұрын
Uongo
@DuLLAWAZIRI
8 ай бұрын
@@abdillahhassani1121 ni ndugu wa damu kabisa usibishe
@AzizFarid-g1c
8 ай бұрын
Acha ufala ww z anto na jay melody wapinawap
@SophiaKabika-yo8qh
7 ай бұрын
Acha ubishii huon wanafanana
@GeeGervass
5 ай бұрын
Abba na jaiva ni baba na mama mmoja acha ujinga
@SoudShuraim
4 ай бұрын
ALI KIBA NA ABDUL KIBA HUJAWQTAJA
@minskbelarus7255
2 жыл бұрын
Umemsahau HARMONIZE na HARMORAPPA
@janneykennedy4787
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@sheikhasaidrashid9513
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 jamn nom san
@IddyAbdul-gw2ju
Жыл бұрын
Iddy abdul
@justinmkawa4552
4 ай бұрын
Abbah au haba?😂😂
@adejoahjoah9155
2 жыл бұрын
Na wolper kafata nini hapo au ili tuingie tu sijaskia za wolper
@evegirl2868
2 жыл бұрын
Mwanzo mi nimeclick ndio nione wolper na wema sepetu madugu zao ni akina nani
@salhawaziri1668
4 ай бұрын
Tatizo unaongea sana
@lindachilewachilewa7680
2 жыл бұрын
dabo anafanya hiphop_......khaa achen hizooo
@tanzaniasociallightfoundat9053
4 ай бұрын
BADO ALIKEYIOO na ABDUKEY
@KupasachoBakili
3 күн бұрын
🎉🎉🎉🎉
@mr.romancer9160
2 жыл бұрын
Rich Mavoko na Tin White???🙄
@veronicamangwela9665
2 жыл бұрын
Ni kweli ni ndugu kabisa pamoja na dokii. Me nawafahamu mpaka familia Yao pale kilosa kimamba
@emerencesifa2227
2 жыл бұрын
Niukweli mtupu
@OfficialA83640
2 жыл бұрын
@@veronicamangwela9665 Dokii ni binamu yao sio baba mmoja mama mmoja. Mtoto wa Rich Mavoko kapewa jina la baba yake Dokie
@veronicamangwela9665
2 жыл бұрын
@@OfficialA83640 najua Ila ni ndugu kwani binamu sio ndugu!!!!
@AzizFarid-g1c
8 ай бұрын
Dokii na mavokoo wapiwapina wapi duh miyayusho boya ww dokii kwao morogoro na ndugu zake nafanya nao kazi
@timothmwakakusyu4563
8 ай бұрын
Ni ndugu hao mfuatilie doki wakt anasimamia haki za mavoko WCB
@emmaonalloh5515
6 ай бұрын
Ni ndungu dokii na mavoko
@BonitatemBonitate
5 ай бұрын
Huwezi kumjua mtu kuliko anavyojijua hata siku Moja,ivyo acheni kujifanya mnajua sana family za watu kuliko wanavyojijua wenyewe,kwani wewe kufanya kazi na ndugu zake dokii ndo sababu yakujua kila kitu kuhusu yeye?
@SadamuAhmad
23 күн бұрын
Wew ndg yak nan
@rosemaryrwabibi5908
2 жыл бұрын
Z Antony na j meledy wanafanana sana
@salimsibabu9027
8 ай бұрын
Kuna wengi hujataja km Ali kiba na Abdul kiba
@shyllahnekesa216
2 жыл бұрын
Mavoko Tini na Dokii
@DuLLAWAZIRI
8 ай бұрын
Mavoko na Tin ni ndugu wa damu Dokii ni wa shangazi yao
@TEDY-MTEMY24
27 күн бұрын
@@DuLLAWAZIRI na chino jee
@SikudaiMwaibambe-jr7bo
8 ай бұрын
Sawa
@Salmanunique-bf9rj
5 ай бұрын
Aje kwang
@nicecosmas
6 ай бұрын
rich mavoko na tin white
@shabanijarufu7044
2 жыл бұрын
Wrong nyinyi
@dj06tz06
2 жыл бұрын
Z anto umedanganya z anto ni mmakonde wa pwani pale mkindan ndipo kwao nawajuwa vizur famil yao
@shabbyofficial_
2 жыл бұрын
😂 😂 😂
@lamk-lt6dp
2 жыл бұрын
Tena katupiga haswa huyo z anto walikuwa wanaishi pale kigamboni machava nyuma ya shule ya msingi ya rahaleo asitudanganye hapa
@sirajiabdallah6824
2 жыл бұрын
kaka kwel mikindani pale mvita
@LeahMsindai
6 ай бұрын
Duuuh makubwa
@starsmarttv2831
8 ай бұрын
😢😂😂
@khamisramadhan686
9 ай бұрын
Mmmmmmmmmh umetupiga🤨🤨
@starsmarttv2831
8 ай бұрын
😢😂😂
@exaverymasinga3097
2 жыл бұрын
Lady jeydee na wakazi na sio dabo mbuzi wee!
@maryamtan682
2 жыл бұрын
Hpn wakazi Ana undugu na komando jeed, lla ni kweri Dabo na jeed ni ndugu wa dm, mm na bb.
@eliazebedayo1802
2 жыл бұрын
Ipo ivyo,Wote lady jaydee-Dabo na wakazi ni ndugu wa damu!!
@markdevi2051
2 жыл бұрын
Dabo ,wakaz na jde ni nduguuu
@DuLLAWAZIRI
8 ай бұрын
@@maryamtan682wakazi na jdee ni wa baba mkubwa na mdogo Baba yao mwingine ni mzee wasira Na lulu diva na idriss baba zao ndugu
@maryamtan682
8 ай бұрын
Weee kweri kinyesi, kwani mara ngapi db akiulizwa kuhusu dd ake kumsaidia kwenye mziki wk, alafu wee fala kaa ulijua db na jide ni ndugu tn wa dm moja, jd mkubwa db ni mtt wa mwisho, mitandao umeijua Leo wewe sijui umechelewa wp.
@Whitegsm
2 жыл бұрын
Sio kweli zuchu kwao ndio wa mwisho kaka yao wa mwanzo anaitwa ismail wapili prince na watatu zuchu
@aminakassim7486
2 жыл бұрын
Wa kwanza Omary Kopa Marehemu, Zuchu ni wa nne
@yvonnejoshuan8378
2 жыл бұрын
@@aminakassim7486 ndio
@godsonkarengi2365
6 ай бұрын
😂😂😂
@FadyManywele
7 ай бұрын
Mmmmh
@doublevwilondja668
2 жыл бұрын
Ujitaidi kuwa unatajakwaho kwa asili
@zeddyislam9175
2 жыл бұрын
Aaaa🤗 Z Anton na Jay Melody👌
@manyaraboy
2 жыл бұрын
Makonde na mdodoma wap na wap sielew
@asiamalikita3491
2 жыл бұрын
Nan mmakonde hapo
@umojamedia4167
8 ай бұрын
@@asiamalikita3491 z anto
@MwonekanoTv
11 ай бұрын
Kuhusu z anto na jaymelody nakataa
@RehemaJoseph-ru8kw
8 ай бұрын
Nikweli ni ndugu wa damu j melody na zed antony
@mussaabdallah7451
2 жыл бұрын
Xaxa kama hawataki kuxema kweli huo niuxhamba
@edwardtrigga5701
2 жыл бұрын
Ni ushamba kama wewe mwanaume mzima badala ya kuandika Sasa unaandika xaxa
Пікірлер: 243