Mungu aendelee kuku kumbuka katika kazi yako tuendeleee kujifunza zaidi kupitia wewe.
@elibarikimollel7149
3 жыл бұрын
Ni kweli, wengi wao ni polisi ambao ktk Utendaji wao wamenyang'anya,rushwa,na hata kuwabambikia watu kesi mbaya! Wengi wanaishia maisha ya shida na mikosi
@asyaasya3766
3 жыл бұрын
Hakika somo la leo limejua kunigusa, kunamtu aliwai kunitendea wema nikamlipa maovu ila mpaka Sasa najutiaga Sana makosa yangu Hua najiskia nakosa amani moyoni kila nikikumbuka wema wake na maovu niliyomtendeaga, tatizo nawazaga kumfata nimuombe msamaha inaniwea ngumu, Mungu anisameh najuitaga kila iitwayo leo
@kimbulikambale5150
3 жыл бұрын
Ndugu acha Mungu akupe nguvu ya kumuendea na kuomba usamaha, ubarikiwe na Bwana.
@gooddeeds162
3 жыл бұрын
Kama kuna ugumu ningeomba niunganishe nae nizungumze nae then nikuwezeshe na wewe kukutana nae ili haya yaishe uishi kwa amani, Unaonaje ?
@clarencewilbat8598
3 жыл бұрын
Daaah kaka hakika Leo somo lako limenipiga kwenye mshono. Asantee sanaaaa
@mickidadyplanet6476
3 жыл бұрын
You’re so smart enough for your education...imenigusa sana point ya”madhara ya kujinenea maneno mabaya inavyoathiri...never happen...one day yes...be blessed...!!!!
@fedharmmark6398
3 жыл бұрын
Ahsante kwa Elimu hii Brother,maana nakumbukaga nilijitabiliaga kumbe ni kweli kikatokeaga na nimeona watu wa karibu yangu nao imewatokea walivyo nitenda, ahsante kwa kuendelea kunifunza kila siku Ubarikiwe sana Brother
@mtengwadj9390
2 ай бұрын
AhsaNte kwa Elimu Ubarikiwe sanaa 🙏
@everkivuyo8596
Жыл бұрын
Umenifurahisha sana mt wa Mungu umeongea kweli kabisa vingine n vya kiroho
@mrsdeborahurio
2 жыл бұрын
Huo ni ukweli kabisa! Mungu akubariki Sana, Maneno huumba.
@EmanueliMartin-zl5sk
Жыл бұрын
Asante kwaushauli god san
@samuelsulle7349
2 жыл бұрын
Nothing but blessing Thank you
@uswegebenasi2391
3 жыл бұрын
Asante sanaa mwalimu wangu. Kwa kutufundisha.
@estermathias8354
3 жыл бұрын
Kaka umeongea kweli kbs😢.mmi Sina mkosi hata kidogo had huwa wananiambia we mwenzetu una nyota ss najifikiria nyota gn .leo ndo nimepata jibu huwa sipend kuongea uongo au kumsingizia mtu .au kutetea uovu sipend kbs 🙏🙏🙏🙏ndio Mana nabarikiwa ##mtoto wa magufuri
@bukheribukheri798
3 жыл бұрын
Mnhuuuu umeharibu hapo mwisho
@nshimirimanadjamilla7270
3 жыл бұрын
Masha allah shukran
@helenamusa432
3 жыл бұрын
Asante kwa somo Joel kwaa mie Nashukul Mungu wangu huwa najisemea mazur
@Mwamba67
3 жыл бұрын
Asante, mwalimu wangu kwa somo zuri,,,!
@murryamnema9681
3 жыл бұрын
Mkuu Mungu akupe maisha marefu ili kupitia wewe watu wafanikiwe wengine wabali mitizamo yao ikiwemo mimi
@seifal-jahour1242
3 жыл бұрын
Kwakweli umenigusa kabisa brother thanks so much. Mungu akupe afya njema akulinde na mabaya.
@tanzaniatourismboard8395
3 жыл бұрын
AHSANTE Sana Joel. Ahsante Sana Mwalimu. Umezidi Kuwa Mkombozi.
@gildasnyaki3812
3 жыл бұрын
Asante Sana mwalimu.Mungu akubariki.
@saimonisolomon4752
3 жыл бұрын
Dah! Toka nianze kukufuatilia Leo umezungumia maisha yangu kabisa. Nilishawahi kutamkiwa maneno ya hovyo na mjombangu nikiwa bado mdogo, hiyo hali inanitesa hadi leo. Mimi ni mtumishi, lakini naona katika hili bado sijafanikiwa kujisaidia, pamoja na kwamba Mungu amenitumia mara kadhaa kusaidia wengine. Naendelea kusubiri.
@childrengospelmissiontanza1474
3 жыл бұрын
Mungu akufungue katika hilo.
@RoiderMWaseba-li7nv
Жыл бұрын
Anza kujiona uko huru kwenye hilo, mpende huyo mjomba kwa moyo wako wote, geuza hilo neno, kama alitamka mikosi ww tamka baraka, kama alitamka vifo ww tamka uzima, mara nyingi uwezavyo, Kila siku, jibariki
@lukasamberu7964
3 жыл бұрын
Mimi naomba nikuone kama itawezekana maana umenisemea Mimi kwa asilimia 💯
@elishalameck1791
Жыл бұрын
Mmh!
@paullazalo6464
3 жыл бұрын
Ntawezaje kutoka katika hiyo maana familia yangu wanaiyo imani tatizo kidogo wamesha kimbilia huko
@kharifasiraji3446
3 жыл бұрын
Asante sana joel
@rimepeter789
3 жыл бұрын
Awesome revelation, God bless you sir ❤🙏
@abelntobi382
3 жыл бұрын
kzitem.info/news/bejne/tIqJqpWZsZeSmqQ
@hawamasoud5068
Жыл бұрын
Mungu atuweke nanauka
@winfridajohn6566
2 жыл бұрын
Asante sana
@markkenneth3937
2 жыл бұрын
Barikiwa sana ndugu umekua wa msaada kwangu kupitia mafunzo yako
@kimagotv2586
2 жыл бұрын
Ok nimekuelewa
@eshyndibalema1529
3 жыл бұрын
Asante Sana kutujuza na ni kweli unayoyaongea
@binally2796
3 жыл бұрын
Leo nimekuwa wakwanza kutazama na kucomment
@prosperndondole1509
3 жыл бұрын
Me wa kwanza kureply
@rstudionaberera9788
3 жыл бұрын
Iyo nafasi inakuwaga yangu
@bettykageza1964
3 жыл бұрын
Ubarikiwe sana
@abditech14
3 жыл бұрын
Jah bless you
@frednandmagige8820
Жыл бұрын
Somo zuri sanaaa
@ussiussi3413
3 жыл бұрын
Ahsante sana mwalimu kwa mafunzo.
@sophiasophia6945
3 жыл бұрын
Ahsante sana kwa somo muhimu sana kwa maisha
@washirakesaga7189
3 жыл бұрын
Asante
@aminaabdull7479
3 жыл бұрын
mungu akubariki Sana Kaka kwakutuelimisha
@zaujiasadiq8347
3 жыл бұрын
mashaAllah kwa kutujuz
@abelntobi382
3 жыл бұрын
kzitem.info/news/bejne/tIqJqpWZsZeSmqQ
@rahmaamiri974
3 жыл бұрын
Kakaa Joel Asante sana your the best
@habibumruma4182
3 жыл бұрын
Yeah asilimiaa kubwa kuna ukweli ndani yakee
@upendo6009
2 жыл бұрын
Dah nimejifunza sana sana
@augusttesha8796
3 жыл бұрын
Nimependa
@faudhiasalum7279
3 жыл бұрын
Ooh thank sir 📝😍🙌
@faudhiasalum7279
3 жыл бұрын
Una ni barikiwa sana 😘
@guadenciamapunda6593
2 жыл бұрын
Thank you for sharing.
@lovedleonard8398
3 жыл бұрын
Amen Amen
@rachealmwale3897
3 жыл бұрын
Ubarikiwe sana..somo nzuri sana.
@abelntobi382
3 жыл бұрын
kzitem.info/news/bejne/tIqJqpWZsZeSmqQ
@vincyber-yt7ie
Жыл бұрын
Vinny kutoka Kenya.Hili somo limefanya nimebubujikwa na machozi.
@JoyceHaule-o7b
2 ай бұрын
Pole sana Mungu yupo
@eliasmamba9924
3 жыл бұрын
Nakukubari' mafundisho mazur kak
@daudhabona8897
3 жыл бұрын
Kusahau wazazi. Hili ni jambo zito sanaa. Kuna watu wamefanikiwa na wakawasahu wazazi ama wanawasaidia kiwango cha chini sana. Unakuta mtu pesa anayomtumia mzazi kwa.mwezi ni ndogo kuliko mshahara wa housegirl wake.
@gmaemba22
3 жыл бұрын
Kaka unachoongea ni kweli kabisa na ukweli usiopingika. Nimefurahi kwamba unajua kua nguvu za kiroho zinavyowatesa watu katika maisha ya kila siku na kupata mikosi. Mimi pia nimekua na changamoto nyingi I am living example wa hizo changamoto na nimezifanyia kazi nyingi bado chache tuu. Hizo za kupatana na walionisaidia kwa wema najitahidi ili nifanye upatanisho na Hawa wapedwa walioni nijali na kwa moyo wakanisaidia
@OficialKanza
2 жыл бұрын
Ni kweli kabsa mtumishi vipi kuhusu wale ambao wanakusemea mabaya ili waongee hao inakuwajee???
@bahatijanvier6357
3 жыл бұрын
You're the best coach
@kalollamapunda6142
3 жыл бұрын
Ubarikiwe
@ethoriecywilliams2321
3 жыл бұрын
Bro naomba nawasiliano yako
@LeilaNdigi-u2y
Жыл бұрын
Asant kaka
@kelvinarnold
Жыл бұрын
Ni kwel kabsa wema ni akiba na ubaya ni akiba
@mohammedrashid2906
Жыл бұрын
Mimi. Naweza. Sana
@farajhassan1775
3 жыл бұрын
Thanks brother 🙏❤️
@abelntobi382
3 жыл бұрын
kzitem.info/news/bejne/tIqJqpWZsZeSmqQ
@hammyyombe5229
2 жыл бұрын
🙏
@letionnews310
3 жыл бұрын
👏👏
@mkuurditv4227
3 жыл бұрын
Mfano halisi ni mwenyewe wala sio mbali ,naandamwa sana mikoso ya mambo kutoenda sawa ,japo natumia akili kubwa maarifa mengi na juhudi zote ktk kutafta lkn hola
@stellakins3770
3 жыл бұрын
Jamani Mimi nimesingiziwa mambo ambalo sijalifanya mpaka nimeachana na Mume Wangu ... Unacho kiongea nikweli ..mpaka Leo ninamaumivu makubwa ... Ila nimewasamehe
@RoiderMWaseba-li7nv
Жыл бұрын
Kama umewasamehe acha kuumia
@neemarajabu9432
2 жыл бұрын
Sisi tumeshatamkiwaga atutofanikiwa,wala kuoa wala kuolewa,kipindi hicho mimi sikuwepo,kulikuwa na ugomvi babu na familia nyingine na kunamambo yalifanyika,,kweli mpaka leo atuna mafanikio akuna aliyeolewa wala kuoa,nikuzalisha/kuzalishwa na kuachwa
@RoiderMWaseba-li7nv
Жыл бұрын
Anza kuiona ndoa yenye furaha na amani, Anza kuona mafanikio, fikiri zaidi kuhusu kufanikiwa, tupilia mbali maneno mabaya, tabiri mema Kila siku, usiku na mchana, utatobia tuu
@yaseenbaltazar4320
Жыл бұрын
Jnanauka kuna mahusiano au tofauti gani kati ya hisia na akili?
@mohammedrashid2906
3 жыл бұрын
Mkuu upo sawa kabisa
@abelntobi382
3 жыл бұрын
kzitem.info/news/bejne/tIqJqpWZsZeSmqQ
@zelfat4956
3 жыл бұрын
Gud bro
@cleopatraadolf6492
3 жыл бұрын
Kweli joel, ili linakumba watu wengi sana namimi nikiwemo
@stephanopetro2917
3 жыл бұрын
Big up mentor
@ziyadanyandwi2908
3 жыл бұрын
Nikweli mdomo unaumba
@ladslauspius4845
3 жыл бұрын
Naomba nishare hii video ya leo iwafikie ndgu zangu..maana .....
@aidanmbilinyi8184
3 жыл бұрын
Aisee kuna ndgu yangu huyo mtot Wa Mamkubw wangu dah ana mkosi San kila jmbo anlofny aliend kasom mpk form 6 lkn kila ck nkufail anrdia anfeli hat Pesa akipt azkai yn n mikos now tyr ana watt wawili mar mke kamkimbia aliend kutoa mahari mar mwanmke wazaz wake walikul Mali mtot wakmuozesh MTU mwngne yn xjajua ndg yng nmsaidiaje saiz kaamua kwend machimbon kaend ziwan n hvo HVO dah nmuonea hurum San nhis n mambo ya rohon dah nmuonea hurum San
@barakakajange7335
3 жыл бұрын
Kaka nimeshosha mikono.mungu akibariki
@abelntobi382
3 жыл бұрын
kzitem.info/news/bejne/tIqJqpWZsZeSmqQ
@hassansimba3680
3 жыл бұрын
nimelikubali som kwl nitumie no unaumuimu kwangu san
@benjux2645
3 жыл бұрын
Daaaah, asante brother maana cc familia zetu zinamikosiii ila nishagundua nn vyanzo daaaah nashukuru sana
@estermathias8354
3 жыл бұрын
Pole kk
@rahimaaaaa8699
3 жыл бұрын
Kweli kaka
@lukasamberu7964
3 жыл бұрын
Naomba mawasiliano yako kaka
@venturebown6983
3 жыл бұрын
More years to you...tujifunze mengi toka kwako Bro..
@ednasalum3982
3 жыл бұрын
Somi zuri
@khadijasalehe3261
3 жыл бұрын
Duh, uko vzr xana brother
@abelntobi382
3 жыл бұрын
Somo NI zuri kiukweli....MIKOSI ni NOMA saña
@jessekusipa7325
3 жыл бұрын
Good job
@abelntobi382
3 жыл бұрын
kzitem.info/news/bejne/tIqJqpWZsZeSmqQ
@rosemdegela6252
3 жыл бұрын
Mimi naomba nikuone mtoto wangu umsaidie
@azizawadh5973
3 жыл бұрын
Na kulogwa vipi hayo yote simo lakini nnamikosi mwanzo mwisho
@heriethnyaki4816
3 жыл бұрын
Suluhu LA maneno yaliyotamkwa plz kaka
@abelntobi382
3 жыл бұрын
kzitem.info/news/bejne/tIqJqpWZsZeSmqQ
@wilfredelimeleki4543
3 жыл бұрын
Ingia kwenye maombi kukataa na kuyafuta hayo maneno.Tumia jina la Yesu kukataa
@ashuraisihaka3524
3 жыл бұрын
Uyo wa pili ni kondeboy😂😂😂
@ramadhanikiwave5279
3 жыл бұрын
siamini kama Kuna mikosi ila ni mambo hayajakaa sawa
@mamanaanabil1478
Жыл бұрын
Mikos ipo Tena sana omba isikukute
@florakankutebe3987
3 жыл бұрын
Fundi
@nzaliglobal
3 жыл бұрын
Tutumie email yako Kaka ya mawasiliano
@abelntobi382
3 жыл бұрын
kzitem.info/news/bejne/tIqJqpWZsZeSmqQ
@rstudionaberera9788
3 жыл бұрын
Mmmmh! Mahubiri mazuri kaka
@heriethnyaki4816
3 жыл бұрын
Asante kaka 2ko pamoja
@seifal-jahour1242
3 жыл бұрын
Sorry brother nikuombe kitu naomba suluhisho la maneno yaliotamkwa
Пікірлер: 124