Omar..omeonaeee.. nakukunda na kabada sijui kachanganya na kisambaa
@msafirifabian2143
4 жыл бұрын
Peke ako tu
@tolumnyama3935
4 жыл бұрын
Yani kwa kweli binadamu cjui tupo vp yani. Joti amefanya kazi nzuri kweli lakin kuna some people wame dislike halafu ndio kila cku wanasumbua kwa waganga na manabii waombewe Etty wafanikiwe amini nakuambia wewe mwenye tabia za kudslike amni hata ukifungua biashara yako hakuna atakaye I like ng'ooo mzee..!!
@zachywilliams7844
5 жыл бұрын
Kunywa soda ndo mwanzo Wa kunywa bia 😂😂😂😂 ubarikiwe joti 🙏
@fadhilimagambo9110
5 жыл бұрын
Kunywa soda ni dalili za kunywa bia hahahahahahaha noma sanaaaa....
Hahahahaha kweli mzee na wew uko makini kama mm.!!
@mathewgasparrimoy4437
5 жыл бұрын
Dah sauti iko chn Sana yan badala yakuangali naweka sikion
@hisanmwakijungu10
5 жыл бұрын
Juma Kimwaga Juma cm yako itakua mbovu,,, hahahaha au unatumia itel
@hisanmwakijungu10
4 жыл бұрын
Hahaha unatumia tecno m3 Huhuhuhuhu
@sammyaron3818
5 жыл бұрын
Hahah et hata nususaa haijaisha ameanza zarau
@husenh6107
5 жыл бұрын
Naunga mnavuta nyinyi gonga like
@young9669
5 жыл бұрын
That was so nice comedy joti
@chrismnicko9430
5 жыл бұрын
Good
@Joyce-qf5px
11 ай бұрын
Huyu sio Muha kweliii😅😅😅😂
@dominacassian7060
4 жыл бұрын
nawapenda nyie mnanifurahisha kabisa ni ko RWANDA NAWAFUATA SANA. mko creative sana
@Omary_Mjema
5 жыл бұрын
Wenye Samsung S9 Zetu Sauti zote mpk Zinamwagika kwa Kujaaaa Fundi speaker kuja kwenye Comment Uchukue kazi Za Speaker mbovu ZetU
@maryamammar1702
5 жыл бұрын
Hasantee leo mmeongea lugha yangu kirundi hasantee team fisi 😍😍😍😍😘♥
@datiusdidace2173
5 жыл бұрын
Hiii sio Kali #JOTI Vp Leo jamn Sauti yenyewe haisikiki daah.
@athumanimtajih
5 жыл бұрын
Ukichoka Sana Rudi kwa blenda fasyyy😃😃😃😃😃
@mwanamisaomar346
5 жыл бұрын
Hahahaha..kumbe ndokutoka uko mbona rahisi😆😆😆
@stevenruhunga3677
2 жыл бұрын
Kirundi changu hahahaha upetisha sana
@theodoramayunga1945
5 жыл бұрын
Sauti iko chini saana....ila dah! Siku yangu imeanza poa kwa kicheko
@udakuudakutv7176
5 жыл бұрын
Sim yako mbov
@MJINJATV
5 жыл бұрын
haha joti noma gonga like kama unamkubali joti..
@mossesmatechi9022
5 жыл бұрын
Hahahahah ukinywa Soda ndo mwanzo wakunywa BIA hata soda ucnywe kunywa maji tuu
@petermelkiony679
5 жыл бұрын
😀😁😁😁😁😁😁Mbona mmenisukuma jamn.
@asiazuberi9722
5 жыл бұрын
😂😂😂😂kipande uko vizuri
@muktartz7314
5 жыл бұрын
wanaotumia simu za TECNO Wana lalamika sauti ndogo kama UNATUMIA Samsung Galaxy note 8 gonga like twende
@markosirikwa3874
5 жыл бұрын
😀😀😀😀
@zahararajabu4169
5 жыл бұрын
Watapata tabu sana
@HightechTz
5 жыл бұрын
Hahahahahaha
@princessshourya8016
5 жыл бұрын
mu ktar wa iPhone x je
@muktartz7314
5 жыл бұрын
Princess Shourya duh🙄 ni 💥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@vediantazvedastus6107
5 жыл бұрын
Nmechekaaa ila jot akil.zako bana et mtu akitolewa anaanza kuwa na dharau hio sio KUTOKA hio ni MITHALI
@bekakoloa3692
5 жыл бұрын
Tecno za promo kweli azna saut
@missmalinda2921
5 жыл бұрын
Joti tv. love from Kenya😂😂😂
@ommietrendz7175
5 жыл бұрын
Nakufata huko Kenya
@kinengejeremia1016
4 жыл бұрын
Miss Melinda
@kinengejeremia1016
4 жыл бұрын
Love sopa jot kipande baunsa
@theholypainterstz4644
5 жыл бұрын
Haina saut nimeiona hiyo ila wapo vizuri 🔥🔥
@fadhilimagambo9110
5 жыл бұрын
Dogo uko vzuri kwa kukunda Mr Kipande
@ladybilionaire379
5 жыл бұрын
😆😆😆😆😆😆 meneja ana mchecheto hatariii😅😅😅😅😅😅
@kyki01
5 жыл бұрын
Soda ni dalili ya kunywa beer 😂😂
@victorsir-nga7708
5 жыл бұрын
usitusahau katika ufalme wako,sisi ndo tuliokutoa😂😂😂😂😂😂😂😂
@francismaina2066
3 жыл бұрын
Hahaha anaimba mpaka analia
@mozejacksoni4056
2 жыл бұрын
We noma jot uwa wanichekesha sanaaa
@BurhaniLiyau
5 жыл бұрын
Nyimbo ya kumsifia Manager na Producer alisha iandika!
@damg4332
3 жыл бұрын
🙆😅😅😅
@saudahamad7481
3 жыл бұрын
Kunywa maji ukinywa soda n dalili ya kunywa beer😅😅😅😅🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂😂
@wairoschazztvtz4156
5 жыл бұрын
😀😀😀 nakukunda meneja nishai 😁😁😁 like kwangu
@beentertained4173
5 жыл бұрын
Sauti iko chini sana..maneno hayasikiki
@khadija-allyramadhani7206
5 жыл бұрын
bakari kinangu mbona sauti ipo sawa kaka
@emaneez
5 жыл бұрын
Sauti iko saw a kabisa.. Labda kifaa chako.. Unachotumia kuangalia
@beentertained4173
5 жыл бұрын
@@khadija-allyramadhani7206 kwenye pale studio wakiwa wanaimba sauti iko sawa..but kwenye maongezi ipo chini mno..hata ukivaa earphone unasikiliza kwa tabu
@agnessjohn8404
5 жыл бұрын
labda kwako kwangu iko poa
@mwanamisaomar346
5 жыл бұрын
Sauti mbona iko poa.
@AliAli-by7vb
4 жыл бұрын
Ndagukunda ménager noma sana like zangu kutoka Jordanie
@isackernest7740
4 жыл бұрын
Kumanazenu munaobeza tecno me ninayo tena flesh tu saut kama yote naagalia kila nachotaka achen ulimbuken dadek ! Mapovu luksa mamaeee
@djchiccotzofficialdjorigin1280
5 жыл бұрын
ubarikiwe sana ni somo
@anithaswalleh5837
4 жыл бұрын
Hahahahahahaha jaman nimejikuta nime coment kabla cjamaliza kuangalia wanafurahisha sana
@nonenone4954
5 жыл бұрын
😂😂😂 kipande umetisha Sana.
@anatolendikuriyo1529
2 жыл бұрын
Nyimbo kari ndagukunda meneja nishai
@lilianleonard8106
5 жыл бұрын
😂😂😂😂😂 nakukunda meneja nishaiii nakukundaaa😂😂😂🤣🤣
@hyasintndimbo2998
Жыл бұрын
Nyie nimekuja BAADA ya kuona stoker 🤣
@myrealnameisnoneofyourbuss9840
5 жыл бұрын
Ahahahaha mwisho umekua mtamu sana hivo ndio mmemtoa kwa kumsukuma inje😅😅😅😅 alafu wanaolalamikia sauti mbona iko sawa
@OmanOman-ep7bw
4 жыл бұрын
Sauti iko good sana hahahaha eti kumtoa njee
@mdeeboy846
5 жыл бұрын
Hahahahaa,na Mimi nahamu ya kula hizo soseji. Daah kipande umetishaa
@sadikidaudi1223
5 жыл бұрын
Achana nachiinii!!!
@40kstore
5 жыл бұрын
Hii idea ni kali sana,ila nahisi kama hamjaipanga fresh 😊
@theoniyonkuru6423
4 жыл бұрын
Wanawake ni hela tu nipe like wazee
@ajaabucomedian
5 жыл бұрын
Tazama pia hii video zangu za comedy utapenda kzitem.info/news/bejne/sqOYmZqqgZmQl5w
@amaliaanthony3739
2 жыл бұрын
🤣😭😂😂😂😂😂😂mbavu zngu mie jaman😀😀😂🤣🤣 nioneen huruma cyo kwa kuimba huko
Пікірлер: 579