mashaallah ulipambanaa ndio maana mungu naye akakufanikisha..songa mbele mdogo wangu mungu atakulinda
@devisshirima6780
2 жыл бұрын
Hongera sana Kamanda kupata kazi katika umri mdogo ni neema kubwa sana mshukuru Mungu wako toa sadaka fanya ibada, ili Mungu akupe ulinzi katika kazi yako !! Mara nyingi watu wanaopata kazi katika umri mdogo wanakuwa na maadui wengi wapinga maendeleo !!
@abdulaabdula2631
2 жыл бұрын
Fact
@allahisone6386
2 жыл бұрын
@@abdulaabdula2631 Zaid ya fact 💯%🤝
@JustKassim
2 жыл бұрын
Masha'Allah, mabrouq ukhty HR Akbar.
@ferouzmasoud4870
2 жыл бұрын
Nakufahamu vizur Sanaa kipindi tupo South Africa Hongera Sanaaa umetusua 🙏
@daudiamimu4074
2 жыл бұрын
kzitem.info/news/bejne/tm97qJV5rXmbgW0 EU i9
@shaurimtanda8285
2 жыл бұрын
South ya mtwara?
@NuruKanyenye
2 ай бұрын
@@shaurimtanda8285 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 uwiiiiiiii
@gloryidelya9899
2 жыл бұрын
Mrembooo Mno MUNGU Azidi Kumuongoza Kwa kila Hatua 😍😘
@kulthummzee3903
2 жыл бұрын
Well done my dear sister Allah azid kukuongoza katk maisha yko
@kessyantoy6223
2 жыл бұрын
So Proud Sister, Endelea kukaza and be Example kwa madada wote na usiache kuwa na kipindi online kuwaimiza madada Tanzania watumie vichwa vyao vizuri Tuwe na Taifa lenye Wanawake Wengi Wenye Revolution ya Maendeleo katika Taifa kama Ngao Ya Taifa ilivyo na Meaning ya Bibi na Bwana...Karibu Tena Cape Town
@stellapazzi1001
2 жыл бұрын
Hongera sanaaaaaaa mrembo wetu Mungu akupandishe viwango vya juuu zaidi wanawake tunaweza
@mwigakatumpula6852
2 жыл бұрын
Naona wengi mmejawa na wivu kumbe mnaipenda hii kazi mbona hua mnainyanyapaa ,eti Mara bila kua na ndugu hupati ajira wewe ulisikia wapiiiiiii kama ipo ipo tu acheni kukufuru 🤣🙌🙏👏
@joanithamwaudama9928
2 жыл бұрын
Hongera mtoto mzuri you're strong lady!
@lovenessitiku6293
2 жыл бұрын
Nani ambae alisema eti hakuna wanajeshi wazuri weee wazuri wako jeshini na akazi kama kawaida znaendlea safi sana mungu aendlee kutupa nguvu cku zote za maisha yetu inshallah
@bartondidas849
11 ай бұрын
hongeraaa sana dada Mungu akutie nguvu na akuzidishie baraka
@mbwanamungia9921
2 жыл бұрын
Tatizo la tz kazi zote hizo zinapatikana ki familia kama huna ndugu jeshini utaombakazi utachoka na si jeshini tu mahala popote utachaguliwa kutokana na ndugu uliyenaye ndani ya taasisi sio uwezo wako. Sisi wengine tumesomesha tumechoka no job. Baraka ya ma degree ndani na application tumefanya kibao tunarukwa tu. Ndio nchi yetu hiyo
@martinmaryogo3676
2 жыл бұрын
umesema kwl
@mbwanamungia9921
2 жыл бұрын
@@martinmaryogo3676 ndio ivo ndugu yangu
@rithadonatus8110
2 жыл бұрын
Nakuombea kwa Mungu upate mdani ya huu mwaka kwa jina la Yesu ... kama unaamini sema amina
@mbwanamungia9921
2 жыл бұрын
@@rithadonatus8110 amina
@tatumhogo5742
2 жыл бұрын
Umesema ukweli ndani ya ukweli kabisa bado mfumo uleule mtoto wa mjomba na shangazi unaendelea
@nyundomaster1541
2 жыл бұрын
All jet fighters must have these ages. Hakuna kuwaza mtoto nyumban
@markshoo1474
2 жыл бұрын
hongera sana rubani.milard ayo ,afande ruban akbar hajaacha namba maana nahisi tutafaana nahitaji kuish chini ya utawala wa kijeshi wa rubani huyu mrembo.
@celestinengala923
2 жыл бұрын
Nice too good work 🥰 mungu akuzidishie cute girl be strong ever dear
@ananiamtewele9272
2 жыл бұрын
Wacha mi niendelee kichoma chipsi mana kwa sasaiv maisha connection mtuwang
@magdalenabenard4208
2 жыл бұрын
Mungu aebdelee kukutunza mwanangu utimize ndiyo yako
@thomassedo5012
2 жыл бұрын
Duh na me naweza taka kupaa na uyo wa blue na uyu jmn 😍😍
@margarethpolepole7438
2 жыл бұрын
Hongera sana mama mungu akupe nguvu binti mzuri
@kekiplus1andonly
2 жыл бұрын
MashaAllah MashaAllah vita ni vita😇😇😇😙
@daudiamimu4074
2 жыл бұрын
kzitem.info/news/bejne/tm97qJV5rXmbgW0 EU 8
@eunicejohn5520
2 жыл бұрын
Ngoja nikusaidie kumalzia MURA
@godfreymwaluja2808
2 жыл бұрын
@@eunicejohn5520 . h L
@mariej6962
2 жыл бұрын
Akitoka hapo anaenda kuendesha mandege makubwa kwenye makampuni makubwa ya commercial airline duniani. The future is very bright for you girl.
@amirimahadhi1062
2 жыл бұрын
She is so cute 🥰
@suwedinamga581
2 жыл бұрын
Na anashep
@daudiamimu4074
2 жыл бұрын
kzitem.info/news/bejne/tm97qJV5rXmbgW0 EU 9
@florameza1028
2 жыл бұрын
Ni neema luteni mtoto mdogo hivyo hongeraaa sana
@ramsikhamis7083
2 жыл бұрын
Sio Luten ni Luten Usu
@pendokissatu937
2 жыл бұрын
Mrembo sana Mungu azidii kuku pandisha viwango vya juu
@yunusbakari6916
2 жыл бұрын
The confidence is the only thing which I had notice from a girl But also we should understand that these opportunities are few for those who have in their hands It doesn't matter whom you know but who knows you
@tunnymgaza9326
2 жыл бұрын
Iam so proud of you girl
@massoudmassoud
2 жыл бұрын
Wow! Hata uongeaji wake anaonekana yupo makini sana Masha Allah
@saumusalimuhassan2499
2 жыл бұрын
Mashallah mdogo wangu, hongera sana kwako ❤️😘
@mohamedimyombo7778
2 жыл бұрын
Hellow
@daudiamimu4074
2 жыл бұрын
kzitem.info/news/bejne/tm97qJV5rXmbgW0 tuu 9
@daudiamimu4074
2 жыл бұрын
kzitem.info/news/bejne/tm97qJV5rXmbgW0 tuu 9
@mosesmsafiri4795
2 жыл бұрын
Mungu akujalie afya nguvu furaha aman na upendo wake katika maisha yako
@johnmangaga4949
2 жыл бұрын
Hongera sana mama!; MUNGU akutangulie;'
@salmamohammed4904
2 жыл бұрын
Dah hongera zake nyingi nyingi sasa yaani maneno yameniishia
@mustaafabapumia6006
2 жыл бұрын
Well done your confidence make you unique. You are not just a pilot but a combat pilot.👌
@daudiamimu4074
2 жыл бұрын
kzitem.info/news/bejne/tm97qJV5rXmbgW0 ty
@darweshk7342
2 жыл бұрын
Exactly dr
@magdalenabenard4208
2 жыл бұрын
Gingers mwanangu mungu aebdelee kukutunza ifikie ndiyo zako
@successmbio878
2 жыл бұрын
Honger dear,Mungu akubariki,akuzidishe kwenye kazi yako n trauma yako,,,,,
@faridamohamed4677
2 жыл бұрын
Hongera ila umefanana na muheshimiwa Rashidi kamwil ka shangaz Devota hadi kuongea .Allah akutangulie akuweken mama enu Amrehem mzee Rashid Ajali akbaru
@taturashid4167
2 жыл бұрын
Manshaalah,wanawake tuna uwezo pia wapatiwe nafasi tu kama wana sifa
@davidwalalason7630
2 жыл бұрын
Contributions gal...👏👏👏👏 what an inspiration to the upcoming ones.
@jrm9448
2 жыл бұрын
Contribution tena??? Mchango wa nini?
@devisshirima6780
2 жыл бұрын
Nawakumbusha tuu wabongo, ukitaka kufanikiwa jifunze kukikubali anachokifanya mwenzio, hizi roho mbaya za baadhi ya watu wanao comment mtazamo wao hasi juu ya huyu binti, hizo ni roho mbaya za kichawi !! Usiumizwe na hatua anayoipiga mtu, bali hatua yake ukufikirishe na wewe kuondoka hapo ulipo ili na wewe ujipongeze siku moja !!
@hilalhamoodaltooqialtooqi62
Жыл бұрын
Mashalah kbs pongezi
@veronicamwanisenga5120
2 жыл бұрын
hongera Mungu akutangurie
@frankcosta4986
2 жыл бұрын
Hongela sana mungu awe na ww
@himidijenga535
2 жыл бұрын
Hongera msichana wangu
@daudimagendero4694
2 жыл бұрын
Hongera usna mungu akuongoze
@venitarugemalila9290
2 жыл бұрын
Hongeraaa luten
@sweetysilvester3431
2 жыл бұрын
Hongera asnat
@gaspermoko9122
2 жыл бұрын
Mungu akubari na uendelee na huo moyo bila kukata tamaa
@katendedonprince9153
2 жыл бұрын
What an inspiration to the
@mariahmartin3848
2 жыл бұрын
I'm proud of you my friend ❤️❤️
@daudiamimu4074
2 жыл бұрын
kzitem.info/news/bejne/tm97qJV5rXmbgW0 EU
@Igwetz
2 жыл бұрын
Weee
@fatmaahamad633
2 жыл бұрын
Hongereni sana na mungu awe nanyi kila hatua
@oscarmsuri8479
2 жыл бұрын
Hongera sana yuko na confidence yake nimeipenda.
@lavieestbelle3263
2 жыл бұрын
Maashaallah maashaalaa
@enickosanga4921
2 жыл бұрын
Nikajua mafunzo ni hapa hapa kumbe nje eeehhh kazi kweli kweli
@rehemasaid6876
2 жыл бұрын
Safi sana super woman
@jamilajamila4572
2 жыл бұрын
Hongera mdogo wetu
@lusajokafuko3450
2 жыл бұрын
Keep up girl....am so happy for you dear
@filbertrobert1141
2 жыл бұрын
Big up sana kamanda
@derickkomory3022
2 жыл бұрын
Hongera bibie
@bahatirehani7741
2 жыл бұрын
Congratulations classmate😍
@delphenusmalambi
2 жыл бұрын
To more many titles Hasnat #RESPECT
@stevek8318
2 жыл бұрын
From USA hapa nakusaluti dadangu mdogo
@mwajumaibrahim8330
2 жыл бұрын
Hongera sana Allah akutangulie mdada
@suzanamwangingo2995
2 жыл бұрын
Hongela sana mtoto mzuri
@edwinemrod3933
2 жыл бұрын
Air force soldier unaitaji kuzoea chakula kweli 😂C'mon
@edgarnandonde48
2 жыл бұрын
kwa msiojua hiyo helkopta ni rahisi sana kurusha hata mtu yeyote anaweza kurusha bongo tuko na ushamba mwingi sana norway kuna zile ndege ndogo za taxi wana wanapeana deiwaka kama boda boda wala ganja kibao wanasukuma hizo 👏👏👏
@devisshirima6780
2 жыл бұрын
Dah !! Wabongo 😂😂 kubali hata kidogo alichonacho mwenzako !! Ni mwanzo mzuri kwake
@fainajaffary4070
2 жыл бұрын
😆😆😆😆
@devisshirima6780
2 жыл бұрын
@@gooddeeds162 ndio maana inakuwa kazi sana sisi kuendelea !! Hizi mbegu za chuki ndogo ndogo zipo hata maofisini, huu ndio uthibitisho kwamba watu wanalogana sababu tuu fulani asisonge mbele !! Na uchawi sio lazima uwe ule wa kuloga, hata mtu anayechukizwa na maendeleo ya mwingine na kushindwa kumpongeza huo nao ni uchawi 😁😁😁
@dianamdaku9802
2 жыл бұрын
😂😂😂we sema ukwel!?
@gloryidelya9899
2 жыл бұрын
Daaah!nimecheeka
@zclassichb9614
2 жыл бұрын
Usu asnat akbare umetisha bibiee
@hamadiabdallah3906
2 жыл бұрын
Mashallah binti
@nyakundihellen6822
2 жыл бұрын
Keep going gal,,,I love it
@zachariakonyanza2259
2 жыл бұрын
Nakujjua vizuri well done sir
@OnlineEarningTz
7 ай бұрын
Kasoma wapi seco huyu au ni yule amesoma Feza?
@dn.n4983
2 жыл бұрын
Hongera sana sana ubarikiwe wote
@amanmalima940
Жыл бұрын
Sasa ya WOKOVU ni SASA hebu Mwamini Yesu na uokoke na Ulithi uzima WA milele na uende mbinguni.(Yohana14:6,Warumi10:9-10,2Kor6:2).
@maalimchiba5656
2 жыл бұрын
MashaAllah
@habarinyetitv5670
2 жыл бұрын
Waooo Kaza Buti Ndugu
@beatricejoseph2347
2 жыл бұрын
Congrats to her👏👏👏
@steventemba2353
2 жыл бұрын
Okey good
@christophergeorge5490
2 жыл бұрын
Hapo kuna ujomba na u baba mdogo ndo unafanya kazi kama hauna ndugu mwenye cheo sehem yyte mbona utachoka😃😃
@dinagod173
2 жыл бұрын
Hongera sana dear
@emiliamulaki3600
2 жыл бұрын
Hongereni sana.
@yahyahamad1802
2 жыл бұрын
Hongera ila ni kweli tz kila kitu uwe na ndugu akusaidie sio uwezo tu
@is-hakaomar2118
2 жыл бұрын
Hongra comrade
@enocksilungwepondajr9707
2 жыл бұрын
Katako kapo kwenye combat congrats girl....
@prosperkullaya6721
2 жыл бұрын
Bravo salute
@khadijahali4837
2 жыл бұрын
Hongera mwaya
@hellensaid703
2 жыл бұрын
Hongera sana
@drbunnyrabbitempire2910
Жыл бұрын
Mwanamke bomba kweli
@ashaissa8813
2 жыл бұрын
Congratulations❤❤❤
@olympiamtenga8761
2 жыл бұрын
Congratulations 👏
@daudiamimu4074
2 жыл бұрын
kzitem.info/news/bejne/tm97qJV5rXmbgW0 EU 7
@kabwelasutiviraka4765
2 жыл бұрын
Tatizo Tanzania nafasi nzuri mfano kazi au scholarship ni kujuana, aidha ni mtoto wa mkubwa au ndugu yako ni mkubwa, au sehemu hiyo kuna watu wa kabila lako , na hiyo ipo pia kwa scholarships za maana wakubwa wanawapa kwanza watoto zao na ndugu zao, ndio maana watoto wengi wa wakubwa wako nje wakila maisha tu
@bukuruphilibert8658
2 жыл бұрын
Jeshin hawafanyi hvyo kama una sifa uanenda popote Sasa wew una d mbili zero brain unategemea ukarushe ndege
@kabwelasutiviraka4765
2 жыл бұрын
@@bukuruphilibert8658 acha uongo wewe unafikiri sijui mambo ya corruption ya Tanzania sehemu zote ajira Tz ni kuonga, ukabila au mtu awe ndugu yako , nafasi zote wanapeana tu hata huyo female pilot ukiiuliza ni mtoto wa mkubwa
@martinmarco6922
2 жыл бұрын
Good job
@anawa4326
2 жыл бұрын
Safiiiii Afande
@web2.095
2 жыл бұрын
Mashaaaallah😍
@bernadyahimba4279
2 жыл бұрын
Naombeni namba zake za simu 🤣🤣🤣
@gezaulole7501
2 жыл бұрын
Ana mzigo huyo nimempenda ila kazi za mchongo izo
@edwingwesso6818
2 жыл бұрын
Mzur npen namba zake
@robertdaudi4910
2 жыл бұрын
Proud
@maryamalhabsi4364
2 жыл бұрын
Maa shaa Allah
@agneskadzo6105
2 жыл бұрын
Umenitia nguvu mdogo wangu..nimepata nafasi naomba kuitumia..
@franksamwel696
2 жыл бұрын
achana na kurusha ndege ila ni pc kal na ana wow kabisa😂😂😂
@gloryidelya9899
2 жыл бұрын
Na Anakamwanyaaaa
@franksamwel696
2 жыл бұрын
@@gloryidelya9899 uhakika yaaan ukimkuta ndan ya skin ndo utaelewa 😂😂😂
@TeamKRX
2 жыл бұрын
Mpelekeni Ukraina jamani
@jflamingo1760
2 жыл бұрын
Kako vizuri kila idala
@musason1680
2 жыл бұрын
Wala hana mbwembwe nyingi binti wa IFM mwaka wa kwanza u know zingeshafika 600
Пікірлер: 412