Hongera Mwanangu Haris, kwa Ushindi huu...Mungu akufungulie Milango mingi ya Baraka , hadi Chuo kikuu ili Baadae. .uje kuwa msaada & baraka kwa wengine🙏
@salminasalim5630
Жыл бұрын
Mashaallah Tabarak Allah. MMungu azidi kukupigania kukuongoza na kukulinda na mahasidi azidi kukuongezea uwelewa zaidi Hongera sana mjukuu
@user-zg9gh8er3t
Vijana wa aina hii ni baraka, neema na hazina kwa Familia na Taifa, hongera sana dogo, endelea kuwa kipanga
@Truly_Afrikan
Жыл бұрын
Mrudie interview by giving him a chance to explain him self in English,he is struggling
@josephkaka6270
Жыл бұрын
Hongera sana kijana sasa angalia huyu mtoto points anazotoa necta watazifanyia kazi tuachane na memory twende kwenye uelewa zaidi ndio itatusaidia
@lindambilinyi6253
Жыл бұрын
Had raha,Mungu aendelee kukutunza mtoto wetu
@kekiplus1andonly
Жыл бұрын
MashaAllah 🎉🎉🎉God bless his journey
@kelvinrwegasira2082
Жыл бұрын
Hongera sana dogo, serikali kama serikali Ina kitu Cha kujifunza na kubotesha kutoka kwa uyo dogo.... Dogo kwenda Cambridge ni kama tumempoteza ni hayo tu
@godfreymaagi2973
Жыл бұрын
Ata jinsi ya Nywele zake zililivyo inaonekana wazi uyu ni mathematics genus
@jehovajonas9284
Жыл бұрын
Tubadilike watz
@angelanaftael7965
Жыл бұрын
Hakika mtoto ni mwenye uwezo mkubwa ni neema ya Mungu kwa kweli❤
@fredymwakikono1575
Жыл бұрын
Dogo nimemuelewa sana, na iwe funzo kwa wizara ya elimu kwa ujumla, maswali kwa masomo yote yalenge kwenye uelewa zaidi kuliko kukariri, nchi kama china wanaelewa zaidi kwa sababu kila kitu kipo kwenye lugha yao tofauti na sisi unaanza kwa kukariri unakuja kupata concept umeshafika form four, kwa waliosoma masomo ya science watakubaliana na mm
@methodiutou7278
Жыл бұрын
Hongera mdogo wangu ! Mm nilipata mswaki Fm4 ! Uko vizuriii
@jamillahkheir6536
Жыл бұрын
Anakuja kuishia kwenye u professor Tu kwa mchi yetu hii,mungu tu amuongoze mtt mzuri❤️🙏
@pallangyodaniel8918
Жыл бұрын
MUNGU NA AIBARIKI KAZI YA MIKONO YAKE AMEN
@victorcephas3618
Жыл бұрын
Congrats dogo Mungu akusimamie vema
@emmanuelnkukura6736
Жыл бұрын
Mungu hakupi vyote anakupa hesabu anapunguza kidogo Kiswahili😂😂😂
@drisayaambulatoryvetclinic1514
Жыл бұрын
Hongera dogo ,pambana mpaka kieleweke ,hesabu sio ngumu ungesoma kipindi chetu ningesema tukutane tushindane
@marryeliasmarryelias9289
Жыл бұрын
May God continue to bless baby boy 🙏 I hope my kids will be like you🙏
Пікірлер: 316