Hii sio nzuri. Wasanii nafac yenu ni kuibadilisha jamii, Mbali na kucheka na kuburudika Jamii inajifunza kupitia kwenu, Maudhui Kama hizi zisizo na maadili hazifai.
@christinezighe6916
3 жыл бұрын
Waa ila watanzania yaonyesha mnapenda sana kwa parange kila siku mwakuzungumzia sio nyimbo
@faridali8275
3 жыл бұрын
Innalillahi wainna ilayhi rajioun.....haya Mambo saivi Tanzania yashakua kawaida....Allah tunusuru na adhabu zako.
@stevenurioofficial4165
3 жыл бұрын
Dah brother nawasaport Sana kazi yenu Ila hii naona umeamua kuonyeshea umma kuwa kwa mpalange Kuna maisha ww Kama msanii umetufunza kitu gani
@yjkbcdghjb
3 жыл бұрын
Joti JOTI JOTI nimekuita mara tatu omba toba kwa Mwenyezi Mungu kwa hii video na tuomba utengenez video kama hii kuelimisha kwa mpalange na ushoga siyo kitu kinzuri ..Baadhi ya watu tunakushauri ulichokifany sio kitu kinzuri hata watu wamecheka..Mungu amekupa kipaji kinzur ila usimjaribu Mungu maana yatakayokukuta
@kylespencer5395
3 жыл бұрын
I guess Im kinda off topic but do anyone know a good place to stream new tv shows online ?
@bentleeremy2070
3 жыл бұрын
@Kyle Spencer I watch on flixzone. You can find it by googling =)
@houstonvihaan7972
3 жыл бұрын
@Bentlee Remy yea, have been using FlixZone for since april myself :D
@kylespencer5395
3 жыл бұрын
@Bentlee Remy Thanks, signed up and it seems like they got a lot of movies there =) I really appreciate it !!
@bentleeremy2070
3 жыл бұрын
@Kyle Spencer glad I could help =)
@stevewesco7566
3 жыл бұрын
Acheni unafiki mnajifanyaa watakatiiiifuuu, kumbe viazi,,,joti n comedian na alichfanya n comedy kama imewauma mezeni motoo
@chrissjoel7752
3 жыл бұрын
*SIJAWAHI KUMKOSOA JOTI KWENYE VIDEO ZAKE ZOOOOTE TANGU NIMFAHAM ILA LEO NASEMA AMEZINGUA KINOMA AISEEE* 🤒🤒👏👏👏🤒🤒🤒 *Unaupigia promo Ushoga*
@regineniyonzima5340
3 жыл бұрын
Shida tupu walahi tunapoelekea ni pabay,mashabiki zake wamshauri akosea
@ceasariomulumba5956
3 жыл бұрын
Ma HAKUNA mafunzo Wala ucheshi hapo.. Ni kutangaza(ku_promote) Mambo ya HOVYOOOIOO kabisaaa bila haya Wala soni
@shantalismailhassan9878
3 жыл бұрын
Jamii inapotoka sasa. Ya leo nooo si ujumbe sahihi kwa generation hii ambayo kila kitu inaigiza bila utafiti.
@rosemarymkota608
3 жыл бұрын
Hii haichekeshi, niyakutoa
@sikudhanhaule8879
3 жыл бұрын
😂😂😂mnipe zawadi na like jaman me wa kwanza leo kwa mpalange
@ikramalmas7039
3 жыл бұрын
Twende basi
@bernardbinbelyjeshi7748
3 жыл бұрын
Welcome back legend tulikumiss sana 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@brendakimaro902
3 жыл бұрын
Tulikumiss mno your the best
@rehemameja8815
3 жыл бұрын
Sopa dini sio ushamba mjue Kuna kufa uko kwa mpalange sio kwa kupafanyia promo Ivo tukumbuke umauti na makatazo ya mungu
@nicholauslaurent5454
3 жыл бұрын
Cku hizi fashioned sana hicho kitu,
@complexjackal2782
3 жыл бұрын
Acha kuleta userious kwenye kazi za watu
@Chombezaflava
3 жыл бұрын
Naona ishakua kitu cha kawaida kweli ngoja ufe ndio ujue dini ushamba watu wanapoteza muda kwenye dini munawaona hawana kazi sodama ilipinguliwa juu chini na chini juu
Hii wamekosea sana maana kila mtu atataka kujaribu hayo daah
@mnomahboybright4743
3 жыл бұрын
Leo umetupostia upumbavu broo hamna aja ya kufichana au kusifia hata visivyoeleweka
@baybejohayna713
3 жыл бұрын
Joti umebug kwahyo una promoter ujinga ambao mungu ameukatazaa
@idris2175
3 жыл бұрын
Ni dalili mbaya kabisa. Mm imeniboa. Anahamasisha watu wafanye haramu
@salumally3128
3 жыл бұрын
tena kabugi sanaaa, sifa zimezidi ameanza kupotea sasa....
@regineniyonzima5340
3 жыл бұрын
Dunia inafika mwisho dalili za kiama,mimi wala sijapenda gisi joti,ameipa promo uyo uchafu
@stevekasawala2315
3 жыл бұрын
@@regineniyonzima5340 daah aisee ameyumba
@stevekasawala2315
3 жыл бұрын
@@idris2175 we acha tu kk
@shanawilliam1050
3 жыл бұрын
Naona kaka umeamua kumsapoti adui kwa nguvu zotee.
@isaacm1852
3 жыл бұрын
Sifa zikizidi
@akimnasson3019
3 жыл бұрын
Aaaah hapa Joti mmezingua, Maudhui ya hii video sio tunayo hitaji kwenye jamii yetu wala dini zetu hazi ruhusu hayo mambo! You are a living legend then be one! in a good way Just like you have always been. Tumia vizuri nguvu yako ya jamii
@cedricmaina4523
3 жыл бұрын
Me nimekubali ukanipinde... Karbu tena blaza 🤣🤣🤣🤣
@mhehear
3 жыл бұрын
Upuuzi sana... unafundisha nini sasa jamii
@salumuawadhi9070
3 жыл бұрын
Umetisha mzee
@abdullahmasanyika1105
3 жыл бұрын
Sio vizuri kuhamasisha upuuzi ambao mungu hapendi
@jumamayugwa4763
3 жыл бұрын
Me ni muangaliaji na mpenzi wa kazi zako Joti ila hii umefeli fanya toba kwa Mungu
@sheilamjune1233
3 жыл бұрын
Hahaha wewe 🤣🤣🤣🤔🤔❤❤❤🇰🇪
@lugyjansa3199
3 жыл бұрын
Aisee mwanzo nilipo ona post ya video hii. Nilifurahi maana najua Joti yupo makini, anaburudisha na kuhelimisha mambo mazur kwa wakat mmoja. Ila kwa hili umefili sana unahamasisha watu waende kinyume na maumbile. Usipagawe na izo like hapo juu ukajua umefanya vizuri.
@zennahmtoto1867
3 жыл бұрын
Ameboaa snaa hili mm pia sijalipenda
@yaedlifemedia3203
3 жыл бұрын
Hata mm sijapenda
@saidijuma6861
3 жыл бұрын
Umemchana kweli
@steveng.salufu2937
3 жыл бұрын
Asee umenena kiongoz
@fei3668
3 жыл бұрын
Kaniuzi sana leo joti bora asinge post kitu
@USWAZITVONLINE
3 жыл бұрын
Nilichokielewa ni kwamba kuna watu huwa wanajifanya hayo mambo hawapendi na wanakemea lakini ndani huko ndo michezo yao na wanapenda
@Hashdough
3 жыл бұрын
"ILA KAMA, KAMA ANANIPA KAMA PROMOTION..AAAAAH..NAENDAA"
@josephlucas3634
3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@paulogandoja7403
3 жыл бұрын
Kwamparange sipendi 💪💪🙏
@sellinvizengwa1104
2 жыл бұрын
😂😂🤣ata mim nitampleka kwa mpalange huyu chizi
@maulidiisihaqa8446
3 жыл бұрын
Subhaanallah huu ni msiba kwakweri inafundisha nini hii sasa sizani kama hata dini yako inaruhusu hilo swala dah
@IddiMajani-bn9bg
Жыл бұрын
Napenda,pia,nafa nya
@ailtonngunyali5840
3 жыл бұрын
Sopa kaitikia “nakuja mama”😂😂😂
@rashidibamangwe7022
3 жыл бұрын
Ninzuli inachekesha lakini nimtiani kwa muumba wako mana unaplomot mitindo ya sodoma na gomola pole sana brother mtake ladhi muumba wako
@dativamlay6769
3 жыл бұрын
Joti leo umefeli kupigia promotion makatazo ya Mungu
@jestinaluvanda4787
3 жыл бұрын
Tunakupenda joti lakini leo hujatutendea haki. Wewe ni mkristo hivi vitu wafanye wasomjua mungu
@maticsleokas1785
3 жыл бұрын
Samahani sana kaka joti nimerepoti video yako....inahamasisha ngono kinyumeeeee...samahani kwa hilo
@salmamsakuzi3070
3 жыл бұрын
Inalilah umekosea ndugu moJa ya kaz za sanaa ni kuelimisha na sio kupotosga
@alijuma2261
3 жыл бұрын
Sanaa inafundisha masuala maovu wakati hao ndio wakutoa ujumbe kwa jamii leo hii wanasisitiza masuala ya kinyama na ulawiti Hakika BASATA hawapo na kazi zao mana haina haja kuwepo kwa baraza la sanaa tanzania
@allyramadhan1093
3 жыл бұрын
Joti leo umechemka..ukifungiwa usilalamike ....hii content haifai na kinyume na dini zote...kwa mustakabali wa sanaa yako piga chini hii video
@anastaziuscyriacus5415
3 жыл бұрын
hamna kibaya alichoongea, labda wewe na tafsiri zako
@SingoMedia
3 жыл бұрын
@@anastaziuscyriacus5415 Tupe tafsiri yako wewe mwenye kujua kiswahili kuliko sisi.
@fadhilasaidlukas7543
3 жыл бұрын
Ww umezoea ww uo uchafu
@josephgomalo41
3 жыл бұрын
@@SingoMedia Acheni uzwazwa .. hii inaitwa comedy..!
Sahizi hili neno kwa mpalange limekuwa kama la kawaida kabisa, Mungu anachukizwa sana kwa haya mambo. Najisikia vibaya sana hata kuyasikia. Nashauri acheni kabisa kupigia promo kinyume na maumbile
@Mollel-rh9zu
3 жыл бұрын
Legendary Joti
@christopherchristopher1427
3 жыл бұрын
Ila brazaa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 mungu akupe maisha marefu
@paschalhaishi863
Жыл бұрын
Msenge wewe unafulia vitendo vya kishoga
@jerrykumar3404
3 жыл бұрын
HUU UPUMBAFU JOTI UNAOUSAPOTI UTAKUGARIMU
@hemedshughuli7145
3 жыл бұрын
Nishai😂😂😂tumemiss Sana
@bmbyamstz9408
3 жыл бұрын
Nenda naye kwa mpalange😂😂
@simonmlisa4311
3 жыл бұрын
Hii ilitakiwa ipewe alama 18+😁😁
@fatmafetty4117
3 жыл бұрын
Kanipinde 😂😂😂😂ila kiukweli kwa mparange sio kuzur dhambi sn
@japhetkambale1759
3 жыл бұрын
Aah Joti leo umekuja kifala sana 🤣🤣🤣 vitu adimu hvyo ety 😁😁
@shedrackhonorath4334
3 жыл бұрын
Nakukubali sana kaka joti wewe ni kiboko yao
@thomasmakoe5958
3 жыл бұрын
Acha twende kwa mpalangee
@shokajr9714
3 жыл бұрын
Kwa mfumo wa maisha yetu kwa sasa akili kichwani mwako. Maana hakuna maadili kwenye mziki wala sanaa ya maigizo. Akili kichwani inakuja hivi sanaa imegawanyika katika sehemu nying tu ila sanaa ya sasa imeelea zaid kwenye burudan kuliko mafunzo.
@beautywithnay5974
3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂kwa mpalange kwani kunanini uko jmn 🤣🤣🤣
@sulemanseif9244
3 жыл бұрын
Chukua no yngu nkwmbie 0628202652
@aishaally2611
3 жыл бұрын
@@sulemanseif9244 Duuuh we jamaa bazazi sana
@mohamedmuhajiri4690
3 жыл бұрын
@@aishaally2611 Najina lake la Islam lkin ana shabikia upuuzi
@mafiosoismail7475
3 жыл бұрын
@@mohamedmuhajiri4690 kumekucha kumekuuuchaa 😂😂😂
@chrissjoel7752
3 жыл бұрын
*Hii ni PUMBA umezingua kinoma* 🤒🤒🤒🤒🤒🤒
@paschalnjombo5588
3 жыл бұрын
Amefeli Sana huyu kichaa,,,,,,,,waza kwenda pepon na siyo kwa mpalange
@dismassamwel7130
3 жыл бұрын
nimecheka kwa sauti eti mbezi anaudi kwa mparange ahahahahah😃😃😃😃
@bobelichi7721
3 жыл бұрын
Kwa mparange🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿😂😂😂😂
@husnamfuko6136
3 жыл бұрын
Umezinguwa brooo
@mohamedhella7899
3 жыл бұрын
Bro hii memekosea pliz ifteni hii video
@fetty1571
3 жыл бұрын
Yaani haina maadili jamani na anajishushia cv
@salimamseta
3 жыл бұрын
Nime unsubscribe na sitokaa niangalie tena clip zake. Shame on him!
@lifeonearth94
3 жыл бұрын
Ata kama ni vichekesho ila unaharibu jamii na kukata fans wko, we ni kioo, inabidi ujue kipi cha kupost na kipi cha kuacha
@layanalafifi5548
3 жыл бұрын
Kweli.kabisa
@hasnasaif1075
3 жыл бұрын
Leo hufundishi ya maana
@anganilekajigilikajigili2641
3 жыл бұрын
Skubaliani na hili dhiaki mbele za Mungu alie juu
@amrimagambo7902
3 жыл бұрын
Mnafundisha nini sasa jamii mukifungiwa muone watu wabaya au
@mohamedmuhajiri4690
3 жыл бұрын
Wanazingua
@zinjankhan3819
3 жыл бұрын
Oya mwana hii sio safi
@nathanykiwale1051
3 жыл бұрын
Kwa mpalange🙌🏻🙌🏻
@hdmakunda2037
3 жыл бұрын
Uyu fala kweli msenge asaaa huu ujingaa
@ezekielevarest9215
3 жыл бұрын
Imekuwa fashion saiv wadada kwenda Kwa mpalange siyo kitu kigeni saiv unaingia n mdda mwenyew anaamisha unabaki kinywa wazi🤣🤣🤣🏃🏃
@ismailkushinda8830
3 жыл бұрын
Daah joti iyo ndo habar ya mjini 😂 zama chumvini kunywa utooo
@jeromedriver8314
3 жыл бұрын
Joti noma Sanaa😅😅 like zawakenya wenzetu kama munamkubali uo jama
@kingbashar4293
3 жыл бұрын
Mkongo weh!
@faustinmugambi2926
3 жыл бұрын
Mkenya mgani jina la Gérôme ??
@kassimally5358
3 жыл бұрын
Jiran nishike kifua cko sawa
@almasbakari5359
3 жыл бұрын
Sopaa falaa sanaaa 😂😂😂😂😂
@mzenjikichaa8695
3 жыл бұрын
Acheni ushoga sopa
@ibrahimjuma7184
3 жыл бұрын
Dah mzee baba joti kwa hili umekosea nasita kusema unasherehesha mambo ya kijinga katika jamii bro mimi binafsi nakuheshimu Sana pamoja na kuheshimu kazi yako sema kwa hili umefeli kidogo
@julietbeka7331
3 жыл бұрын
Well come back darling tumekumiss mbaya sana 👌🥰😘😍
@wisperfect5320
3 жыл бұрын
Naja
@ferouzmasoud4741
3 жыл бұрын
Mmmmh 😳 Joti unapiga promo Ufirwaji duuuh 🏃
@braymasebene5744
3 жыл бұрын
Ahahahahahahahah nimechka sanaa mamaeee sopaa
@abdulkillya2655
3 жыл бұрын
Nishike kifua😂😂😂
@anoldpotentin2446
3 жыл бұрын
Joti kwenye hii video umezengua sana, sio maadili ya Tanzania. Na nikinyume cha dini zetu
@abdulwahidmsellem1998
3 жыл бұрын
Huuwake ni upuuzi sasa
@jameskihiyo2444
3 жыл бұрын
Nafirki ungelalamikia baraza ambalo limetoa kibali kwa video hii maana ina kibali halali na imepewa daraja
@afyacast7449
3 жыл бұрын
Sanaaa Haina Mipaka Nduguu
@mussakadikilo1140
3 жыл бұрын
Kama inagonga mwamba inarudi....😅😅😅😅😅
@zubeirkhamiskhamisabdallah6351
3 жыл бұрын
Joti nakuanfollow kuanzia leo hii unatuletea nn jamii mm video zako naangalia kweny Tv kwang na wanangu na ndugu zang unafundisha nn jamaaa jamn sehem huska ishuhulikie hii clip mara moja ifungiwee.
@anithanithaa2651
3 жыл бұрын
Ana subscribes zaid ya laki 6 wew hata ukim ukijitoa hakuna kit kitapungua
@qwnlynuzlah3115
3 жыл бұрын
Joti Hapo Hajakosea Manake Ni Kama Mafunzo Kwa Wanawake Na Kwa Waume Lazima Ndoa Ziangaliwe Kwa Kila Njia Ndio Zidumu, Chanzo cha Kua Na Mipango Ya Kando Ndio Kama Hayo Unakimkimbia Mkeo Nyumbani Unafata Mchepuko kwa Ajili Kuna Mambo Anayakosa Kwa Mkewe So Hapo Joti Ajakosea Ila Ni Mafunzo, Na Kama Waangalia Na Wanayo Angalia Video Kabla Hujaweka Kuangalia na Watto,
@davidwakikomesho8518
3 жыл бұрын
Ujalazimishw kuangalia so fny mambo yako
@aaaaaah290
3 жыл бұрын
@@anithanithaa2651 😀😀😀😀 Au sio. Akisepa wengine wanabaki
@chitwangaseif8162
3 жыл бұрын
😁 😁 😁 Falaa sana jotiii
@victorwilfred2686
3 жыл бұрын
Hahah tulims aisee mtalaam. Wa comedy
@binladen8408
3 жыл бұрын
nakubali. kwa mpalange one way
@heistyler9855
3 жыл бұрын
You are on fire💥💥
@godfreyraphaely637
3 жыл бұрын
joti na mkubali sana ila kwa hii sijamwelewa...AMEHALALISHA USHOGA.
@mjkiko8943
3 жыл бұрын
mmmh yaleo Kali 🙌
@tripleematech9688
3 жыл бұрын
Joti, na Lissu lenu moja....unahamasisha ulawiti mwezi mtukufu wa ramadhan? may be huamini Mungu but isiwe sababu ya ww kuwabalili nia waamini, kwa elimu zako izo potofu!!!...nakuwekea nukuu apa uisome kwa makini... 1 Wakorintho 6:9 [9]Au hamjui ya kuwa wadhalimu hawataurithi ufalme wa Mungu? Msidanganyike; waasherati hawataurithi ufalme wa Mungu, wala waabudu sanamu, wala wazinzi, wala wafiraji, wala walawiti, Marko 9:42 [42]Na ye yote atakayemkosesha mmojawapo wa wadogo hawa waniaminio, afadhali afungiwe jiwe la kusagia shingoni mwake, na kutupwa baharini.
@DwishaMentor
3 жыл бұрын
Umekosea sana kuhamasisha usodoma
@samwelshilungu4370
3 жыл бұрын
Bodi ya filamu Tanzania. Hongereni sana.
@mwljuliuskiwovele
3 жыл бұрын
😂😂😂😂Nishai unapewa vitu Halafu unazingua
@josephmanyama435
3 жыл бұрын
Hahahahhahahahahaha
@watendeprinting8825
3 жыл бұрын
Hapa umeyumba sikupendi tena
@eggysulle7988
3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂 kwa mprange promotion 😂
@rithakuyala9951
3 жыл бұрын
Kazi kweli kweli 😂😂😂😂😂😂
@mohamedmuhajiri4690
3 жыл бұрын
Mnazingua ndio nin sasa hiv
@Mandy36ful
3 жыл бұрын
Msahi wewe mke anafundishwa 🤣🤣🤣
@tarikmvinza2385
3 жыл бұрын
Kama Promotion😅😅😅😅
@yussufdegea6662
3 жыл бұрын
kwaiyo unaunga mkono ujinga alokatazwa duuu dunia imeisha
Пікірлер: 530