Ufinyanzi ni kazi ya utamaduni wa muda mrefu lakini sasa vijana wanaikwepa kazi hiyo kwani wengi wanadai ni ngumu na yenye faida ndogo. Kundi la wanawake wanatengeneza vyungu katika fukwe za Matema nchini Tanzania kwa kutumia mtindo wa kisasa ili kuwavutia wateja wao.
Video : Eagan Salla
#bbcswahili #matema #tanzania
Негізгі бет Kwanini vijana wanaikwepa kazi ya ufinyazi?
Пікірлер: 1