Aminaaa Aminaaa Aminaaa Aminaaa Aminaaa Aminaaa ❤❤❤❤Mwl Wang Idama Ubarikiwe mnoooo Mtumishi wa MUNGU Mwenyezi
@beatusidama6233
3 ай бұрын
Tumshukuru Mungu
@petersimonmpululu2124
10 ай бұрын
Hongera sana kwa waimba Biblia
@beatusidama6233
9 ай бұрын
Ndio, ni Kwaya ya Mt. Yuda Thadei - Kinyerezi, aka, "WAIMBA BIBLIA"
@carolinekimaro8635
10 ай бұрын
Hongereni sana kwa utume uliobora na wakumpendeza Mwenyezi mbarikiwe
@massawejohn
9 ай бұрын
Hongereni sanaaaa
@beatusidama6233
5 ай бұрын
Asante sana kaka
@lelomiku7011
7 ай бұрын
Iwekwe swahili music jaman msitubanie ivo
@peterbongo9493
10 ай бұрын
Uimbaji mzuri sana
@anithafilen2077
10 ай бұрын
Hakika
@hozbertkiiza706
6 ай бұрын
Kazi nzuri, copy yake naipataje?..
@triffproductions4348
10 ай бұрын
Hongera sana waandaaji kwa kazi hii nzuri, hongera kaka Idama kwa utunzi murua.
@beatusidama6233
9 ай бұрын
Tumshukuru Mungu
@yameogofrancoisdassise2217
10 ай бұрын
Harmony ni mila yako🤗👏👏Siwezi kusahau kwaya hii nzuri, never!!!
@fabiansululi7511
4 ай бұрын
alooo safi mnoo❤❤❤❤❤🎉🎉 Mtunzi konki
@lucasshirima2880
10 ай бұрын
Mwenyezi Mungu awaongoze Daima....kwa kuwa Mkate ni mmoja na sisi tulio wengi ni Mwili mmoja
@dreusebiusjmikongoti248
10 ай бұрын
kazi nzuri sana
@simonmrukwamba-rn3el
10 ай бұрын
Hongereni Sana mungu awabariki nyote
@beatusidama6233
10 ай бұрын
Asante sana @@simonmrukwamba-rn3el
@beatusidama6233
3 ай бұрын
Asante sana Dr. Mikongoti
@NoteSacre493
10 ай бұрын
Congratulations 👏👏
@beatusidama6233
5 ай бұрын
Thank you. Thanks to God.
@MarcelinaLucas-y8z
10 ай бұрын
Hongereni sana Mungu awabariki Kwa kazi nzuri sana
@beatusidama6233
3 ай бұрын
Amina
@simonwilliam1240
10 ай бұрын
May the Lord bless this amazing group of Singers.... much appreciation to the Composer too!!
@beatusidama6233
10 ай бұрын
Utukufu wa Bwana na ukae nawe
@simonwilliam1240
10 ай бұрын
@@beatusidama6233 ukae na Rohoni mwako!!
@aristidesdanda8290
10 ай бұрын
🎉🎉🎉 well done
@sistustesha4553
10 ай бұрын
Ashukuliwe Mungu wa mbinguni
@beatusidama6233
10 ай бұрын
Amina
@costanciamkinga5040
10 ай бұрын
Tumshukuru Mungu Kwa uimbaji mzuri machoni Pako...
@sistustesha4553
10 ай бұрын
Mwenyezi Mungu azidi kuwabariki kupitia utume huu wa uingilishaji.... Utulivu bila chenga.
@FelisterLuvanga
10 ай бұрын
Kazi nzuri sana 👏👏👏
@beatusidama6233
10 ай бұрын
Asante sana ndugu
@egmsage4115
10 ай бұрын
Utulivu nimeupenda, Maneno from Bible mnanikumbusha wakati nipo nanyi.....Napenda sana utume huu wa uimbaji Hongereni sana. Mungu aendelee kuwasimamia mtupatie uinjilishaji mzuri zaidi
@beatusidama6233
10 ай бұрын
Tumshukuru Mungu
@HappyMaruti
10 ай бұрын
❤❤❤ nyimbo nzuri sana, hongereni
@beatusidama6233
5 ай бұрын
Asante sana,, Tumshukuru Mungu
@patriciamahero
10 ай бұрын
Wimbo mzuri zaidi. Mungu awabariki sana
@beatusidama6233
9 ай бұрын
Amina
@lineymuro3565
10 ай бұрын
Kazi nzuri sana hongereni mno.
@beatusidama6233
5 ай бұрын
Asante sana
@stevenkalenzo6457
10 ай бұрын
Baba yangu Idama MUNGU Mwenyezi akupe Maisha marefu Baba yangu Kazi Takatifu mnoooo
@beatusidama6233
10 ай бұрын
Impendeze Mwenyezi atubariki sote.
@beatusidama6233
10 ай бұрын
Asante sana Steven, tubarikiwe sote.
@melchiorikavishe1122
10 ай бұрын
Safi Sanaaa...... Mwl Idama na Master Komanya.. kongoleee kwa Wote Waloshiriki katika Hii kazi
@beatusidama6233
9 ай бұрын
Utume wa Kwaya Katoliki udumu
@anithafilen2077
10 ай бұрын
Kazi nzuri,,maneno mazuri yanatutafakarisha sana,, Mungu azidi kukutunza na kukupa afya kila siku mtunzi wa tungo hii
@beatusidama6233
9 ай бұрын
Amina. Tuinjilike kwa sifa ya Mwenyezi
@simonmrukwamba-rn3el
10 ай бұрын
Hongereni Sana mungu awabariki nyote
@beatusidama6233
10 ай бұрын
Amina. Kwa sifa na utukufu mkuu wa Mwenyezi
@mt.cesiliampanda7062
10 ай бұрын
❤❤❤❤❤ hongereni kwa kazi nzuri
@beatusidama6233
9 ай бұрын
Asanteni sana
@josephlango5591
10 ай бұрын
Asanteni Mt. Yuda Tadei kwa kutupa zawadi nyingine iliyo bora. Mbarikiwe sana
@beatusidama6233
10 ай бұрын
Tumshukuru Mungu
@glory751
10 ай бұрын
You are doing great Yuda Tadei Kinyerezi, God bless you.
@beatusidama6233
9 ай бұрын
Amen
@apoloniaagapiti3782
10 ай бұрын
Mbarikiwe sana jamani, Kwa kweli mmeukonga moyo wangu. Mungu azidi kuwabariki sana.
Пікірлер: 61